Vitu Vinavyopoteza Kujiamini - Joel Nanauka

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

ความคิดเห็น • 242

  • @successmbizo3209
    @successmbizo3209 3 ปีที่แล้ว +42

    Mimi naona mafundisho yako si ya kisaikolojia tu ni ya kiroho pia, yana upako wa Mungu ndani yake. I honor your service brother

    • @matrugnawangaeli4815
      @matrugnawangaeli4815 3 ปีที่แล้ว

      urafiki ni kitu kimoja kiyuri sana. Maana hata bibilia inayungumzia urafiki wa kweli na ule wa uwongo. nimekua mwaminifu kwa kutumza siri za marafiki. urafiki wangu ni ule wa kujitolea ijapo kuwa na uwezo, nimekumbana na waombaji nikashindwa. kwa kifupi niseme rafiki zangu ninawapa thamani kubwa sana mpaka hapo atakaibuka mtu halisi. huo ndio wakati wa kuchukua hatua. na kwa kawaida yangu si rahisi lakini huwa naenda moja kwa moja kwenye point. Au yatakubalika au yatakatalika mwisho wa habari. Hua napata uhusia kwenye nenon la Mungu. Ambalo kwangu ni muhimu sana. najifunza mengi kutoka kwako. Mungu akubariki Nanauka.

    • @eliasieliasi3374
      @eliasieliasi3374 2 ปีที่แล้ว

      Keel kabisa

    • @eliasieliasi3374
      @eliasieliasi3374 2 ปีที่แล้ว

      Mm kilichoouwaa kujiaminii kwangu ni kutokujuaa thamanii yanguu imenitesaa Sana'a yan nilishindwa hats kuthubutu vitu kisa sijiamini

    • @rashidibilali8884
      @rashidibilali8884 ปีที่แล้ว

      Mafundisho yako nimeyapenda kwasababu yanafundisha

  • @anandepallangyo4177
    @anandepallangyo4177 3 ปีที่แล้ว +20

    Hii video imenigusa sana katika kipindi hiki,najikuta sababu takribani zote zinanigusa 😥😥 ,muda huu tuu nikiwa nawaza kwani kuna umuhimu gani mimi kuishi baada ya kila kitu kukaa vibaya 😢,likanijia tuu wazo emb nimuone Joel anasemaje,
    Moyo wangu umepona sasa,asante Joel 🙏

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 ปีที่แล้ว +5

      Ameen, nafurahi kwa kuwa umepata nguvu ya kuendelea.Mungu azidi kukutia nguvu usonge mbele.Usikate tamaa

    • @anandepallangyo4177
      @anandepallangyo4177 3 ปีที่แล้ว

      Amen Joel, namshukuru sana 🙏

    • @sethmwamanda6863
      @sethmwamanda6863 3 ปีที่แล้ว

      Kweli kaka Joel

    • @adamuhamisi4637
      @adamuhamisi4637 3 ปีที่แล้ว

      Uko vizur brather

    • @ezrakiduko6135
      @ezrakiduko6135 หลายเดือนก่อน

      Good brooo​@@joelnanauka

  • @monicaregina7792
    @monicaregina7792 3 ปีที่แล้ว +20

    Brother Joel wewe Ni mtu mhimu Sana kwangu,Mungu akutunze kwa ajili ya Tanzania na dunia.Mungu akutunze Sana .

  • @asyaasya3766
    @asyaasya3766 3 ปีที่แล้ว +14

    Wewe Kaka Joel, niseme tu asant Mwenyezi Mungu kwa kutuumbia kiumbe wako huyu anae tufanya tuishi kwa raha na kuipata amani na ujasiri wakujiamini sasaivi hatubabaishwi na chochote kupitia mafunzo yake alhamdulillah

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 3 ปีที่แล้ว +8

    Duh 😘. "mkeo' ana furaha sana Brother🙏maneno Yako matamu sana 💕 'naendeleo , kujifunza!!!!! Hallelujah hallelujah Maupako kama Yote🤸‍♀️🤸‍♂️

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 2 ปีที่แล้ว

      😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄

  • @ismailsaid6138
    @ismailsaid6138 3 ปีที่แล้ว +10

    Sijawahii kujutia kumaliza bando langu kuangalia mafundisho yako Brother Joel asante na furaha imeongeza baada ya kuipata namba yako katika gazetti la mwananchi👏👏✊✊

  • @LovelyOutdoors-wd5nh
    @LovelyOutdoors-wd5nh 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ubarikiwe sana kaka Nanauka,yaani mimi naona karibia yote yananihusu kabisaa hasa swala la mahusiano lilitaka kunimaliza kabisa sio tu kuondoa kujiamini nilitamani hata nisiwepo duniani,lakini Mungu ni mkuu amenisaidia mpaka nakuja kukutana na mafundisho haya kwangu ni Neema kubwa sana, Mungu akufungulie milango ya kuwafikia wengi zaidi najua kuna mtu anakusubiri,sawa na Sw Sw Sw Sw....🙏

  • @jamesibrahim8849
    @jamesibrahim8849 3 ปีที่แล้ว +8

    ...mahusiano yalichangia kupunguza uwezo wangu wa ujasiri (confidence)

  • @neemameshackkilongozi5796
    @neemameshackkilongozi5796 3 ปีที่แล้ว +4

    Amen brother Mungu akubariki Sana najifunza vitu vingi Sana kupitia wewe

  • @devothadonaldsimbi3499
    @devothadonaldsimbi3499 3 ปีที่แล้ว +5

    Hiyo ya mahusiano hata leo hii imenimaliza kabisa, ahsante kwa kuniokoa

  • @meshackmwakajwanga8349
    @meshackmwakajwanga8349 3 ปีที่แล้ว +3

    Asante san kw ushauri wako,mwenyezi mungu akubarki kw kile unachotoa n kikubwa zaid kulikotunavyo thani,ubarikiwe!!

  • @faridhasan4398
    @faridhasan4398 3 ปีที่แล้ว +3

    Mwenyezi Munqu akufanyie wepes kwenye dunia hii mm mbunqe wao 😀

  • @bwanashoppingtz8709
    @bwanashoppingtz8709 3 ปีที่แล้ว +1

    Nilipoteza ujasri msimamo na marengo kwa kuoa mtu ambae sio chaguo lakin yeye ananipenda sana mi sina mapenzi kwake imesababisha adi kupoteza mtaji samani yangu kwa mawazo na kufanya vitu sio sahihi kwa uchungu tu.

  • @sexy_baby9599
    @sexy_baby9599 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana masomo yako yanisaidia sana .. Nimeanza kukusoma wiki iliyo pita ila naona unanipa moyo sana

  • @AnnaKaaya-zg4jw
    @AnnaKaaya-zg4jw ปีที่แล้ว +1

    kiukwel nafurahia Sana elim yako
    mm binafs nimepoteza Sana kujiamin tatizo kubwa mahusiano Hadi nimeamua kuacha kbisa unanishauri nini nduguyang

  • @jumamabruck7846
    @jumamabruck7846 3 ปีที่แล้ว +1

    Kaka sijuw niseme Nini namshukuru Mungu kutupatia mtu Kama wewe najiona nazidi kukua na kujenga zaidi Mungu akuweke miaka ya vocha...

  • @reganmsellemselle3998
    @reganmsellemselle3998 3 ปีที่แล้ว +2

    Kaka Joel nanauka nakushuru sna kwa elemu .yako imekuwa uponyaji kwenye maisha yngu. God bless brother

  • @jamesibrahim8849
    @jamesibrahim8849 3 ปีที่แล้ว +2

    ...ndio Mwl. J. Nanauka, Binafsi mahusiano yakuchambua kupunguza uwezo wangu wa ujasiri. Asante but now I'm very confident than ever I took control of myself

  • @linardamuindi6856
    @linardamuindi6856 3 ปีที่แล้ว +5

    May God have mercy and help me move forward.

  • @methodmgisha6783
    @methodmgisha6783 ปีที่แล้ว

    Kila ninapokusikiliza unanifanya niendelee kukusikiliza .
    Niko Arusha.Mungu wa Baraka akumiminie Baraka Zote .
    Uendelee kuwasaidia wengi kama ulivyonisaidia mimi
    .

  • @lucku5336
    @lucku5336 3 ปีที่แล้ว +7

    Kak i feel so comfortably when tries to listen your videos god bless you

  • @marykisima1
    @marykisima1 3 ปีที่แล้ว +1

    Nilikuwa nateseka sana na Past sasa nimejiponya now i am very fine.I am rebuilding my confidence

  • @otiliahaule5180
    @otiliahaule5180 3 ปีที่แล้ว +2

    Hili somo nilangu asante kwakunifungua mana nakumbuka kazinikwangu wengi walinichukia mmoja tuambae ni boss alisimama upandewangu nami nikasimama vyema nasasa maisha yanaendelea Asante sana kaka Joel 🙏

  • @orutasikabuwo8410
    @orutasikabuwo8410 3 ปีที่แล้ว +1

    Sw sw sw sw!! Some one won’t, someone will ,so what ,someone waiting for you !! Kajuzuri sana

  • @shabanlusan6890
    @shabanlusan6890 6 หลายเดือนก่อน

    The things that make to kill my confidence is rejection from my parents and other relatives in some activities such as business and so on but now am good coz i built confident since i discovered that problems thanks ma broda nanau for ur classs of mentorship

  • @RehemaMsuha
    @RehemaMsuha 7 หลายเดือนก่อน +1

    Brother joel mungu akulinde akupatie maisha marefu

  • @silenceneverson8648
    @silenceneverson8648 2 ปีที่แล้ว +6

    I always listening to you from Malawi. You always inspired me my brother Joel

  • @amanigeorge9886
    @amanigeorge9886 ปีที่แล้ว +1

    It's my first time to listen this Nondo.Mungu akutunze uendele kusaidia jamii.

  • @hamisihabibu8524
    @hamisihabibu8524 2 ปีที่แล้ว

    Umenitia moyo kwa makubwa nilio pitia, kwani nimeona sijachelewa nami namtanguliza mungu kwa ajili ya afya na uzima ili nipite kwa usahihi ktk mafunzo yako. Ubarikiwe sana .

  • @yuvannboydebravaour3678
    @yuvannboydebravaour3678 3 ปีที่แล้ว +2

    Asee asante sanaa kwa kutufunuaa macho na mwenyez mungu akubariki kwa unachokifanyaa

  • @imanmedia8910
    @imanmedia8910 3 ปีที่แล้ว +1

    Umekuw mwanga na Nuru kwa wengi Mungu akupe maisha marefu

  • @neemaemanuel8877
    @neemaemanuel8877 3 ปีที่แล้ว +5

    Big up bro,, u always heal many broken hearts of many ppo thru ur education..God bless u

  • @hellenismail4351
    @hellenismail4351 3 ปีที่แล้ว +9

    My great person of all the timeee...Kaka Joel Nanauka....❤

  • @nurdinchilambo1486
    @nurdinchilambo1486 3 ปีที่แล้ว +4

    video nying naangalia ila nashndwa ku comment ktu' nashindwa tu chakuandika zaid ya kushukuru maana nmekua nikijifunza vtu ving sana

  • @LucasMalowola
    @LucasMalowola ปีที่แล้ว +1

    my bro joel nakufwatilia na naendelea kukufwatilia maana kila kitu unachokiongea nina kutana nacho

  • @zainabumajinji402
    @zainabumajinji402 3 ปีที่แล้ว +1

    Nashukuru Sana kwa masomo yako yananifungua sana naitaji nipate vitabu vyako Mr Joel

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 3 ปีที่แล้ว +4

    Thank you My Brother Joel may God bless you more n more 🙏

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 3 ปีที่แล้ว

    Haki kaka uko sahihi Kuna muda unakataliwa kwenye jAmbo kama wanakukomoa kumbe ndio mwanzo wa mafanikio yako .nilishakutana na mtihani uwo lkn mungu NI mwema Kwa sasa ..nyota ikawaka baada ya kuondoka. Sehemu iyo alhmdulillah ✍️✍️

  • @Usawa_phonetech
    @Usawa_phonetech 3 ปีที่แล้ว +2

    Umebadili maisha yangu broo JOEL ASANTE

  • @joycemugaka3039
    @joycemugaka3039 ปีที่แล้ว

    Asante kaka mungu akubariki mm ni likataishwa tamaa na boss wangu kasiini,bt nijiamini juunilikua na experience sikukabaliana kumuziliza nilingangana mwisho na kujiamini mwisho nilikubariwa na shukuru mungu juu sikukata tamaa

  • @grolyqueen5833
    @grolyqueen5833 2 ปีที่แล้ว

    Kuachwaaa na mwanaume niliyempendaa sana na mausiano yalikuwaaa wazi mno ilinifanya nisijiamini kabs🥲 lakn Mungu alikuwaa na makusudi jamaa alikuja akaumwaa akafariki huendaa ningekuwaa mjane

  • @benedictobulugu8643
    @benedictobulugu8643 3 ปีที่แล้ว

    Ww jamaa nigenius sana aisee ,tunakushukuru kuzaliwa Tanzania kama magufuri utusaidie wengi,

  • @enockedward1783
    @enockedward1783 ปีที่แล้ว

    Macho yametoa machozi kwani sababu ya 1 hadi ya 5 umezungumza kuhusu maisha yang & Moyoni mwangu nasikia kama furaha inayotafuta pa kutokea hasa ninapokumbuka Njia a kutoka ktka hali hii
    NIMESAIDIKA
    Aksante "Mtoto Jo"

  • @winfridaadam7951
    @winfridaadam7951 3 หลายเดือนก่อน

    Ameeeen,,Mungu akubariki sanaa kaka Joel 🙏🙏🙏

  • @sendamachenge6311
    @sendamachenge6311 ปีที่แล้ว

    Tuna faida kubwa sana kupitia ww TANZANIA GOD bless you,ww ni mwalimu wa KIROHO kabsa

  • @josephinajosephu6859
    @josephinajosephu6859 3 ปีที่แล้ว +3

    Nakuelewa Sana broo,GOD bless YOU♥️♥️♥️

  • @avitus-thobias
    @avitus-thobias 5 หลายเดือนก่อน

    Kitu ambacho kilinikosesha ujasiri ni TO LIVE THE PAST (bad previous experience) nathani nitakiwa nimepona sasa, ahsante Mungu akubariki

  • @lameckchahoa3410
    @lameckchahoa3410 2 ปีที่แล้ว

    MUNGU akutunze sana uwe na Miaka Mingi sana Hapa Unafungua Akili zawengi Sana mm nikiwa wakwanza

  • @emanuelMarco-es1pw
    @emanuelMarco-es1pw หลายเดือนก่อน

    Ni EMANUEL MARCO wa MANYARA Haydom Habari za Jioni Mtumishi wa Mungu kwangu umekuwa Mchungaji Nimeyafurahia Mafunzo yako sana na MUNGU amekutumia kwangu naomba KITABU CHA TIMIZA NDOTO ZAKO nakipataje?

  • @juliusjoseph4889
    @juliusjoseph4889 ปีที่แล้ว

    kuna watu wengi Sana wanapata faraja kupitia masomo y'ako brother,ubarikiwe Sana Joel nanauka

  • @bensonstephano
    @bensonstephano ปีที่แล้ว

    N kweli n jambo gumu sana kusahau yaliyopita

  • @joshuajoshuamangoto6299
    @joshuajoshuamangoto6299 ปีที่แล้ว

    Ahsante sana kaka kwa somo zuri

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 3 ปีที่แล้ว +2

    Leo nimeamini unachosema ni kweli wapo wachezaji wengi sana walionekana hafai wakaachwa wakaenda timu nyingine wakawa hatari sana kiuchezaji mfono Kevini De Brune alitoka chelsea alisafa sana kuipata namba sasaivi tegemezi Man city wapo wachezaji wengi tu nimejionea upande wa michezo uko sawa kbs

  • @lukandaguillaume4175
    @lukandaguillaume4175 ปีที่แล้ว

    Mwalimu wangu wa kipekee

  • @godwinnagol8324
    @godwinnagol8324 ปีที่แล้ว

    Kwa kweli you are good umenifundisha mengi mazuri.Mungu akubariki Sana kwa talent yako

  • @francisstephen4039
    @francisstephen4039 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana mkuu kwa somo zuri

  • @user-yq2mh3xq2w
    @user-yq2mh3xq2w 8 หลายเดือนก่อน

    Living in the past
    Feeling of unworth
    Surrounded by negative people

  • @MussaBukombe-jh5pm
    @MussaBukombe-jh5pm ปีที่แล้ว

    Thanks my brother and God bless to ur life

  • @herychavdy1372
    @herychavdy1372 3 ปีที่แล้ว +1

    Good safisana kaka Asante kuanzia reo najiona kua na dhamani na Confidence

  • @othmanmuhammad1650
    @othmanmuhammad1650 3 ปีที่แล้ว +2

    Utterly outstanding video ever, you really know how to hit the nail on the head brother, I profoundly admire your work ethic, you are meticulous, eloquent and tenacious man, frankly you great lesson, I always get something when I come to lend an ear to your video, everythingis flawless, apart from feeling euphoric I always feel worthy and neverto late! when I listen to your video,.thanks a lot, keep up great work,.

  • @KennedyLudovicky
    @KennedyLudovicky หลายเดือนก่อน

    Chanzo kikubwa kwangu ni aibu imepelekea adi kushindwa huduma kanisani , 😢😢

  • @annajustin1945
    @annajustin1945 2 ปีที่แล้ว

    Kaka nashukuru Sana kwa mafundisho yako maana nilipoteza ujasiri baada ya Mpenzi wangu..kunitamkia maneno ya kunishusha hadhi..lkn baada ya kuanagalia video zako nimeinuka Tena na Niko juu kuliko..na nilijaribu kumtamkia kabsa kwamba hatanishusha Tena.!! ..sichoki kusikiliza mafundisho yako..barikiwa sana

  • @subirajafari8094
    @subirajafari8094 ปีที่แล้ว

    Hata sijui niseme ninj ila mwenyez mungu azidi kukubariki saana

  • @jumeletv7794
    @jumeletv7794 3 ปีที่แล้ว +1

    thanks brother big up sana na.mungu azid kukutia nguvu kaka kwa kazi hiii!!!!!

  • @amarislam1589
    @amarislam1589 3 ปีที่แล้ว

    nilikua na hilo tatizo la kutojiamini sanaa.ila baada ya kupata kitabu chako cha jinsi ya kujenga ujasiri na kujiamini. na kukisoma kimenisaidia sanaaa.na kwa sasa tatizo hilo limesafiri.asanta

  • @NeemaAmos-e9l
    @NeemaAmos-e9l 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki sana umenfugua mmm

  • @gwaxmwakilili4472
    @gwaxmwakilili4472 3 ปีที่แล้ว +1

    That's my mentor... JOEL

  • @vicentndiholeye1067
    @vicentndiholeye1067 2 ปีที่แล้ว

    nashukulu sana kaka nikikisikiliza Nagasaki napata nguvumupya. mungu akubaliki sana

  • @Its_Tokyootz
    @Its_Tokyootz 3 ปีที่แล้ว +1

    safi 👍👍

  • @yusufushillah4192
    @yusufushillah4192 3 ปีที่แล้ว

    Shkuran sana kaka nanauka me nakufuatilia saana na nnakuelewa

  • @ibrahimAhmed-zq5hj
    @ibrahimAhmed-zq5hj 3 ปีที่แล้ว +2

    God bless you 🙏❣️❣️❣️💞❣️❣️

  • @msyetnovatv6936
    @msyetnovatv6936 4 หลายเดือนก่อน

    Kukatariwa na watu wa karibu

  • @fefehakunamatata1350
    @fefehakunamatata1350 ปีที่แล้ว

    God bless you broh napataje vitabu vyako niko zanzibar👏🏾

  • @masalashimbarah185
    @masalashimbarah185 3 ปีที่แล้ว +1

    Hongera bro kwa somo ZR lanipa nguvu ya kuendelea mbele

  • @twahaally1969
    @twahaally1969 2 ปีที่แล้ว

    Hii videos niliangalia mwaka jana leo nimeiyangalia tena... wangapi tunarejea rejea kuangalia VIDEOS za MR NANAUKA.

  • @langatkipkikrui2047
    @langatkipkikrui2047 3 ปีที่แล้ว

    Napenda saaana funzo lako,hasa hapo kwa mkopo bila mpango

  • @jamomuthakacommedy5721
    @jamomuthakacommedy5721 ปีที่แล้ว

    My regret is why did I not listen to joel when i was the most talented guy in meru😢😢

  • @imaniathanass1156
    @imaniathanass1156 ปีที่แล้ว

    Broo unaeleweka Kwa urahisi sanà shukran sanà Kwa masomo yako

  • @user-tm8mj3so8s
    @user-tm8mj3so8s 6 หลายเดือนก่อน

    Asante sana kaka umenisaidia Sana

  • @inocentfrancis4680
    @inocentfrancis4680 11 วันที่ผ่านมา

    Asantee kwa mafundisho mazuri

  • @Udindigwa
    @Udindigwa ปีที่แล้ว

    Amina

  • @user-os9nb8ub6k
    @user-os9nb8ub6k ปีที่แล้ว

    Asante sana nashukulu sana

  • @othmanmuhammad1650
    @othmanmuhammad1650 3 ปีที่แล้ว +3

    The video really touched my heart,.!.

  • @estherkimario2039
    @estherkimario2039 2 ปีที่แล้ว

    Kak joel naomb unisaidie nitawezaje kuishinda hofu yangu

  • @Sharifarajabudebe
    @Sharifarajabudebe 3 ปีที่แล้ว

    Shukurn Mungu Akuepushe na Shari za watu

  • @muksinmuamed6777
    @muksinmuamed6777 3 ปีที่แล้ว

    Brother joel, mafundisho yako nimekubali bro 💯💯💯💯💯💯

  • @EmmanuelMoswala-pj4hu
    @EmmanuelMoswala-pj4hu ปีที่แล้ว

    GOD BLESS YOU BROTHER

  • @ZunguHamiss
    @ZunguHamiss 10 หลายเดือนก่อน

    Ahsante kaka kwa kuniokoa

  • @ambrosejoseph4075
    @ambrosejoseph4075 3 ปีที่แล้ว +3

    Simply the best training. Thank you brother 🙏🏽

  • @dorcasloy7935
    @dorcasloy7935 2 ปีที่แล้ว

    Asanteeee sanaaaaaa

  • @bundukitv1322
    @bundukitv1322 3 ปีที่แล้ว

    Jamaa ALIGONGWA na GARI na kufa pale pale (PART 2) Simulizi ya Jamaa mlemavu wa miguu👇...
    th-cam.com/video/eJlqfTARETM/w-d-xo.html

  • @hezekiaramadhan5043
    @hezekiaramadhan5043 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimeyafurahia mafundish cjuti kununua CM Man mafundish yako yanathaman kuliko cm yanafaidi

  • @justinebaada9079
    @justinebaada9079 3 ปีที่แล้ว

    Dah hili somo limenigusa kwa kiasi kikubwa sana tena hyo point ya kwanza . lakini nashukuru sana kwamba nimejifunza kitu muhimu sana hapa

  • @labanbasugoya6764
    @labanbasugoya6764 2 ปีที่แล้ว

    Nimekupata Sana.

  • @abdulrahimmohamed857
    @abdulrahimmohamed857 10 หลายเดือนก่อน

    Kazi iendelee

  • @aminihamad2545
    @aminihamad2545 3 ปีที่แล้ว

    Kaka Joel. Mm nakuamini sana ktk nafsi yangu lkn nikikutana na mtu au ktk kikao napoteza ujasiri.
    Sababu ni matatizo ya kiafya ambayo yalianza tangia nipo O-kevel. Yaani mtu akinikaribia tu natoka harufu kali sana ktk mwili wangu. Lkn watu wangu wa karibu wanasema hawaniskii lkn hata wanafunzi ambao niliwafundisha wanasema wanasikia harufu

  • @danielamosi2553
    @danielamosi2553 3 ปีที่แล้ว +1

    Mimi niwa thamani sana

  • @samkaranja7869
    @samkaranja7869 2 ปีที่แล้ว

    Keen learner from Kenya bro you give the best as for this has risen back my confidence ...bravo

  • @salmashoo8100
    @salmashoo8100 3 ปีที่แล้ว

    Hiii namba mbili mwanangu kabisa ana tabia hizi

  • @rodneyexavery311
    @rodneyexavery311 3 ปีที่แล้ว +1

    Boss zangu walichangia kiharibu kujiamini kwangu waliacha majeraha makubwa xana