kuna site inaitwa new economic thinking kuna prof anaelezea vzr kuhsusu kufankiwa kwa Russia licha ya vikwazo alivowekewa na aliwaambia wale watu ambao walikuwa na dhamana ya kuandaa hvo vikwazo pale Princeton
Fun fact: Putin ndio Rais pekee alotoka na ndege ya kivita nchini kwake akaingia Chechnya akapiga akiwa peke yake na akarudi moscow akiwa salama.😂😂 So ndio mana wamarekani hawamsomi huyu mtu tangia kuzaliwa kwake mpaka alipofikia.
Sky , alli na sma bado ni wachanga sana kwenye uchambuzi wa maswala ya siasa za kimataifa , mnalisha watu matango pori kila wakati !!! Please if don't clear evidence don't talk
Tunajaribu kumshauri Mama waziri yoyote mpe miezi sita tu hadilivery unamtoa mpk utapata watu loyality kwa nchi yao na kwambia tena na tena achana na bwawa la nyerere weka umeme wa neclear hiyo ndio itakuwa legacy yako utakumkbukwa maisha yako yote na utakijenga mpakani baina ya uganda na kenya or baina malawi na zambia or baina na Burundi Rwanda na Congo hiyo ndio habari
Sky naomba tujue vile zao la cannibes (mbangi) linavyochukuliwa urudi je,halihusiki katika uchumi wa urudi naomba utuletee nalala Kwa kuwa mi ni miongoni mwa watanzania naamini zao hili Lina utajiri ambao nchi masikini tunashindwa kuliheshimu kutokana na kuwa ndani ya box la Elimu dharimu tuliyoanzishiwa na wamagharibi,wakati wao USA,CANADA wanapiga mapesa kibao kutokana na zao hili la cannabis
Urusi gharama za vita imekuwa kubwa hivyo belousov amewekwa kwa sababu kuu mbili kudhibiti matumizi ya kijeshi pia kuandaliwa Kuendeleza utawala wa communist maana Kuna allegations za rushwa kutoka kwa FSB
Asante sana sns❤❤ mnafanya tuifaham vizuri Russia 🇷🇺 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Mnaelimisha jamii vizuri sana
Sky,Ali na Sma..nyinyi ni zaidi ya akili mpo sawa Sana kiuchambuzi .Allah awalinde na hasad
Timu Putin tujuane🎉
DJ. smaa hongera sana mungu akubarik ukichelewa kuja hewani tunaumwa elimu yako cyoyakawaida zanzibar tupo na wewe sns ipojuu
🙏
Asee Hii combination asee naielewaa snaaa aseee Congole kwenuuu
Truly SNS is something else, this is knowledge, U inform us more deeply. Cheers @bro sky @Sma
Asante kwa analyses zenu kbsa...ongera...
Asanti kwa kutupa news za vita ya urusi na inchi za magharibi
From USA boston Massachusetts
Best of the best team ya watu wa 3 mahodari wamekutana kutupa elimu acha tupokee madini
Big up sana sns
Hapa patamu san kw kweli Dj Sma +Aly masubi yaani lazim uondoke na kitu akilini jinsi dunia inavokwenda❤❤❤ big up
good work sns
Very interesting channel to watch, i never happened to join a college but i feel like I'm learning alot in this channel
Kwa nn hamtoi uchambuzi wa vita ya Congo
Mko vizuli sana sns
wakuu mnajua kuchambua mnatoa lishe bora za kisiasa
Wachumi wa serikali za bongo uchumi wao nikuongeza kodi za mafuta,mabando na kuuza rasilimali za taifa😂
Labda NDIO mitaala y uchumi unaofundishwa huko bongo
Uchambuzi mzuri sana.... wachana na shuigu ...ila Lavrov is the big deal
Cher's to you pipo much luv and respect ❤
Wa leo
Big up bros
Very good sky 👏👏👏
Uchambuzi wenu umenifungua n'a kujua mengi asante sana
Big up SnS
Tuletea hiyo maada vichwa 😢vitoe kutu ya mazoea
Dah chuma juu ya chuma sky we faysss
Punt baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺💪🇵🇸🇵🇸
Jamani natamani Putin aongoze mpaka 2050😭😭😭
Putin akimutoa mtu jeshini watu hawajaji ila kama ingukuwa Israel watu wangesema wamegawanyika acheni uchochezi wachambu maana watu wanakufa
Naisubiri iyo mada kwa hamu sana
kuna site inaitwa new economic thinking kuna prof anaelezea vzr kuhsusu kufankiwa kwa Russia licha ya vikwazo alivowekewa na aliwaambia wale watu ambao walikuwa na dhamana ya kuandaa hvo vikwazo pale Princeton
Dj usichangany engrish kwenye historia
Punguza chuki zako za kishamba kama una chukia iondoe sns maku wew
So, uyu ni mzuli kuliko shoigu au
Pumzika
Kwakweli😅😅😅😅
Fun fact: Putin ndio Rais pekee alotoka na ndege ya kivita nchini kwake akaingia Chechnya akapiga akiwa peke yake na akarudi moscow akiwa salama.😂😂 So ndio mana wamarekani hawamsomi huyu mtu tangia kuzaliwa kwake mpaka alipofikia.
Naomba mje na hii mada tujue waliweza vp kuvishinda vikwazo vyote hivyo???
Sky , alli na sma bado ni wachanga sana kwenye uchambuzi wa maswala ya siasa za kimataifa , mnalisha watu matango pori kila wakati !!! Please if don't clear evidence don't talk
Alishindwa match
Tujuzeni role ya India na unafki wake ndan ya BRICS
👊👍✌️.
Tunajaribu kumshauri Mama waziri yoyote mpe miezi sita tu hadilivery unamtoa mpk utapata watu loyality kwa nchi yao na kwambia tena na tena achana na bwawa la nyerere weka umeme wa neclear hiyo ndio itakuwa legacy yako utakumkbukwa maisha yako yote na utakijenga mpakani baina ya uganda na kenya or baina malawi na zambia or baina na Burundi Rwanda na Congo hiyo ndio habari
This triangle ninknomer sana SNS Hapa Sky kati Ali kule Dj esma aloo ni motrooo
Ali banaaa unaongea sana humpi nafas dj asmaa
Kweli ufisadi hauwezi kuisha mpaka Kwa puttin Kuna ufisadi pamoja na ubabe wake
Nyinyi, munachambuwa mukiegemeya sehemu moja
Kaegemee unakopenda wew
Kwa iyo ulitaka waende Kwa mashoga ndio waegemee
Alicho fanya Putin hakuna utofauti na kilicho fanyika. Israel kwa yule kiongozi wa majeshi
Sky naomba tujue vile zao la cannibes (mbangi) linavyochukuliwa urudi je,halihusiki katika uchumi wa urudi naomba utuletee nalala Kwa kuwa mi ni miongoni mwa watanzania naamini zao hili Lina utajiri ambao nchi masikini tunashindwa kuliheshimu kutokana na kuwa ndani ya box la Elimu dharimu tuliyoanzishiwa na wamagharibi,wakati wao USA,CANADA wanapiga mapesa kibao kutokana na zao hili la cannabis
Bangi Ina madhara sana, Lima hata Mahindi Rafiki yangu....Kenya na Sudani wanayahitaji sana.
Equal TRIANGLE ABC 😂😂❤❤ balaa like hapa sky dj sma aly masuby ogopa sasa "usicoment utumbo kama hujalewe eeh" new song harmonize bombocraa!!!
SNS mkojuu xana axee hongereni xana
Tuko pamoja na Russia 🇷🇺🇹🇿
241
Me Puttin namuunga mkono sana asilimia 100/
Wasemaje wa putin
Yani uwa siwaelewi kabisa ambacho uwa munaongelea.huyo jamaa ni mweu na ameshafail
Hapa kwetu control wa uchumi ni mwiguĺu, tutafika kweli?😅
😂
Haituhusu sisi waafrika na ufukara wetu
Lakini unachakujifunza kupitia urkain , atamsaliti akingia kuleta ufisadi utakua nachakujifunza 😂😂
Koma akuna ufukara africa ndoo maana atupigani
Urusi gharama za vita imekuwa kubwa hivyo belousov amewekwa kwa sababu kuu mbili kudhibiti matumizi ya kijeshi pia kuandaliwa Kuendeleza utawala wa communist maana Kuna allegations za rushwa kutoka kwa FSB
Me naipenda urusi naifatilia urusi kivita since 2022
Majina yao magumi ety mishostini
Mara shegu.
😂
Hata hill Jina lako la pili ukimwambia Mrusia ataje lazma atapike