Kwanini PUTIN amemtoa SHOIGU wizara ya ULINZI! Mfahamu BELOUSOV aliyemrithi, wanasema ni KICHWA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 พ.ค. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 75

  • @Zillionking627
    @Zillionking627 หลายเดือนก่อน +17

    Asante sana sns❤❤ mnafanya tuifaham vizuri Russia 🇷🇺 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @MussaKilongola-hm8xl
    @MussaKilongola-hm8xl หลายเดือนก่อน +12

    Mnaelimisha jamii vizuri sana

  • @user-gi2jv4kl7s
    @user-gi2jv4kl7s หลายเดือนก่อน +11

    Sky,Ali na Sma..nyinyi ni zaidi ya akili mpo sawa Sana kiuchambuzi .Allah awalinde na hasad

  • @Kituramohamed9698
    @Kituramohamed9698 หลายเดือนก่อน +16

    Timu Putin tujuane🎉

  • @user-nd7yd5gd1o
    @user-nd7yd5gd1o หลายเดือนก่อน +7

    DJ. smaa hongera sana mungu akubarik ukichelewa kuja hewani tunaumwa elimu yako cyoyakawaida zanzibar tupo na wewe sns ipojuu

    • @djsma255
      @djsma255 หลายเดือนก่อน +1

      🙏

  • @ismailjohn6108
    @ismailjohn6108 หลายเดือนก่อน +4

    Asee Hii combination asee naielewaa snaaa aseee Congole kwenuuu

  • @jacksonjudicate9388
    @jacksonjudicate9388 หลายเดือนก่อน +7

    Truly SNS is something else, this is knowledge, U inform us more deeply. Cheers @bro sky @Sma

  • @PatrickKagiraneza-ok8cw
    @PatrickKagiraneza-ok8cw หลายเดือนก่อน +3

    Asante kwa analyses zenu kbsa...ongera...

  • @user-ie3lw9eb6p
    @user-ie3lw9eb6p หลายเดือนก่อน +3

    Asanti kwa kutupa news za vita ya urusi na inchi za magharibi
    From USA boston Massachusetts

  • @MAHAN-099
    @MAHAN-099 หลายเดือนก่อน +4

    Best of the best team ya watu wa 3 mahodari wamekutana kutupa elimu acha tupokee madini

  • @noahlameck1564
    @noahlameck1564 หลายเดือนก่อน +3

    Big up sana sns

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 หลายเดือนก่อน +3

    Hapa patamu san kw kweli Dj Sma +Aly masubi yaani lazim uondoke na kitu akilini jinsi dunia inavokwenda❤❤❤ big up

  • @joshemman520
    @joshemman520 หลายเดือนก่อน +1

    good work sns

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 24 วันที่ผ่านมา

    Very interesting channel to watch, i never happened to join a college but i feel like I'm learning alot in this channel

  • @ernestfelixigonga9726
    @ernestfelixigonga9726 หลายเดือนก่อน +2

    Kwa nn hamtoi uchambuzi wa vita ya Congo

  • @salumadam2862
    @salumadam2862 หลายเดือนก่อน +3

    Mko vizuli sana sns

  • @bugusambalinga3603
    @bugusambalinga3603 หลายเดือนก่อน +3

    wakuu mnajua kuchambua mnatoa lishe bora za kisiasa

  • @user-gx4jx4gv9l
    @user-gx4jx4gv9l หลายเดือนก่อน +4

    Wachumi wa serikali za bongo uchumi wao nikuongeza kodi za mafuta,mabando na kuuza rasilimali za taifa😂

    • @JuliusSenyael-ej6hg
      @JuliusSenyael-ej6hg หลายเดือนก่อน

      Labda NDIO mitaala y uchumi unaofundishwa huko bongo

  • @evansogutu4167
    @evansogutu4167 หลายเดือนก่อน +1

    Uchambuzi mzuri sana.... wachana na shuigu ...ila Lavrov is the big deal

  • @evansogutu4167
    @evansogutu4167 หลายเดือนก่อน

    Cher's to you pipo much luv and respect ❤

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 หลายเดือนก่อน +2

    Wa leo

  • @radjamtaki5597
    @radjamtaki5597 หลายเดือนก่อน +1

    Big up bros

  • @chachajulius4481
    @chachajulius4481 หลายเดือนก่อน

    Very good sky 👏👏👏

  • @user-eb8de8qq7t
    @user-eb8de8qq7t หลายเดือนก่อน

    Uchambuzi wenu umenifungua n'a kujua mengi asante sana

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 หลายเดือนก่อน

    Big up SnS

  • @user-dg7wf6fg2j
    @user-dg7wf6fg2j หลายเดือนก่อน +2

    Tuletea hiyo maada vichwa 😢vitoe kutu ya mazoea

  • @GeorgeMagadula
    @GeorgeMagadula หลายเดือนก่อน +1

    Dah chuma juu ya chuma sky we faysss

  • @hassangaddafi2347
    @hassangaddafi2347 หลายเดือนก่อน +2

    Punt baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺💪🇵🇸🇵🇸

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km หลายเดือนก่อน +1

    Jamani natamani Putin aongoze mpaka 2050😭😭😭

  • @EzekiaMyila
    @EzekiaMyila หลายเดือนก่อน +1

    Putin akimutoa mtu jeshini watu hawajaji ila kama ingukuwa Israel watu wangesema wamegawanyika acheni uchochezi wachambu maana watu wanakufa

  • @michaelmatonange630
    @michaelmatonange630 หลายเดือนก่อน

    Naisubiri iyo mada kwa hamu sana

  • @Maua-pg5gl
    @Maua-pg5gl หลายเดือนก่อน +1

    kuna site inaitwa new economic thinking kuna prof anaelezea vzr kuhsusu kufankiwa kwa Russia licha ya vikwazo alivowekewa na aliwaambia wale watu ambao walikuwa na dhamana ya kuandaa hvo vikwazo pale Princeton

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 หลายเดือนก่อน +1

    Dj usichangany engrish kwenye historia

  • @danielwilliam9758
    @danielwilliam9758 หลายเดือนก่อน +4

    So, uyu ni mzuli kuliko shoigu au

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 หลายเดือนก่อน +2

    Fun fact: Putin ndio Rais pekee alotoka na ndege ya kivita nchini kwake akaingia Chechnya akapiga akiwa peke yake na akarudi moscow akiwa salama.😂😂 So ndio mana wamarekani hawamsomi huyu mtu tangia kuzaliwa kwake mpaka alipofikia.

  • @user-cn9br7en7w
    @user-cn9br7en7w หลายเดือนก่อน +1

    Naomba mje na hii mada tujue waliweza vp kuvishinda vikwazo vyote hivyo???

  • @charlesassey5642
    @charlesassey5642 21 วันที่ผ่านมา

    Sky , alli na sma bado ni wachanga sana kwenye uchambuzi wa maswala ya siasa za kimataifa , mnalisha watu matango pori kila wakati !!! Please if don't clear evidence don't talk

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 หลายเดือนก่อน

    Alishindwa match

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 หลายเดือนก่อน

    Tujuzeni role ya India na unafki wake ndan ya BRICS

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything หลายเดือนก่อน

    👊👍✌️.

  • @SAMA-jw4fr
    @SAMA-jw4fr หลายเดือนก่อน

    Tunajaribu kumshauri Mama waziri yoyote mpe miezi sita tu hadilivery unamtoa mpk utapata watu loyality kwa nchi yao na kwambia tena na tena achana na bwawa la nyerere weka umeme wa neclear hiyo ndio itakuwa legacy yako utakumkbukwa maisha yako yote na utakijenga mpakani baina ya uganda na kenya or baina malawi na zambia or baina na Burundi Rwanda na Congo hiyo ndio habari

  • @bensonphilip9673
    @bensonphilip9673 หลายเดือนก่อน

    This triangle ninknomer sana SNS Hapa Sky kati Ali kule Dj esma aloo ni motrooo

  • @lameckraphael3743
    @lameckraphael3743 หลายเดือนก่อน

    Ali banaaa unaongea sana humpi nafas dj asmaa

  • @hadjiMbugi-iu4eg
    @hadjiMbugi-iu4eg 27 วันที่ผ่านมา

    Kweli ufisadi hauwezi kuisha mpaka Kwa puttin Kuna ufisadi pamoja na ubabe wake

  • @Elizabeth-gq9kl
    @Elizabeth-gq9kl หลายเดือนก่อน

    Nyinyi, munachambuwa mukiegemeya sehemu moja

  • @GabrielSky64
    @GabrielSky64 หลายเดือนก่อน

    Alicho fanya Putin hakuna utofauti na kilicho fanyika. Israel kwa yule kiongozi wa majeshi

  • @bodyaman
    @bodyaman หลายเดือนก่อน +1

    Sky naomba tujue vile zao la cannibes (mbangi) linavyochukuliwa urudi je,halihusiki katika uchumi wa urudi naomba utuletee nalala Kwa kuwa mi ni miongoni mwa watanzania naamini zao hili Lina utajiri ambao nchi masikini tunashindwa kuliheshimu kutokana na kuwa ndani ya box la Elimu dharimu tuliyoanzishiwa na wamagharibi,wakati wao USA,CANADA wanapiga mapesa kibao kutokana na zao hili la cannabis

    • @lucasmartin431
      @lucasmartin431 หลายเดือนก่อน

      Bangi Ina madhara sana, Lima hata Mahindi Rafiki yangu....Kenya na Sudani wanayahitaji sana.

  • @user-rt1wf6se5f
    @user-rt1wf6se5f หลายเดือนก่อน

    Equal TRIANGLE ABC 😂😂❤❤ balaa like hapa sky dj sma aly masuby ogopa sasa "usicoment utumbo kama hujalewe eeh" new song harmonize bombocraa!!!

  • @husseinhemedi9314
    @husseinhemedi9314 หลายเดือนก่อน

    SNS mkojuu xana axee hongereni xana
    Tuko pamoja na Russia 🇷🇺🇹🇿

  • @UpendoSalum-uo3zl
    @UpendoSalum-uo3zl หลายเดือนก่อน

    241

  • @user-xc6ls9xn8h
    @user-xc6ls9xn8h หลายเดือนก่อน

    Me Puttin namuunga mkono sana asilimia 100/

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 หลายเดือนก่อน

    Wasemaje wa putin

  • @justicebridge
    @justicebridge หลายเดือนก่อน

    Yani uwa siwaelewi kabisa ambacho uwa munaongelea.huyo jamaa ni mweu na ameshafail

  • @ErickMapunda-pr1ex
    @ErickMapunda-pr1ex หลายเดือนก่อน

    Hapa kwetu control wa uchumi ni mwiguĺu, tutafika kweli?😅

    • @5G-wr5vz
      @5G-wr5vz 4 วันที่ผ่านมา

      😂

  • @NicoleMakaveli-wr6mm
    @NicoleMakaveli-wr6mm หลายเดือนก่อน

    Haituhusu sisi waafrika na ufukara wetu

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 หลายเดือนก่อน

      Lakini unachakujifunza kupitia urkain , atamsaliti akingia kuleta ufisadi utakua nachakujifunza 😂😂

    • @aishaarusha894
      @aishaarusha894 หลายเดือนก่อน

      Koma akuna ufukara africa ndoo maana atupigani

  • @Abninimo.
    @Abninimo. หลายเดือนก่อน

    Urusi gharama za vita imekuwa kubwa hivyo belousov amewekwa kwa sababu kuu mbili kudhibiti matumizi ya kijeshi pia kuandaliwa Kuendeleza utawala wa communist maana Kuna allegations za rushwa kutoka kwa FSB

  • @BarakerZeonlist
    @BarakerZeonlist หลายเดือนก่อน

    Me naipenda urusi naifatilia urusi kivita since 2022

  • @HowardKitamkanga
    @HowardKitamkanga หลายเดือนก่อน

    Majina yao magumi ety mishostini
    Mara shegu.
    😂

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 หลายเดือนก่อน

      Hata hill Jina lako la pili ukimwambia Mrusia ataje lazma atapike