Hongereni kwa kazi nzuriiii na sio nzuriiii tu Bali nzuriiii Sana Mungu awabariki na kuzidi kuwatia Nguvu, Neema na baraka zake zikazidi kuwa juu yenu I love you all St. Joseph Family, Keep on shining forever and ever 🎉🎉❤❤❤❤
Jaman hongera kwa mtunzi,media mliyotumia kwenye maono hadi masikizi sauti zimetulia,,dada angu mecktilda endelea kumtukuza Mungu kwa njia ya uimbaji,naona saut yako inazid kuacha mbegu na kwa wenzio.
Hongereni kwa kazi nzuriiii na sio nzuriiii tu Bali nzuriiii Sana Mungu awabariki na kuzidi kuwatia Nguvu, Neema na baraka zake zikazidi kuwa juu yenu I love you all St. Joseph Family, Keep on shining forever and ever 🎉🎉❤❤❤❤
Mungu awabariki wanakwaya wote wa mwecau mbarikiwe sana
Hongereni sana wanakwaya. Mnazidi kuiheahimisha St Joseph Mwecau
Wimbo wenye ujumbe mzuri hongereni sana wanakwaya mwecau
Mungu awabariki kwa ujumbe mzitomliotupaa sisi
Hongereni sana kazi mzuri❤
Hakika ni ujumbe mzito hasa kwa kipindii hiki cha kwaresmaaaaa🎉🎉
Mungu awabariki sanaa jamani kupitia utume wenu tunazidi kupata baraka na neema za Mungu hakika Mungu atukuzwe kwa kazi yenu🙏🙏🙏🙏
Ni wimbo mzuri sana na tafakari nzuri
Tuutumie vzr kwa tafakari ya kina tutabarikiwa nao🎉🎉
Endelea kuitangaza injili Wana Mwecau🙏🙏
Kazi nzuri hongereni st Joseph
Good work,, St. Joseph choir
Hongereni kwa KAZI nzuri ya utume
Mungu amejaa huruma tumpende tumtumikie ...
Hongereni St Joseph Choir
Mwenyezi Mungu awatunze wote walioshiriki kuandaa na kutoa kazi hii❤
Asanteni kwa wimbo mzuri wenye tafakari🎉🎉🎉Mungu wetu amajaa fadhili🙏🏻🙏🏻
Hakika ni mwenye huruma❤
🤗🤗 kwa wimbo huu na stress kwisha💒
Kwa hakika ni mwingi wa huruma na neema, be blessed St Joseph mwecau, Mungu azikumbuke sadaka zenu wapendwa
Kazi nzuri sanaaaaaaa
Hongereni sana 🙏🙏 good work be blessed all 🙏🙏
Be blessed Sana mmenibariki Sana ,Maana kweli Mungu wetu ni mwenye huruma 🙏
Kazi nzuri
Kazi nzuri sana
Hongereni Sana mungu awabariki
❤nicee🎉
Kazi nzurii mbarikiwe sanaa❤🎉
Kazi njema kwenu
Mungu awaongoze muendelee kumtumikia siku zote 🎉 pamoja sana
Cool and awesome lyrics
Hongereni kwa kazi nzuriiii na sio nzuriiii tu Bali nzuriiii Sana
Mungu awabariki na kuzidi kuwatia Nguvu, Neema na baraka zake zikazidi kuwa juu yenu
I love you all St. Joseph Family, Keep on shining forever and ever 🎉🎉❤❤❤❤
ni wimbo mzuri sana mbarikiwe kwa kututafakarisha
Kazi iliyotukuka❤
Congratulations 👏 st.Joseph choir MWECAU, Mungu awabariki sana kwa kazi nzuri ya uimbaji.
Mungu awabariki kwa kazi nzuri mnayoifanya 🙏🙏🙏
Sema kumuimbia Mungu Kuna Raha yake sababu unakuwa unasali, wimbo mzuri sana
mwenyezi mungu awabariki kwa kujitolea kumtumikia kwa njia ya uimbaji.
Hongereni kwa wimbo mzuri
🎉🎉
Hongereni sana
Hongereni sana vijana 2:24
Hongereni wimbo mzuriiiii sana na wakutafakarisha
Mungu awabariki muendelee kuifanya kazi yake🙏
Mungu azidi kuwabariki na muombe Mpaka mbinguni
Wimbo mzuri sana
Mungu awabariki kwa utume
Mbarikiwe sana kwa kazi nzuri 👏
Moyo unafarijika saana kuona kazi safi namna hii hii. Mbarikiwe sana wanakwaya Mwecau. Mpewe maua yenu 🎉🎉
Matunda yenu Br Kadete🎉🎉
Mungu awabariki daima
Congratulation to st Joseph choir mwecau for releasing the best song
hongereni wana mwecau
Namshukuru Mungu kwaajili yenu wana kwaya kazi nzuri sana👍
Congratulations st. Joseph choir mwecau
Mungu aendelee kuwatumia kadri apendavyo Amenii!!🙏
Hakika Mungu ashukuriwe kwa jinsi alivyo mkuu kazi nzuri Sana naamin itafika mbali
waooh
Kazii nzurii sana 👏👏
Nice song dear
❤ nice
Asanteni tunabarikiwa zaidi na kazi nzuri
Blessed 🙏
More than feelings
Good song with strong feelings and full grace of God be blessed st. Joseph Choir Mwecau
Congratulations 👏👏👏
MWECAU, MWALIMU KIDESU MMEUPIGA MWINGI HONGERENI👏
Nice song be blessed with full of grace by teddy from st Joseph mwecau ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Jaman hongera kwa mtunzi,media mliyotumia kwenye maono hadi masikizi sauti zimetulia,,dada angu mecktilda endelea kumtukuza Mungu kwa njia ya uimbaji,naona saut yako inazid kuacha mbegu na kwa wenzio.
congratulations st Joseph Kwa nyimbo nzr Mungu awabarik sana ❤
Hongereni sana wapendwa kwa uinjilishaji.Huu wimbo ni mzuri na umenikosha moyo.❤
Kazi nzuri sana hongereni St.Joseph🙏
Bila huruma ya Mungu hatuwezi kitu wanadamu, hongereni sana kwa ujumbe mzito
God bless st Joseph choir mwecau❤❤❤
Mungu na abariki kazi hii njema daima
Waoooooh nicee work Mungu awabariki na kuwatunza daima st Joseph mwecau
Nyimbo nzuri yenye ujumbe wa kiroho katika kipindi hiki cha kwaresema, good job st Joseph choir
Mungu azid kuwabariki kwa kazi nzuri,,,wimbo umenena ujumbe mzito na tafakari kuu
Mungu awabariki na kuwatunza St Joseph mwecau
Mungu mwenye huruma aendelee kututunza
Tubarikiwe sote🔥🔥🔥🕊️
Mungu awabariki sana kwa kazi mliyoiandaa tafakari nzuri
Kazi nzuriii kwa mtunzi na waimbaji ❤🎉 unajua na kujua tena maestro kidesu
Ubarikiwe mpendwa
kazi safi❤
Good job
Mubarikiwe sana watu wa mungu
Mfike mbali
🙏❤️🥰
🎉🎉🎉
❤❤
Hongereni kwa wimbo mzuri
Ubarikiwe sanaa
Kazi nzuri sanaaaaa
Mungu awaongoze muendelee kumtumikia siku zote 🎉 pamoja sana
Hongereni kwa kazi nzuriiii na sio nzuriiii tu Bali nzuriiii Sana
Mungu awabariki na kuzidi kuwatia Nguvu, Neema na baraka zake zikazidi kuwa juu yenu
I love you all St. Joseph Family, Keep on shining forever and ever 🎉🎉❤❤❤❤
Mpangilio mzuri sana
Kazi nzuri sana
Blessed❤