Wewe mzee hufai mimi nimeolewa umli mdogo na kuna anaeolewa umli mkubwa mimi sioni tofauti mwanamke anaemcha mungu ndio sili ya ushindi katika ndoa hakuna cha umli wala nini kama mwanamke una umli mkubwa hujapata mme sahihi subili mungu atakupa mme mwema usisikilize l swaga za huyu babu
Eti miaka 30 katumika sana. Nyie mbna ndio mnatumika tangu kubalehe na hatusemi. Mijanaume inajifanya mitakatifu na wakati ndo wachafu balaa. Halafu Wee mzee ulioa wa 30+ ili ulelewe ukakutana na mwanamke mwenye utimamu ukapelekeshwa na ukaaachwa ndo maana una uchungu nao.
Watu kama hawa ndio wanafanya watu wakate tamaa na kuchukua maamuzi magumu ya kujitoa uhai wahoo Maana wanaona kama hawana bahati. Huu wakati wakutia watu moyo na kuwapa amani wamwamini Mungu.
Kuna kipindi mnapenda kuuza sura kwenye TV mjulikane huku mnaongea ushuzi tu ng'ombe nyinyi nae dada kakutegea sikio tu mtameza na mataptap kila elimu mna baba tu uzuri wa mke au mume uko machoni pa mwenza wake' kuku wewe.
mjinga jamani huyu mzee,kuna wale wachaga wanatafuta gakwanza,ndoa baadae,na wanavutia sn,kwasababu wanakuwa na mali zao tayari hawataki kuwa tegemez,kumbe wanakosea
Mimi sijapenda kila mwanamke ana haki ya kuolewa kuna wengine wanaolewa hata na miaka 40. Tutumie lugha ya staha kujadili watu, wanawake wanapitia changamoto nyingi na kuna wengine kweli wana shida sana lakini bado tujadili watu kwa staha
Wewe babu sio mzima unavyoonekana ni mnyanya saji wa wawanawake wewe mzee hufai inaonekana unapenda vibinti kwani mwanamke akiwa na umli wa miaka 30 lazima awe malaya kwa kweli hufai ualimu wewe muhuni
Huyo babu inaonekana ana mgogolo na bi mkubwa wake ndio maana anajilipiza kisasi kwa wanawake wenye miaka 30na kuzidi maana anaonekaka ana chuki binafsi
Mzee umeongea kweli kabisa ndio yalipo Kwa hao wanawake waliopita na wanaume wengi hatari sanaa ni kama Simba aliejeruhiwa ana makovu yaliyopita wanaume angalia sanaa
Ila jamani tafuteni watu wakuwahoji siyo kila mtu anafaa kwa mambo kama haya kwa sababu tunahitaji kujifunza na kuelimishwa sasa mtu kama hana hata utafiti sahihi jamani duh😢😢 au kashtukizwa wawe wanajipanga😂😂😂
ELIMU NZURI SANA , Ni Kweli huyo ni nyati aliyejeruhiwa, mwingine wakati wa faragha anataja majina mengine mpaka ya madalali . mkizenguana kidogo tu utasikia unaambiwa ww hauko kama furani..😀😀,
Hivi huyu mzee anafahamu madhara ya ushauri anaotoa kwa umma? Athari kwa wasichana wa umri huo wa 30 na zaidi wanao ngoja na kuvumulia kwa kuulinda usichana wao ili kupata wanaume sahihi kwa maisha yao?
Sasa na huyu boss wangu yuko na 31 na ndio anataka kuolewa sahii na hajawai kutana na mwanaume yeyote niseme nini 😂😂😂gulf sio Tanzania hapa wanaolewa na 35++
Huwezi kufundisha mahusiano kwa kukusamya mafaili ya walioshindwa kama wewe wanaojianika kwenye mitandao kufeli kwao hapo utapotosha tu mzee unaongea kama vile una bifu na x wako bi mkubwa unampa mipasho kwa mgongo wa chupa hapo hakuna fundisho babu umefeli
That's human wisdom, God has his time, I got mine after 40 and we are doing great.
Jamani hizi interview nyingine duuu!
Nadhani mzee huyu anahitaji kujiridhisha na utafiti wake.
Hayuko sawaa kbs kichwani... Nonsense
APO MZEE LAZMA UTUKANWE😊😊,,KIUKWELI
Sio kila mzee alie zeeka ana busara,wengine ni wahuni waliozeeka
Haswaaa
Kabisaaa😅😅😅 nonsense
Your daughters will pass through the same experience. Pray
Mke mwema anatoka kwa Mungu,awe mcha Mungu tu na aweze kumtii mumewe bila kujali umri ilimradi tu aweze kuzaa just 30-35 good
Anauchungu sana huyu mzee😅😅😅
30+ Kwa asilimia ukubwa ni wanawake ambao wako tayari kukaa kwenye ndoa baada ya kipindi Cha utoto kwisha,ukibahatika kupata mchamungu umepata mke
Sio utoto kuisha sema baada ya kutumka sana
Kwelie kabisa
@@mariamodaalimadionisio-xd1xw kweli wapi baada yakuruka ruka huko ndio anatafuta pakustaafia
Khalafu
Hakuna mcha Mungu hapo, ni kwamba kabadilisha aina ya maisha kufanikisha alichoshindwa kupata enzi ya usichana wake...
Ukweli unauma ndo maana mzee anatupiwa matusi mengi😆😆😆😆😆
Mzee we fala sana sura mbayaà
Wee mzee ni mchawi haswaa si kwa maneno yako mabovu
Kwanini? Si ni ukweli anavyosema?
Ni kweli group O hawana matumiz mazur ya pesa na wanapenda sana kununua nguo😂😂😂
Wewe mzee hufai mimi nimeolewa umli mdogo na kuna anaeolewa umli mkubwa mimi sioni tofauti mwanamke anaemcha mungu ndio sili ya ushindi katika ndoa hakuna cha umli wala nini kama mwanamke una umli mkubwa hujapata mme sahihi subili mungu atakupa mme mwema usisikilize l swaga za huyu babu
Acha hasiri
Ivi wapo wanawake wanaomcha Mungu mi nimewaona wanamcha Mungu pesa hawa wa Mungu sijawaona
@@JeremiahMwalukosyamwagona ?
Msikilize vizuri utamuelewa anaongea ukweli mtupu
Wakati wanamcha Mungu nani anawafanya si wazinzi tu hao tuko nao makanisani Bwana Yesu Asifiwe kumbe kapepo kamalaya balaaa
Lizee ovyo Sana, kichwani ziro.
😂😂😂🎉
Eti miaka 30 katumika sana. Nyie mbna ndio mnatumika tangu kubalehe na hatusemi. Mijanaume inajifanya mitakatifu na wakati ndo wachafu balaa.
Halafu Wee mzee ulioa wa 30+ ili ulelewe ukakutana na mwanamke mwenye utimamu ukapelekeshwa na ukaaachwa ndo maana una uchungu nao.
Acha kupotosha watoto wa wañaume wenzio we mzee
Huyo mwanaume anayeandika nne na kukata viuno kikao cha mwisho hakuwepo awe anahudhuria vikao
Shindwa mchafu sana una mdomo mchafu hasa kwenye umri
Bite nimecheka sana comment yako😂😂
In the West, they get married very early. They even say that at 30 you are old and late for children.
Huyu bb hajielewa wengine sio uwazavyo bb khaaaaaa
Were mzee mpu
Mbavu sana
Maneno unayo ongea ni ukweli mtupu👏
Yategemea me mbona nimeolewa Wacha kuvunja Wana wake moyo 😂😂😂😂
Wemzee sio kila mwanake mwenye miaka 30 alitumika chunga kauli yako kalime kama una kazi yakufanya
Mpumbavu kbs
Mimi ni group O lakini sina hizo tabia
Chenz kabisa 😂😂wapedozi mzeebaba
Watu kama hawa ndio wanafanya watu wakate tamaa na kuchukua maamuzi magumu ya kujitoa uhai wahoo
Maana wanaona kama hawana bahati.
Huu wakati wakutia watu moyo na kuwapa amani wamwamini Mungu.
Kwa nini ujiue kwa sababu ya jitu pumbavu kama hili. Mijitu kama hii hatuipi airtime hata kidogo.
we baba wee watake radhi hao wanawake wa 30+
Kila mjinga anawajiga wake kw hyo mzee wapo wanaokuelewa wajiga wenzio
@Richard James kbs wajinga wenzie ndo watamuunga mkono
Kuna kipindi mnapenda kuuza sura kwenye TV mjulikane huku mnaongea ushuzi tu ng'ombe nyinyi nae dada kakutegea sikio tu mtameza na mataptap kila elimu mna baba tu uzuri wa mke au mume uko machoni pa mwenza wake' kuku wewe.
awamu hii umeibgea utumbo we mzee
Kwenye chama chetu uwabata tumejadili tumeona unafaa kutuongoza kaka sie wanaume tunapitia mengi
Anafaa kwakweli
Kwel miaka 30 kwel unaowa mwanamkee ni upuuz huoo. Baada ya miaka 5 ameshakuwa bibi kizee
Wakati huo wewe umri wako hauongezeki siooo @@Teacher_01
Sahihi sana.
Huyu mzee nahisi anagombea uenyekiti UWABATA
😅😅😅kwahyo watu wa35 ni wazee labda wa huko kwenu huku kwetu mdada wa30s ni kma 20s tu@@Teacher_01
Tumependa mafundisho yako kaka roy tulisishe madini ayo
Wacha nisiseme kitu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Yuko vizuri sana,wape nondo hata kama hawataki
mjinga jamani huyu mzee,kuna wale wachaga wanatafuta gakwanza,ndoa baadae,na wanavutia sn,kwasababu wanakuwa na mali zao tayari hawataki kuwa tegemez,kumbe wanakosea
Da!!😂😂😂😂Sijui Hata Nacheka Nn..🚶🚶🚶
Hujielewi kama umekosa la kuongea si ukae nyumbani unasema miaka 30 wamepitia wanaume wengi wewe umepitia wangapi una kufuru kwa Mungu Omba Toba
Hapo kwenye kuomba nauli umenikwaza sasa nisipomuomba mume wangu nimuombe nan
Huna busara mzee mzee wa ovyo wa mwanzoni mwa mwaka
Mzee wewe ni genios 100%
Kha ww mzee tutolee uchuro
We mzee kama ulitendwa na 30+ ni huyo sio wote. Mpuuzi wewe sio Mungu.
Tuwe makini na hii mitandao
Mimi sijapenda kila mwanamke ana haki ya kuolewa kuna wengine wanaolewa hata na miaka 40. Tutumie lugha ya staha kujadili watu, wanawake wanapitia changamoto nyingi na kuna wengine kweli wana shida sana lakini bado tujadili watu kwa staha
Miaka yote hiyo mpaka anafika 30 alikuwa wapi kuolewa?😮
Kwani kuolewa ndio Nini watu tunatafuta pesa halafu wajinga tukishajenga tuwaweke ndani maana hamjielewi Sasa subilini
@@tinnahagustinolyelu4247 wengi wenu mna 30+ na hamjaolewa na hamna pesa poleni full 😩
@@ToshaMillalikuwa na baba yako
@@lydiadaudi4076 we nawe kibibi alafu hujaolewa,
mwenyewe kashavurugwa, mtapotezwa ndg zangu
Ukisikia msemo unasema mu2 mzima kisoda ndio huyu sas .
Mhhh ama kweli huyu mzee anawafunda wengi
Kwanza kabila gan huyu Mzee mwenzangu , Half muwe mnawwpima watu akili ndio mnawafanyia Interview 😉
Ametafuta la kuongea akuona sasa yuaongea upuzi tu sijui yuatoka wapi
We Mzee japo unaongea ukweli, tayarijia matusi mengi kutoka kwa hao 30+
Huo ujinga anaoongea na huyo dada kakaa anamsikiliza eti
Mzima sana kuliko kawaida ila sasa inatakiwa uwe tayari kupokea ukweli na ukubaliane nayo poa uwe tayari kukubali ukweli
Kweliii😂😂😂😂😂😂. Huyuu mzeee mpuuuzii
Wewe babu sio mzima unavyoonekana ni mnyanya saji wa wawanawake wewe mzee hufai inaonekana unapenda vibinti kwani mwanamke akiwa na umli wa miaka 30 lazima awe malaya kwa kweli hufai ualimu wewe muhuni
Lkn kama sio ukwelii kwanini mchukie
😂😂😂😂 umepanik sio
Miaka 30 unaowa nin hapo.. au unaamua kumsaidia TU.
Inakusu ndomaana unakadirika
Huyo babu inaonekana ana mgogolo na bi mkubwa wake ndio maana anajilipiza kisasi kwa wanawake wenye miaka 30na kuzidi maana anaonekaka ana chuki binafsi
Leo huyo dada katulia au siyo yule mapepe wakuingilia mazungumzo
Anakeraga yule😅 mpk jamaa anaamuaga kuendelea kuongea katika mwingiliano
Mshukuru Mungu kwamba wewe umekamilika kwa kila jambo
Wewe uamasishi bali wapotosha
Comments ni dhahiri kuna waliopigwa na mawe gizani,,,, si kwa mapovu haya 🤣🤣
Mzee umeongea kweli kabisa ndio yalipo Kwa hao wanawake waliopita na wanaume wengi hatari sanaa ni kama Simba aliejeruhiwa ana makovu yaliyopita wanaume angalia sanaa
Weeee mzee una mapepo sio akili yako, huna maana kwenye jamii
MZEE NIMEMUELEWA 🔥🔥😁
Ila jamani tafuteni watu wakuwahoji siyo kila mtu anafaa kwa mambo kama haya kwa sababu tunahitaji kujifunza na kuelimishwa sasa mtu kama hana hata utafiti sahihi jamani duh😢😢 au kashtukizwa wawe wanajipanga😂😂😂
Ukwl unamgusa mtu
Umenena kweliii sana
😂😂😂😂😂😂 huyu jamaa bana
Ww mzee mpuuz na meneno ulonena yatarud kwenye kizaz chako me naamini wakt wa mungu ndo sahihi ww jigambe tu
Msenge wewe
Mzee kobe
Wewe mzee umeoza ubongo,ungekuwa chombo cha moto unafaa upelekwe kwa scrap dealers
Mze mitano tena
😂😂😂
Yaan ww mzee haufai
Are you over 30?
Hata nabii tito alianzaga hivi hivi
ELIMU NZURI SANA , Ni Kweli huyo ni nyati aliyejeruhiwa, mwingine wakati wa faragha anataja majina mengine mpaka ya madalali . mkizenguana kidogo tu utasikia unaambiwa ww hauko kama furani..😀😀,
Kwakweli
Nyoooo
Hizo sababu ni za mwanaume asiyejiamini
Umejaa upuuzi kichwani! Uvundo mtupu, huna kitabu. Jin ga kabisa
😂🎉 mbona Binti wake ameachika na ana miaka 27
Wewe sokwe mutu sikupendi
😂😂😂 umepanik
We dada ukweli huutaki
Nimecheka nusu ya kufa, ogopa kucheka bila kutoa sauti huku ukibubujikwa na machozi 😅😅😅😅
Tafuta bwana uolewe ww acha makasiriko 😂😂
Hivi huyu mzee anafahamu madhara ya ushauri anaotoa kwa umma? Athari kwa wasichana wa umri huo wa 30 na zaidi wanao ngoja na kuvumulia kwa kuulinda usichana wao ili kupata wanaume sahihi kwa maisha yao?
Ikikize kinaingeya kamakicawi vile
Subiri binti zako wakifika miaka 30 uwashauri wasiolewe tena. Hujui kuongea na jamii wewe mzee. Hekima huna.
We mzee hujielewi usifikiri wanawake wote wanafanana tabia
Umetisha mzee upo really
Mbona umeficha sura
Mze shikamoo
Vipi watu wa group A+ Wakoje nao tunaomba kaka utueleze pia
Sasa na huyu boss wangu yuko na 31 na ndio anataka kuolewa sahii na hajawai kutana na mwanaume yeyote niseme nini 😂😂😂gulf sio Tanzania hapa wanaolewa na 35++
@@AyiokaVedinas niunganishe nimuoe
Hyo ni mihemko yako inayoona karibu mi nakupinga hilo hata kama sina umri huo
Huwezi kufundisha mahusiano kwa kukusamya mafaili ya walioshindwa kama wewe wanaojianika kwenye mitandao kufeli kwao hapo utapotosha tu mzee unaongea kama vile una bifu na x wako bi mkubwa unampa mipasho kwa mgongo wa chupa hapo hakuna fundisho babu umefeli
Wanawake wenye miaka 30 na zaidi ambao hawajaolewa ndio wanaopinga huyu mzee .yupo sahihi kabisa
You said the truth. People do not want to hear the real truth.
Akili zako ziko matakon😂😂😂😂😂😂😂unekunya akili zote umebakia na mavi kichwani,
Ovyooooo
Huyu mzee ni mpumbavu daaah 1:33
Hahaha ukweli unauma wape dozi baba
wakati wa MUNGU pekee ndio sahihi , hata kama ni miaka 50
Wacha ujinga kuna watu wamekaa miaka 45 na wametulia na wameolewa acheni kujifanya miungu watu
Ukweli mchungu
Kwani ukioa wa miaka 19 akifika 30 inakuwaje apo? Au unaach unatafuta tena wa muaka 19 tueleweshe hapk
Ukioa wa miaka 19 unakuwa kama umenunua gari ya zero Kilomita sijui umenielewa 😂 ila uyo wa 30+ Kilomita zimetembea kinoma mpaka engine imechoka 😂
WANAWAKE WA MIAKA 30 NA WALIOOA WANAWAKE WA MIAKA HIYO WANAONGOZA KWA HASIRA KWENYE COMENT.
Yani uyu jamaa uyu jamaa huu ni ukweli uliosawia na mazingira yetu
Huyu sio mzima kichwani
Umeyajuaje, yote