Ilivyo kweli na haki nayo yaliyo sahihi na kama ulivyo wajibu nao wapaswao kuwajibika wakawajibika kama ilivyo stahiki dhidi Yao MWENYEZI MUNGU AENDELEE KUDUMISHA UTUMISHI WENU KWAKE DAIMA Kwa kazi nzuriiii mnayoendelea kuifanya kwaajili ya sifa na utukufu wa aliye juu🙏🙏🙏🙏 NAWAPENDA SAANA PAMOJA NA KAZI ST. JOSEPH CHOIR cholines ZENU ZOTEEE❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Kweli Mungu ni mwema kila wakati. Sifa na utukufu vimrudie yeye aliyeamuru yafanyike haya. Hongereni sana wana Mwecau kwa kazi yenu nzuri ya uinjilishaji kwa njia ya kuimba 👏👏
Mliyotumwa na mungu vijana mmeyafikisha Kwa walengwa
Mungu atubariki sote 🎉🎉🎉
Hongereni sana Wana mwecau kazi nzuri ya uinjilishaji kwa njia ya nyimbo
hongereeeni sana vijana wa mwecau baada ya Kumtafuta Bwana akawaongoza sasa mnasimama tenaa
Hongereni sana sana wana MWECAU kwa kazi nzuri,, Bwana azidi kuwabariki
Wimbo mzuri sana na umebeba maudhui mazito nawapongeza sana ongezeni sana bidii katika utume wa kanisa msikate tamaa mana Mungu ni mwaminifu
kazi nzuri ndugu mko vzuri sanaaaaa
Jina la Bwana Lihimidiwe🙏
Kazi nzuri sana kweli nimeamini kuwa kuimba ni kusali mara mbili na kumbe tunaweza tukiamua Mungu ibariki MWECAU Mungu ibariki St Joseph Mwecau choir.
Hongereni sana Mungu azidi kuwainua katika kipaji chenu
Woooow barikiwa sana kazi nzuri🥰
Hongereni sana kwa kazi nzuri iliyotukuka ❤❤❤❤❤❤ Mungu awabariki sana
Mungu awabari zaidiiiii🎉❤
Mwecau inasonga mbele Mola awe nanyi katika Kazi ya utume
Hongeren sana kwa kazi Nzuri!!Mwenyezi Mungu azidi kusimama nanyi katika utumishi huu….am so proud of you🔥🔥🔥🙏🏻🙏🏻
Kazi nzuri 🙏
Kazi nzuri 😍
One of the best song the hit one thank God I am proud to be Christian also to be in this family God bless you my family ❤
Kazi nzuri Mungu awabariki sanaa 🎉🎉🎉🎉
Hongereni sana
❤❤❤❤very sweet song
That is great 🔥
Mbarikiwe Saana Kwa Utume Wa UIMBAJI Hakika Tunamtukuza MUNGU Kupitia ninyii❤❤❤❤🎉
Sifa na utukufu kwa Mungu...kazi nzr sana Mungu awabariki
Amina tubarikiwe sote
Kazi nzuri sana haichoshi kusikiliza mda wote🎉
Hongera sana st Joseph choir MWENGE CATHOLIC UNIVERSITY
Bonge la wimbo , nawapongeza achaneni na masebene , hizi ndio nyimbo
Hongereni sana Wana MWECAU Mungu awabariki sana
kudos ❤
Wimbo mzuri na wenye ujumbe mzuri mungu awatangulie wanakwaya wa mwecau
Mungu awabariki sanaa wapendwa Kwa kazi nzuri Mungu atukuzwe Kwa nyimbo 🎉🎉🎉
Wimbo mzuri sana
Nawapenda sana hakika ni kazi nzuri
Ohhhh waooo hongereni sanaass jamani
Great and cool melody
Hongereni sana vijana kutoka mwecau mmejaliwa kipaji cha hali ya juu sana endeleeni hivyo hivyo
Mungu awape nguvu siku zote mzidi kusimama imara na kulitangaza jina lake
Mungu awabariki sanaa wapendwa kazi nzuri 🎉🎉❤❤
Wimbo mzuri sana 💖💖
As usual hamjawahi kosea Hongereni sana @st Joseph mwecau❤🎉🎉
Atukuzwe Mungu katika patakatifu pake
Nitasimama imara hakika St Joseph lux mundi
Mungu ni mwema tuendelee kumtukuza mungu Kwa njia ya nyimbo
Bwana awaongoze mzidi kufanya vizr katika uimbaji daima na milele
Hongerani sana kwaya yetu na niwatakieni utume mwema katika uenjilishaji wetu kupitia nyimbo
Wimbo mzuri sana sana .
Ni wimbo mzuri sanaa kwatafakari hongereni sanaaa kwa uinjilishaji mzuri
Kitu bomba sana not boring kusikiliza na kutazama pia motooooop
Kazi swafii kabisa, hongera kwa mtunzi, waimbaji, organist pamoja na kamati nzima ya ufundi, Mungu awatunze🙏
Amina asante pia for your appreciation
Amina asante pia for your appreciation
Ilivyo kweli na haki nayo yaliyo sahihi na kama ulivyo wajibu nao wapaswao kuwajibika wakawajibika kama ilivyo stahiki dhidi Yao
MWENYEZI MUNGU AENDELEE KUDUMISHA UTUMISHI WENU KWAKE DAIMA Kwa kazi nzuriiii mnayoendelea kuifanya kwaajili ya sifa na utukufu wa aliye juu🙏🙏🙏🙏
NAWAPENDA SAANA PAMOJA NA KAZI ST. JOSEPH CHOIR cholines ZENU ZOTEEE❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
BEST OF THE BEST CATHOLIC MELODIES❤
Hongereni nyote mlioshiriki na ku supoti hii kaz Mung atubariki sote🔥🔥🙏
🎉🎉🎉🎉🎉 so nice 👍 hongereni sana
Waaaaoh, be blessed mwecau choir!❤
I like the song God bless you St Joseph choir Mwecau❤❤❤❤
Hongereniii sana Mungu awajalie mwanga wa roho mtakatifu katika utume wenu siku zote 🎉🎉🎉
Nyimbo inanitafakarisha kwakweli Mungu azid kutubariki sote
Wimbo mzuri sana hongereni wan mwecau mmetisha na mmeupiga mwingi mbalikiwe na Bwana ili kazi ya Mungu iwe njema siku zote
Asee hii kazi nzuri sana kwakwel
Nice song may God bless you all 💕💕💕💕
Hongereni Sana kwa Kazi nzuri,nimefurahi kumuonaa ment Wangu Madame Zainabu Makoye
Wimbo mzuri sana asee
Hongereni kwa Utume wimbo mzuri unatafari Nzuri sana mbalikiwe nyote TUMWIMBIE BWANA KATIKA ROHO NA KWELI 🙏
Hongereni sana kwa kazi nzuri sana. Nami nitasimama imara katika imani.
Mkinipenda nami nitawapenda ninyi . Haika MUNGU awapende na kuwaongoza mdumu katika kumtumikia milele yote
nabalikiwa sana na wimboo huu mzur sana hongeraaaa sana St. Joseph CHOIR MWECAU
So sweet song❤🎉🎉
Kazi nzuri sana na ujumbe mzuri pia
Mungu azidi kuwatia nguvu katika utume wenu ❤❤
Congratulations 👍👍 kwenu kwa kazi nzuriiii
Hongeren jamn wimbo n mzr xan
Kweli Mungu ni mwema kila wakati. Sifa na utukufu vimrudie yeye aliyeamuru yafanyike haya. Hongereni sana wana Mwecau kwa kazi yenu nzuri ya uinjilishaji kwa njia ya kuimba 👏👏
Hongera nawe kwa kuweza kuratibisha yote be blessed
so nice
❤
Mungu ni mwema kwa kweli jina lake litukuzwe. Kibao hiki huwa kinanibariki mno. Hongereni sana wana MWECAU
Welcome again brother!
We miss you Brother
Fireeeeee
Wimbo mzurii sana hongereni wapendwa
I really appreciate my choir ,songs are encouraging and giving us a good way to live, loard is to our side forever
❤❤❤❤❤
Nitasimama imaraa milele🤲🤲
Hongereni saaana Mungu Awabariki kwa kazi nzur ya kulitukuza jina lake kwa utume wa Uimbaji. Nimebarikiwa pia
Nice MWECAU. Congratulations 🎊
Thank you brother 🎉🎉
Mungu awabariki mzidi kuifany kaz yake
Saut tamu 💯💯
Hii kali
Hongereni nyimbo nzuri jina labwana lihimidiwe
Amina
Atukuzwe Mungu
Fantastic one it's favorite congratulations 👏👏to all prayer be blessed
Congratulations 👏
Very nice song, God be with you all
Wimbo mzuri sana, wenye utulivu na kuwavutia watu wasikilize ujumbe
Aiseeeee! It is a beautiful song, congratulations to you!
🎉🎉🎉🎉
I love this song.
Captivating and strengthening our faith
Jina la bwana lihimidiwe
Kazi nzuri mungu awabariki❤❤❤
Waaaaao hongereni sanaaa wimbo unatubariki sana
Kaz nzur Sana isee❤❤❤
Kuimba ni kusali mara mbili,,, Mbarikiwe Sanaa.
Mungu awabariki sana 👏🏼👏🏼👏🏼
Kazi tamu sana hiii. Hongera sana wanakwaya
Hongereni sana wanakwaya, very amazing
Mwenyezi Mungu awabariki sana❤
Tutoe wimbo mwingine mzuri sana
Kazi nzuri 🎉🎉
Mungu atukuzwe daima
Mungu awabariki wimbo mzur Sana
Kaz nzuli Sana hogelen sana
Hongereni sana mwecau choir