“Prof Ndalichako si ungekuwa Waziri wa masifuri?” -Mbunge Goodluck Mlinga
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
- Goodluck Mlinga ambaye ni Mbunge wa Ulanga ni miongoni mwa Wabunge ambao siku zote wakisimama kuchangia Bungeni hawakosi kuacha headline, sasa leo alisimama kuchangia mapendekezo ya taarifa mbili zilizowasilishwa Bungeni ikiwemo taarifa ya kamati ya kudumu ya maendeleo ya jamii pamoja na taarifa ya kudumu ya Bunge kuhusu masuala ya UKIMWI. Sasa leo kashauri Bora Rais Magufuli ateue Waziri wa elimu ambaye hajasoma kabisa.
hongera mbunge umeongea jambo la msingi sana wewe ni mtetezi wa wanyonge naomba uliyoyaongea kwa uwezo wa Mungu yawaguse watu na yatekelezwe.
GOODLUCK UMEONGEA VITU VYA MSING SANAA NA SERIKARI ISPO YAFANYIA MTAONA ZAIDI YA HAPO.MAANA WALIMU WAMEKUWA WATU KUDHARILILISHWA
umesema vizuri sana kaka,kwa kweli umefanya wajibu wako kama Mbunge,hayo ndiyo mambo anatakiwa mbunge kuyasema bungeni
Leo Leo Leo umeongea mambo ya msingi tangu umeingia bungeni.Ushauri wangu kwako,jitambue ww ni kijana uliyepata nafasi hii kubwa na ya heshima simama kama kijana mwenyewe dhamira ya dhati kbsa kutetea vijana wa nchi yako.Utumie ujana wako bungeni kwa hoja mzito ukiwawakilisha vijana wa nchi hii.Acha na miongozo ya kuwapotezea mwenzio point,wangalie akina Zitto,walikuwa vijana wadogo kama ww walipoingia bungeni mpk sasa wamekulia bungeni wamekomaa kisiasa wanazo hoja zenye nguvu zilizo shiba zinazomfanya mtu asimama na jambo llte analofanya ili asikilize nn Zitto amebeba kwa ajili ya nchi yake.Wapi wengi Upendo Peneza n.k jifunze kutumia ujana wako vzr ndani bunge uweke ALAMA ktk nchi yako.Leo tunazungumza hbr vzr za Mwl.J.K Nyerere ktk ujana wake angekuwa kama hivyo na mizaha yako bungeni ninaamini ktk ulimwengu wa siasa tusingemfahamu hata kdg .Lkn machachari yake yalianzia Tabora Sec.Sch.Mpk Leo hayupo lkn Mwl kaacha ALAMA,Walikuwepo akina Edward Moringe Sokoine wameacha ALAMA ktk Taifa lao,akina Deo Filikunjombe wanabeba mioyoni mwao mambo ya msingi.Deo alikuwa ni kijana bungeni jifunze kwao lkn bado tunakumbuka dhamira yake kwa vijana na Taifa lake.Dhamana hii uliyopewa nitumie vzr nitumie vzr nitumie vzr.
Mh... Mlinga mm huwa nakuelewaga sana, wasemee Basi na walimu wa Sanaa waliotelekezwa mtaani toka 2015
safii sana mwambiee
Martine Mpuya watoto wengi zamani waliuziwa mithihani sasa hapa Nazi, pia hatutaki vyeti feki. Hugo Mlinga afikiri
Sasa hivi wanatumia akili zao kwamwendo huo akuna vyeti feki
kiukweli umeongea maneno ya Hekima sana mheshimiwa
ni kweli ama jokking tu
Mlingaaaa! duuuuh! nimecheka sana leo,,,,
HONGERA kwa mtazamo na kuwa muwazi.
Sasa hivi mlinga upo kitaifa zaidi, yaan upo vizuri sana dah!
👏👏👏👍bora ccm muamke mana ccm imepoteza muelekeo
Angalau Mh.Mlinga leo umeongea point sana kaka..Daah
Safi sana 👍👍👍🔥 ufaulu wa mwanafunzi n mwalim hakuna kingine wazir big up sana n kwel unachokisema on point
Gooood!!! Uchangie hivyo hivyo sempre.
Shukrani zetu katika hilo ela serikali itatoa pamba masikioni
Kiukweli leo umejitahidi tunataka wabunge wote wa ccm muongee point kutetea maslahi ya wanyonge
Nice
Umeongea point .umeongea na umeona waziri mzigo. Kama kunawaziri mzigo ndalichako mzigo na hatoshelezi kabisaa katika nafasi hiyo. Alistahi awe mwalimu mkuu wa Shule ya Sekindari
inatakiwa uwe unongea vitu mhimu kama hivi good
mlinga nakupendaga bureee mie si unajua eeee!!! walimu wanakaaga kama makomandoooo
Mlinga Na bashe kwa wabunge wa upande wa ccm mnatambua nini kimewapeleka bungeni hongeleni sana.
Uko sawa mh. Mlinga
Mheshimiwa amenena haswaaa asante kwa kututetea baba
Fact mheshimiwa umeongea Kama mtanzania
Hongera naona Leo nimekuelewa.
safi sana, keep it up
Point Tupuuuuuu Bro Mlinga
Ibra-Da Husler
Hongera sana Leo umenifurahisha sana mhesjimiwa
Jamni, sante kaka, ndalichako ikuguse basi...., uonefuuu kweli me nimeonewa
Leo umeongea points
High voltage message
nimekubali
Exactly point'"
Leo nimekuelewa sana
Goodluck Leo nimekukubali.Kipindi kingine waeleze walivyodanganya Taifa kuwa wangepandisha walimu madaraja badala yake wakapokonya walimu madaraja ya 2015 na kuwafanya wapande 2018 ili walimu hao wasilipwe madai ya nyuma.Kwa hiyo hakuna Mwl yeyote aliyepandishwa cheo.Tunaumia sana rohoni.
Safi sana
Yani point nzuri xana leo
Aswaaaaa!!anatutia hasira sana toka tunasoma....kila siku kubadili Grade.😯😯😯
Asante mkuu umeniwakilisha kwa kile nlichokiona. Unastahili pongezi ya nguvu
kufeli lazima walimu mashuleni ni wachache sana harafu mtaa ni wengi sana hata masomo ya sayansi wapo mtaani lakini serikari inajili kama asernal inavyosajili wachezaji
Amos Mohono jaman mpka na timu yangu imetajwa tena humu asante
na Chelsea😀😀😀😀😀
lelu guyowera sana mtuwa hongera .
Mheshimiwa Mlinga hii ni fact...
Umezungumza Hoja Nzuri #Mlinga.
ukweli mtupu, muna bunge bora watanzaini wezangu ,God will expose corrupt leaders...................
Nimekupenda bule mlinga
we we jamaa nomasana njoo uwe mubunge wetu saluti kwako
kweli kaka,elimu ya Tz inasikitisha sana.
Leo umetoa point za kutosha safi sana
Hongera brother, kwa kuliona hilo. Maziro ni mengi hadi primary achana na sekondari.
Bora nyie mnazo hizo semina, kwa mwalimu hicho kitu hakipo. Walishakisahau. Ng'ombe anakamuliwa bila kulishwa mwisho atakamuliwa damu badala ya maziwa.
that is the point ubarikiwe
Hapo
Leo umeongea Mlinga tunaonewa sana
Walim wnzangu gonga like hapa
we genous mzee mbunge fundi
Imekaa vzr
Hapo point ccm mkiwa hivi tutawakubali
Hata saa mbovu hufika wakati ikasema kweli..
muhammed abdulla hahahahahahahaha
haaaaaaaaaa
Hahahahahahahaha
Hahahhahahaha aiseee ni zaidi ya makomandooo daaah!!! VIVA BABA VIVAAA
Peter Dominick hahajs
Mi Nasemaga Uongozi na Kuwa na Elimu kubwa siku zote ni Vitu viwili Tofautii. Ndio Maana Mwl Nyerere alitengeneza mfumo wa Elimu mzuri ndio mana hata vyyo. Vilikuwa vinatoa Kozi Maalum mfano Kuanzia Uongozi Mpaka Watendaji.. Vyuo kama. Mzumbe, sua na Mzumbe nk.. ila sikuizi kila. Mtu anataka Kuwa Bosi..
Leo umeongea kwa kweli
Hongera kaka umeongea vizuri ndalichako simama na shule za serikari sana!
Yeye watoto wake wanasoma shule za pravet sisi wasendi kayumba tuta isoma namba
Uyu mzinguaji sana. Ila leo atleast umetema fact..
safi sana Mlinga!...leo nmekukubali umeongea point!...hahahahaaaa....eti wazir wa masifuri!..
kwa Leo umejitahid
UPO VIZURI SANAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA MBUNGE UMENENA VYEMA SANAAAAA
Point nzuri xana mbunge
nzi akiacha ujinga anaweza kutengeneza asali
Mbona ya kawaida tu haya, maana kama ni utekelezaji wake labda baragumu likilia, na wafu wakifufuliwa ndipo ziro, na madai yatakaponishia hapo
Guuud! Unaongea point tyuuuuu👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏.
leo umeongea point san yaan kweli kabisa ndyo
umenena vema hakika, maana kunako sasa hakuna haja ya shule za serikali maana sasa Zero tu sasa
Ndalichako umeharibu elimu sana,aibu tupu
nice, halafu huwez linganixha private na govrnmnt, ety xhule kumi bora badala ya private kivyake na government matokeo yake, Mtoto wa serkal anakula upepo xhule anarudi om wakti private wankula kitabu na mxoxi xhule.........
Sana nimekuelewa mubunge
Leo nimekuelewa tangu umeingia bungen
This is a very SMART piece of analysis by MP Mlinga.
Kumbe wewe ninoma good for you
Hizi ndio hoja za msingi bila kujali itikadi ya vyama huyu mbunge ana hoja za msingi zinazolenga kulijenga taifa bora.
Hongera sana Mlinga umewakilisha vizuri sana wananchi wako
congratulation goodlucl
Walimu wamekosa watetezi kwa Mara ya kwanza Tz mbunge ametumia muda wake kutetea walimu lkn cha kushangaza wabunge wengne wanacheka, Allah akupe maisha marefu hakuna marefu yasiyo na ncha.
Toka uwe mbuge leo ndio umeongea point
Hongera wabunge wachache sisiemu mnaojitambua
Km sio CCM vile nice point
Msione aibu teueni waziri wa elimu kutoka upinzani yapo majembe ya kutosha tena msije mkathubutu kutuletea msukuma na lusinde hao waacheni wapige kelele hukohuko
Safi Sana nakubari kwa leo ungekuwa na busara za namna hii ya kutetea si kuponda cdm nitakuelewa
Leo umeongea point,
mungu atusaidie tulomaliza vyuo maana hali ya ndalichako so yenyewe
Leo mzee umeongea point!
Leo kaupiga Mwingi
Ipo haja yakuangalia malipo ya wabunge na wafanaykazi wengine ili tuboreshe mishahara na posho za walimu.
Ahsante sana Mbunge Wa ulanga safi sana
Katika muda wote ambao nimepata kukusikia Mh Goodluck,leo umekua serious,suala la elimu liko wazi tunazidi kuporomoka,maslahi ya walimu hayatazamwi,mazingira ya kazi hayashawishi,tukitaka kutafuta suluhu ni lazima tutafute tulipoangukia,ni mpaka tutakapoamua kuwasikiliza walimu mahitaji yao ndipo elimu itarejea,inauma sana shule zilizokua zinafanya vizuri sasa zinazidi kuporomoka siku hadi siku.Wapi Mzumbe,Kilakala,Ilboru,Kibaha,Mirambo,Iyunga,Mbeya Day,Tabora Boys/Girls,Loleza,Minaki,Pugu,Ifunda n.k,inasikitisha sana,imebaki historia Top 10 hakuna,Top 100 shule nne tu za serikali.......Hongera sana Mlinga leo nimekusoma,.......Walimu wanaishi kama makomandoo ha ha ha haaaaa,inauma sana
Hongera
Leo umeongea point sana
Binafsi namkubali sana mlinga huwa anaongea km comedy flan ila huwa anaongea point sana
point mkuu uko vizuri sana
Mlinga wewe unafaa kuja kuwa kiongozi mkubwa sana nchini nakupenda sana ndio unaenifanya nisikilize bungee yani we we ni mkweli kabisa
Good critical
Naona baada yakokosa uwaziri ameamuwa kufunguka
Jamaa anaongea kama anachekesha lakini very true points...
Hata hatumuusu👌
Yaani umesema ukweli kabisa Mungu akuinue.
point
Daaah kweli ccm wanaanza kuwa na akili mungu awabariki mujue kutetea haki na kujua jukumu lenu....musiwe watu was ndio sasa munajifunza kujenga hoja.....
Good speech ila angalia utachuzwa na wenzio huwa.hatakagi kuambiwa ukweli
leo umesomeka