MEDANI ZA SIASA NA GODBLESS LEMA MJUMBE KAMATI KUU CHADEMA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 46

  • @anordgerison8639
    @anordgerison8639 2 ปีที่แล้ว +4

    Nimeirudia mara mbili hii interview .... Interview tamu Sana hiiiiii nimeipenda mno

  • @makobamasawemangu4122
    @makobamasawemangu4122 2 ปีที่แล้ว +1

    Dar Hilo jamaa ni noma sana

  • @bintibaibe1958
    @bintibaibe1958 2 ปีที่แล้ว +1

    Lema is my best politician of all the time 📌

  • @azonmlazo7013
    @azonmlazo7013 2 ปีที่แล้ว +1

    Mh God bless ikitokea,ukarudi nyumbani,alafu vitisho vikaendelea,vipi utarudi uhamishoni tena.

  • @oyay2821
    @oyay2821 2 ปีที่แล้ว +3

    Lema wewe ni blessed as a politician, no wonder you're called Godbless.

  • @bintibaibe1958
    @bintibaibe1958 2 ปีที่แล้ว +1

    The best interview of the year

  • @gilbertkimario5835
    @gilbertkimario5835 2 ปีที่แล้ว +2

    Point qq

  • @justinakaronge5270
    @justinakaronge5270 2 ปีที่แล้ว +3

    Lemaaaaaa,wewe na faya,Mungu akutee,tunamuomba Sana

  • @azonmlazo7013
    @azonmlazo7013 2 ปีที่แล้ว +1

    Medani za siasa
    Miss sana timu ya lema,sugu,msigwa,heche na wen he.

  • @florianautopaintbodyworks4143
    @florianautopaintbodyworks4143 2 ปีที่แล้ว +3

    Mungu yuko pamoja nawe

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 2 ปีที่แล้ว +2

    Upo sahihi MH.Lema

  • @philimonndinadyo2120
    @philimonndinadyo2120 2 ปีที่แล้ว +2

    Lema nikikusikiliza mwili wangu unasisimka unaonekana ulitunzwa vizuri akili yako ni yahali ya juu Sana nanimependa jinsi ulivyo mcha Mungu

  • @bwirumarigo2355
    @bwirumarigo2355 2 ปีที่แล้ว +5

    Huyo ndo mtetezi watanzania tunampenda sana

  • @mussahuyya7775
    @mussahuyya7775 2 ปีที่แล้ว +4

    Odemba umekosa mwelekeo maswali unayomuuliza Lema ni mepesi sana chadema hawa wanahitaji maswali ya kisera hayo ya kwako Lema maji kwa glass jipange na maswali ya kuibua fikira

    • @yohanahbyzehomba1352
      @yohanahbyzehomba1352 2 ปีที่แล้ว

      Tafuta aina ya maswali ambayo angemuuliza ingesaidia kuboresha ..mtumie ili siku nyingine tupate kitu kizur zaid

  • @filberthaule8659
    @filberthaule8659 2 ปีที่แล้ว +2

    very matured politician G.Lema

  • @Jackson-Novat
    @Jackson-Novat 2 ปีที่แล้ว +4

    Haya mambo ya kukimbia uhamishhoni tuliyasikia Congo, Uganda, Rwanda, Kenya leo yapo kwetu. Hii ni aibu kwa taifa. Neno Amani latumika vibaya.

  • @evancelema4769
    @evancelema4769 2 ปีที่แล้ว +1

    Stay blessed Hon:Lema

  • @uriostanley2331
    @uriostanley2331 2 ปีที่แล้ว +4

    MUNGU AKULINDE LEMA

  • @hamiskalunga4624
    @hamiskalunga4624 2 ปีที่แล้ว +4

    Maoni yangu Ademba marakwamara uwe unawashilikisha wana siasa kama hawa ili watanzania walio wengi tupate kuelimika juu ya haki zetu

  • @francishastingsmshani2186
    @francishastingsmshani2186 2 ปีที่แล้ว +3

    Oyooo oyoo kipindi kizuri

  • @zingiberofficinale9843
    @zingiberofficinale9843 2 ปีที่แล้ว +2

    Goobless

  • @yussufpandu1852
    @yussufpandu1852 2 ปีที่แล้ว +2

    Vipindi hivi vya siasa vinavyorushwa na star tv watu wengi na watanzania wanapata kujuwa ukweli,,, hongera lema,, huyu lema anazungumza kama martin luther king hakika lema ni kiongozi shujaa

  • @kipokendirangu2572
    @kipokendirangu2572 2 ปีที่แล้ว +1

    Utamwtaje lema mwanasiasa mkimkimbizi. Wa hiyo siasa unayoisema.

  • @davidnailsmhumhanails5843
    @davidnailsmhumhanails5843 2 ปีที่แล้ว +6

    Siku moja lema atakuwa rais was nchi yetu natabiri..

    • @fraternshirima2474
      @fraternshirima2474 2 ปีที่แล้ว +2

      Mungu akafanye kweli Tanzania tuondokane na umaskini unaozidi kukua siku hata siku🙏

  • @ombenianton3611
    @ombenianton3611 2 ปีที่แล้ว +2

    1 ya viongozi wenye tija na busara sana, na unafaa kuigwa

  • @samwellema5642
    @samwellema5642 2 ปีที่แล้ว +2

    Lema wajina kani funza mengi kuhisu siasa na kijami na kihimani

  • @azonmlazo7013
    @azonmlazo7013 2 ปีที่แล้ว +1

    Wenje

  • @anordgerison8639
    @anordgerison8639 2 ปีที่แล้ว +2

    Jamani mbona fupi .... Jamaa n hatari full critical

  • @jacobmavika8806
    @jacobmavika8806 2 ปีที่แล้ว +4

    Usalama wako ni muhimu kuliko kitu kingine chochote

  • @majaniukosawamtumishiwamun850
    @majaniukosawamtumishiwamun850 2 ปีที่แล้ว +3

    Lema ni jembe njoo ugombee geita Kuna Jimbo liko wazi kabisa

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 2 ปีที่แล้ว +3

    Huyu mtangazaji hana viwango vya kuhoji watu makini ni lazima aludi shule

    • @narrissajackson3869
      @narrissajackson3869 2 ปีที่แล้ว +2

      Sawa ila amekuwa akihoji wanasiasa nguli wengi sana, na amekuwa rated kuwa na unafisi mkubwa, fuatilia interviews nyingine achana na hii.

    • @thabitngangila8562
      @thabitngangila8562 2 ปีที่แล้ว +1

      @@narrissajackson3869 ni kweli anawahoji sio nguvu ya kuwaleta yeye hapo studio ni dialo mwenyewe maana hajulikani na anahitaji kujua kuuliza maswali yenye nguvu na sie watazamaji tutaelewa uwezo wa wana siasa wetu kaka.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 ปีที่แล้ว +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍

  • @evancemosha7862
    @evancemosha7862 2 ปีที่แล้ว +1

    Lema akili kubwa

  • @chidybizz8684
    @chidybizz8684 2 ปีที่แล้ว +3

    Ccm haitaki kusikia haya😂😂😂

  • @renathaapollo3124
    @renathaapollo3124 2 ปีที่แล้ว +4

    Uko vzuli kiongz

  • @kamulikisinza9688
    @kamulikisinza9688 2 ปีที่แล้ว +1

    9

  • @justinakaronge5270
    @justinakaronge5270 2 ปีที่แล้ว +2

    Tutafanikiwaje kweli mke wa Raisi anasimama bungeni anataka mafao ilihali wa Tanzania tuna njaaaa, wanaacha kutuongelea! Hivi kweli hii hali ya nchi hawaioni?Lema hali ni Tete nyumbani

  • @hamiskalunga4624
    @hamiskalunga4624 2 ปีที่แล้ว +4

    Hii ndio Chadema bwana sio CCM ya mambumbumbu

  • @thomasjohn3499
    @thomasjohn3499 2 ปีที่แล้ว +2

    BWANA ODEMBA UNAPOMHIJI NABII KAMA HUYU UWE UMEJIPAPANGA???? MASWALI YAKO NI MEPESI SANA KWA MTU MKUBWA KAMA HUYU.