Kiongozi wa ACT WAZALENDO ZITTO KABWE Ndani ya MEDANI ZA SIASA. Na Chief Odemba.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ส.ค. 2021
  • Powered by Restream restream.io/
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 40

  • @adamomary1964
    @adamomary1964 2 ปีที่แล้ว +7

    zitto kabwe unaakili sana,serikal ilipaswa kuwa naviongozi wenye weledi kama zitto kabwe

  • @leoncealex7343
    @leoncealex7343 8 หลายเดือนก่อน

    Nimependa saana intro yenye uchambuzi kwa kina japo sauti naona zinamuingiliano na muonekano wa video kwwnye simu yangu mwanga upo afifi kidogo. Mtangazaji very good !!

  • @husseinmillans3794
    @husseinmillans3794 2 ปีที่แล้ว +3

    The best interview ever!!

  • @dunstannyange7509
    @dunstannyange7509 2 ปีที่แล้ว

    Edwin Odemba, bonge la mtangazsaji, Mungu akuinue utukufu had utukufu

  • @mtudidaniel9585
    @mtudidaniel9585 2 ปีที่แล้ว +3

    Zitto ni mwanasiasa mweredi sana, anaongea point zinazoeleweka.

  • @superbillionairea5987
    @superbillionairea5987 2 ปีที่แล้ว

    Nikweli yupo sawa Sana.

  • @dvjbingo8028
    @dvjbingo8028 2 ปีที่แล้ว +2

    Yaaan kama humu ndan hakuna anaelewa hoja za mh zitto Bax ujue anamatatizo ktk ubongo wake akafanyiwe check up

  • @jastinesamboto4674
    @jastinesamboto4674 2 ปีที่แล้ว +2

    Akili kubwa hii, majibu konki. Wachache watakuelewa wengine hata kupata tu mwanga wa kile kilichotokea kwenye uchaguzi hawawezi.

  • @shukurupetro9018
    @shukurupetro9018 ปีที่แล้ว +1

    Naona umepiga kombati za chadema nahisi bado ipo kwenye damu!?

  • @Nganico
    @Nganico 2 ปีที่แล้ว

    Zitto amezungunza vizuri sana. Heshima kwake

  • @olewangaparmitoro1395
    @olewangaparmitoro1395 2 ปีที่แล้ว

    Mh.Zitto sio kiongozi wa kawaida kabisa kuwahi kutokea,siku zoto utabakia kati historia kwa kazi yako iliyotukuka hususan kwa kuishauri serikali katika nyanja mbalimbali
    1-Kiuchumi
    2-Kisiasa
    3-kijamii
    4-kitandawazi
    Mungu akujalie afya njema uendelee kuishi kama zawadi ya pekee kwa watanzania wote
    Nakumbuka ulipokuwa mwenyekiti wa kamati ya bunge hesabu za serikali uliongeza uwajibikaji kwa taasisi zetu za kifedha.

  • @ibrahimdabo7163
    @ibrahimdabo7163 2 ปีที่แล้ว

    Zito uko vizuri aduwi yako usimkimbiye kula nae sahani mojaa akikomba ugali unakomba mboga mpaka kieleweke sawa

  • @dannymwamba5848
    @dannymwamba5848 2 ปีที่แล้ว

    nakukubali sana mr kabwe

  • @ritamutoka7768
    @ritamutoka7768 2 ปีที่แล้ว

    Kuna wabunge walioingia Bungeni KIMAGUMASHI. Umenena kweli Ndugu Kabwe !

  • @husseinmillans3794
    @husseinmillans3794 2 ปีที่แล้ว

    Bado tunakuhitaji big brother Zitto kabwe. Tumeona Halmashauri ya Manispaa ya kigoma town ulivyo i-shape! Again in the year 2025

  • @ablestclemence7382
    @ablestclemence7382 2 ปีที่แล้ว +1

    Good

    • @petermgaya3812
      @petermgaya3812 2 ปีที่แล้ว

      Big brain..he is very composed.

  • @bashkidana9404
    @bashkidana9404 2 ปีที่แล้ว +1

    Sichoki kukusikiliza mwami wetu wanakigoma

  • @justuswaziri3093
    @justuswaziri3093 2 ปีที่แล้ว

    Mama msikilize huyu kiumbe, since day one binafsi pamoja na mapungufu yake mengi lakini anajitahidi saana kwenye tasinia ya Siasa,
    Nchi yetu bila viombe kama Lissu, Mbowe, Zitto na wengineo wenye akili yenye ajenda za kitaifa.

  • @allysingle2446
    @allysingle2446 2 ปีที่แล้ว

    Yani kweli ACT ni chama tawala kwenye nchi hii ooooh hiii ndo siasa wacha tuendelee kujifunza zaidi

  • @minyarothomas8167
    @minyarothomas8167 2 ปีที่แล้ว

    Zitto na chama chake mara nyingi wanashauri rais na serikali jinsi ya kuongoza nchi hata bila kuombwa asiwe mnafiki kama hashauriani na mbunge wa sasa asitafute siasa aseme tu kua ni mbinafsi kwa sababu hakushinda

  • @khalfanmlala5093
    @khalfanmlala5093 2 ปีที่แล้ว

    Safi sana

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 2 ปีที่แล้ว

    NDIYO MAANA WALIZIMA MITANDAO YA KIJAMII. KUMBE ILI WAINGIZE KURA BANDIA

  • @alijuma7204
    @alijuma7204 2 ปีที่แล้ว

    Mtangazaji una interact

  • @baruanijuma6405
    @baruanijuma6405 2 ปีที่แล้ว

    Bro uyo alshndwa kihalal

  • @clementkivegalo2604
    @clementkivegalo2604 2 ปีที่แล้ว +1

    Mhe. Zitto kwa ubungo, hapana, umekosea. Lazima tukubali kwamba kuna maeneo ambayo wapinzani wangeshindwa hata kama hiyo inayoitwa Tume Huru ingekuwepo.

  • @barakamsabaha8141
    @barakamsabaha8141 2 ปีที่แล้ว

    Zito acha uwongo kigoma wamekuchoka acha kumzushia uwongo miaka 15 ungeshinda uchaguz ulikua halali acha izo

  • @ramadhanbakarimtambo2024
    @ramadhanbakarimtambo2024 2 ปีที่แล้ว

    Ziti amesema ukweli igp alimkosea kujibu hadharani

  • @yusuphmagetta7969
    @yusuphmagetta7969 2 ปีที่แล้ว

    Zitto umesahau kuwa mbowe yuko ndani? Au nivile kuna mkono wako serikalini?

  • @eliudimwakasenga9754
    @eliudimwakasenga9754 2 ปีที่แล้ว

    Wasipo kukusikiliza watakua hawana kili kabisa chama kimoja kinajiona njechenyewe amna vyama vingine vya upinzani

  • @petermwanyondo5370
    @petermwanyondo5370 2 ปีที่แล้ว

    Yani bunge bira watu Kama halinogi kabxa

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 ปีที่แล้ว

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌

  • @matukiomedia191
    @matukiomedia191 2 ปีที่แล้ว

    Ni uongo ulishindwa ......hawampend ni mwongo na ni tapeli huyo

  • @otiatobakari752
    @otiatobakari752 2 ปีที่แล้ว

    Hainiingii akilini mpinzani akisema rais atuite tusikilizane hivi maana ya upinzani ni nini. Kwa sababu ninavyoelewa upinzani kazi yake ni kukosoa na kupinga sasa wakiwa wanaongea positively na uongozi wao kazi yao ya msingi itakuwa ni nini naomba kujuzwa

  • @richardkitwe7518
    @richardkitwe7518 2 ปีที่แล้ว

    Zitto kabwe ni kiongozi mahiri kwa ss wakazi wa kigoma tunapengo kubwa mpaka sasa wabunge wa kigoma ni viti maalumu ninavyo amini ,gwajima msukuma wangekua na zitto tz ingekuwa vizuri nb kilicho niudhi kwa zito ni kumusema magufuli hapo amenichafua asinge kuwa magufuli Tanzania tungeuzwa kwa magu tutakosana

  • @ishengomanelson
    @ishengomanelson 2 ปีที่แล้ว

    Mwandishi boresha jinsi ta kuhoji sio kukatizakatiza tu au kutaka majibu nusunusu

    • @wazirie4070
      @wazirie4070 2 ปีที่แล้ว

      I was thinking about the exactly thing.

  • @matukiomedia191
    @matukiomedia191 2 ปีที่แล้ว

    Swal zur kwa nn wanaendelea kushirik ktk chaguz wakat huwa wanasema uchaguz sio huru...............wanatafuta hela hao
    Si wangeliviacha
    Huyo kizito kwa kuroga na kutoa kidogo ili achaguliwe ni balaaaa

  • @minyarothomas8167
    @minyarothomas8167 2 ปีที่แล้ว +2

    Mbowe hayuko juu ya sheria amefanya mambo akijua vizuri sheria ila hiko kiburi cha kua mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani kisimfanye aone kua hawezi wajibika na sheria. Wanachama wa upinzani wanaona ni kosa kumshtaki kiongozi mkuu wa chama kana kwamba yeye ni rais wao ila wakati kiongozi huyo anavunja sheria wanakua hawaoni maovu yake hizo ni double standards.
    Mama chapa kazi na vyama vya upinzani vielewe hata wateule wako wenyewe wakifanya kosa wanawajibishwa kisheria, asiyetaka kuhukumiwa na aheshimu sheria na katiba