Usikubali kukamatwa . Kwa vile umejuwa UKWELI nimuzuri Ku achana navyo. Maana Neno la MUNGU linasama NENO ambalo umelisikia ndilo litakalo kuhukumu. Usikubali kupotea na YESU amekupa NEEMA. USOME : MATENDO :17 : 29-31. Na 2PETRO : 3:9. Na 2KORINTHO: 5:6-9. Asante sana na ubarikiwe na Bwana wetu YESU Kristo.
Huyo jamaa niliusoma ushuhuda wake zamani. Ila wakati ule nilisoma kwamba alitaja timu za mpira kama Chelsea, Arsenal, Man Utd, Real Madrid, Barcelona, Juventus, n.k. Nashangaa hizo sasa hazijatajwa hapa. Mimi naamini nikipenda kuona ama kucheza mpira bila kufanya ushirikina ama bila kuupa muda mwingi huo mchezo kuliko muda ninaompa Mungu basi sitakuwa naubudu huo mchezo au kuwaabudu hao wachezaji.
Mungu atusaidie Sana
Tupite ktk mlango ulio mwembamba,tujikane kisha tumfuate Kristo masihi ,ubarikiwe mtumishi Audax
Mpira ndugu yangu si mapenzi ya Mungu unatoka kwa adui.Mpira ni udunia na aliye rafiki wa dunia huyo ni adui wa Mungu
Halooo kuna hatariii mbele.tumtafute Bwana Yesu Kristo
MUNGU wangu nisaidie nitumike siku zote za maisha yangu
Dadagu ubarikiwe sana niliupata ushuhuda wako wote BWANA akulinde sana
Yesu tusaidie 🙏🙏🙏
Wapili leo Kwa ajiri ya Ushuhuuda
EYesu niokoe Bwana Mimi na famiria yangu Yote na marafiki zangu
Munguanipe kumtumikiyavizuri bilakuyumba amen ubarikiwekaka
Blessd kaka jacktan na Audax n promover tv n ❤❤❤ nawapendaa
Amen
Barikiwa
Amen Amen
Mungu atusaidie bila yeye atutaweza.
Kwenye mpira hapo watakamatwa wengi bila kutubu
Usikubali kukamatwa .
Kwa vile umejuwa UKWELI nimuzuri Ku achana navyo.
Maana Neno la MUNGU linasama NENO ambalo umelisikia ndilo litakalo kuhukumu.
Usikubali kupotea na YESU amekupa NEEMA.
USOME : MATENDO :17 : 29-31.
Na 2PETRO : 3:9. Na
2KORINTHO: 5:6-9.
Asante sana na ubarikiwe na Bwana wetu YESU Kristo.
@@JacquelineYana Amina, endelea kunipa nondo.nimefurah
Amen
Aisee
Huyo jamaa niliusoma ushuhuda wake zamani. Ila wakati ule nilisoma kwamba alitaja timu za mpira kama Chelsea, Arsenal, Man Utd, Real Madrid, Barcelona, Juventus, n.k. Nashangaa hizo sasa hazijatajwa hapa. Mimi naamini nikipenda kuona ama kucheza mpira bila kufanya ushirikina ama bila kuupa muda mwingi huo mchezo kuliko muda ninaompa Mungu basi sitakuwa naubudu huo mchezo au kuwaabudu hao wachezaji.
Na kuful ipi hyoo? Ambayo m dhambi?? Ya kufungia mlango ama.. ? Cjaelewa hapo kaka Audax
Makuful gan kaka Audax??? Nisaidiee nielew
Ile ya kijota hull iko wap mtumishi?
ipi hiyo?
@@PromovertvTz nilikuona shule moja ya sekondari mkoani singida, kulikuwa na graduation siku iyo mtumishi
@@musaluka1056 Oh sawa,itakuja
F
S
ss
Amen