Pt1_USHUHUDA WA BINTI ALIYETEKWA KUZIMU NA WACHAWI AKIWA MTOTO WA MIEZI 7 SABABU YA JINA LA UKOO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ส.ค. 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
    M-pesa Lipa Namba.5634017
    AirtelMoney Lipa No.3878783
    Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
    Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    #ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

ความคิดเห็น • 85

  • @juniorkalinge5861
    @juniorkalinge5861 8 หลายเดือนก่อน +3

    Amen&Amen, may promover TV be highly blessed IJN, FOR BRINGING us touching testimony at all times. Hi Channel imefanya IMANI YANGU IKAKUWA MARADUFU KWA MAMBO YA YESU KRISTO.

  • @wanjirumuhoro7553
    @wanjirumuhoro7553 8 หลายเดือนก่อน +1

    Asante dada kwa kufikisha unjube,ubalikiwe katika jina KUU LA YESU KRISTO.Roho wa Mungu wa Abraham atufungue macho....

  • @charlesyotham7977
    @charlesyotham7977 8 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani Yesu kristo anatupenda sana tuwe watu wa maombi sana Asante Mungu kwa ushuhuda mzuri.

    • @charlesyotham7977
      @charlesyotham7977 8 หลายเดือนก่อน

      Kaka janctani Mungu akubariki sana kwa kazi nzuri.

  • @carolinemiano2416
    @carolinemiano2416 8 หลายเดือนก่อน +2

    Nafuatilia nikiwa Saudi Arabia mimi ni mkenya ,langu ni kumshukuru Yesu Kristo kwa ufunuzi wa hizi siri za giza. Shetani mwovu ashidwe na giza zake katika Jina la Yesu Kristo.

    • @maryandason1815
      @maryandason1815 6 หลายเดือนก่อน

      Amen blessed caroline❤..karibu tanzania

  • @user-fy9zl1oq7x
    @user-fy9zl1oq7x 8 หลายเดือนก่อน +3

    Amina nakukubari sana jactani huna utani na Mambo ya Mungu, ubarikiwe sana❤

  • @HappyMwaigwisya
    @HappyMwaigwisya 8 หลายเดือนก่อน +1

    Promover mbarikiwe mnoooo kazi njema. Dada Yesu akulinde mpaka mwisho. Shika Yesu dada usimuache

  • @henrysizya239
    @henrysizya239 8 หลายเดือนก่อน +2

    Alichosema kuhusu kunyonyesha au kuwa na mtoto hii ni kweli kwa upande wangu. Watoto wangu wawili wa mwisho kabla ya kuzaliwa mke wangu alikuwa anasema nimeota na nyonyesha mimi nikawa namwambia kuwa itakuwa ni majini au watoto wa kichawi. Ila baada ya muda ulikuwa inatokea anapata ujauzito. Mambo mengi ambayo yanatokea katika ulimwengu wa kawaida huwa yaanza kujulikana kwanza katika ulimwengu wa Roho. Nimekuja kulitambua hili baada ya kuwa na mtoto wa mwisho kuwa alichokuwa anaota haikuwa ni ndoto bali ilikuwa ni jambo halisi katika ulimwengu wa roho. Ila inakuwa bado haijazihilika katika hali ya maisha ya kibinadamu.

  • @user-fy9zl1oq7x
    @user-fy9zl1oq7x 8 หลายเดือนก่อน +3

    Uwiiiiiiiiiiii!!! 🙆Mungu atusaidie sana wanawake tunapenda mapambo

  • @lilymwashumbe4890
    @lilymwashumbe4890 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akubariki dada yangu kwa kutufunulia siri zote

  • @hildandeda3348
    @hildandeda3348 8 หลายเดือนก่อน +3

    May the Lord have mercy on us following from Kenya 🇰🇪

  • @user-sx6xb2hg3l
    @user-sx6xb2hg3l 8 หลายเดือนก่อน +2

    Akika mungu atusaidie sana atufungu mojo ya kiroho akika .ubarikiwa sana dada

  • @HoseaMwapindule-rw5nr
    @HoseaMwapindule-rw5nr 8 หลายเดือนก่อน +2

    BWANA YESU abariki kazi ya mikono ya promover Tv.

  • @EZRA-b1c
    @EZRA-b1c 8 หลายเดือนก่อน +11

    Amen YESU Kwa kuendelea kufunua na kufichua yaliyo sirini

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 8 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana dadangu kwa hizi siri zagiza barikiwa

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku8718 8 หลายเดือนก่อน +4

    Yesu atusaidie tufunuliwe yalio sirini

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 6 หลายเดือนก่อน +2

    Blessed kka jacktan❤.cjachelewa

  • @user-cv9io6uk2d
    @user-cv9io6uk2d 7 หลายเดือนก่อน +1

    Amen

  • @HappyMwaigwisya
    @HappyMwaigwisya 8 หลายเดือนก่อน +2

    Haya anavyoongea yanafundisha mno na ni kweli. Mizimu inatesa wengi sana hata wachungaji na watumishi lakin wanashindwa kusema ukweli kwa nafasi zao. Wanaota wanalala na wanawake au wanaume ndotoni. Kusema inakuwa ngumu unakuta ni watumishi watu wanawanyenyekea kwahiyo wananyamaza. Lakin ni Bora kutafuta suluhisho kwa YESU maana hiyo inamkondesha mtu mbingu unyakuo ukitokea anytime.

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 8 หลายเดือนก่อน +1

    Bwana wetu Yesu kristo atukuzwe sanaa.

  • @user-28Gerardineakimana
    @user-28Gerardineakimana 8 หลายเดือนก่อน +3

    Uwachane na mawigi watu wa Mungu hata kama zambi zi wigi na cheni plz

  • @kizadorcas3321
    @kizadorcas3321 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu atusaidiye maana Dunia inamambo mengi tusiyo yajuwa

  • @mbelemmunga-ps4df
    @mbelemmunga-ps4df 7 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana

  • @Pasfiqueabel
    @Pasfiqueabel 8 หลายเดือนก่อน +3

    ila jitahidi uwe unatuwekea beat ya emotion tunabalikiwa san

  • @EZRA-b1c
    @EZRA-b1c 8 หลายเดือนก่อน +3

    Kupitia Promover Tv

  • @PaulinaMajengo
    @PaulinaMajengo 8 หลายเดือนก่อน +3

    Tuzidishe maombi na utakaso

  • @RodahAdonice-dz4sm
    @RodahAdonice-dz4sm 4 หลายเดือนก่อน

    Uuwi niliwavalisha wanangu rosali mmoja mdogo alikuwa haitaki ila nilikuwa namlqzimisha mwisho akaitupa sasa huyu mkubwa ndo alikuwa anachubuka ngozi shingoni had nikamuachisha kuivaa looh Mwenyezi Mungu nisamehe sikujua nitendalo

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku8718 8 หลายเดือนก่อน +3

    Mimi tokea nisome kuhusu kusuka nywele ni dhambi niliwacha hata herini pia

  • @user-uu8bd4vi9s
    @user-uu8bd4vi9s 8 หลายเดือนก่อน +1

    Yesu atusaidie sana

  • @joymkenya2359
    @joymkenya2359 8 หลายเดือนก่อน +1

    The best story ya kufunza wenye masikio 😅 welcome to kenya ,,, Mimi City yangu ni nakuru,,, I wish mngekuwa mnnakuja huduma this side ,,, niwa host for free,,,, wa TZ tunawapenda, pia Mimi nawauliza nikija TZ kutembea nitapata wapi wakunikaribisha, gharama kwangu

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  8 หลายเดือนก่อน +1

      Karibu sana nasi tuko tayari kukupokea

    • @user-ud9os9qs1p
      @user-ud9os9qs1p 8 หลายเดือนก่อน +1

      Karibu sana Tz usiwe na wasi utatembea vizuri bila shida.

    • @Munguyupo_
      @Munguyupo_ 8 หลายเดือนก่อน +1

      Karibu sana Tanzania,tunawapenda pia wakenya!!

    • @joymkenya2359
      @joymkenya2359 8 หลายเดือนก่อน

      Thanks all,,, nimefurahia your soft replies, God bless you 🙏

    • @maryandason1815
      @maryandason1815 6 หลายเดือนก่อน

      Karibuu kila cku tzd inasehemu nzur nying watu wake n wakarimuu njoo

  • @neemamarko176
    @neemamarko176 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mbarikiwe

  • @sallymumia8425
    @sallymumia8425 8 หลายเดือนก่อน

    Amina, Amina Kwa hii channel

  • @blessedlovedandfavoured4129
    @blessedlovedandfavoured4129 8 หลายเดือนก่อน +2

    Aston adam anakuja lini Kenya

  • @neemamatiko3745
    @neemamatiko3745 8 หลายเดือนก่อน +3

    Nijua wasioamini ulimwengu wa roho wanasikia mashokoro

  • @MariamGodfrey-oe1bn
    @MariamGodfrey-oe1bn 8 หลายเดือนก่อน +2

    Jesus is lord thanks jactan

  • @user-fq6ox8ck4p
    @user-fq6ox8ck4p 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mhhh kuna haja ya kuombea watoto wetu ubarikiwe mtoa ushuhuda

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 8 หลายเดือนก่อน +1

    Ameen asante Yesu.

  • @joycekaphevemba7215
    @joycekaphevemba7215 8 หลายเดือนก่อน +1

    Jameni Niko mombasa ila watu WA nairobi nawaonea wivu jameni natakani Ningekua Kenya ningejitahidi kufika aki😢😢

  • @HesboneMalangalila-ek6te
    @HesboneMalangalila-ek6te 8 หลายเดือนก่อน +1

    Asante ila ushuhuda wa albogast na mchungaji aliyemwingiza kuzimu tunahitaji pt3
    Na tunatamani kumsaport atoe video

  • @kashindibakari7726
    @kashindibakari7726 8 หลายเดือนก่อน +1

    Bwana tesu asifiwe milele na milele

  • @fatumaminyeko1875
    @fatumaminyeko1875 8 หลายเดือนก่อน +1

    Unatupeda BWANA YESU diomana unatufunulia mengi yaliyo jifisha

  • @ainekishagodwin1877
    @ainekishagodwin1877 8 หลายเดือนก่อน +2

    Baba zetu walitenda dhambi na Sasa hawako tena na tumeyabeba maovu yao

  • @charlesmutunga6952
    @charlesmutunga6952 8 หลายเดือนก่อน +2

    Naomba kuelezwa tofauti ya mizimu na mapepo

    • @user-ud9os9qs1p
      @user-ud9os9qs1p 8 หลายเดือนก่อน

      Mizimu ni roho zinazotokana na maagano ya kifamilia, mapepo ni mashetani yaliyoasi yaliyo tayari kumharibu yeyote anayelikiri jina la Yesu.

    • @charlesmutunga6952
      @charlesmutunga6952 8 หลายเดือนก่อน

      Nashukuru kwa hili jibu. Baraka kwako.@@user-ud9os9qs1p

    • @user-fq6ox8ck4p
      @user-fq6ox8ck4p 8 หลายเดือนก่อน

      Mzimu na mapepo yanataka kufanana kwasababu zote ni roho ila mizimu imepewa kusimamia familia (koo) sasa mapepo yapo Chin ya majin yenyewe ni ni cheo cha chin ndio maana mapepo yanaweza kuombewa mtu yakatoka lkn mizimu Watu wamekaa nayo hta makanisani lkn hakuna anajua kwasababu maagano yake ni mazito yanahusisha damu

    • @user-fq6ox8ck4p
      @user-fq6ox8ck4p 8 หลายเดือนก่อน

      Naamin hii Tafsir utaelewa

    • @charlesmutunga6952
      @charlesmutunga6952 8 หลายเดือนก่อน

      Hivi sasa nimeelewa. Baraka.@@user-fq6ox8ck4p

  • @salamadickson8108
    @salamadickson8108 8 หลายเดือนก่อน

    Ezekiel 16 :11 mtu anaweza nielezea au ni Mungu yupi huyo

    • @maryandason1815
      @maryandason1815 6 หลายเดือนก่อน +1

      Mwambie Roho mt..ndye mwalimu mzur atakufundshaa zaid

  • @DoricEverist
    @DoricEverist 8 หลายเดือนก่อน +2

    Duuu huyu mwingine tena amekuja nakusema habar za mizimu ushuhuda unathibitika kwa watu wa2 au wa3 Sasa itabidi nichukue hatua mwenye ulewa zaidi jinsi ya kufanya kujitenga na mizimu sababu hata mimi nna jina la ukoo

    • @user-ud9os9qs1p
      @user-ud9os9qs1p 8 หลายเดือนก่อน +1

      Tafuta mtumishi anayeongelea habari za deliverence.

  • @livinhillary9804
    @livinhillary9804 8 หลายเดือนก่อน +1

    Jesus is Lord

  • @rerisamba
    @rerisamba 8 หลายเดือนก่อน +1

    5hours na mumefika 1.5 haya hata mimi wacheni ni changamke

  • @stellapaul2442
    @stellapaul2442 8 หลายเดือนก่อน

    Yaan kuhusu mapambo shetan kawateka sana wanawake huwambii kitu

  • @LodvolaLameck-jl5vs
    @LodvolaLameck-jl5vs 8 หลายเดือนก่อน

    Hosea 2:13

  • @rerisamba
    @rerisamba 8 หลายเดือนก่อน

    Hio ndio story ya mbinguni nasikia ukifika utakumbuka uliishi huko zamani sana

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 8 หลายเดือนก่อน

    Shuhuda nyingi Kuna mchanganyiko na Kauongo kadogo,ushauli Kwa Promov TiV kabla ya kurusha muwe mnajilidhisha Ktk kuwahoji kwanza,vinginevyo mtapoteza umahili wenu Ktk wasikilizaji

  • @micahnjoroge3685
    @micahnjoroge3685 7 หลายเดือนก่อน

    Uongo na ujinga

  • @mercykariithi7919
    @mercykariithi7919 8 หลายเดือนก่อน

    Ebu tuelezeni Ezekiel 16:8

  • @user-up8uq3ih2i
    @user-up8uq3ih2i 8 หลายเดือนก่อน +1

    Yesu anatupenda hakuna kitu anacho ficha

  • @florencenshimi9353
    @florencenshimi9353 8 หลายเดือนก่อน

    Mi niulize suali ! Kwahio dhahabu tusivae nivya shetani pia ?

    • @stellapaul2442
      @stellapaul2442 8 หลายเดือนก่อน

      Hiyo si miungu migeen

    • @bedykedy3428
      @bedykedy3428 8 หลายเดือนก่อน +2

      We hyo dhahabu ukivaa inakusaidia nn?

    • @paulomtweve3819
      @paulomtweve3819 8 หลายเดือนก่อน

      Kama wewe n sayuni kwa Bwana haupaswi kuvaaa hayo madude maana ukiyavaa huitwa sayuni mwenye madaha na maringo Sasa ukifikia hapo sio sayuni Tena Bali umeharibikiwa. Soma isaya 4:16-25 ndugu utajifunza

    • @paulomtweve3819
      @paulomtweve3819 8 หลายเดือนก่อน +1

      Pia Kama wewe n sayuni haswa kwa kristo basi haupaswi kuambatana na mapambo kwasababu anayevaa mapambo huyo huitwa kahaba je wewe n kahaba hapo humaanisha hivyo kwakuvalia mapambo huonekana Kama kahaba.
      Ufunuo 17:1-5. Soma hapa utaona mwanamke kahaba na mama WA makahaba ndio alikuwa anavaa Sasa je Kama wewe unavaa kwa ajili gani je na wewe n mama wa huyo kahaba ifikie hatua tuokoke kwelikweli.

    • @paulomtweve3819
      @paulomtweve3819 8 หลายเดือนก่อน

      Ni isaya 3:16-25

  • @rerisamba
    @rerisamba 8 หลายเดือนก่อน

    🤣🤣🤣ati makatani gani hayo yasio isha nayasio paliliwa

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 8 หลายเดือนก่อน +1

    Amen

  • @blessedlovedandfavoured4129
    @blessedlovedandfavoured4129 8 หลายเดือนก่อน +1

    Aston adam anakuja lini Kenya

  • @tarimowakweli
    @tarimowakweli 8 หลายเดือนก่อน +2

    Amen