HAWA NDIO WATUHUMIWA SUGU WA MADAWA YA KULEVYA ZANZIBAR
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 เม.ย. 2024
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Vizuri lakini hao wapo wengi Sana Serikali ijipange Sana maana ni Mtandao Kubwa Huu Allah Awasaidie sana Katika kuwaokoa Vijana wa Kizanzibar maana wengi wameshaathirika Na Madawa ya kulevya
Wao kwa wao washageukana saivi mmoja wameamuwa kumkamata unga unatoka nnje ya zanzibar haukamatwi ukakamatwe chukwani ndani
Jambo jema sana na walaaniwe wanaofanya biashara hii ya kuua watu kwa tamaa zao za kimaisha
Asema tuu. Hao watarudishiwa mali zao na hilo jambo litaisha kiaina tuu.
Na pombe pia na mabangi mana ndio chanzo kwa mabaru baru kuanza kutumia hivyo na baadae wanangia kuvuta unga
Na vitendo vya wizi na unyanyasaji kijinsia kutokana na uuzwaji wa tembo,na bangi na madawa ya kulevya.
Kazi nzri sana . Watafuteni wote muwaeke ndani maisha. Na hizo mali zilizotaifishwa wasaidie ktk hospitali ili wananchi wapate kufaidika nazo.
Hapa kuna namna sijawahi kuwaamini Sirikali ya CCM direct hadi nijiridhishe.
very sad😢😢
Kata Shingo zao wauwaji hao
kazi mzuri Sana afande hakuna Kulala watokomezeni wahalifu.
Ndio unaqmini au
Piga wao risasi hata dini inakubali hao ni wauwaji
Tuekeeni bei ya hio hummer tujipime
WAKAMATWE WOTE WENYE BIASHARA HII HATA KAMI NI MAWAZIRI. ZANZIBAR BILA YA MADAWA YA KULEVYA INAWWZEKANA.
Vizuri
Kuna kipindi walikamatwa hawa mume na mke wote na wakaja wakaachiwa na wakaondoka huku bara wakaenda huko zanzibar
Ao ndo wote au
I'll watu hao wapatikane wekeni mabango ya picha zao ili tuwafahamu
Hii I'II, maana yake nini?
Sasa 15 million au billion 15 au ckusikia vzr
Kaka ni billion 15 sio milioni 15 hatariiiii sana Hawa jamaa mazungu ya Unga dah
Billion 15.
Haaa wanahalamm
Mtu akikuita ccm pigana mpaka ufee sasa hao kama ni watuhumiwa inakuwaje uwataje majina na mli uite zime taifishwa kwa sheria ipi ya kesi yao na wewe mpuuzi umekuwa ndiyo maharaja au jaji naona ulijiita mamlakaaa yaani mmm kidumu chama chenu bado matunda ya mapinduzi yanaendeya
Washageukana hao unga unatoka nnje ya nchi ya Tanzania na zanzibar wewe jiulize uko umepitaje mpaka kufika hapa ety ndio waukamate
Sasa zikitaifiswa izoo mali zinauzwa au zinatumiwa na watumishi wa serikali kwa mfano nyumba, na gari izoo, na swali jengine ayoo madawa yakipatikanwa mbona hatuoni yakitelekezwa kama kuchomwa motor au kufurugwa kuharibiwa kama vile wanavyo tuonesha vinywaji na mipodozi yanavyo telekezwa kwa moto?
Watu mamekula mipesa mingi ya serikali hakuna hata waliotaifisha mali zao mnawaonea tu hao
Safi kamanda wauweni tu wanaliangamiza sana taifa