JpM wakumbushe maana wanajisahau sana. Halafu hao jeshi la magereza wao sio wanajeshi, kwanini wanalegalega, ati mtu atolewe jwtz, ndiyo wawajibike. JpM unaakili ka nini
Mweshimiwa rais tunaona selikali yako anatufunga sisi tusio kuwa selikali mkituibia mnafukuzana kazi na mnafikia mpaka kusameana kwaiyo jela yetu sisi tu ?
Magufuli for change
Asante Mungu kwa kuikumbuka tanzania,tuombe tupate Magufuli mwingine 2025 au tumrudishe tena huyu.
Safi sana
Raisim. Mkweli. Namwenye uchungu na Tanzania mungu akubariki raisiwetu john pombe
Mzee.wangu.asante.kwa.ukweli.wako.mungu.akubariki.sana
R.I.P mr president
JPM MITANO MINGINE 😀😀😁😁😁😂😂😂😂😂😂😂TUNAKUPENDA WANAO
Hata kutenda ni mema ni njia moja wapo ya utakaso sasa unatubu ni wakati unajua ulitenda yampendezayo MUNGU
Mitano utampa wewe na ndugu zako 🐕 wewe
Rais tunaye hongela Tanzania
Magufuli for life
🙌🙌😂😂😂😂🗣🗣 Kumbe kasema yeye unyama unyamani
Setting a very bad precedent for a force that's known for being abusive.
Ambane atoke makamas😀😄😀🤸
😂😂😂 Asante Mjomba Magu Mitano Tena Kwako Baba 🙏
Ok shukrani kwa JPM
PENDA SANA MIE JPM😄😍🤩
Sawa
Unyamaa tu
😃😃😃😃
Nakata 1kwa1 kupitia hazina
Hahaha nmeipenda mageleza kukamata
Kweli wanadai hizo au hesabu ya kitabu? Tumezoea watu kudai hewa.
Huyo aliyeuziwa eneo la jeshi kwa nini asirudishiwe pesa na kuhamishwa?
Hili jamaa jinga sana, kuropoka ovyo tu
Unateseka? 😹😹🚮🚮
Saf mkuu
Adi feb 2 magufuri ulikua mzima na nguvu zako duuh🤧
Kazi kuwaonea waiba kuku ndio walio jaa jela Pumbafu
Muuba kuku cy mwiz?? Ana a za kidgwisho ataiba kikubwa
Yeye siyo mwizi?
Baba.kwa.kauli.yako.tunakuunga.mkonot
Unyama unyama
Hahahahahha nitamwambia pole,,lkn amekipata chamoto😂😂😂😂
Rais wanakupa kazi za ziada hupumziki wasaidizi wanakazi gani
JpM wakumbushe maana wanajisahau sana. Halafu hao jeshi la magereza wao sio wanajeshi, kwanini wanalegalega, ati mtu atolewe jwtz, ndiyo wawajibike. JpM unaakili ka nini
"Sa nyingine vifujo fujo kidogo vifanyeni"
Mzee 10 mingine
Kabisaaa
na ikiwa ni waziri wa ulinzi itakuwaj
Anataniatu
Enzi hizo Waziri wa ulinzi alikuwa Dr.Hussein Mwinyi (Rais wa Zanzibar)
Hapo makotopora ulikaa kama nani mzee kama askar au kama raia tuweke wazi.
Alikuwa JKT
Nini maana ya Denge..?
yaani natamani jpm 25 -30 tena
Ovyooooooooooo!!!
😍😆😁
Baba JPM tumekukabidhi nchi yetu.. uiongoze hadi utakapo chukuliwa ba MUNGU...🤲🤲🤲
Low l q
@@benedictmango8844 mbwa wewe
Rais unawavunja mbavu raia kwa kicheko
Nini maana ya Denge..?
Maana yake ni kipara
Unyama unyamani 🤐🤐
Mzee ukitoka embu tumjaribu na jesca tuone
mlango wako wa kwenda mbinguni huko wazi maana hauna siasa unatenda kweli kweli
..haendi mbinguni kwa kutenda mema,tunakwenda mbinguni kwakutubu dhambi zetu na kumwamini bwana Yesu..kuacha dhambi na kuishi maisha ya utakatifu!
🤣🤣🤣🤣 mzee anaongea kikakamavu
Atoke makamasi
😃😃😃😃
The father of Africa
Sure
Mweshimiwa rais tunaona selikali yako anatufunga sisi tusio kuwa selikali mkituibia mnafukuzana kazi na mnafikia mpaka kusameana kwaiyo jela yetu sisi tu ?
Tatizo lako wewe panya
Mgammbo hawana ajira na wanafundishwa mafunzo ya kijeshi
Aliyekuambia kila anayepitia Jeshi lazima aajiriwe ni nani?
Alafu kuna mijitu inajitokeza kusema eti aongezewe mda si tutatembea bila nguo! Huyu mzee hii miaka 10 inamtosha kwakweli.
Acha uvivu!
Vya bule vina uwa
Watu Kama wew lazma ulie two
Wache watoke kamasi
Kweli mijitu mivivu imepata shida sana awamu hii
7
Kama nimadeni wasame mbona ww nje una sema wa2 samehe mzee
Huna akili