Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akabidhi Nyumba za Makazi ya Maafisa na Askari Jeshi la Magereza Ukonga Jijini Dar es salaam.
Hotuba ya mkuu wa majeshi ya ulinzi inathibitisha nidhamu ya jeshi letu. Inafurahisha sana kuona kiongozi anatambua michango ya wengine. Kwa hali hii jeshi letu litafanikiwa sana kwa kila shughuli itakayokabidhiwa. Big up Mh. Rais, ama kwa hakika maono yako yanathibitisha wewe ni kiongozi wetu Namba 1
Mzee pamoja na kwamba hujaniajiri ktk ualimu huu mwaka 5 lakn nakuunga mkono na miguu na moyo pia. ..you're so strong
Angelina Simchimba vumilia tu omba mungu utafanikiwa
This is President...Mungu akulinde Raisi wetu
Hotuba ya mkuu wa majeshi ya ulinzi inathibitisha nidhamu ya jeshi letu. Inafurahisha sana kuona kiongozi anatambua michango ya wengine. Kwa hali hii jeshi letu litafanikiwa sana kwa kila shughuli itakayokabidhiwa. Big up Mh. Rais, ama kwa hakika maono yako yanathibitisha wewe ni kiongozi wetu Namba 1
Safi Sana rais wetu
Kazi nzuri Greyson Msigwa....
Iwelwe sheria,,mtumishi akikaa hadi kufikia miaka 50 ahame akae mwingine itakua vizuri sana
We are proud of you our president, we love you
👍👍👍👍👍👍👍👍
Safiiiii
Waziri yupo halafu tunaambiwa haonekani hapa jamani jamani kama wewe unafanyaje sasa🤣🤣🤣😂😂😂
Mi mwenyewe nimebaki nashangaa tu..... Ila nadhani alikusudia naibu waziri
Mh. Raisi ukitoa amri tuu kila gereza mkoa waweke mpango na wajenge nyumba nadhani watatekeleza tuu maana wana subiri amri
Mungu aendelee tu kumbariki huyu rais aisee 🙏🏾 mambo anayofanya kwenye hii nchi wenye akili timamu tunayaona.
😊
Mkote Ngoma!
Sema baba sema
Nani kajiuzilu
Nakusifiwa kote hajamsamehe jamn hahahaha hii kali kweli
Lugola kusifia koootee Mangufuli hajalii kakug'oa hataki kupokea sifa za kinafiki,nikutumbua tu