Nimependa jinsi huyu mdada alivyokuwa akimshauri huyu najma, at the same time tunaweza ila tunaharb wenyewe kwa kujitoa thamn, too deep feeling, words on true territory with cosniquences emotional 😢😢 adorable and sweet series🎉🎉
Dada Kuna kityu nimeipenda apo kwenyew ushauli wa mapenziiii daaaaah nkupnda jomooooooiniiii umeongea bonge la neno dear❤❤❤ mmmmh nimempnda mnoooooo jomooooooiniiii ushauli mzuliii mnoo
Kwa hilo wazo la HANIFA kwa mdogo wake sio zuri ndio maana wanawake wengi hawana ndoa zao kisa kujifanya napenda sipendi. Speak out your heart to the person you love and let them decide to love or not to love. Mwenye masikio na asikie sito rudia.
Nimependa jinsi huyu mdada alivyokuwa akimshauri huyu najma,
at the same time tunaweza ila tunaharb wenyewe kwa kujitoa thamn,
too deep feeling, words on true territory with cosniquences emotional 😢😢
adorable and sweet series🎉🎉
Oe sogea nikuchanechane kama maganda huyu dogo anajua big chado kumchukua big fan from +254🇰🇪💥💯📌📌
Jaman hivi mnaonaje series ya mission impossible chado ni namba moja kwenye kutoa kazi kwanza acheleweshi kazi anaekuwa pamoja na mie gonga likes hapa
Kuomba like tu kuoga aka
Shida yako kuomba like tu hapa
daa kwer aisee ananitishaa
Kweli kabisa ❤
@@AllyMkola-u7e kuongea ongea kuoga aah
Naipenda sana hii movie kwakweli,, washkaji wana igiza vzr direction imekaa vzr sana... WE LIKE
Kazi kuomba like tu kuoga aka
@@AllyMkola-u7e hahaha kunisimanga TU kutoa like kimyakimya aaaaah🤣
2ouh hanifa wetu Karib Sanaa tulikua tunakumiss san dada yetu 💞💞💞
Yaani hakuna kama chado master nakubali mwamba big fan from kenya +254🇰🇪💥💯📌📌
Mimi hapa Simba WA teranga kutoka Mombasa , Kenya Kwa kweli napenda movie za chado masta na gozi director hongera wazito
Na mimi Mrs chado from +254 nipeni hata like 10😂😂 hongera sana my wangu chado
Kuomba like tu kuoga aka
@@AllyMkola-u7e 🤣🤣🤣
Mimi ndio nimemalizia like ya kumi zawadi kwangu
@@JudyErick-e5l 🌹🌹🌹🥰😘
Watafuta kesi na wakenya ww nakuona
Dada Kuna kityu nimeipenda apo kwenyew ushauli wa mapenziiii daaaaah nkupnda jomooooooiniiii umeongea bonge la neno dear❤❤❤ mmmmh nimempnda mnoooooo jomooooooiniiii ushauli mzuliii mnoo
Kwa hilo wazo la HANIFA kwa mdogo wake sio zuri ndio maana wanawake wengi hawana ndoa zao kisa kujifanya napenda sipendi. Speak out your heart to the person you love and let them decide to love or not to love. Mwenye masikio na asikie sito rudia.
Yaan naipenda hii muv hasa wakikutana chado na kidem jau na jisong wanalowekewa mm hoi
Wa kwanza from kenya ❤❤❤
Tunawakubali sanaaa ❤❤❤ ila mnachelewesha bhana tunasubiri episode nyingine
Geto Muhimu Mkùu Lazima Aje UYooooh 😊
""Make sure when you come gheto don't come with police""😂😂😂😂 CHAKO NOMER
He Leo Mimi wakwanza 🇿🇦🇿🇦🇿🇦
Namwelewa sn cheusi
Nimefurahi sana kumwona hanifa tena
DOUBLE J
From Kenya naikubali vibaya sana❤❤❤❤❤❤
Huyo dada wa shule anajua sanaaaaa
MaGEN-Z wa Kenya nipeeni likes bana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mkenya kwa like kuoga aka
❤❤❤🇰🇪🇰🇪
@@VillaviaChemutai-if2ry 💕💕💕💕💕
Tuko apa 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Jmn chado msafi hadi nimempenda buree❤
KITOTO CHA SHULE KINAMFANYA MUHUNI ASAFISHE GETHO ILA MAPENZI HAYANA MBABE😂❤😅
Mapenzi upofu 😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂
Apo n lzma useme
Chado umeuwa babaaa salute
Ila muandishi wa hiyo ngoma anajua saana tena sana nipeni nimalizie vec ya pili maana uvumilivu umenishinda
Asanteni sana dada hanifa nimejifunza kitu kikubwa san leo wacha nibadilike sasa kubitia maneno aya ❤❤❤❤
Code hii wanaelewa wachache Chado😂😂😂😂 Geto la masela linatandikwa na kufagiliwa kwa matukio tu😂😂😂😂
Chado baada ya baga ni ww unaweza sana hizi movie za kihuni ndo tunazitaka sana uko vizuri unaziweza sana
Nakukubali sana chado kudoka Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Chado Master we ni noma kama jina lako yaani Toka uachane na mkojani movie zako zimekua ni tishio, sana kaka.!!
Naupenda huo wimbo ❤❤❤ please 🙏 chado tupe huu wimbo hapa TH-cam full 🎉
Hakika ata mimi nimeupenda 🎉
Wimbo waitwaje huo
😂😂😂
Sanaaaah Janja Unajua 🎉🎉🎉🎉🎉🎉Maua Yako Ayoooooooh☠
Alafu mtoto uko na vibe alafu ebu niongelee kwa chado akikubali nakuja na fare yangu from 🇰🇪🇰🇪
Oyoo wa kwanza leo, naomben at likes mbil tuu kwa kuwa wa kwanza🎉
Kuomba like tu kuoga aka
@@AllyMkola-u7e kureply tuu, ku view aahh
❤❤❤ kz nzr chado mungu abariki kz y mikono yenu iyendelee kufanikiwa zaidi
Jamani tuna juwana wa penzi wa mission impossible nipeni like zangu APA
Kazi kuomba like tu kuoga aka
Huyu kidem jau yupo vizuri sana❤❤❤
Oya kidemu jau katisha sana❤🎉
Kazi zako chado ni nzuri na ziko chapu
Naomba kujua jina la iyo nyimbo maana na mm Nina chado wangu huku kitaa siwezi kumwacha siwezi kabisa muuni akipenda weee😂😂 ogopa
Hy nyimbo inaitwa NGINJAAAA NGINJAAAA
Kazi nzuri sana Mr. Chado
Nimeikubali hii move jmn nakupnd san najma na mpnz wak chado
Oya Ngwengwe sio poa kamshikia cheusi topazi😂😂
Movie kali ngoma kali Ingongo ingwe👊😂
Yaitwaje Io song
❤❤Move moto walai naipenda mungu awalinde Kaz nzuli pia mnatow kwawakat
Yule mtoto michano kachanganyikiwa kabsa 🤣 kucha kuchana tu kusoma aahh
Jamn chado nakukubali kinoma yan
Jmni hyo nyimbo inaitwaj jmn
Kama unamkubali dogo kwa rap yake em tukutane kwa liks afu thnks sana chado unatupa burudan kwa wakat from 🇰🇪
kamdiss young lunya
Dogo anajw sana
Chado master mission impossible 😂😂😂nakukubali mwanangu chado uyo mtoto anajuwa sana🎉🎉🎉
Chado mwamba wa love jamanii
Jombii unategea mtto siyoo semaa nn mm nakukubalii chadoo👊
Ndiyo. Nimeanza kumfatilia yes chado and bïnt wako hot
Chado pngela kwakazi nzuli kiukweli umeweza 🎉🎉🎉🎉
Oya we umeua chado master
Yn mm nlivomuon tu baga aseee🥰nkasubscribe
Safi sana chado
Nawapenda sana Chado na Alidady❤❤❤
sseries tamu sana sauti inazinguwa huko mwisho
Nimemuona Anifa wang❤❤
Roho imeniuma sana 🤣 ghetto limesafishwa😮
Nimechelewa elaa nimefika Nice job chado and your team congratulations ❤❤❤ from 🇰🇪
Geto la msela chadoo😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤
Kwakweri ata mm napenda wanaume waivyo wahuni maana wanamapenz yakweri sana ❤❤ nawapenda kuliko wale wenye sura za mama Wanao ramba ramb midomo aku 😅
Nzuri sana tunawapenda sana ❤🇹🇿
Kidem jau😂 sema wahuni cjw rejista zao wanaztolea wp Gonga like bs kwa team Chado master
Waoooo good 👍 katoto
Wanagapi uwaga atufanyi usafi mpaka tuwe tuna uwa kika wa demu kuja magetoni😂😂😂😂😂😂
Chado kaka nimemsubil mchumba ang dada wa taka anagonga mlango talatibuu alaf aongei😂😂
Chado anavyongojea kidemu shule dah mpaka kufagia hatariii
Chado nakukubali mwamba
Kuandaa move ni kipaji❤❤❤
Dogo ngwengwe Anaiweza sana 🤣🤣 nimemkubari dogo
sana chado🎉
Cheusi unagubu ka mama wa kambo kumbe ngwengwe kashakupereka😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Chado nakupenda
Mbona huyu bint nakoromeo kama mwanaume au huyu bint anajinsia mbili?
Alikwambia mwenye jinsia 2 anakoroneo nani kiropoka tu ss hp koromeo liko wp uyo ni mwembamba lzim maunvio yk yaonekane
Oya mwangu chado nawakubal ww na mwamba hyo Baga pamoja sana
Jamn jamn najm unawez sanaa
Chado nakukunali sana mwanangu sio poa yani niatali unetisha sana chado kwenyehii muvi unetisha sana
Chado nomaa sana❤
Nmechelewa lakn pia nmefrahi kuona dada alfa, najipata kama wakwanza ivii😅😅😅
Jmn mm napenda hii nyimbo jmn
Kazi nzuri 🎉🎉🎉 like tafadhari
Chado family BGP sana 💪💪💪Kazi nzili sana
❤❤ Good job kaka
Gosto muito dessa pita from 🇲🇿🎉🎉🎉
Nakubali chado master nikiona umeigiza muhuni ninoma❤❤😂
Najma ebu achana na chado mtumzima
Jamani hii nyimbo yanimaliza wallah
Aliyeimba nani
Hata simjui mahi
Chado toa hata 3 mzee nakubali sana
Nani kaimba huo wimbo nimeupenda jamani
Safi Sana bwana chado masta next plz 🥺🎉🎉🎉❤❤
Hii nyimbo nimeipenda sana kaimba nani?
😂😂😂😂 chado imekuwa zam yake kuteseka dadeki fulu kutandika kitanda
Movie zuri but kuenda mwisho haiongei jamani ebu angalia mitambo
Sema tuu Khanifa ndo haonekani kwenye movie
Wimbo huo wanan
Oya eeeh mwanangu chado tupangie ji movie na nangwa .. kutoka kenya 🇰🇪
Nakubali chado master..muhuni leo anasafisha ghetto..