Wazo La Mjinga Part 2 - Mohammed Kombo, Mafunda Baraka, Dada Rose (Official Bongo Movie)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 23 ส.ค. 2018
- Subscribe to Wyld Pytch / 51 Lex: bit.ly/WyldSubs
Wazo La Mjinga Bongo Movie 2018 Part 2 (Swaleh)
Wyld Pytch / 51 Lex Records
Web - wyldpytch.com/
Facebook - 51LexRecords...
Twitter - / wyldpytch - บันเทิง
Mzee mwinyi usiape kwa mambo ya upumbavu
mganga j k u mtoni 2008 umemaliz sasa unaekti mchezo hongera Allah aibarik kazi yenu
Mwinyi ndio faida yakutomuamini mungu ulisema umasikin mwisho mwane haufiki hata likon
nimechelewa lakini nimefika
mzeemwinyi kuwampole haifai mwanaadamu kuwamkali
Mchezo mzur sanaa unatoa funzo kwa jamii kwa kwel
Mwinyi usinichekeshe mm na mawazo yako ya kuuupuuzi
Mchezo una mafunzo sana.hongerani sana mwinyi na kachara mpo vizuri sana mkiact pamoja,funzo kwa wazee wenye tamaa ya pesa na kupenda utajiri 12.02.19.
Napendaga sana kazi zenu good
Hhhhhhhh mzeee kachara c mt mzur heeee kwa alich mfanyia mai mpk kuachw n mwinyi kufedhehek
Mzee mwinyi mchezo pambe kw kwel
mwinyi mpeku wapeku laungo
Mashaallah Allah akuhifazi
Mwaamuuza uyu
Hongereni
Masha Allah Story ni nzuri na imetulia sana, hongereni sana wahusika
Hahahahah tamaa zitatuua hizi😅
Mzee Mwinyi kawehuka kwa kutafuta mkwe mwenye pesa .
Wazazi tuache jamani , mwisho twawaingiza binti zetu kwenye mitihani kama hii .
Mchezo mzuri mwinyi unavituko bwana. Nakukubali
Mashallah yarabi awazidishe kipaji chenu jamani rahaaa
Story imetulia nimeikubali
Hii ndio faida ya kuwodhesha matajiri
Kachara😂😂
Safi sana
Ikopo sana 👍
Kazi nzuri sana
Kafinyange wako wa dogo yaani daah hii kali sana nimeipenda wallah
Hahaha tamu sana tieni bidii ndugu zangu
Nawapenda sana wazanzibar wenzangu
Nawadharirisha familya nawatembeza uchi
Mwinyi apenda ushilikina lakini kachara simkweli nimjanjasana katika uganga
Mashallw amependeza bwana arus
Laki 3 bc nshungwa 😃😃😃
Muvi nzuri infundisha
Kitatange mmempa nafasi ndogo from katar
Kiukweli.wapemba.munajuwa.sana.ila.najuwa.wazamini.hamuna ila tutawatowa tu
Mzee mwinyi unaapa vibaya bahna
hahahaaaaaa movie nzuri sana
Mwinyi puunguza viapo mungu haekti wala hataniwiii
Hahaha hahaha hahaha
Nice movie
good movie
Mashallah.. Una mafunzo
iko poa sana .
Walah naijoy sana ninapo angalia senema zenu..
Sanaa
Atar wallah 🤣🤣
nakukubali mwiny😅😅
Hahahaha ati nikukumbuke wee ni mtume Muhammad
Hahaha Mzee mwiny bb ang shikamooooo
😂😂😂
😁😁😁😁😁
Pesa jamn
mmmm
Mwinyi mbona mgovi
Yaan jamn napenda kwenye uganga
Dua la kunguni...😂😂😍
Kher hailiwaa
Ebwanaeee
Waiti nakuona wacheka
huyuu dada kwenye kulia kachemka hawezi hayupo siliaz
Siliaz ndio nn..!
Abdul😃😃😃😃😃😃🤣🤣🤣🤣
a mwinyii wabeeeee❤
Hana mafunzo mwinyi hana adabu
Mzeee mwinyi yan utazani mwenda Wa zim kbs yan bb kama huyo bismillah allhamndulillah
Tamaa ilimuuwa fisi
Umeonaee da Naima
Mwinyi hatari ww matusi 😂😂😂😂😂😂😂😂penda ww
mzee mwinyi huishi maneno uwiiii 😂😂😂
Nimekuelewa Dkitar
Hahahaaa mwinyi bana
Kkkkk....mwinyiii umenipunga kwel
Hahahahahaha milioni moja ni kidogo
Jaman bwana arus mapoz ming
Wapemba wenzangu mpo from Pakistan
Wawenzio wawatak wakati huna ata Lapa ila wako wataka uwape watu wenye uwezo gar,Honda, Vespa. Mhh palipo moto na moshi utakuja
Mkovizuli Sana. Wanamwita mwinyi
Hahaha hawa wazee hawawachi mtu salama cheka mm jamani
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤👍👍👍👍👍👍👍
😅😂😂😂Tamaaa
Kitambo sana nimeimixx hii movie mpk leo 10/11/2019 hlf hile movie yenu yamwanzo ya chauvivu hamujairuxha
Mwanamke kaumbwa kwa ajili ya raha na sio shida kejeli matusi au kumfedhehesha mitaani hata kwa mtu mmoja, mwanamke ni heshima anapaswa kuheshimiwa, mwanamke ni pambo hakuna budi kulitunza nakadhaalika, lkn hata ukimuona mwanamke anadhiki au shida ujue ni mtihani tu kwasababu ya maisha au umasikini lkn sifa ya mwanamke ni kuenziwa na sio vipigo mpaka kidonda, tuache tabia ya kuwafedhehesha wanawake hasa tukiwa maskani kwa kuwasema sema au wakipita kuanza kuwatukana hiyo sio sifa ya muungwana, mwanamme rijali anajua umuhimu wa mwanamke maana wao ndio mama zetu, kwaiyo tujitahid sn kuwaheshimu na kuwalea wanawake, zipo njia za kumtuliza au kumpiga mwanamke, je unajua ni njia ipi hupigwa mwanamke, moja, mwanamke hupigwa kwa pesa na ya pili hupigwa kwa dhakar kwa yule alieolewa bas! Filam nzuri sn kutoka Pemba kisiwa cha karafu na marashi yake, nimemis sn 🌷❤🌹
Naam
@@omanmuscat3461 asante
Mashaallah mume n mke wamependeza
😂😂😂😂😂😂👌👌
AAA kwa jembe wannikosa
Unamenge mpweku
Laki tatu bas shungwa
Dah mwinyi
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Hahahaa
Nice
Ert kwa jembe wannikosa
M
Hahahaha kitatange
عايشه سعيد com
Ok
Wapemba tunaweza
Sanaa
Pemba wanajua
Hahaha huyu mwinyi huniwacha hoiih
Hahahaa