😂😂😂😂 I remember my kungwi when I got married I 2004, they put this song on my kitchen party and Swahili teachings.... May you keep resting In peace mammy... Jannah tul firdaus😢
Mwenyezi Mungu hakupi Kila kitu ,aso like ana hili,ukweli ni kwmba hadija kajajaaliwa nyota,ndo maana kafunika Kila mwimbaji wa nyakati hizo na WA Sasa,huyu Nasma alikua anasafiria nyota ya hadija .
siyo tu kwa wanawake hâta kwa wanaume usafi unaitajika asante sana kwa wimbo huo iliyo bora kutoka DRC 🇨🇩 Kivu kusini Tarafani fizi jijini baraka tuko pamoja 🤝 Saba
You rest in 2009 but you still allive. 2023 bado tunakusikiza. Rabana mrehemu bi nasma.
like will ever happening again...
imagine not loving taarab flavor music..
am still listening a beautiful song 2023
ALLAH yarham .Bi nasma nikama alikua na asili ya kinyarwanda she was very beautiful mashallah 💯
😂😂😂😂 I remember my kungwi when I got married I 2004, they put this song on my kitchen party and Swahili teachings.... May you keep resting In peace mammy... Jannah tul firdaus😢
Dah😢mekumbuka zamani sana mpaka sahiv 2/9/2023
Wazungu kweli hamnazo oooh ngoma niushetani
😢😢Allah akulaze mahali pma Shangazi angu
Hapana malkia atabaki kuwa ivo malkia sijaona cha kumtisha hadija kopa hapo nyie acheni ubwege ❤❤❤hdj kp
Kopa hapo alitokota kama hujui.
Nasma ni moto wa kuotea mbali enzi zake. Usilete ubishi huyo ndio kiboko ya sanamu la michelline
One of the the funniest fact song ever 😂
Eti; “Mwanamke mazingira bibi siyo kunuka kikwapa 🤣🤣
Usizani kata mti, panda mti, usafi waitajika”😅
Beautiful. Pumzika kwa amani, alama ulizoacha kwenye taarab hazitafutika!
Nikweli kabisa
Mwenyezi Mungu akurehemu Dada pia akupunguzie azabu ya kaburi
Nimeshaitafuta,🥺 thanks legend,
Wa jina rest well dear😥😍😍😍
Pumzika kwa amani Dada yangu kipenzi
Eeeeee mama wa.kilwa kivinje alla ailaze roho yako peponi
Manshallah huo ndo wimbo
Huu wimno nakikumbusha mbali sana
Unanikumbusha mbali sana!
Ujumbe mzuri kabisa
Lait ungelijua unavyotia kichefuchefu😊😊😊😊
Wimbo wa nyakati na vizazi vyote
Very nice.
Huyu alikuwa kiboko yao,,,kopa alikuwa anafunikwa kila kitu kwanza mwenzie mzur Na alikuwa Na bonge la shep
Mwenyezi Mungu hakupi Kila kitu ,aso like ana hili,ukweli ni kwmba hadija kajajaaliwa nyota,ndo maana kafunika Kila mwimbaji wa nyakati hizo na WA Sasa,huyu Nasma alikua anasafiria nyota ya hadija .
siyo tu kwa wanawake hâta kwa wanaume usafi unaitajika
asante sana kwa wimbo huo iliyo bora
kutoka DRC 🇨🇩 Kivu kusini Tarafani fizi jijini baraka tuko pamoja 🤝 Saba
PUMZIKA KWA AMANI NASMA HAMIS KADOGO
Thank you dood bress
Kun mti aniambie mwak gn pls walikuw wanashindan n hadij kop walikuw wanabifu yy alimuimb wadudu wadog wadog wanabyevua nyevu
Taarabu Ni nyimbo flani hivi hazi wezi mchosha msikilzaji Miaka 10000....
Nim uta futa hii nyimbo ambay nilkuw naiskia wakat nina miaka 7 ,8 😂😂
Hivi unamiaka ngapi
Una kama miaka 24 kitu kama icho au nimepoteza kumbukumbu 🤔🤔🤔🤔
Kiboko ya hadija kopa
Nakukumbuka sana mamy 3023
Asubutuuu
Khadija Kopa huyo ndio kabali yake haswa.
Allah amlaze mahala pema peponi.
Chuma Khadija kopa ajua shuuri yke
Bass haya
😢😢😢😢