Nasma Hamisi Mwanamke mazingira

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 40

  • @judymrosso2725
    @judymrosso2725 ปีที่แล้ว +4

    You rest in 2009 but you still allive. 2023 bado tunakusikiza. Rabana mrehemu bi nasma.

  • @HazardLegend-cg3so
    @HazardLegend-cg3so 10 หลายเดือนก่อน +2

    like will ever happening again...
    imagine not loving taarab flavor music..
    am still listening a beautiful song 2023

  • @kamekonas3547
    @kamekonas3547 3 หลายเดือนก่อน

    ALLAH yarham .Bi nasma nikama alikua na asili ya kinyarwanda she was very beautiful mashallah 💯

  • @TrippleM254
    @TrippleM254 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂😂 I remember my kungwi when I got married I 2004, they put this song on my kitchen party and Swahili teachings.... May you keep resting In peace mammy... Jannah tul firdaus😢

  • @meddytoto93
    @meddytoto93 ปีที่แล้ว +2

    Dah😢mekumbuka zamani sana mpaka sahiv 2/9/2023

  • @madarakaiddi
    @madarakaiddi หลายเดือนก่อน

    Wazungu kweli hamnazo oooh ngoma niushetani

  • @JonathanBulendadavis
    @JonathanBulendadavis 2 หลายเดือนก่อน

    😢😢Allah akulaze mahali pma Shangazi angu

  • @SalumuAlly-d9q
    @SalumuAlly-d9q 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hapana malkia atabaki kuwa ivo malkia sijaona cha kumtisha hadija kopa hapo nyie acheni ubwege ❤❤❤hdj kp

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir 2 หลายเดือนก่อน

      Kopa hapo alitokota kama hujui.
      Nasma ni moto wa kuotea mbali enzi zake. Usilete ubishi huyo ndio kiboko ya sanamu la michelline

  • @abelremi5063
    @abelremi5063 2 ปีที่แล้ว +4

    One of the the funniest fact song ever 😂
    Eti; “Mwanamke mazingira bibi siyo kunuka kikwapa 🤣🤣
    Usizani kata mti, panda mti, usafi waitajika”😅

  • @anselmmwajombe2034
    @anselmmwajombe2034 2 ปีที่แล้ว +5

    Beautiful. Pumzika kwa amani, alama ulizoacha kwenye taarab hazitafutika!

  • @DollyChitumbi
    @DollyChitumbi ปีที่แล้ว

    Mwenyezi Mungu akurehemu Dada pia akupunguzie azabu ya kaburi

  • @fathmambabazi1371
    @fathmambabazi1371 2 ปีที่แล้ว +2

    Nimeshaitafuta,🥺 thanks legend,

  • @tiffusumaiya1342
    @tiffusumaiya1342 ปีที่แล้ว +2

    Wa jina rest well dear😥😍😍😍

  • @FrancisGerald-hq8li
    @FrancisGerald-hq8li 5 หลายเดือนก่อน +1

    Pumzika kwa amani Dada yangu kipenzi

  • @khatibmako3500
    @khatibmako3500 10 หลายเดือนก่อน

    Eeeeee mama wa.kilwa kivinje alla ailaze roho yako peponi

  • @joharikibitha9092
    @joharikibitha9092 2 ปีที่แล้ว +2

    Manshallah huo ndo wimbo

  • @Rayyan2021-s1d
    @Rayyan2021-s1d 10 หลายเดือนก่อน

    Huu wimno nakikumbusha mbali sana

  • @MwanaMakuka
    @MwanaMakuka 10 หลายเดือนก่อน

    Unanikumbusha mbali sana!

  • @KzbBoy
    @KzbBoy ปีที่แล้ว +2

    Ujumbe mzuri kabisa

  • @jerrjamary2649
    @jerrjamary2649 ปีที่แล้ว +1

    Lait ungelijua unavyotia kichefuchefu😊😊😊😊

  • @joashsichangi9788
    @joashsichangi9788 ปีที่แล้ว +1

    Wimbo wa nyakati na vizazi vyote

  • @PeterMakona
    @PeterMakona 2 ปีที่แล้ว +2

    Very nice.

  • @rachaelmbega9691
    @rachaelmbega9691 ปีที่แล้ว

    Huyu alikuwa kiboko yao,,,kopa alikuwa anafunikwa kila kitu kwanza mwenzie mzur Na alikuwa Na bonge la shep

    • @alihamisi8440
      @alihamisi8440 7 หลายเดือนก่อน

      Mwenyezi Mungu hakupi Kila kitu ,aso like ana hili,ukweli ni kwmba hadija kajajaaliwa nyota,ndo maana kafunika Kila mwimbaji wa nyakati hizo na WA Sasa,huyu Nasma alikua anasafiria nyota ya hadija .

  • @davidalengaingenieur1760
    @davidalengaingenieur1760 ปีที่แล้ว +2

    siyo tu kwa wanawake hâta kwa wanaume usafi unaitajika
    asante sana kwa wimbo huo iliyo bora
    kutoka DRC 🇨🇩 Kivu kusini Tarafani fizi jijini baraka tuko pamoja 🤝 Saba

  • @libetztanzania-kiswahilina2845
    @libetztanzania-kiswahilina2845 5 หลายเดือนก่อน

    PUMZIKA KWA AMANI NASMA HAMIS KADOGO

  • @salumusalumu8376
    @salumusalumu8376 ปีที่แล้ว +1

    Thank you dood bress

  • @SaidAlharrasi-d7o
    @SaidAlharrasi-d7o ปีที่แล้ว +1

    Kun mti aniambie mwak gn pls walikuw wanashindan n hadij kop walikuw wanabifu yy alimuimb wadudu wadog wadog wanabyevua nyevu

  • @pmall8867
    @pmall8867 2 ปีที่แล้ว +6

    Taarabu Ni nyimbo flani hivi hazi wezi mchosha msikilzaji Miaka 10000....
    Nim uta futa hii nyimbo ambay nilkuw naiskia wakat nina miaka 7 ,8 😂😂

    • @dianawefila8345
      @dianawefila8345 ปีที่แล้ว

      Hivi unamiaka ngapi

    • @fatoma-go2su
      @fatoma-go2su ปีที่แล้ว

      Una kama miaka 24 kitu kama icho au nimepoteza kumbukumbu 🤔🤔🤔🤔

  • @shelyamtangi6884
    @shelyamtangi6884 2 ปีที่แล้ว +14

    Kiboko ya hadija kopa

    • @rashidisaidi8535
      @rashidisaidi8535 ปีที่แล้ว

      Nakukumbuka sana mamy 3023

    • @nassorseif2803
      @nassorseif2803 11 หลายเดือนก่อน

      Asubutuuu

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir 2 หลายเดือนก่อน +1

      Khadija Kopa huyo ndio kabali yake haswa.
      Allah amlaze mahala pema peponi.

    • @SigwaMkinga
      @SigwaMkinga 27 วันที่ผ่านมา

      Chuma Khadija kopa ajua shuuri yke

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 ปีที่แล้ว +1

    Bass haya

  • @hadeeegahalmawali504
    @hadeeegahalmawali504 2 ปีที่แล้ว +1

    😢😢😢😢