ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Taarabu imenikumbusha mbali sana mpka machozi maneno ya huku ni konki wangpi wko apa kama mimi 2019
tuko sote mamaa ...ni wako akiwa kwako akitoka nje si wako
Na moyo sio jiwr
Namoyo sio jiwe
Mimi Niko hapa kama kawaida.
pamoja sana
Wangapi tumekuja baada ya interview ya shamsa wasafi kumpa ii dedix aunt tujua gonga like twende sawa
Mimi hapa
Oooooh sure the days are passing very fast,it is like yesterday when I was a kid,this song really brings a lot of old memory to me
Nyimbo nzuri sana hii.
me too listening to it today 03/01/2024❤️❤️
Mwambie mwambie huyo mpasulie huyo😘mpee mpee mpee vidonge vyake akimeza akitema nishauri yake 😘😘😘😘
Mwanahawa Ally the true East African melody icon
Allah akuridhie Amina Chifupa(AC) kipindi hicho clouds moto Africa bambataa naiomba hiyo huku ukinirusha hewani.
🎉It reminds me of kbc during presenter khadija Ali. Following from Kenya 😘
Yaani WATANZANIA kiboko mtu anachambwa ,we unarelaxxx 🤣🤣🤣🤣Shikamo nyumbani 👑👑
Kinyago cha mpapure enzii zile saaa 8 mchana radio Zanzibar kila kona unaskia huu wimbo na kijuzuu chako unakula kona chuoni.....
Kitambo sana
Mapenzi yako dhaifu, kachumbari upungufu, bwana yameshamkifu, kakutoroka mpofu 🔥🔥🔥
😀😀
😅
Imebidi nije kusikiliza 😅❤ asante dada Shamsa...🎉eti kinyago cha mpapule 🙌😃 aiii
Kama umekuja kusikiliz huu wimbo wa kinyago cha mpapure baada ya shemsh kump dongo anty Ezekiel nipe like tujuane😃😃😃
Haha mi sikuujua kabisa ikabid nije leo
Ha ha haaaa ,kumbe tupo wengi
😂😂
This song reminds me of my late auntu lily at rahmisi she died very painful death and loved this song soo much ..may her soul rest in peace 😢
@@mariamatieno5802may her soul rest in peace🙏 sorry 😢
Reminds me of my hard time in college in early 2000. It was like National Anthem
Midomo mirefu kama chupa kazi umbea tu 🙌🙌🙌
Umeona eee
My best taarab song of all times, Mwanahawa Ally 🫡🫡
2020. logging in. This is when music was music. Ni wako akiwa kwako.Wewe maji kwako sumuSabuni kwako bomuMswaki risasiColgate super glue.Dead.
nmekumbuka mbali kwel 😭😭😭😭pumzika kwa aman bibi yang mzaa baba ....ommy meja Amina pengo tulikuwa tunamtania b Zena
Kwani mwanahawa amefaliki😳🤔
Daah noma xana enzo hizooooonakumbka mvali xaana
Wow nimekumbushwa mbali
Big up sana mamaaa wape wape hao kinyago Cha mpapure
Dah miaka ya 2000's huku Kuna nasma kidogo kule mwanahawa ally na hapa mama kopa 😂😂😂 radio one mida ya mchana kuanzia sa sita
Daaaah mbaka nimetoa choziiiiii😢 nimekumbuka mbaliiii Saaana😔
kinyago cha mpapure; sanamu la Michelin... duu nomaa sanaa
Ilikuainapendeza
Inanikumbusha 2000nikiwa Arusha Tz mererani kwa my brothers
High school memories...hadi national na hii taraabu wacha tu...
kinyago cha mpapure, midomo mirefu kama chupa, kazi ni umbea tu, yako unayo kibao.... dole juu Mwanah
mpe mpe mpe akimeza ni yy shaury yk raha sanaaaa
Niwako hakiwa kwako hakitoka inje siwako hapo sasa
Hahahaaaa
Naipenda taarabu sna respect mam taarabu
Namkumbuka sana mamangu. Huu wimbo aliupenda sana
Fxg0
Bbc
Jb Hj
J
Vc
Imenikumbusha mbali saana miss saana dar
Asante sana mpenzi katika nyimbo nnazozipenda.
Inanikumbusha mbali sana Mombasa Kenya
Jamani hii nikiboko saaaaana
Huaga nakumbuka moro chamwinoo sambaba, aisee mhh kipindi bado sura mpya
😄😄😄😄
Kinyago cha mpapure ndio utambulisho wa kiwango cha juu kwa Modern Taarab
🎉kafata magoma taff ya mastaa wazoefu😂😂😂
Mashallah 👍 very nicely songs sing song Mashallah Mashallah your voice from paradise mashallah 👌
kwa hakika huyu mama ananyimbo nzuri
Nipeni..namba.za..huyu..mama..yani..nyimbo.zake..ni.kiboko..nataman.nimzawadi..tu..jamani..mwambieni.naomba.tuchati..nae.kwa.whas.pp.nimtumie.tu.zawani..naumwa..Aisha.kutoka.254
Plz..naomba..namba.za..ko
Angalia interview yake zamaradi tv kataja namba zake. Msaidie mwaya ana hali mbaya
huwa najisikia kulia nikisikiza hii nyimbo maana nakumbuka mengi mno ya nyuma
usilie mana kiukweli hatamimi nakumbuka nking'ang'aniwa kipindihichoooooo
Oh!Peleni.....ujana uwandawazimu kweli unakua kumbe .
Mimi nimelia kwakweli 😭😭
Si mimi katu si mimi si mimi nnokuibia mi simtaaki wako nnae mpenzi wangu rahaa tupu
Reminds me of when i was just a baby and my aunty a pure mswahili knew this by heart....LOL watching in 2022....LOL
Wazanzibari Kwa maneno duh hatar sana hahaaah
Ahmed Abdalla@haaa...haaaa...
Ahsante mwanahawa ally
2019 mpe vidonge vyake akimeza akitema hyo nishauri yake kazowea huyo kuyasema yawenziwe aaaaa ujumbe huo
Huyo unaesema wako sio wako ni wako akiwa kwako akiwa nje si wako hehehe kinyago Cha mpapure
Shairi lenye Uzi to
Malkia wa uchafu,,usichunguze ya wa2 yko ww yanakushinda,,...2019,,first week,who z there...😍
❤❤❤❤❤ NYAMAZA NIKU STIRI
Unamstiri nn usimfiche chochote mwambie mwambie huyo mpasulie huyo🤏
Nyimbo tamu sana❤
Nimekumbusha Bali Sana dada
R.F.F DISCO TECK. magomeni zanzibar dj mimi ,dj rama,djmda,dj Rai mwenyewe,dj Hafidhi palikuwa hapatoshi enzi zetu R.F.F mlangoni yupo Ali Hamdu na Pandu Halidi hahaha
Zilizopendwa oyeeeeeeeeeeee
Tuletee nyimbo yake ya ... naililia bahati masikini sikupewa
Duu enzi hizo baba yang kaoa mke wa pili bas wakawa wanachuana hatareee
Lazima ulie maana yawe yanakupiga kweli
Hahahaha
Dah, ilikuwa Raha sana
Mamboooo ayooooooooooo 😅😅😅😅😅😅😅
tbt waooo very good song
Huyu mm napenda sana nyimbo zake wape mama
Enzi hzo watu walipigana maharusi kwa ajili ya wimbo huu😆
siku hizi hamna taarabu. kuna makelele tu
duh
Sana tenaa
Jamani mnanikosha Sana pia naomba Taarabu ya gubu la mawifi nimeolewa na mmoja cio kumi na moja
Umeona ee
Imenikumbusha bari sana
Nice song kinyago champapureeeeee!
Yani hii nyimbo inanikumbusha mbali sana nikiwa sekondari moshi technical enzi ya uhai wangu safi sana
Saiv umekufa
😭😭😭
MaashaaAllah enzi hizo whatsaap hakuna hutukumbusha mbali miss saana znz
Aaah champapuree yote kma yooteeeee
WANAWAKE NIUKWELi HAYO ! EBU thibitisheni nyinyi
Nyimbo safsana
Kweli huu wimbo Unanikumbusha mengi sana
kinyago cha mpapure pambeeeeee
Usichuze ya watu yakwako yanakushinda hahaha pambe t
kiboko yao bi mwanahawa ally daima upo juu kwa nyimbo zako
unamsitiri Nini ? usimfiche chochote mpe vidoge vyake hakimeza hakitema iyo niushauriyake hamezowea uyo kuyasema ya wenziwe......mdomo mrefu kama Chupa....
Good
1999 to 2005 nyimbo zilizovuma.
Wawawaaaa
sanaaaaa
Nyimbo za kitambo namukumbuka bibi angu maskini toka Omani jamani mpe mpe mpe vidonge akitema akimeza shauri yao
yaani hadi raha zinakumbusha mbali
Kweli wako akiwa kwako ukitoka nje sio wako
Nikweli sikuizi balaa tu amna taarabu bana
Enzo zake East african melody bado hawajapanguka
29/09/2019 tujuane hapa,🔥🔥🔥🔥
Namkubali Sana mama huyo ananikuna sana
taarabu hii bado inautamu wake
Suzane Williams yaani kitu konk aisee
Jamani nani aliimba nyimbo ya kelele za chura
Santhaaa old is gold
message delivered
am listening dis song here in Dubai n it's reminds me home land east Africa
ww kwako maji sumu na sabuni Kwako bomu mswaki risasi Colgate super groru
salma masoud hahahahahaha kuntu
salma masoud hahahahahahha Atari zaidi ya danger
That's nice
one of my favorite taarabu
31/5/2021 and still counting down ❤️
Nimetoa machoz hii kinyago cha mpapure... Video pliiZ!!! Kafata mambo matamu ya mastaa wazoefu💞💝💋😍💪💪
Ni mambo gani Alimanisha?
hapo sisahau kabisa
mohamad kombo kinyago champa pure😂😂😂😂😂
Niko hapa 2020 March
Mpaka wa leo bado inavuma 2020
Swadakta Bi Mwanahawa
Sana mwanahawa
Mwanahawa kiboko
Taarab iliyotulia. Waswahili nijuzeni, hiki kinyago cha mpapure maana yake nini?
Kinyago cha mpingo
Amazingly relaxing Keep it up and thanks for the message.
This song reminds me of my young age
Ojee Maliah@ Even me😄
nimekumbuka mbali sana
Sabuni kwako bomu mswaki ni risasi, hahahaha
one of the best!
kinyago cha mpapure woyooooooooo🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎧✔✔✔✔✔✔✔ 👌👌👌👌👌👌👌
Wow
mbaka nimetoaaa choziiiiiii😢 nimekumbukaa mbaliiii saaan😔😔😔
naipenda sa hii da Hawa
Waswa!....mpo!!!
Ime eenda hio
Taarabu imenikumbusha mbali sana mpka machozi maneno ya huku ni konki wangpi wko apa kama mimi 2019
tuko sote mamaa ...ni wako akiwa kwako akitoka nje si wako
Na moyo sio jiwr
Namoyo sio jiwe
Mimi Niko hapa kama kawaida.
pamoja sana
Wangapi tumekuja baada ya interview ya shamsa wasafi kumpa ii dedix aunt tujua gonga like twende sawa
Mimi hapa
Oooooh sure the days are passing very fast,it is like yesterday when I was a kid,this song really brings a lot of old memory to me
Nyimbo nzuri sana hii.
me too listening to it today 03/01/2024❤️❤️
Mwambie mwambie huyo mpasulie huyo😘mpee mpee mpee vidonge vyake akimeza akitema nishauri yake 😘😘😘😘
Mwanahawa Ally the true East African melody icon
Allah akuridhie Amina Chifupa(AC) kipindi hicho clouds moto Africa bambataa naiomba hiyo huku ukinirusha hewani.
🎉It reminds me of kbc during presenter khadija Ali. Following from Kenya 😘
Yaani WATANZANIA kiboko mtu anachambwa ,we unarelaxxx 🤣🤣🤣🤣Shikamo nyumbani 👑👑
Kinyago cha mpapure enzii zile saaa 8 mchana radio Zanzibar kila kona unaskia huu wimbo na kijuzuu chako unakula kona chuoni.....
Kitambo sana
Mapenzi yako dhaifu, kachumbari upungufu, bwana yameshamkifu, kakutoroka mpofu 🔥🔥🔥
😀😀
😅
Imebidi nije kusikiliza 😅❤ asante dada Shamsa...🎉eti kinyago cha mpapule 🙌😃 aiii
Kama umekuja kusikiliz huu wimbo wa kinyago cha mpapure baada ya shemsh kump dongo anty Ezekiel nipe like tujuane😃😃😃
Haha mi sikuujua kabisa ikabid nije leo
Ha ha haaaa ,kumbe tupo wengi
😂😂
This song reminds me of my late auntu lily at rahmisi she died very painful death and loved this song soo much ..may her soul rest in peace 😢
@@mariamatieno5802may her soul rest in peace🙏 sorry 😢
Reminds me of my hard time in college in early 2000. It was like National Anthem
Midomo mirefu kama chupa kazi umbea tu 🙌🙌🙌
Umeona eee
My best taarab song of all times, Mwanahawa Ally 🫡🫡
2020. logging in. This is when music was music. Ni wako akiwa kwako.
Wewe maji kwako sumu
Sabuni kwako bomu
Mswaki risasi
Colgate super glue.
Dead.
nmekumbuka mbali kwel 😭😭😭😭pumzika kwa aman bibi yang mzaa baba ....ommy meja Amina pengo tulikuwa tunamtania b Zena
Kwani mwanahawa amefaliki😳🤔
Daah noma xana enzo hizooooo
nakumbka mvali xaana
Wow nimekumbushwa mbali
Big up sana mamaaa wape wape hao kinyago Cha mpapure
Dah miaka ya 2000's huku Kuna nasma kidogo kule mwanahawa ally na hapa mama kopa 😂😂😂 radio one mida ya mchana kuanzia sa sita
Daaaah mbaka nimetoa choziiiiii😢 nimekumbuka mbaliiii Saaana😔
kinyago cha mpapure; sanamu la Michelin... duu nomaa sanaa
Ilikuainapendeza
Inanikumbusha 2000nikiwa Arusha Tz mererani kwa my brothers
High school memories...hadi national na hii taraabu wacha tu...
kinyago cha mpapure, midomo mirefu kama chupa, kazi ni umbea tu, yako unayo kibao.... dole juu Mwanah
mpe mpe mpe akimeza ni yy shaury yk raha sanaaaa
Niwako hakiwa kwako hakitoka inje siwako hapo sasa
Hahahaaaa
Naipenda taarabu sna respect mam taarabu
Namkumbuka sana mamangu. Huu wimbo aliupenda sana
Fxg0
Bbc
Jb Hj
J
Vc
Imenikumbusha mbali saana miss saana dar
Asante sana mpenzi katika nyimbo nnazozipenda.
Inanikumbusha mbali sana Mombasa Kenya
Jamani hii nikiboko saaaaana
Huaga nakumbuka moro chamwinoo sambaba, aisee mhh kipindi bado sura mpya
😄😄😄😄
Kinyago cha mpapure ndio utambulisho wa kiwango cha juu kwa Modern Taarab
🎉kafata magoma taff ya mastaa wazoefu😂😂😂
Mashallah 👍 very nicely songs sing song Mashallah Mashallah your voice from paradise mashallah 👌
kwa hakika huyu mama ananyimbo nzuri
Nipeni..namba.za..huyu..mama..yani..nyimbo.zake..ni.kiboko..nataman.nimzawadi..tu..jamani..mwambieni.naomba.tuchati..nae.kwa.whas.pp.nimtumie.tu.zawani..naumwa..Aisha.kutoka.254
Plz..naomba..namba.za..ko
Angalia interview yake zamaradi tv kataja namba zake. Msaidie mwaya ana hali mbaya
huwa najisikia kulia nikisikiza hii nyimbo maana nakumbuka mengi mno ya nyuma
usilie mana kiukweli hatamimi nakumbuka nking'ang'aniwa kipindihichoooooo
Oh!Peleni.....ujana uwandawazimu kweli unakua kumbe .
Mimi nimelia kwakweli 😭😭
Si mimi katu si mimi si mimi nnokuibia mi simtaaki wako nnae mpenzi wangu rahaa tupu
Reminds me of when i was just a baby and my aunty a pure mswahili knew this by heart....LOL watching in 2022....LOL
Wazanzibari Kwa maneno duh hatar sana hahaaah
Ahmed Abdalla@haaa...haaaa...
Ahsante mwanahawa ally
2019 mpe vidonge vyake akimeza akitema hyo nishauri yake kazowea huyo kuyasema yawenziwe aaaaa ujumbe huo
Huyo unaesema wako sio wako ni wako akiwa kwako akiwa nje si wako hehehe kinyago Cha mpapure
Shairi lenye Uzi to
Malkia wa uchafu,,usichunguze ya wa2 yko ww yanakushinda,,...2019,,first week,who z there...😍
❤❤❤❤❤ NYAMAZA NIKU STIRI
Unamstiri nn usimfiche chochote mwambie mwambie huyo mpasulie huyo🤏
Nyimbo tamu sana❤
Nimekumbusha Bali Sana dada
R.F.F DISCO TECK. magomeni zanzibar dj mimi ,dj rama,djmda,dj Rai mwenyewe,dj Hafidhi palikuwa hapatoshi enzi zetu R.F.F mlangoni yupo Ali Hamdu na Pandu Halidi hahaha
Zilizopendwa oyeeeeeeeeeeee
Tuletee nyimbo yake ya ... naililia bahati masikini sikupewa
Duu enzi hizo baba yang kaoa mke wa pili bas wakawa wanachuana hatareee
Lazima ulie maana yawe yanakupiga kweli
Hahahaha
Dah, ilikuwa Raha sana
Mamboooo ayooooooooooo 😅😅😅😅😅😅😅
tbt waooo very good song
Huyu mm napenda sana nyimbo zake wape mama
Enzi hzo watu walipigana maharusi kwa ajili ya wimbo huu😆
siku hizi hamna taarabu. kuna makelele tu
duh
Sana tenaa
Jamani mnanikosha Sana pia naomba Taarabu ya gubu la mawifi nimeolewa na mmoja cio kumi na moja
Sana tenaa
Umeona ee
Imenikumbusha bari sana
Nice song kinyago champapureeeeee!
Yani hii nyimbo inanikumbusha mbali sana nikiwa sekondari moshi technical enzi ya uhai wangu safi sana
Saiv umekufa
😭😭😭
MaashaaAllah enzi hizo whatsaap hakuna hutukumbusha mbali miss saana znz
Aaah champapuree yote kma yooteeeee
WANAWAKE NIUKWELi HAYO ! EBU thibitisheni nyinyi
Nyimbo safsana
Kweli huu wimbo Unanikumbusha mengi sana
kinyago cha mpapure pambeeeeee
Usichuze ya watu yakwako yanakushinda hahaha pambe t
kiboko yao bi mwanahawa ally daima upo juu kwa nyimbo zako
unamsitiri Nini ? usimfiche chochote mpe vidoge vyake hakimeza hakitema iyo niushauriyake hamezowea uyo kuyasema ya wenziwe......mdomo mrefu kama Chupa....
Good
1999 to 2005 nyimbo zilizovuma.
Wawawaaaa
sanaaaaa
Nyimbo za kitambo namukumbuka bibi angu maskini toka Omani jamani mpe mpe mpe vidonge akitema akimeza shauri yao
yaani hadi raha zinakumbusha mbali
Kweli wako akiwa kwako ukitoka nje sio wako
Nikweli sikuizi balaa tu amna taarabu bana
Enzo zake East african melody bado hawajapanguka
29/09/2019 tujuane hapa,🔥🔥🔥🔥
Namkubali Sana mama huyo ananikuna sana
taarabu hii bado inautamu wake
Suzane Williams yaani kitu konk aisee
Jamani nani aliimba nyimbo ya kelele za chura
Santhaaa old is gold
message delivered
am listening dis song here in Dubai n it's reminds me home land east Africa
ww kwako maji sumu na sabuni Kwako bomu mswaki risasi Colgate super groru
salma masoud hahahahahaha kuntu
salma masoud hahahahahahha Atari zaidi ya danger
That's nice
one of my favorite taarabu
31/5/2021 and still counting down ❤️
Nimetoa machoz hii kinyago cha mpapure... Video pliiZ!!! Kafata mambo matamu ya mastaa wazoefu💞💝💋😍💪💪
Ni mambo gani Alimanisha?
hapo sisahau kabisa
mohamad kombo kinyago champa pure😂😂😂😂😂
Niko hapa 2020 March
Mpaka wa leo bado inavuma 2020
Swadakta Bi Mwanahawa
Sana mwanahawa
Mwanahawa kiboko
Taarab iliyotulia. Waswahili nijuzeni, hiki kinyago cha mpapure maana yake nini?
Kinyago cha mpingo
Amazingly relaxing
Keep it up and thanks for the message.
This song reminds me of my young age
Ojee Maliah@ Even me😄
nimekumbuka mbali sana
Sabuni kwako bomu mswaki ni risasi, hahahaha
one of the best!
kinyago cha mpapure woyooooooooo🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎧✔✔✔✔✔✔✔ 👌👌👌👌👌👌👌
Wow
mbaka nimetoaaa choziiiiiii😢 nimekumbukaa mbaliiii saaan😔😔😔
naipenda sa hii da Hawa
Waswa!....mpo!!!
Ime eenda hio