Those were the days when taarab was taarab , slow with real counter attacks. This ladies were not a Jok 😂, e.g utalijua ? ni shalijua jiji 😒. Not forgetting maandishi za leso e.g mtamaliza visigino kwa kutafuta umbea 🤔.
R.F.F DISCO TECK. magomeni zanzibar dj mimi ,dj rama,djmda,dj Rai mwenyewe,dj Hafidhi palikuwa hapatoshi enzi zetu R.F.F mlangoni yupo Ali Hamdu na Pandu Halidi hahaha
Oooooh sure the days are passing very fast,it is like yesterday when I was a kid,this song really brings a lot of old memory to me
Nyimbo nzuri sana hii.
me too listening to it today 03/01/2024❤️❤️
Mwanahawa Ally the true East African melody icon
Taarabu imenikumbusha mbali sana mpka machozi maneno ya huku ni konki wangpi wko apa kama mimi 2019
tuko sote mamaa ...ni wako akiwa kwako akitoka nje si wako
Na moyo sio jiwr
Namoyo sio jiwe
Mimi Niko hapa kama kawaida.
pamoja sana
Mwambie mwambie huyo mpasulie huyo😘mpee mpee mpee vidonge vyake akimeza akitema nishauri yake 😘😘😘😘
Wangapi tumekuja baada ya interview ya shamsa wasafi kumpa ii dedix aunt tujua gonga like twende sawa
Mimi hapa
nmekumbuka mbali kwel 😭😭😭😭pumzika kwa aman bibi yang mzaa baba ....ommy meja Amina pengo tulikuwa tunamtania b Zena
Kwani mwanahawa amefaliki😳🤔
Kinyago cha mpapure enzii zile saaa 8 mchana radio Zanzibar kila kona unaskia huu wimbo na kijuzuu chako unakula kona chuoni.....
Kitambo sana
🎉It reminds me of kbc during presenter khadija Ali. Following from Kenya 😘
Mapenzi yako dhaifu, kachumbari upungufu, bwana yameshamkifu, kakutoroka mpofu 🔥🔥🔥
😀😀
😅
Daaaah mbaka nimetoa choziiiiii😢 nimekumbuka mbaliiii Saaana😔
Reminds me of my hard time in college in early 2000. It was like National Anthem
Imebidi nije kusikiliza 😅❤ asante dada Shamsa...🎉eti kinyago cha mpapule 🙌😃 aiii
❤❤❤❤❤ NYAMAZA NIKU STIRI
My best taarab song of all times, Mwanahawa Ally 🫡🫡
Tuletee nyimbo yake ya ... naililia bahati masikini sikupewa
2020. logging in. This is when music was music. Ni wako akiwa kwako.
Wewe maji kwako sumu
Sabuni kwako bomu
Mswaki risasi
Colgate super glue.
Dead.
Inanikumbusha 2000nikiwa Arusha Tz mererani kwa my brothers
High school memories...hadi national na hii taraabu wacha tu...
Midomo mirefu kama chupa kazi umbea tu 🙌🙌🙌
Yaani WATANZANIA kiboko mtu anachambwa ,we unarelaxxx 🤣🤣🤣🤣Shikamo nyumbani 👑👑
Wow nimekumbushwa mbali
2021 tujuane
Jamani hii nikiboko saaaaana
kinyago cha mpapure; sanamu la Michelin... duu nomaa sanaa
Ilikuainapendeza
Naipenda taarabu sna respect mam taarabu
Si mimi katu si mimi si mimi nnokuibia mi simtaaki wako nnae mpenzi wangu rahaa tupu
Zilizopendwa oyeeeeeeeeeeee
31/5/2021 and still counting down ❤️
Namkumbuka sana mamangu. Huu wimbo aliupenda sana
Fxg0
Bbc
Jb Hj
J
Vc
29/09/2019 tujuane hapa,🔥🔥🔥🔥
Reminds me of when i was just a baby and my aunty a pure mswahili knew this by heart....LOL watching in 2022....LOL
1999 to 2005 nyimbo zilizovuma.
Wawawaaaa
sanaaaaa
Nikweli sikuizi balaa tu amna taarabu bana
Niko hapa 2020 March
Asante sana mpenzi katika nyimbo nnazozipenda.
Huaga nakumbuka moro chamwinoo sambaba, aisee mhh kipindi bado sura mpya
😄😄😄😄
🎉kafata magoma taff ya mastaa wazoefu😂😂😂
siku hizi hamna taarabu. kuna makelele tu
duh
Sana tenaa
Jamani mnanikosha Sana pia naomba Taarabu ya gubu la mawifi nimeolewa na mmoja cio kumi na moja
Sana tenaa
Umeona ee
Kama umekuja kusikiliz huu wimbo wa kinyago cha mpapure baada ya shemsh kump dongo anty Ezekiel nipe like tujuane😃😃😃
Haha mi sikuujua kabisa ikabid nije leo
Ha ha haaaa ,kumbe tupo wengi
😂😂
This song reminds me of my late auntu lily at rahmisi she died very painful death and loved this song soo much ..may her soul rest in peace 😢
@@mariamatieno5802may her soul rest in peace🙏 sorry 😢
Inanikumbusha mbali sana Mombasa Kenya
Mashallah 👍 very nicely songs sing song Mashallah Mashallah your voice from paradise mashallah 👌
Mamboooo ayooooooooooo 😅😅😅😅😅😅😅
Enzi hzo watu walipigana maharusi kwa ajili ya wimbo huu😆
Malkia wa uchafu,,usichunguze ya wa2 yko ww yanakushinda,,...2019,,first week,who z there...😍
Unamstiri nn usimfiche chochote mwambie mwambie huyo mpasulie huyo🤏
Nyamaza nikustiri 2022 tujuane hapa wana mizengo
kwa hakika huyu mama ananyimbo nzuri
Nipeni..namba.za..huyu..mama..yani..nyimbo.zake..ni.kiboko..nataman.nimzawadi..tu..jamani..mwambieni.naomba.tuchati..nae.kwa.whas.pp.nimtumie.tu.zawani..naumwa..Aisha.kutoka.254
Plz..naomba..namba.za..ko
Angalia interview yake zamaradi tv kataja namba zake. Msaidie mwaya ana hali mbaya
kinyago cha mpapure, midomo mirefu kama chupa, kazi ni umbea tu, yako unayo kibao.... dole juu Mwanah
mpe mpe mpe akimeza ni yy shaury yk raha sanaaaa
Niwako hakiwa kwako hakitoka inje siwako hapo sasa
Hahahaaaa
Nyimbo safsana
Nyimbo tamu sana❤
huwa najisikia kulia nikisikiza hii nyimbo maana nakumbuka mengi mno ya nyuma
usilie mana kiukweli hatamimi nakumbuka nking'ang'aniwa kipindihichoooooo
Oh!Peleni.....ujana uwandawazimu kweli unakua kumbe .
Mimi nimelia kwakweli 😭😭
2019 mpe vidonge vyake akimeza akitema hyo nishauri yake kazowea huyo kuyasema yawenziwe aaaaa ujumbe huo
taarabu hii bado inautamu wake
Suzane Williams yaani kitu konk aisee
Daah noma xana enzo hizooooo
nakumbka mvali xaana
2024 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
WANAWAKE NIUKWELi HAYO ! EBU thibitisheni nyinyi
Imenikumbusha mbali saana miss saana dar
Tulioko hapa 2021
Huyu mm napenda sana nyimbo zake wape mama
Who is here with me April 2021
tbt waooo very good song
Nyimbo za kitambo namukumbuka bibi angu maskini toka Omani jamani mpe mpe mpe vidonge akitema akimeza shauri yao
one of my favorite taarabu
Mpaka wa leo bado inavuma 2020
message delivered
Those were the days when taarab was taarab , slow with real counter attacks. This ladies were not a Jok 😂, e.g utalijua ? ni shalijua jiji 😒. Not forgetting maandishi za leso e.g mtamaliza visigino kwa kutafuta umbea 🤔.
Duu enzi hizo baba yang kaoa mke wa pili bas wakawa wanachuana hatareee
Lazima ulie maana yawe yanakupiga kweli
Hahahaha
yaani hadi raha zinakumbusha mbali
Kweli wako akiwa kwako ukitoka nje sio wako
2024
R.F.F DISCO TECK. magomeni zanzibar dj mimi ,dj rama,djmda,dj Rai mwenyewe,dj Hafidhi palikuwa hapatoshi enzi zetu R.F.F mlangoni yupo Ali Hamdu na Pandu Halidi hahaha
Nice song kinyago champapureeeeee!
MY FAVORITE
Imenikumbusha bari sana
2021 still listening
Ime eenda hio
Jamani nani aliimba nyimbo ya kelele za chura
That's nice
Wapi Ally Shija mwanza mwanza kwa watu wazito igoma wooooyo wooyo woyoo?,,,,,,,,,,,
❤❤❤❤❤
Wazanzibari Kwa maneno duh hatar sana hahaaah
Ahmed Abdalla@haaa...haaaa...
Santhaaa old is gold
Ahsante mwanahawa ally
Wa toto wa 2000 mtuache.
Swadakta Bi Mwanahawa
MaashaaAllah enzi hizo whatsaap hakuna hutukumbusha mbali miss saana znz
Aaah champapuree yote kma yooteeeee
Enzo zake East african melody bado hawajapanguka
2024❤
Sikudhani ali
ww kwako maji sumu na sabuni Kwako bomu mswaki risasi Colgate super groru
salma masoud hahahahahaha kuntu
salma masoud hahahahahahha Atari zaidi ya danger
hapo sisahau kabisa
mohamad kombo kinyago champa pure😂😂😂😂😂
kinyago cha mpapure woyooooooooo🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎧✔✔✔✔✔✔✔ 👌👌👌👌👌👌👌
Wow
mbaka nimetoaaa choziiiiiii😢 nimekumbukaa mbaliiii saaan😔😔😔
Taarab iliyotulia. Waswahili nijuzeni, hiki kinyago cha mpapure maana yake nini?
am listening dis song here in Dubai n it's reminds me home land east Africa
Niko hapa baada ya post ya Malisa 😂😂😂
one of the best!
This song reminds me of my young age
Ojee Maliah@ Even me😄
Dah! Jamani jamani kitu kama kimetoka Jana tu
Mwanahawa kiboko
Sana mwanahawa
Colgate supergluu hahaaa