ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

KIPINDI CHA RELI NA MATUKIO | ULIPOFIKIA UJENZI WA STESHENI YA SGR DODOMA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 13 ธ.ค. 2023

ความคิดเห็น • 32

  • @omarysaid8725
    @omarysaid8725 7 หลายเดือนก่อน +9

    Trc mnazingua sana au sijui ni kazi na mazoea train ya Pungu ni mbovu haiendi na muda na haina muda maalumu acheni uswahili train mbovu inafika asubuhi ndio ina anza kutengenezwa halafu mna lalamika shirika linaendeshwa kwa hasara wakati hizo hasara mna zisababisha nyinyi wenyewe acheni kukaa maofisini

  • @tobynasheimani7969
    @tobynasheimani7969 2 หลายเดือนก่อน

    Wow that's nice looks like Europe

  • @omarysaid8725
    @omarysaid8725 7 หลายเดือนก่อน +8

    Majaribio ya sgr mmefanya kama siasa vile kipande cha Dar - Moro mwaka wa 3 huu imekuwa stori tu mmetufanya sisi kama watoto sijui

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 7 หลายเดือนก่อน +2

      Hizo zilikua vision za Magufuli alikua anamaanisha toka moyoni hawa wengine wanafanya kuzuga tu ndo maana kila kitu uswahili

  • @matheobaha773
    @matheobaha773 7 หลายเดือนก่อน +5

    Dada anajua kueleza vizuri

  • @JOHNKKULULINDA-pc6gy
    @JOHNKKULULINDA-pc6gy 7 หลายเดือนก่อน +1

    HONGERA SANA BINTI YANGU KTK UHANDI. NAONA HATA KUFUNDISHA UNAWEZA. UNA UWEZO WA KUJIBU HOJA NA KUFAFANUA KUKIDHI HAJA YA WATAZAMAJI NA WASIKILIZAJI!!! MUNGU AENDELEE KUKUTUMIA KUWATHIBITISHIA AKINA MAMA KUWA UHANDISI SI WA WANAUME TU. AMEN.

  • @ombenikichao
    @ombenikichao 7 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera Sana dada engineer kwa maelezo yanayoeleweka, nime-enjoy mno

  • @mussamussa8181
    @mussamussa8181 6 หลายเดือนก่อน +2

    RIP JPM toka kaondoka ujenz ni maneno tu

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 7 หลายเดือนก่อน +1

    Uhuru na kazi, Hapa kazi tu, kazi iendelee..

  • @beaugosseadam6831
    @beaugosseadam6831 5 หลายเดือนก่อน

    Watu wanaopenda kusafiri ,iwe kibiashara au kutalii ukifika London Train Station, Hamburg Train Station ,Frankfurt Train Station ,Dubai Train Station ...... pilika pilika za kibiashara zinazofanyika ni zaidi ya Kariokoo. Afu kingine, kibiashara huwezi kutofuatisha usiku na mchana. Hongera TRC. Lakini tokeni kwenye maneno anzeni shughuli. Kitaalamu mradi unapochelewa kufanya kazi(kuzarisha) hupoteza value !!

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 3 หลายเดือนก่อน

    Kazi nzuri ila naona kama paa lipo chini sana na kama hewa mwanga humo ndani kama shida vile.

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 6 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana magufuri tunakukumbuka sana ndugu yetu rais mzalendo kama mwalim nyerere ila huku umetuachia uozo

  • @shabanimsakuzi9141
    @shabanimsakuzi9141 7 หลายเดือนก่อน

    shout out to my sister well explained.

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 7 หลายเดือนก่อน +1

    wimbo mbaya kweli mpaka unatia hasira ukichanganya na maneno maneno yenu mengi ya siasa siasa yasiyotimilika ndio kabisa 😡

  • @paschazianestorymatunda6490
    @paschazianestorymatunda6490 7 หลายเดือนก่อน

    Mmeifanya vizuri kuweka Na Jengo la TRA

  • @michaelrweyemamu1068
    @michaelrweyemamu1068 7 หลายเดือนก่อน

    Great 💕🇹🇿

  • @Tiffany340
    @Tiffany340 7 หลายเดือนก่อน +1

    Sio ulemavu hata wagonjwa,tumieni neno watu wenye changamoto mbalimbali

  • @pabliz_
    @pabliz_ 7 หลายเดือนก่อน +3

    Jpm

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 7 หลายเดือนก่อน

    Mtoto wangu unajua kujieleza

  • @felixhenerico8997
    @felixhenerico8997 7 หลายเดือนก่อน +2

    mama tina katika ubola wako

  • @davidkiswaga4453
    @davidkiswaga4453 4 หลายเดือนก่อน

    Jaman ukweli MAMA ANAFANYA KAZI SIO MCHEZO KAMA NI MWENDELEZO KWELI MAMA KAZI INAENDELEA KILA LA KHERI MAMA ETU KIPENZI.

  • @mbaruksaid5775
    @mbaruksaid5775 5 หลายเดือนก่อน

    Mko vizur huku kwetu kenya hawasemi kua mje mchukue vyumba mtashukia tu vyumba vimejaa tayar

  • @egdldm4981
    @egdldm4981 7 หลายเดือนก่อน +1

    Dodoma hakutakuwa na chumba cha abiria wanaosubiri kusafiri?😮

  • @onekisstv8412
    @onekisstv8412 7 หลายเดือนก่อน

    Sasa tunaanza kupanda lini train au mpka elfu mbili na therathini

  • @isakatogoro4697
    @isakatogoro4697 7 หลายเดือนก่อน

    naipenda Tanzania RIP JPM🥲🥲

  • @vintagemusicgroup9236
    @vintagemusicgroup9236 7 หลายเดือนก่อน

    Safari Dar - Moro zinaanza lini?

  • @rasheedabby2871
    @rasheedabby2871 7 หลายเดือนก่อน +2

    ISSUE SIO UJENZI ISSUE KUTUNZA MRADI,NENDA STAND YA NANE NANE NI MSIBA BOB

    • @ipyanangajilo226
      @ipyanangajilo226 7 หลายเดือนก่อน +1

      Nimetoka Leo huko Hadi tabu jengo la abiria wamejaa wamana wamegeuza mgawahawa tabu tupu...

    • @rasheedabby2871
      @rasheedabby2871 7 หลายเดือนก่อน

      @@ipyanangajilo226 Vyoo havifai kabisaaa

  • @gabilugira139
    @gabilugira139 7 หลายเดือนก่อน

    Nna swali, Safari ya Mwanza paka Dar kwa SGR inachukua masaa ma ngapi...??

  • @user-cj1ft4mw2l
    @user-cj1ft4mw2l 7 หลายเดือนก่อน

    HICHO KIPANDE CHA PILI SIJUI KAMA KITAOSHA AISEE