RELI NA MATUKIO| PPRA WASAFIRI KWA SGR | UJENZI STESHENI KUBWA KULIKO ZOTE KAZI INAENDELEA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 มิ.ย. 2023

ความคิดเห็น • 22

  • @oklahommy9838
    @oklahommy9838 ปีที่แล้ว +1

    Na nyinyi nanyi watu wamechoka na hekaya zenu kila kipindi mnachokirusha ni ziara tu kwenda mbele....hamtwambii reli kuingia bandarini imefikia wapi au mmesahau kuwa reli hailipwi na abiria bali mizigo hayo mabehewa ya mizigo sijui vipi kwa kweli mmeboa sana nyote jitathmini vizuri

  • @oklahommy9838
    @oklahommy9838 ปีที่แล้ว +2

    "Kwakitaalam wanaita stairs" sema kwa kiingereza wanaita stairs nani asiyejua ngazi za kwenye majengo zinaitwa stairs kwa kiingereza😅😅

  • @osoromageta3381
    @osoromageta3381 ปีที่แล้ว +4

    Maneno mengi kila siku ukaguzi anzeni safari basi mlisema mwezi wa nne mpaka leo

    • @davidcurtis175
      @davidcurtis175 11 หลายเดือนก่อน

      Magufuli alikuwa akisema mwezi wa tano haupiti ng’o na ukipita ujue mwekezaji anachajiwa faini😅 kuanzia muda tajwa kwenyemakubaliano ya kumilisha kitu husika, na kukiwa na sababu nje ya uwezo

  • @prince5291
    @prince5291 11 หลายเดือนก่อน +1

    wonderful project african giant

  • @zawadix9574
    @zawadix9574 ปีที่แล้ว +2

    Yani trc hamna aibu hizi ziara Kila saa za Nini mbona hizo treni hazipo !!!!! Mli vo Jenga reli mli sahawu ku agiza treni!!!! Semeni ukweli 😅

  • @conradolomi9580
    @conradolomi9580 6 หลายเดือนก่อน

    Ziara za kisiasa kutengeneza "posho",ufanisi sifuri.

  • @abdulyabdunuru1476
    @abdulyabdunuru1476 11 หลายเดือนก่อน

    Mnakera sana yaan hii kitu huu mwaka wa 3 Sasa ni miezi tu ndo inapgwa tarehe daaah 😢

  • @user-rk3yc2xh3j
    @user-rk3yc2xh3j 5 หลายเดือนก่อน

    Unaweza kushuka kibaha kutoka dar

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 11 หลายเดือนก่อน

    Akili ya Africa bado kutukuza wazungu tu sema kama Africa sio kila kitu wazungu

  • @user-rk3yc2xh3j
    @user-rk3yc2xh3j 5 หลายเดือนก่อน

    Lazima ushuke morogoro au hata kibaha unaweza shuka

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 11 หลายเดือนก่อน

    Hio mayo atapewa muwekezaji toka Yemen 😂😂

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 11 หลายเดือนก่อน

    Tutapata vichwa mwishoni mwa mwezi wa saba na leo ni mwezi wa nane! How do you account for the delay? delays costs the nation!

  • @vakhwawevakhwawe9776
    @vakhwawevakhwawe9776 ปีที่แล้ว +1

    nashukuru kwa maelzo mazuri ya mkandalasi lakini sijafurahi na matumizi ya lugha yaani kingereza ndio lugha ya kitaalam

    • @josephatn5040
      @josephatn5040 ปีที่แล้ว +2

      Yaani umeniwahi. Nashangaa tangu lini Kiingereza kimekuwa lugha ya kitaalam, aibu sana. Kwa mfano, mtu anashindwa kusema " maegesho" mpaka aseme " parking"!!!!. Najua Kiingereza ni lugha rasmi Tanzania, lakini hii sasa inavuka mpaka. Ukimwambia ajieleze hapo kwa Kiingereza hicho anachochanganya kwenye Kiswahili, atajikanyaga.

  • @vitarismujuni6889
    @vitarismujuni6889 ปีที่แล้ว

    Hii treni imeshageuzwa ya wanasiasa tu(a.k.a wajaza matumbo) utaskia ziara Hadi ikielekea mwaka wa uchaguzi

    • @severinmbanza4950
      @severinmbanza4950 ปีที่แล้ว

      Kabisa, na ndo itakua agenda yao,unaeeza kuta inafunguliwa 2025 kwenye kampeni

  • @mathiasmichael9915
    @mathiasmichael9915 11 หลายเดือนก่อน

    Punguzeni ushamba lugha ya kingereza siyo lugha ya kitaalamu ni lugha kama zilivyonyingine..... Mimi najua kuongea kingereza ila hafadhali kuongea kiswahili..... Hebu toeni akili zenu katika afya za kikoloni Rudi nyumbani kumeshanoga mpaka kwa MAJIRANi

  • @mmarandu2417
    @mmarandu2417 ปีที่แล้ว

    Utalii au ukaguzi? Utalii ni endelevu. Ukaguzi je?

  • @EliasNestory-de7ne
    @EliasNestory-de7ne ปีที่แล้ว

    Stesheni ya tabora mtaweka muundo wa nyuki kama sio tumbaku.

  • @brother_majesty
    @brother_majesty ปีที่แล้ว

    😢