Hongereni sana TRC Tungependa kuona na video ambazo zitaonyesha utayari wenu wa Kuzibiti RUSHWA na mtatuhakikishoa vipi kwa hili ? Na bila Kusahau , elimu ya kutunza mazingira na usafi , tafadhali tunaomba sana hizi video za namna hii zionyweshwe kwa wananchi.. niombi langu kwenu TRC .
Hongera sana Trc! Boresheni zaidi miundombinu yote ya usafiri wa garimoshi na hakikisheni huduma ni endelevu,salama na uhakika zaidi.
Hongereni sana TRC Tungependa kuona na video ambazo zitaonyesha utayari wenu wa Kuzibiti RUSHWA na mtatuhakikishoa vipi kwa hili ? Na bila Kusahau , elimu ya kutunza mazingira na usafi , tafadhali tunaomba sana hizi video za namna hii zionyweshwe kwa wananchi.. niombi langu kwenu TRC .
Anzeni kubeba abiria acheni kukusanya watu mnao wajua2
Hao watu wa maana, sio mnapekeleka Makatibu wa staafu, kwenda kula chakula cha bure, pesa mvuja jasho maskini. Muwe na ubongo nyie Reli.
Tuanzeni kazi ziara zimekuwa nyingi jaman
Shida ni kwamba mtaweza kuendesha bila ufisadi? Tazara iliishia wapi?
Sasa bado SGR kutoka Dar-Arusha-Namanga
Ndani ya mahandaki kuna taa? Maana yanaweza kuwa maficho ya kuhujumu.
❤❤
wadau wanatembelea au wanampango wa kuonganisha
Waganye KAZI sio maneno tu jitihada na maarifa hongera Kwa viongozi Kwa kuwa na maono hayo
Miradi ya reli inasimama waambie wananchi