MASANJA KILIMO : UTAJIRI WANGU UNATOKA KWENYE SHAMBA HILI (Masaja Mkandamizaji)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 105

  • @khalifamwasha6648
    @khalifamwasha6648 6 วันที่ผ่านมา +18

    Bro Masanja umekuwa Mwalimu mzuri na mfano kwa vijana. Ni wachache sana hutoa madini haya kwa wanaotafuta namna ya kutoboa. Hongera kwa kazi nzuri na Ubarikiwe katika kazi zako. Umefanya Hamasa kubwa sana. Ungeweza kufanya na hao ulio nao lakini umeona pia irushwe na wengine wajionee. Hakika tumefika wengi shambani kwako. Nakupongeza kwa niaba ya wengi wanaokufuatilia.

    • @KelvinSimon-d8y
      @KelvinSimon-d8y 6 วันที่ผ่านมา +1

      Hakika ni darasa tosha kwa vjana wote

  • @geofreykyando2208
    @geofreykyando2208 6 วันที่ผ่านมา +13

    Masanja, naomba jaruba walizopanda hao wanafunzi wako hakikisha wanashiriki hatua zote mpaka kuuvuna Ili waone walipanda kimeota vipi, na wamepata gunia ngapi. Very good brother

  • @martinlema4192
    @martinlema4192 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Uishi miaka mingi🎉

  • @robertempire9542
    @robertempire9542 7 วันที่ผ่านมา +10

    Big up brother hayo ndio maarifa vijana wa Tanzania tunahitaji

  • @GeorgeMkude
    @GeorgeMkude 6 วันที่ผ่านมา +5

    Hongera masanja unapambana sana naomba kujiunga na mm nilime

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 6 วันที่ผ่านมา +4

    Bravoooooooooooooooo.......iwe heri kwa nchi na watu

  • @charybdis8113
    @charybdis8113 2 วันที่ผ่านมา +2

    Unafundisha vizuri sana.

  • @Josephjasson86
    @Josephjasson86 6 วันที่ผ่านมา +2

    Brother nashukuru sana kwa elimu natamani kula ila bado najitafta ..ninauhakika nikikaa sawa ntakutfta Brother God bless you Man of God

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 วันที่ผ่านมา +1

    Sawa sawa kaka

  • @rostardsanga
    @rostardsanga 3 วันที่ผ่านมา +1

    nakubali sana. nimejifunza mengi asnte kaka kwa encouragements

  • @wilfredpeter-i7s
    @wilfredpeter-i7s 6 วันที่ผ่านมา +1

    Mwenyezi Mungu azidi kukubariki kaka unafungua njia kwa vijana

  • @josephkwai1819
    @josephkwai1819 5 วันที่ผ่านมา +3

    Nimelipenda hili darasa la uhalisia

  • @vero57
    @vero57 7 วันที่ผ่านมา +12

    Kila mtu anataka kuimba!! Kilimo mali sanaa, big up masanjaa

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 6 วันที่ผ่านมา +1

      Kwa kweli

    • @ulaya_bg
      @ulaya_bg 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Sa kuimba kunahusika nini mzee... Fursa ziko nyingi, kila mtu anafanya kutokana na uwezo na maarifa yake arifu

  • @SyliacusSylivester-d2l
    @SyliacusSylivester-d2l 4 วันที่ผ่านมา

    Saluteee🙌

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni 6 วันที่ผ่านมา +1

    Sawa boss

  • @zephaniachaula127
    @zephaniachaula127 วันที่ผ่านมา

    Safiiiii Sana mlongovangu

  • @EliasPeter-vp7ny
    @EliasPeter-vp7ny 6 วันที่ผ่านมา +2

    Brother masanja your my inspirational one day I will meet you

    • @mchongowakilimo
      @mchongowakilimo  6 วันที่ผ่านมา +1

      @@EliasPeter-vp7ny 0756444000

    • @EliasPeter-vp7ny
      @EliasPeter-vp7ny 6 วันที่ผ่านมา

      @mchongowakilimo Asante sana ndugu yanguu nitakupigia

  • @Coachsamwel
    @Coachsamwel 4 วันที่ผ่านมา +1

    Safi sana

  • @AdamKhatib-j3y
    @AdamKhatib-j3y 6 วันที่ผ่านมา +1

    Makini sana

  • @RobertAlexander-m4x
    @RobertAlexander-m4x 3 วันที่ผ่านมา +1

    Nami naitaji mafundisho ya kilimo

  • @Stellastella-yi5vu
    @Stellastella-yi5vu 5 วันที่ผ่านมา +1

    Salute

  • @salimmfuru5976
    @salimmfuru5976 22 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    🔥🔥

  • @emmanuelmwandu.3126
    @emmanuelmwandu.3126 6 วันที่ผ่านมา +3

    Ahsante sana mtumishi wa Mungu. Nahitaji kujifunza zaidi kwenye kilimo Chapunga.
    Naam nahitaji kuwekeza kabisa

    • @mchongowakilimo
      @mchongowakilimo  6 วันที่ผ่านมา

      @@emmanuelmwandu.3126 07564444000

    • @thomaswilbert6431
      @thomaswilbert6431 6 วันที่ผ่านมา

      Mchungaji mm natokea kusini sio wazuri sana kwenye kilimo cha mpunga ila nataka kujifunza kutoka kwako ili na mm niwe mwalimu wa vijana wenzangu wa kusini tujikwamue kwenye umasikini

    • @zuberiismail2972
      @zuberiismail2972 6 วันที่ผ่านมา

      ​@@mchongowakilimohizo namb zipo 11

    • @mchongowakilimo
      @mchongowakilimo  6 วันที่ผ่านมา +1

      @@zuberiismail2972 0756444000

  • @abuumfunda
    @abuumfunda 4 วันที่ผ่านมา +2

    Mimi naona shida sio kilimo shida masoko

  • @JacobMtumishi
    @JacobMtumishi 3 วันที่ผ่านมา

    Unanyota kubwa sana mimi ninandoto ya kulima wakati ukifika swali langu maeneo zaidi ya kilimo yapo mengi nasisi tutapata nafasi hiyo

  • @lusianbenedict6166
    @lusianbenedict6166 22 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    inakuwaje trecta haikwami kwenye tope

  • @geeva99
    @geeva99 5 วันที่ผ่านมา

    dakika 11 za muhimu sana, 🙏

  • @aidanangelo001
    @aidanangelo001 6 วันที่ผ่านมา

    Wakati wa kuchanua mnawafanyeje ndege

  • @keviolotu
    @keviolotu 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Bei ya trekta naombeni

  • @DenisSungu
    @DenisSungu 3 วันที่ผ่านมา

    🎉

  • @RickshabyVlogs
    @RickshabyVlogs 3 วันที่ผ่านมา

    Kaka hauna baya

  • @nurdinmvellah4032
    @nurdinmvellah4032 6 วันที่ผ่านมา +3

    Kilimo kinahitaji mtaj sio elimu tu. Lazima ujipange Kama upo kibiashara zaidi.

    • @georgedalton2021
      @georgedalton2021 5 วันที่ผ่านมา +1

      Sio mtaji tuu pia usimamizi mzuri usipo kuwa na usimamizi mzuri utatumia hela nyingi na kupata kidogo

  • @sandalakabalo5442
    @sandalakabalo5442 3 วันที่ผ่านมา

    Hapo ni wap

  • @DamianoKasiano
    @DamianoKasiano 3 วันที่ผ่านมา

    Kaka sizan kama kuna kama ww yan hujawahi kutuferisha upande wowote yaan nakuombea kwamungu uzid kutupa elim utafika mbali sana uishi miaka 125

  • @TBCLINICKYELA
    @TBCLINICKYELA 3 วันที่ผ่านมา +1

    Masanja samahani, wewe siyo tajiri kichwa cha habari kinapotosha. Nachojua mimi pesa haipendi kelele.

  • @DennisAnthony-j5y
    @DennisAnthony-j5y 2 วันที่ผ่านมา

    Wewe mbona ulianzia kuigizaaaa?

  • @wakalebobby
    @wakalebobby 6 วันที่ผ่านมา +2

    Nauza mashamba Rufiji Ikwiriri..nicheki kama unahitaj

  • @RAHNGOMUO
    @RAHNGOMUO 4 วันที่ผ่านมา +1

    Mimi nalima pia kilimo kinatoa nakubli sana

    • @msamgunda7684
      @msamgunda7684 3 วันที่ผ่านมา

      Unalima nini,wapi?

    • @keviolotu
      @keviolotu 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Kweli❤❤❤

  • @gloriamwanjali9371
    @gloriamwanjali9371 6 วันที่ผ่านมา

    Umenitamanisha

  • @bugalirecords4862
    @bugalirecords4862 6 วันที่ผ่านมา +3

    Mna uhakika huyu ni mchungaji!?😂😂😂😂

    • @victorjames3730
      @victorjames3730 6 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂

    • @bugalirecords4862
      @bugalirecords4862 6 วันที่ผ่านมา +1

      @victorjames3730 sijawah kumwelewa aisee😂

    • @agliventures
      @agliventures 6 วันที่ผ่านมา

      Ndio tuna uhakika kwani mchungaji ana alama gani

    • @emmanuelmichael4508
      @emmanuelmichael4508 2 วันที่ผ่านมา

      Ulitaka mchungaji aweje, wachungaji wanajielewa wanapiga biashara wakipata hela mnaanza ooh freemason anakula sadaka amka usingizini😂

  • @mansooranam831
    @mansooranam831 5 วันที่ผ่านมา

    Mpunga ndo habari ya mjini

  • @ibrahimmuhina8965
    @ibrahimmuhina8965 6 วันที่ผ่านมา +3

    Kwa upande wa kidaktari, tumia RAIN BOOTS wakati wa ukulima wa mpunga kujilinda na kichocho na athari zake!!

    • @sixytntongambele3038
      @sixytntongambele3038 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      We huwez kuwa mkulima niko mbea mwaka wa kumi sijawah Ona kichocho mbugani we nimkulima kweli

  • @josephabeli7982
    @josephabeli7982 4 วันที่ผ่านมา

    Na Mimi nahitaji kutembelea shamba darasa nafikaje?

  • @ALPHAAIPIXEL-y3t
    @ALPHAAIPIXEL-y3t 5 วันที่ผ่านมา

    Ni kama vituunguu tu

  • @breymbasa3451
    @breymbasa3451 6 วันที่ผ่านมา

    Kununua mbegu iliyoota Sisi tulibakishaga eneo halikuenea kwa mbegu zetu tulizoatika So tulikuwa tunanunua beseni moja elfu2 mwaka 2009

  • @DaudFataki
    @DaudFataki วันที่ผ่านมา

    Yah sioyule chif aseme tu ukweli

  • @RickshabyVlogs
    @RickshabyVlogs 3 วันที่ผ่านมา

    Forex trading ndio mkombozi pekee kwa vijana kikubwa n kutafuta elimu juu yake na kutumia maarifa kutengeneza pesa

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 5 วันที่ผ่านมา

    Vijana wa dar wabishi awakuelewi na wanachuoa ndo kabisa unawazinguwa maind set

  • @FadhiliNyassi-f6m
    @FadhiliNyassi-f6m 2 วันที่ผ่านมา

    Sema vizuri utajili wako ulikotokea acha kudanganya watu!

  • @WinnieMin-e4z
    @WinnieMin-e4z 3 วันที่ผ่านมา

    Watu wanakuwa freemason sio kwamba hawana kazi za kufanya usijidanganye. Au unao wasikia Wana music wanaenda Kwa mganga unazani hawaimbi kabisa hapana wanaimba na Kwa freemason wanaenda pia.
    Ata k/Koo pale kabla ya kufungua duka kwanza lazima mfanya biashara afukize ubani Kwa shetani ndio afungue duka.
    Ila Yesu Kristo anatajirusha sana ni kutafuta tu na kufuata maelekezo.

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 6 วันที่ผ่านมา

    Unatoa elimu mwanana

  • @RobertAlexander-m4x
    @RobertAlexander-m4x 3 วันที่ผ่านมา

    Nabii wewe ni mtu sana tafadhari nami naitaji sana ila sina shamba la umwagiliaji

  • @alexkasililika4288
    @alexkasililika4288 6 วันที่ผ่านมา +1

    Tahadhari mnaojifunza kuhusu kilimo hapo binafsi nimepita hapo maelezo na vitendo ni tofauti sio kitu rahisi mnapaswa kujipanga haswa

    • @emanuelshemdoeestv2445
      @emanuelshemdoeestv2445 5 วันที่ผ่านมา

      Usiogopeshe watu..Acha wafanye

    • @assayusuph3295
      @assayusuph3295 5 วันที่ผ่านมา

      Kazi yoyote Ile nikujipanga wanajua hilo

    • @fainesKigahe
      @fainesKigahe 5 วันที่ผ่านมา

      Kweli Ima wapo watakao fanya hiyo kazi wataelewa kikubwa Nia

  • @AlfredMatemu
    @AlfredMatemu 4 วันที่ผ่านมา

    Hii ndio elimu ilitakiwa kufundisha shule

  • @athanaskipeto572
    @athanaskipeto572 2 วันที่ผ่านมา

    Uki vuna niuzie huo mpunga

  • @faustinedeogratias4337
    @faustinedeogratias4337 6 วันที่ผ่านมา +5

    Elimu ilinifanya nkachukia kilimo, maisha yamenifanya nipende kilimo

    • @Native10
      @Native10 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂

  • @kassebo
    @kassebo 6 วันที่ผ่านมา

    Alafu siku Ukiwa Bilionea Eti wakuite Freemason Ila wabongo bana

    • @WinnieMin-e4z
      @WinnieMin-e4z 3 วันที่ผ่านมา

      Watu wanakuwa freemason sio kwamba hawana kazi za kufanya usijidanganye. Au unao wasikia Wana music wanaenda Kwa mganga unazani hawaimbi kabisa hapana wanaimba na Kwa freemason wanaenda pia.
      Ata k/Koo pale kabla ya kufungua duka kwanza lazima mfanya biashara afukize ubani Kwa shetani ndio afungue duka.
      Ila Yesu Kristo anatajirusha sana ni kutafuta tu na kufuata maelekezo.

  • @khalfanidriss8931
    @khalfanidriss8931 22 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kwel Sadaq Sio Lazima Upew Pesa Hata Hiyo Elim Ni Zaid Ya sadaq . Mtumishi Wa Mungu @masanja

  • @oscarclaine5878
    @oscarclaine5878 5 วันที่ผ่านมา

    Watu wengi wanapagawa mtu akifungua duka la nguo na viatu ila kulima ni bonge la deal na watu hawajasanuka

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 6 วันที่ผ่านมา

    Halafu unamuita mtu filimason wakati anapambana usi na mchana

    • @WinnieMin-e4z
      @WinnieMin-e4z 3 วันที่ผ่านมา

      Watu wanakuwa freemason sio kwamba hawana kazi za kufanya usijidanganye. Au unao wasikia Wana music wanaenda Kwa mganga unazani hawaimbi kabisa hapana wanaimba na Kwa freemason wanaenda pia.
      Ata k/Koo pale kabla ya kufungua duka kwanza lazima mfanya biashara afukize ubani Kwa shetani ndio afungue duka.
      Ila Yesu Kristo anatajirusha sana ni kutafuta tu na kufuata maelekezo.

  • @dialomyuki7266
    @dialomyuki7266 วันที่ผ่านมา

    Hii shule ni ya experience, which is best, shule isiyo na mawaaa

  • @SamweliSimon-n2j
    @SamweliSimon-n2j 7 วันที่ผ่านมา +3

    Naona watu mmekaa kimya maana munaamini kulima ni ushamba

    • @efron997
      @efron997 6 วันที่ผ่านมา +1

      Kumbe wao ndiyo washamba

  • @JaphetVenance
    @JaphetVenance 6 วันที่ผ่านมา

    Uongo huo

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 6 วันที่ผ่านมา +2

    WE NI MJUMBE WA SHETANI.

    • @domicianalphonce8104
      @domicianalphonce8104 6 วันที่ผ่านมา +2

      umasikini utakuuwa.

    • @FredDiwani
      @FredDiwani 6 วันที่ผ่านมา

      kivip au ndo wivu

    • @israelmark4356
      @israelmark4356 6 วันที่ผ่านมา

      Unaakiri mbovu sana yaani mtu anawapa watu akiri ya maisha unaona shenanigans aseee ww nikichaaaa aseee

    • @jihalethegreat8807
      @jihalethegreat8807 6 วันที่ผ่านมา +2

      Ukisikia wivu wa kimasikini na bangi ndo huku ww mjumbe wa nani tukujue kama hiyo dini yako inakushauri kuhamasisha kilimo na upambanaji ni shetani kweli laana zipo kwa watu😅

    • @Josephjasson86
      @Josephjasson86 6 วันที่ผ่านมา

      Acha uvivi wa fikira, we kila aliyefanikiwa ni mjumbe wa shetani, ukute ata kula yako ni ya shida...😢😢