JERRY MURO AMLIPUA RAIS WA YANGA ENG. HERIS/ ATOKE KWENYE UONGOZI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 173

  • @saidibuye8859
    @saidibuye8859 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา +14

    Big up Brother Muro Umeongea vzr sana, tena kwa maono makubwa na elimu Kubwa sana, ila kuna Kengez hawato kuelewa

    • @DIVINEPROMISE-c1n
      @DIVINEPROMISE-c1n 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Kabisaa

    • @AminaTapwale-e5t
      @AminaTapwale-e5t ชั่วโมงที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂kengeza

  • @mohameddikaluka3162
    @mohameddikaluka3162 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา +5

    Ally kamwe yako nepi,utuliyeeee😂😂😂 jery! jery! jery!

  • @vallentinemakuka6965
    @vallentinemakuka6965 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Namuunga sana mkono Mh.Dc mstaafu yanga ya sasa ni kikundi cha viongozi na machawa wao.

  • @destinadolphe6618
    @destinadolphe6618 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Pwenti kabisa kaka muroo big up sana kaka

  • @SuzanKameta
    @SuzanKameta 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Aaaah kaka nimekuelewa sana, ndo maana 😅😅😅

  • @fabiancharles6258
    @fabiancharles6258 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Injinia mi nakuelewa sana bado mimi nakupa miaka 20 kuiongoza yanga

  • @NoahKabwilu-l1t
    @NoahKabwilu-l1t 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา +8

    Alikamwe Yako nepi😂😂

    • @kheirahmad4064
      @kheirahmad4064 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @MauBonde
    @MauBonde 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mambo yaliyotokea Simba msimu uliopita na msimu huu kwa yanga yanafanana,kwenye uongozi kuna mushkel wanachama hawataki kulijadili big up muro.

  • @CrissKyungau
    @CrissKyungau 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Tulisema kuwa ana mrefu ataondoka 😂😂😂😂😂

  • @MosesNyamba
    @MosesNyamba 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mzee Magoma heshima kwako ulisema kabisa kocha hamalizi miezi 4 😂😂😂😂😂

    • @badimfinanga
      @badimfinanga 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Kocha hakufukuzwa bali kapata sehemu nyingine ambapo ana-amini kwake ni Bora zaidi .So lawama Viongozi Zina Toka wapi!

  • @MzeeBabu-s6y
    @MzeeBabu-s6y 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    safi mweshi miwa mkuu wa mkoa wasa nuwe mizuzu iyoo

  • @bernardmboma1461
    @bernardmboma1461 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ww unaakiri sana sio hao wanamchekelea huyo nepi😂😂😂

  • @IbrahimMbwambo-o1i
    @IbrahimMbwambo-o1i 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mheshimiwa uko sawa hakika we nikiongozi

  • @johnkamira2236
    @johnkamira2236 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Absolutely true.kweli kweli kbisa

  • @MeoexaOsca
    @MeoexaOsca 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Unayo yasema ni kweli ingawa mimi ni mashabiki wa cmb hongera jer

    • @RudonongoR-ub9et
      @RudonongoR-ub9et 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      We mpuuzi Cmba simba acha uzwazwa

  • @babyakasha4002
    @babyakasha4002 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ubaya Ubwelaa😅😅😅

  • @maclaudismail6606
    @maclaudismail6606 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kaongea point. Usipoziba ufa utajenga ukuta. Yanga lazima ipiganie kutetea ubingwa na kuifunga simba ili kuleta utulivu kilabuni. Vingin nevyo au kinyume cha hapo mutayakumbuka haya aliyoyasema Jerry

  • @isayaanthon7063
    @isayaanthon7063 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Akili kubwa hii. Umetusemea wengi mkuu

  • @MikidadiKambinda-tr6rl
    @MikidadiKambinda-tr6rl 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Asante. Jerry. Muro. Hivi. Kiongozi. Yanatokea. Mambo. Ambayo. Sio. Halafu. Unakaa. Kimya. Hiyo. Ni. Dharau. Kubwa. Kwa. Nini. Tusielezwe. Ukweli. Wa. Mambo. Haya. Mambo. Ni. Mazito. Ambayo. Yanaweza. Kujibiwa. Na. Ally. Kamwe? Tunaomba. Engineer. Atoke. Hadharani. Atueleze. Kinacho. Endelea. YANGA. Maana. Hawa. Makocha. Zoa. Zoa. Sisi. Hatuwaelewi. Tunaomba. Rais. Wetu. Engineer. Hersi. Said. Ally. Aseme. Neno. Ili. Mioyo. Yetu. Wanayanga. YANGA. Itulie. Inatia. Uchungu. JERRY. Ameongea. Kwa. Uchungu. Mkubwa. Ukweli. Inauma. Sana

    • @Nurdin840
      @Nurdin840 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      shule gani umesoma?

    • @silvesterrichardhelenya1319
      @silvesterrichardhelenya1319 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Du mwalimu wako anapaswa awe jela mpaka muda huu unaandikaje kila sentesi kituo

    • @hassanlikwenangu8471
      @hassanlikwenangu8471 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      so mnadhani Eng Hersi hawadharau ninyi UTO??
      sio yeye aliyewahi kukuiteni wala mihogo?
      sio dharau ile??

  • @hamzanangameta6243
    @hamzanangameta6243 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Sasa kama majibu unayo, unahoji nini!!! Kipindi chako walipita makocha wangapi? Wewe hauko kwenye uongozi na hao waliomuondoa ndio wanaleta makocha!! Shida hamshawishi watu kulipa kadi za uanachama unalalamika kupata kocha wa hadhi ya juu😂😂😂

  • @davidwatson6821
    @davidwatson6821 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Mtoto yake nepi🤣🤣🤣

  • @hamzaamry6251
    @hamzaamry6251 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Fact🤜

  • @MauBonde
    @MauBonde 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kweli kiongozi anataka kutoa maelezo ya kina kuanzia kwa gamond.

  • @PeterMwamtobe-t2c
    @PeterMwamtobe-t2c 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Yaani muro mimi ni simba ilahuwa nakukubar sana nikikumbuka enz zako na manara mpira ulinoga sana endelea kushusha vyuma

  • @molenicharles9107
    @molenicharles9107 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Ali kamwe...yako nepi...inyee ikojolee kisha ukalale waachie wanaume wajibu hizo hoja😂😂

  • @AmosiPeter-z3g
    @AmosiPeter-z3g 7 นาทีที่ผ่านมา

    Heris aondoke hatumutaki inatosha

  • @elvisnzovu8282
    @elvisnzovu8282 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Nakubaliana na wewe kwa asilimia 100 %

  • @PhinaMushi-n2k
    @PhinaMushi-n2k 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    We kakaangu jerry Julia tu acha kelele taharifa atowe alikamwe atoe injinia haijalishi sisi tunataka ushindi tu

  • @AmosiPeter-z3g
    @AmosiPeter-z3g 23 นาทีที่ผ่านมา

    Unaongea kweli ila kunawashabiki wa yanga ninyumbu yanapelekwa pelekwa tu

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Wengi tumekata tamaa kuishabikia Yanga.

  • @kafulirahillaryhabel6728
    @kafulirahillaryhabel6728 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Jerry tuchangie bil 3 kuisapoti yanga. Una uchungu sana na timu yetu ya wananchi. Tupe bil 3 brother

    • @hamisimkulu6571
      @hamisimkulu6571 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Hata Mimi nimeshtuka kumuondoa saed kwanini kweli injinia atoke tumsikilize

  • @erickngatunga2359
    @erickngatunga2359 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Huyu alimuondoa manji Sasa anataka kumtoa eng.Hersi!

  • @ZURIATHMUSWADIKU
    @ZURIATHMUSWADIKU ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Unataka kocha mkubwa utuambie utachangia bei gan

  • @BensonJohn-z8t
    @BensonJohn-z8t 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kweli kwili umeongea umenyosha kaka

  • @wistonchusi9810
    @wistonchusi9810 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Umeongea point kubwa sana kaka uongozi wa Simba ulifeli hapo na pia viongozi wa Simba waitumie kama funzo la kupunguza tamaa zinaigharimu timu yetu

  • @AyubuDickson
    @AyubuDickson 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Uko sahii kaka muro

  • @HajiRiyama
    @HajiRiyama 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ukwer mchungu sema JELI MULO YUPO SAHIHI

  • @ewaldambrose6136
    @ewaldambrose6136 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Avieta😅

  • @HamzaHamza-l6s9c
    @HamzaHamza-l6s9c 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mheshimiwa ukovizuri Mimi ni SIMBA wa kweli lakini nimekukubali. Wewe humumunyi maneno

  • @DavidMgedzi-p1h
    @DavidMgedzi-p1h 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mi simba lkn jeri ni kama unajambo umesanuka vile😂😂!

  • @ewaldambrose6136
    @ewaldambrose6136 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kindege fc😂

  • @CbumaAlony
    @CbumaAlony 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mbona kama vile waunga hoja wengi ni wanasimba?

  • @fabiancharles6258
    @fabiancharles6258 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Muda wako umeshaisha usituletee mitafaruko wew
    Inaonekana ata kuifuatilia yanga ushaacha mda mref, msemaj uliyekuwa unategemewa et yanga ana makombe 28, broo uko nyuma sana tuache, kama unaushauri mzur sehemu ya kuwasilisha ushauri wako sio hapa.

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kakimbia Darby huyooo,asije kapata aibu zaidi😆🤣

    • @stevensosipita566
      @stevensosipita566 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      KANYE HUKO HIVI SIMBA KWA MARA YA MWISHO MMETUFUNGA LINI??

    • @japhetdaudmaneno8440
      @japhetdaudmaneno8440 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @stevensosipita566 Huwezi ifunga Simba 👹,bila bahasha na msaada wa kayoko

    • @stevensosipita566
      @stevensosipita566 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @japhetdaudmaneno8440 POLE SANA KOLO WEWE KIBONDE WETU TU

    • @japhetdaudmaneno8440
      @japhetdaudmaneno8440 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @stevensosipita566 Bila bahasha napigwa kama Ngoma🔥🔥🔥🏹💪

    • @japhetdaudmaneno8440
      @japhetdaudmaneno8440 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @stevensosipita566 Mtapigwa kama,Ngoma maana kama kweli uwezo mnao mngefuzu,kiwango chenu ni cha bongo , kimataifa tuachieni wa kimataifa 👹😀🔥🔥🏹

  • @ErickMasumbuko-h3j
    @ErickMasumbuko-h3j 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Vizuri sana mlo

    • @chachamniko3604
      @chachamniko3604 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Great Mulo....... Viongoizi wa Yanga kuna mahala wamejisahau na wanapeleka timu kubaya zaidi.

    • @chachamniko3604
      @chachamniko3604 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Na Hersi anatakiwa kujua standard alioiweka yeye ndiyo itakayomchafua huku anakoelekea.

  • @LucyMambally
    @LucyMambally 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hii ni Timu ya wananchi sio ya mtu. Wkt ukifika watssema usiwalazimishe KUSEMA.

  • @lugendondago8493
    @lugendondago8493 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ila me nakubaliana na wewe Muro, kuna madhaifu katika mikataba. engineer Hapa anabidi aongee

  • @Jamillaglivrwsd1org
    @Jamillaglivrwsd1org 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ujuwi chochote kuhusu yanga wanao juwa atuwezi kuongea kwakuwa tunajuwa kinacho hendelea

  • @MahadhiRahim
    @MahadhiRahim 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Umenena vyema muro

  • @emanueljoshua6228
    @emanueljoshua6228 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Umeongea kweli

  • @luganolukali2638
    @luganolukali2638 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kweli,hii inaitwa jibwa kalajibwa

  • @Emmanueltunzo
    @Emmanueltunzo 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hivi huyu anahoji Kama Nani
    Na yeye alipokuwa yanga alifanya nn

  • @lugendondago8493
    @lugendondago8493 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kocha kaondoka yeye kwakuwa amepata mkataba mwingine, sio viongozi waliyomtimua

  • @Emmanueltunzo
    @Emmanueltunzo 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Akae kimya
    Na WEWE mtangazaji uwe unatafuta taarifa za uhakika kwanza. Cjui Kama mlishamfwata mkamuuliza

  • @FoddohJosiah
    @FoddohJosiah 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Goal la ken gold liko wap

  • @simeontwiyogohe2727
    @simeontwiyogohe2727 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Who is Jerry. Hawezi isemea Yanga

  • @SimonpaschalMathias-j9p
    @SimonpaschalMathias-j9p 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mnajua mapatano kat seed na injinia kwani?

  • @salumchoma8731
    @salumchoma8731 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Sasa jery kama kocha kavunja mkataba kwa ajili ya maslahi yake utamzuia?

  • @longinomartin6062
    @longinomartin6062 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kabla hujafanya utafiti usihoji -nanyinyi wandishi munaogeza maneno .

  • @MgazaMhina
    @MgazaMhina 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Jamaaa ameongea ukweli na ameongea vitu vya msingi sana

  • @EnisoniChristopher
    @EnisoniChristopher 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Unawivu tu

  • @ibadimohamedi9756
    @ibadimohamedi9756 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Watu wenye akiri kwenye mpira

  • @JohnMbogo-c1n
    @JohnMbogo-c1n 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Huyu naye chizi kama machizi wengine.....waache viongozi wafanye kazi yao watakuja wataongea sasa ukijifanya unajua kila kitu unaonekana mpuuzi tu

  • @frankngoloka5416
    @frankngoloka5416 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hawa viongozi wanajambo la siri,Sasa hivi ni zamu ya simba achukuwe kombe ndiyo lengo lao,tupo mtaona tu

  • @pambaboniface1199
    @pambaboniface1199 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Upumbavu mtupu kwa hiyo kwa akili Yako finyi umeona hii ni mada ya kutuwekea kwenye mtandao?

  • @elisantenyange8751
    @elisantenyange8751 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kumeanza kuchangamka

  • @RizzikMsingiri
    @RizzikMsingiri 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Muro ww ni mtu wa mpira nimekuelewa sana

  • @EnisoniChristopher
    @EnisoniChristopher 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    We huna jipya piga kelele wanajiita Jeri mlo wewe ndo mvaa nepi

  • @hassanlikwenangu8471
    @hassanlikwenangu8471 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    ALI tulia .Yako NEPI daaadeqi!!

  • @WiliamMisheck
    @WiliamMisheck 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    🙌🙌🙌🙌🙌🙌 umeongezeka mwenye akili😂😂😂😂😂😂

  • @AllyChief-m8c
    @AllyChief-m8c 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hanampango.muro

  • @SULEIMAN-l8v
    @SULEIMAN-l8v 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Jeri ni mnafik ulikua wapi?mzee Magoma mlikua mnamdis mbona hamkuhoji wakati mnachukua ubingwa kwani timu c ipo nafasi ya pili ttzo nini kutokwenda robo ni kosa lenu mana hamkuhoji mqanzo kaeni kwa kutulia

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Wewe unataka kiki tu. Huna lolote. Wanaokusaport wengi wao ni simba, sie tulishachagua uongozi, muro hostoria yako ni mbovu hutakaa ueleweke. Watu tulishaanza kusema hatoshi na hakutosha aende zake.

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Huyu bwege

  • @TwahirBurhan
    @TwahirBurhan 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    NYIE WOTE WANAFIKI TU,HAMNA JIPYA KABISAA!

  • @hajistshariast6335
    @hajistshariast6335 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kwani hao walioletwa tulikuwa tunawajua

  • @FeristaPaulo-v7d
    @FeristaPaulo-v7d 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Jeri unataka nini ndani ya Yanga kwasasa? Wakati wako umepita bro tuache tunataka amani ndani ya Yanga.

  • @Mussasalehemussa
    @Mussasalehemussa 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mwambie aache usenge kwani yeye ni nani

  • @SaidMlemeta
    @SaidMlemeta 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ubaya ubelwa unawatafuna bado

  • @MakaWambura
    @MakaWambura 14 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Mmesikia ushauli watani zangu yanga mtoto yake nepi

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Jerry Muro wewe kila neno Lako Zito ungana na Mzee Magoma mjenge TIMU.je MDOGO Wangu wewe ni mbumbu kama Yanga wengine? Maana Haj Manara alisema wenye akili ni baba yake na mzee wa Msoga tu.sasa nakujumlisha na wewe,Muro,pia mzee Magoma.Big up Jerry Muro.huyo nepi ndiyo TATIZO

    • @DIVINEPROMISE-c1n
      @DIVINEPROMISE-c1n 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Mbumbumbu FC mnajulikana mliitwa na baba yenu Rage

  • @LucyMambally
    @LucyMambally 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Wewe ndio unaleta shida na mpasuko kwa maneno yako. Tulia unaongea sana.

  • @OmaryMwigula
    @OmaryMwigula 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Yake nepi

  • @chemstry409
    @chemstry409 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    ALIPIE KADI YAKE KWANZA NDIO AWEZE KUONGEA....

  • @yusuphshabani7285
    @yusuphshabani7285 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    😂😂😂...unataka raisi aongee hata kama hanahoja ya kuongea!!!kwahiyo wewe utasupport hata kama ukiongea non sense,kama hanachakuongea muache raisi apumzike kuongea bila malengo hakuna maana,kulashushu engineer

  • @DIVINEPROMISE-c1n
    @DIVINEPROMISE-c1n 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Maelezo ya Jerry na kichwa Cha habari havina uhusiano

  • @KimomweHalifa
    @KimomweHalifa 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Muŕo hamasìsha watu wakate kadì tupate wanachama wengi club ipate pesa tuweze kusajiĺi na kuchukua makocha wazuri. Wewe umechangia nini, Acha siasa kwenye mpira wewe Huna kazi unatafuta kazi tu.

  • @Mkazially
    @Mkazially 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Gombea we Kama utaweza umetumwa kwani we Nani katika yanga?

  • @SamweliChacha-l4y
    @SamweliChacha-l4y 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ila ni hoja ya msingi

  • @ElinihakiMsuya
    @ElinihakiMsuya 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kweli ogea rais acha utani na yanga ni ya wanainchi sema neno siyo saizi ya alli

  • @harunahalfani1624
    @harunahalfani1624 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kaa kimywa wewe ndo uliivuruga yanga

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Anayemwunga mkono muro anafikiri muro hawapendi viongozi wa yanga, ila ukweli yeye katoa maoni yake.Sasa makolo wanashambulia kama kutaka kuleta mvurugano pale yanga, nyie kolo mmeliwa ubongo.

  • @HarunakiongoziMohamed
    @HarunakiongoziMohamed 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kwani timu imefanya vibaya au mnataka kuleta vurugu club

  • @reinfridlipili5666
    @reinfridlipili5666 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Huyu HANA JIPYA!

  • @SimonMabigi
    @SimonMabigi 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Nimkweli viongoz watuambie coz haya mabadiliko ya Kila baada ya mwez yataathiri timu

  • @LucyMambally
    @LucyMambally 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Tulia wenye mpira wao wanajia wanachokifanya. Wewe kulifanya nini wkt wako? Acheni kubet subirini mwone matokeo. Na wewe Unaongea sana wewe sio kiongozi wa Yanga.

  • @ndayi7
    @ndayi7 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Sasa mnatajua kwanini Caf wamempa kazi engineer Hers!!?

  • @HarunakiongoziMohamed
    @HarunakiongoziMohamed 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Sasa timu ikiwa ya pili inakuwa imefanya vibaya,mbona wewe ulikosa kila kitu,ulifanya nini pale yanga zaidi ya magonvi na manara

  • @SaidMlemeta
    @SaidMlemeta 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mm ni Yanga ila kwasasa cnampango nao naona kama awajui wanafanya nn

    • @simonnjovu586
      @simonnjovu586 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Wewe sio Yanga, timu iko mikono salama.

    • @SaidMlemeta
      @SaidMlemeta 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @simonnjovu586 sasa eng said aweki wazi why anafukuza nikama tunafichwa bro

  • @JosephDaudi-n5l
    @JosephDaudi-n5l 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kwaniwewe shidayakonini mnafiki tunakujua ulimchoma manji tokazako