MASANJA TOUR: SOKO KUU MWANZA ( Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 40

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 28 วันที่ผ่านมา +12

    Ndoto za mzee baba JPM mwana wa Africa mzalendo Mtanzania 🇹🇿 kweli

  • @allymusira2153
    @allymusira2153 28 วันที่ผ่านมา +3

    Kazi iendelee hongera

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 27 วันที่ผ่านมา +2

    Masanja hii unayoifanya inamaana kubwa sana kwa mtz wakawaida, ongera

  • @peterkolam8193
    @peterkolam8193 16 วันที่ผ่านมา

    Nikitu umenishangaza,nilidhani mimi tu ndio mwenye kiu ya tour kwa pikipiki ,nimepata shabiki,jibu hii comment masanja weka namba tuwasiliane,,hizi safari mkiwa 3 mpaka 5,,bomba sana.mimi niko addicted kwa bike.

  • @albertbunyinyiga7581
    @albertbunyinyiga7581 25 วันที่ผ่านมา +4

    Mzee baba asinge danja Mwanza ingekuwa kama cape town

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 27 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera Masanja

  • @BigMan-f1v
    @BigMan-f1v 28 วันที่ผ่านมา +1

    Karibu nyumbani Masanja

  • @5H-EB901
    @5H-EB901 25 วันที่ผ่านมา

    Muheshimiwa masanja naomba kuuliza suali: Je! Serikali yenyewe au wanaondesha serikali ndio wanaakili? ..... Asante ❤

  • @kilimanjarotv255
    @kilimanjarotv255 28 วันที่ผ่านมา +1

    masanja tour mtoto wa mama samia mbona moshi kimanjaro utembelei mtumishi wa mungu

  • @anafisuleimani7083
    @anafisuleimani7083 17 วันที่ผ่านมา

    Jamani Tanzania inapiga hatua

  • @hamisdodi-cu7bu
    @hamisdodi-cu7bu 28 วันที่ผ่านมา

    Kazi.iendalee

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 28 วันที่ผ่านมา +4

    R.I.P.JPM

  • @PaschalCharlesLunemhya
    @PaschalCharlesLunemhya 25 วันที่ผ่านมา +4

    Akumbukwe Hayati JPM alie kuwa na maono wachache walimuelewa...

  • @RogersSanio
    @RogersSanio 22 วันที่ผ่านมา

    Hii soko iko mwanza sehemu gani

    • @jeedymasoud4269
      @jeedymasoud4269 22 วันที่ผ่านมา

      Mwanza mjini katikati, mtaa wa Pamba na Rwagasole

  • @HARUNAKITIKU
    @HARUNAKITIKU 24 วันที่ผ่านมา +1

    Hapo wamekutana wachekeshaji watupu hadi raha kuangalia

  • @danielbrown3329
    @danielbrown3329 22 วันที่ผ่านมา

    Hovyo

  • @Swahili.pictures
    @Swahili.pictures 22 วันที่ผ่านมา

    Hio bendera sio ya tz

  • @InnocentJohn-l5y
    @InnocentJohn-l5y 22 วันที่ผ่านมา

    Niwajibu wa serikali kufanya maendeleo tena zaidi yahayo maana wananchi wanalipa kodi pesa nyingi tena zinaliwa nyingi kwenye maeendeleo wanapeleka kidogo

  • @moseskivunge1719
    @moseskivunge1719 22 วันที่ผ่านมา

    Ameacha uchungaji?
    Misa huko kanisani kwake nani anasimamia maana yeye mtalii..😂

  • @slovetanzania812
    @slovetanzania812 22 วันที่ผ่านมา

    Mitaji ndo changamoto

  • @user-sy6ty8qb3n
    @user-sy6ty8qb3n 22 วันที่ผ่านมา

    Masanja hiyo pikipiki aina gani ?

  • @Mbwanaadam-m2v
    @Mbwanaadam-m2v 28 วันที่ผ่านมา +2

    Ndugu acha uchawa huo ni usenge

  • @bmtbeatz920
    @bmtbeatz920 24 วันที่ผ่านมา

    Tengenezen viwanda achen ujinga wa ku spend billion kweny majengo ya kisnge hapo ni kaz bure hela imepotea kijingajinga hii Tanzania mpk ipate ukomboz wa kifkra ni bado sana 😴

    • @bashiromary6528
      @bashiromary6528 23 วันที่ผ่านมา

      Ndugu yangu. Kutengeneza Soko siyo jambo baya au matumizi mabaya ya fedha zetu. Hili soko pia litasaidia kwenye upande wa masoko ya kuuzia sehemu ya bidhaa zitakazo zarishwa viwandani. Kiufupi ni hivi hauwezi kujenga viwanda pasipokuwa na soko, pamoja na kuwepo kwa masoko mtandao hivi sasa.

  • @ogasa_sm5940
    @ogasa_sm5940 28 วันที่ผ่านมา +2

    Du! Ila kwa Hilo soko kuu Mwanza, NI kiboko haswa,NI bonge la uwekezaji.limebadilisha kabisa muonekano wa jiji la Mwanza hapo Center.

  • @alimzee5526
    @alimzee5526 28 วันที่ผ่านมา

    Utapigwa kijana

  • @lifestylelove9207
    @lifestylelove9207 28 วันที่ผ่านมา

    Eliudi😂

  • @mackjr5291
    @mackjr5291 28 วันที่ผ่านมา

    Ifike sehemu wakuonee huruma hata u DC jamani

    • @FelisterMichael-r8t
      @FelisterMichael-r8t 25 วันที่ผ่านมา

      Wamuonee huruma we hujui hapo kala mpunga wa maana kuzunguka inch nzima

    • @matendupiterngoge8707
      @matendupiterngoge8707 24 วันที่ผ่านมา

      Muelewe huyo ni serikali kama hamjui mrangazi wa serikali

  • @alimzee5526
    @alimzee5526 28 วันที่ผ่านมา

    Utapigwa ngumi acha ubabe huioni hii fomu ya Mwananchi

  • @jeremiaaugustino7187
    @jeremiaaugustino7187 28 วันที่ผ่านมา

    KWENYE PARKING NDO WAMETISHA ZAIDI....MAANA SEHEMU NYINGI WANAJENGA lAKINI nO PARKING

    • @goromamussatvonline
      @goromamussatvonline 28 วันที่ผ่านมา

      vipi uchungaji ulipotelea wapi Tena mbna mnatuchanganya 🤔🤔🤔

  • @JOSEPHKAJORO
    @JOSEPHKAJORO 28 วันที่ผ่านมา +1

    Masanja hana lolote anafanya familirazation kwa wananchi ili Asante ubunge.

  • @ANNAKISIGA-pc5qs
    @ANNAKISIGA-pc5qs 24 วันที่ผ่านมา

    KaI ya jpm.semen anamalizia tu yeye hajaanzisha mlad wake

  • @JomoKilawe
    @JomoKilawe 28 วันที่ผ่านมา

    Ee😂😂