MILIKI KUKU ZAIDI YA 600 KWA MWAKA kwa kutumia fomula hii

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 39

  • @silveramujuni5246
    @silveramujuni5246 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hi elimu ni bora sana kibiashara

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@silveramujuni5246 karibu

  • @jestinasimon4130
    @jestinasimon4130 7 วันที่ผ่านมา +3

    Elimu nzuri ubarikiwe

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  7 วันที่ผ่านมา

      @@jestinasimon4130 shukran sana, tubarikiwe sote

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  3 วันที่ผ่านมา

      @@jestinasimon4130 Amina, tubarikiwe sote

  • @HappynessFuss-f8q
    @HappynessFuss-f8q 6 วันที่ผ่านมา +1

    Elimu nzuri sana natamani kufuga

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  6 วันที่ผ่านมา

      @@HappynessFuss-f8q hongera na karibu sana.
      Kupitia channel hii, itakuwa ni sababu ya kuanza ufugaji na kukua zaid

  • @PaulSangayon
    @PaulSangayon 5 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana. Asante kwa elimu

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  5 วันที่ผ่านมา

      @@PaulSangayon shukran sana

  • @swaumuramadhani-g7e
    @swaumuramadhani-g7e 5 วันที่ผ่านมา

    Somo zuri Asante sana

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  4 วันที่ผ่านมา

      @@swaumuramadhani-g7e shukran sana.

  • @HilaryMassawe-y7s
    @HilaryMassawe-y7s 5 วันที่ผ่านมา

    Nice 👍 idea

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  4 วันที่ผ่านมา

      @@HilaryMassawe-y7s thank you

  • @elimbotoraphael3940
    @elimbotoraphael3940 4 วันที่ผ่านมา

    Elimu nzuri na inahamasisha ila siyo rahisi hivyo. Hao vifaranga kuwalea tofauti tofauti ni changamoto sana kwa mtu mwenye mtaji mdogo na eneo dogo.inawezekana ila waweza kuchanganyikiwa akili!kila mwezi ule vifaranga wapya!bado wengine wanakusubiria!njia rahisi ni kununua hao vifaranga wote na kuwalea kwa pamoja.

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  3 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@elimbotoraphael3940 Shukrani ni wazo zuri, la kujenga na kuboresha, Naamini pia katika uthubutu na nia thabiti ya kujitoa kikamilifu katika jambo lako.

  • @carenhilary8067
    @carenhilary8067 4 วันที่ผ่านมา

    Good

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  4 วันที่ผ่านมา

      @@carenhilary8067 thanks

  • @geralddeus1434
    @geralddeus1434 7 วันที่ผ่านมา +1

    🔥🔥👍

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  7 วันที่ผ่านมา

      @@geralddeus1434 🔥🔥🔥

  • @abidandastanmaliyatabu1373
    @abidandastanmaliyatabu1373 6 วันที่ผ่านมา

    Asante kuniunga mkono kwa mawazo yangu

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  6 วันที่ผ่านมา

      @@abidandastanmaliyatabu1373 karibu

  • @SurprisedCaptainHat-my4tw
    @SurprisedCaptainHat-my4tw 3 วันที่ผ่านมา

    Kaka nashkul xaan

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  2 วันที่ผ่านมา

      @@SurprisedCaptainHat-my4tw shukran sana. Karibu

  • @emmiemmi3861
    @emmiemmi3861 5 วันที่ผ่านมา

    Asante

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  5 วันที่ผ่านมา

      @@emmiemmi3861 karibu

  • @ChartyMpepo
    @ChartyMpepo วันที่ผ่านมา

    Vipi nikiaza na majike 10 na dume 1 banda lake linatakiwa ukubwa gani?

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@ChartyMpepo
      Ukubwa wa banda unategemea na aina ya kuku, mfumo unaotumia kufuga (ndani nusu huria au huria), idadi yao n.k
      Kwa kuku mmoja wa kienyeji anaefugwa kwa mfumo wa huria (nje) anahitaji nafasi ya futi za mraba 2 hadi 4
      Yaani 0.6 - 1.2 metre square kwa kuku mmoja.
      Au sentimita 60 - 120 za mraba kwa kuku mmoja.
      Ili kupata nafasi ya idadi ya kuku ulionao au unaohitaji kuwafuga yapasa kuchuku mita 0.6 kwa kuku 1 × idadi ya kuku
      Mfano 0.6 × 10 = 6 mita za mraba
      Kwaiyo banda lako laweza kuwa na
      Upana mita 2 na urefu mita 3
      Ahsante na karibu.

    • @ChartyMpepo
      @ChartyMpepo 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @Ahikigufa nashukuru

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @ChartyMpepo shukran pia.

  • @evancem4366
    @evancem4366 4 วันที่ผ่านมา

    Me wezi ndo wananirudisha nyuma

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  2 วันที่ผ่านมา

      Aisee pole sana.
      Ni kweli hiyo ni changamoto kubwa sana na kuna wakati inakatisha tamaa.
      Hasa unafikiria level uliyokuwa umefikia, jasho, damu na machozi uliyomwaga kufika hapo.
      Ni kutie moyo kwa mara nyingine kwa kutokata tamaa, kikubwa ni kujifunza kwa kila kosa na changamoto inayokukabili kisha kutafuta suluhisho la kudumu.
      Sijajua mazingira yako yakoje, ila naimani MBWA anaweza kuwa moja kati ya suluhisho.

  • @CHARLYASSEY
    @CHARLYASSEY 7 วันที่ผ่านมา

    Nahtaj sana elm iyoooo

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  6 วันที่ผ่านมา

      @@CHARLYASSEY tuko pamoja, endelea kufuatilia mtitiriko wa maudhui yangu, naimani elimu unayoihitaji utaipata

  • @DanielMbena
    @DanielMbena 7 วันที่ผ่านมา +1

    Mayai yanatakiwa yatotolewe baada ya mda gani?

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  6 วันที่ผ่านมา

      @@DanielMbena
      Iwe ni kuku kaatamia au umeweka kwenye mashine mayai huanza kuanguliwa au kutotolewa baada ya siku 19 - 23 ambayo wastani ni siku 21.

    • @DanielMbena
      @DanielMbena 6 วันที่ผ่านมา

      @Ahikigufa Yani maana yangu ili mayai yatotoleke toka yatagwe yanatakiwa yakae siku ngapi ili yawe yanafaa kutotoleka?

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  6 วันที่ผ่านมา +1

      @DanielMbena ni siku 14 kwa maan wiki mbili.
      Ila yakikaa siku 12 yanaleta matokeo bora zaidi.
      Zaidi ya hapo kaa tayari kwa video inayofuata nimeeleza yote hayo.

  • @amanichaula1
    @amanichaula1 5 วันที่ผ่านมา

    Kaka namba yako kwa maelezo zaidi

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  5 วันที่ผ่านมา

      @@amanichaula1 0752682127 WhatsApp/normal call/Messages