RAIS MWINYI AMSIFIA WAZIRI MAZRUI - "ANAFANANA NA CHAMA CHETU (CCM)"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2024
  • RAIS MWINYI AMSIFIA WAZIRI MAZRUI - "ANAFANANA NA CHAMA CHETU (CCM)"
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 33

  • @ashamohammed3612
    @ashamohammed3612 2 ปีที่แล้ว

    Mazrui kwa kichapo ulichokipata nadhani hiyo ni bakora tosha ya kukufunza si dhani kama utakuwa msaliti kama wengine. Unaweza kusamehe lakini huwezi usahau katu sifikirii kama unaweza kumsaliti Al Marehemu Maalim Seif usidanganywe na upepo wa kusi ukasahau Tanga lako.

  • @iddijumaali7192
    @iddijumaali7192 2 ปีที่แล้ว +2

    Humpati NG'o mazrui

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi8518 2 ปีที่แล้ว +3

    Hiyo ni mbinu ya kampeni kwa mlango wa nyuma.
    Tusubiri hapo 2025 ndio tutajua kama dhamiri ya kuleta umoja wa kitaifa inaendelea au laa.

  • @w4058
    @w4058 2 ปีที่แล้ว +1

    Naam Kabisa Wazanzibar amkeni msidanganywe na vipipi vyake Yeye kamchaguwa kwa uhakika kuwa atafanikiwa maana pamoja na kumpiga na walikompiga kwa kuwa anapenda Zanzibar yake kasamehe na sio peke na takriban wote waliodhulumiwa ingawa bado hujawalipa haki zao ila tunakuomba washike masikio CCM wenzako waache urasimu wao na mumtulie fedha spitali maana tunaambiwa dawa hakuna

  • @alialibablly7010
    @alialibablly7010 2 ปีที่แล้ว

    Mtangoja sana

  • @alialibablly7010
    @alialibablly7010 2 ปีที่แล้ว +2

    Waziri anajua hii taasisis haena chama inataka moyo kama anafanya kazi waziri basi anafaaa apewe bajeti na vitenda kazi kwa wizara yake afya

  • @aseelaisaa428
    @aseelaisaa428 2 ปีที่แล้ว +1

    Mh mazrui hongera sanaaaa..mashallah. atarud nyumbani CCM. Alikuwa huko before

    • @w4058
      @w4058 2 ปีที่แล้ว

      Hajawahi kuwako hukoo hata siku moja kama mlimuona alivyovyalishwa pakacha hahahaha ulikuwa ushawushi wa Raza looo CCM kaeni wenyewe mazimwi wakubwa

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 2 ปีที่แล้ว +1

    Wote hao ni CCM eti njaa Tu na mwizi mwenzake mwizi

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 2 ปีที่แล้ว

      Haji,unavuka mipaka,unaweza kupata matatizo kwa kauli kama hiyo

    • @Crystalmocha
      @Crystalmocha 2 ปีที่แล้ว

      Wewe muislam unasema jambo huna uhakika nalo usibebe dhima muulizie vizuri Mazrui

    • @hajiabdalla5772
      @hajiabdalla5772 2 ปีที่แล้ว

      @@ahmedalbalooshi8518 acha kuogopa

    • @hajiabdalla5772
      @hajiabdalla5772 2 ปีที่แล้ว

      @@Crystalmocha we akili huna basi hata macho kuona kodo huoni

    • @Crystalmocha
      @Crystalmocha 2 ปีที่แล้ว

      Basi hukum anayo Allah yey ndie Alim l ghaib mimi macho yangu yanaona ya nje tu ndani yaa nafsi Allah yeye ndie mjuzi

  • @hamadsuleiman5177
    @hamadsuleiman5177 2 ปีที่แล้ว +1

    I say huyu Rais ni mzuri anajaribu kutueleza ya kwamba serekali ya umoja wa kitaifa ina tija kubwa kwa Zanzibar...Allah kupe nguvu uzidi kusimamia majukumu yako ya kiungozi na uinyanyue zanzibar na watu wake as well

    • @emakakolwa859
      @emakakolwa859 2 ปีที่แล้ว

      Kwa maovu yke alietufanyia

    • @emakakolwa859
      @emakakolwa859 2 ปีที่แล้ว

      Hana uzuri wwte mnafiki mkubwa hatutomsamehe

  • @kauthariddi7800
    @kauthariddi7800 2 ปีที่แล้ว

    Ccm oyeee dady Allah akufanyie wepec kla hatua dua

    • @w4058
      @w4058 2 ปีที่แล้ว

      Mie sipendi kuwasikiliza kabisa aaa sitaji jikera

    • @w4058
      @w4058 2 ปีที่แล้ว

      Wazanzibar wenzetu kuweni na akili zenu timamu hahahaha mnalowekwa tuu

    • @emakakolwa859
      @emakakolwa859 2 ปีที่แล้ว

      Chizi ww

  • @rushydahmed9179
    @rushydahmed9179 2 ปีที่แล้ว +1

    mwinyi ni chizi, miaka 60 bado ana mdomo wa kuweza kuisifu ccm kama siujinga ni kitu gani
    na huyu mwinyi hapa unguja kwao wapi au ndio tumeletewa rais wa mkuranga..

    • @dalalimjinga.144
      @dalalimjinga.144 2 ปีที่แล้ว

      Ww kwenu wapi hapa Unguja? Kwerekwe? Au kama? Tatizo ni Udarajabovu

    • @abdallaabdi5159
      @abdallaabdi5159 2 ปีที่แล้ว

      Acha ujinga uo, muhimu ni maendeleo tu.

    • @mariamjuma8938
      @mariamjuma8938 2 ปีที่แล้ว

      @@dalalimjinga.144 udarajabovu oyeeee

    • @ahmadifataha6677
      @ahmadifataha6677 2 ปีที่แล้ว

      Wewe kwenu wapi acha ubaguzi wewe paka mmoja wewe

    • @salyali7807
      @salyali7807 2 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣 umenikuna ndipo