Je, Wairaqw wa Tanzania wana asili ya Kiarabu? | GUMZO NA WALIMU WETU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2024
  • Mwalimu Lightness Isojick anafundisha Skuli ya Msingi ya Blue Rhino International iliyoko kaskazini mwa Tanzania. Yeye ni mwenyeji wa Karatu kutoka kabila la Iraqw. Anasimulia hapa kuhusu lugha na fasihi ya watu wake.

ความคิดเห็น • 27

  • @aladinynur7915
    @aladinynur7915 หลายเดือนก่อน +3

    From Iraq to Ethiopia before Suez canal built following great rift wall to South Africa

  • @veronicasafari600
    @veronicasafari600 หลายเดือนก่อน +3

    Hatimaye wairaqw tumefka Majuu

  • @d15355
    @d15355 หลายเดือนก่อน +6

    Hawa wairaq kwa ufahamu wangu na jinsi nilivyokaa nao asli yao ni ethiopia na wanafanana na wale Amhara wa wa kule, ila sio waarabu wa iraq ni neno tu linafanana nalo, ila sio, bali ni jami ya semitic kama wale amhara na waeritrea ndio jamii yao,ila eleweni kuwa maeneo yoote ya centra Tz kwenda juu asli yake ni maeneo ya makabila ya kiethiopia na yale yenye asli ya kisomali na yale ya kinilotics na bushmen wabantu waishio sasa wameamia miaka ya karibuni tu kama 300-350 nyuma, hao ndio wenyeji asli wa maeneo hayo

    • @sulebaajun6015
      @sulebaajun6015 หลายเดือนก่อน +2

      Unajua wa Amhara na waarabu ni walewale?

    • @d15355
      @d15355 หลายเดือนก่อน +1

      @@sulebaajun6015 ni race moja hiyo tunakubali ila ishu hapa ni je walitoka iraq kama wanavyodai? jibu hapana hili ni muendelezo wa makabila ya kiethiopia sio waarabu wa iraq,sababu semitic people hawapo waarabu peke yao kuna waarabu,wayahudi,amhara,copts,tigrinya,wasyria wa kale etc hivyo point itabaki palepale kuwa hawa wana relate more na waethiopia.

    • @sulebaajun6015
      @sulebaajun6015 หลายเดือนก่อน

      @@d15355 If you look at the map, it is a stretch if they claim they came from Iraq. Kama unavyosema, Ethiopia itakuwa ni sehemu ya karibu zaidi.

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 หลายเดือนก่อน +2

    Asante dada historia nzuri kujua❤

  • @samwelpanga2404
    @samwelpanga2404 หลายเดือนก่อน +2

    Wairaqw wenzangu weka like hapa tu enjoy

  • @zaneco
    @zaneco หลายเดือนก่อน +2

    Interesting, endelea kuwahoji watu kama hawa wanaoelezea history bila ya kuingiza siasa

  • @faisaloaljabry6400
    @faisaloaljabry6400 หลายเดือนก่อน +3

    Nimependa sana kumsikia Muirak akijibu na kujielezea kwa ufasaha lakini pia nimestuka kusikia wairak wana misamiati ambayo haiko katika kiswahili lakini iko katika misamiati ya kiarabu. Hii inaisharia pia kua kulikua na mahusiano halisi baina ya waarabu na wairak au ni watu wa asili moja

  • @Yayouselim
    @Yayouselim 20 วันที่ผ่านมา +1

    Ghassan wew kiboko

  • @Abdullatifkilupy-tn6ii
    @Abdullatifkilupy-tn6ii หลายเดือนก่อน +1

    Hahaha nimefurahi sana. Ila nilikua nacheka sheikh Mohammed ulivokua unashangaaa. 😂😂 Hongereni sana. Kiswahili ni urithi unaopaswa kudumishwa kwa hali na mali.

  • @abuualiyuu2435
    @abuualiyuu2435 หลายเดือนก่อน +3

    Assalamu aleyku, Sheikh Mohammed hiyo ni Lugha inayoshabihiyana sana na Lugha za kiarabu. na kama Taasisi ya lugha za kigeni Zanzibar inaweza kuunganisha Lahaja kaama hizi kwa kweli Lugha ya kiswahili ingeweza kuongeza Msaamiati wake kwa kiasi kikubwa

  • @Hassannur-oe5tx
    @Hassannur-oe5tx 13 วันที่ผ่านมา

    Wairaqw ni wasomali wetu tulippteleana we need to claim

  • @Hassannur-oe5tx
    @Hassannur-oe5tx 13 วันที่ผ่านมา +1

    Wairaqw Wana ukaribu na rendile na wasomali

  • @Grataaaaa
    @Grataaaaa หลายเดือนก่อน +1

    Mungu wao juwa hatr xnaa

  • @yohanayusuf4713
    @yohanayusuf4713 หลายเดือนก่อน +1

    Duh! mungu mke Jua

  • @DAMIANOPETRO-n8l
    @DAMIANOPETRO-n8l หลายเดือนก่อน +2

    Loa a amen aga akhasika

  • @saidnoumani7244
    @saidnoumani7244 หลายเดือนก่อน +1

    Dada mnafanana na sura za kiarabu you look beautiful

  • @lumage
    @lumage หลายเดือนก่อน +1

    Desi Laway

  • @smallscaleminingsupplies9670
    @smallscaleminingsupplies9670 หลายเดือนก่อน +1

    We badala ya kusema waarabu wana asili ya waairaq we unasema waairaq ndio wana asili ya waarabu

  • @elimukwanza4657
    @elimukwanza4657 หลายเดือนก่อน +1

    Kwanini anasema Luga na anaweza kusema Lugha

  • @salyali7807
    @salyali7807 หลายเดือนก่อน +1

    Subhanallah

  • @mrafm7285
    @mrafm7285 หลายเดือนก่อน +1

    60% ya kiswahili ni kiarabu sio 40%