Wachambuzi wa nchi hii wengi ni mamuruki hawajielewi,,yani tulileta kina ngoma,babar,jobe fred etc wakasema tumejaza wazee,saizi tumeleta under 24 wanasema bado wadogo hawatafanya chochote yan wachambuz wa bongo wengi wao ni kama malaya tu hawaelew wanachokizungumza
Hakuna wachambuzi hao wote vilaza hivi kweli game ile ya muungano wakina mashaka hawawezi cheza hata hawajiulizi kuwa Simba inamashindano madogo kama muungano ambayo kalabaka,mashaka wanacheza
UKIONA MCHEZAJI KAMA DEBORA ANATOKA TIMU NDOGO LAKINI ANACHAGULIWA TIMU YA TAIFA UJUWE KAWATIA ADABU SANA WAFUNGAJI WA TIMU KUBWA SIO BURE HAPO SIMBA WAMEPATIYA TENA SANA ❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
FEISAL ANA TANGAZWA NA NYINYI WACHAMBUZI SIO KIONGOZI WA SIMBA . NYINYI NI MBUMBU WA UCHAMBUZI.... LEO MNASEMA VIJANA, KESHO MTASEMA WAZEE,, SAUTI ZENU TUNAZO....
Wachambuzi wa nchi hii wengi ni mamuruki hawajielewi,,yani tulileta kina ngoma,babar,jobe fred etc wakasema tumejaza wazee,saizi tumeleta under 24 wanasema bado wadogo hawatafanya chochote yan wachambuz wa bongo wengi wao ni kama malaya tu hawaelew wanachokizungumza
Hakuna wachambuzi hao wote vilaza hivi kweli game ile ya muungano wakina mashaka hawawezi cheza hata hawajiulizi kuwa Simba inamashindano madogo kama muungano ambayo kalabaka,mashaka wanacheza
Simba nguvu moja one team one dream forever
Waandishi hamna jema Kwa simba
Wandishi Yale mukiyosema kuhusu umri Simba wamezingatia🎉
Huyo mchambuzi mpumbavu sana
UKIONA MCHEZAJI KAMA DEBORA ANATOKA TIMU NDOGO LAKINI ANACHAGULIWA TIMU YA TAIFA UJUWE KAWATIA ADABU SANA WAFUNGAJI WA TIMU KUBWA SIO BURE HAPO SIMBA WAMEPATIYA TENA SANA ❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
OYEEEEEEEEE!💃💃💃
Kaka awa wachezaji wazulitu
Hiyo feitoto aletwe Simba kwa gharama yoyote. Wanachama tuppo tayari kuchangia pesa.
Kocha wa Argentina aliyebeba world cup alikua ndio mashindano yake ya mwanzo na alibeba world cup
😂😂 huyo mtangazaji ni muruki Comparable ni unafiki tu, mbona hatuzungumzii yanga walio chukua mvp wa Tanzania kutoka Simba Chama
Shida unafiki yanga wachambuzi wengi inawapoteza baleke au Dube wamefanyanini kimataifa kama siyo unafiki bazi ya wachambuzi
Wachambuzi wanaichukia Simba mzee na siku zote Dunian watu wanachukia kitu kilicho bora
Simba wamejitahidi kuboresha kukosi hongera kwa mo jamani
FEISAL ANA TANGAZWA NA NYINYI WACHAMBUZI SIO KIONGOZI WA SIMBA . NYINYI NI MBUMBU WA UCHAMBUZI.... LEO MNASEMA VIJANA, KESHO MTASEMA WAZEE,, SAUTI ZENU TUNAZO....
Acha dharau wewe njoo wewe usajili bac maana mjuaji sana wenqine wajinqa
Wachambuzi hacheni kununuliwa, Baleke alipokuwa simba mlisema mzee, leo kaenda Yanga mnasema usajili wa kimkakati.
Chama pia walisema Kaishiwa kashazeeka nw Yupo Yanga wanasema ana ujuzi na kimataifa anafaa 😂
tupeni mauwa ya ao wa leo muna amisha oja munaanza kucho meka kwa fei
Wachambuzi mnatumwa na yanga ili muichafue simba
KWANI TSHABALALA,KAPOMBE,NGOMA,MZAMIRU NAO NI 25 KURUDI, CHINI
Au usajili wa Chama na Bareke ndo wa kimkakati?
Swala sio kuchukua ubingwa nyie wachambuzi uchwara mliojawa na chuki dhidi ya Simba.
Hawa ni kama Popo tu
Mara toeni wazee,xxhivi wadogo nyie tuwaeleweje?
Kwani JOBE nae vipi?
Jobe atakiwa akacheze Mpira wa makaratasi (sodo)
Mrs debora waoooooh !!!