🚨Usajili Mpya Simba,Augustine okejepha Na DEBORA FERNANDEZ MAVAMBO,Ubora wao na umri.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ค. 2024
  • #football #ahmedally #alikamwe #simba #simbaislive #simbatanzania #yangafc #yangasc #yangatv #youtube

ความคิดเห็น • 29

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 11 วันที่ผ่านมา +6

    Wachambuzi wa nchi hii wengi ni mamuruki hawajielewi,,yani tulileta kina ngoma,babar,jobe fred etc wakasema tumejaza wazee,saizi tumeleta under 24 wanasema bado wadogo hawatafanya chochote yan wachambuz wa bongo wengi wao ni kama malaya tu hawaelew wanachokizungumza

    • @bone102
      @bone102 11 วันที่ผ่านมา +1

      Hakuna wachambuzi hao wote vilaza hivi kweli game ile ya muungano wakina mashaka hawawezi cheza hata hawajiulizi kuwa Simba inamashindano madogo kama muungano ambayo kalabaka,mashaka wanacheza

  • @N0RBETHMPOLOSI
    @N0RBETHMPOLOSI 11 วันที่ผ่านมา +3

    Simba nguvu moja one team one dream forever

  • @giliussiwila6517
    @giliussiwila6517 11 วันที่ผ่านมา +1

    Waandishi hamna jema Kwa simba

  • @MamboMbuli
    @MamboMbuli 11 วันที่ผ่านมา +3

    Wandishi Yale mukiyosema kuhusu umri Simba wamezingatia🎉

  • @olaislukumay2208
    @olaislukumay2208 11 วันที่ผ่านมา +1

    Huyo mchambuzi mpumbavu sana

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 10 วันที่ผ่านมา +1

    UKIONA MCHEZAJI KAMA DEBORA ANATOKA TIMU NDOGO LAKINI ANACHAGULIWA TIMU YA TAIFA UJUWE KAWATIA ADABU SANA WAFUNGAJI WA TIMU KUBWA SIO BURE HAPO SIMBA WAMEPATIYA TENA SANA ❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @ummymuya.2060
      @ummymuya.2060 10 วันที่ผ่านมา

      OYEEEEEEEEE!💃💃💃

  • @JumanneRajabu-bg4ch
    @JumanneRajabu-bg4ch 11 วันที่ผ่านมา +2

    Kaka awa wachezaji wazulitu

  • @ShamtheMpogoro
    @ShamtheMpogoro 11 วันที่ผ่านมา +1

    Hiyo feitoto aletwe Simba kwa gharama yoyote. Wanachama tuppo tayari kuchangia pesa.

  • @saidsoudamiri4054
    @saidsoudamiri4054 10 วันที่ผ่านมา

    Kocha wa Argentina aliyebeba world cup alikua ndio mashindano yake ya mwanzo na alibeba world cup

  • @noeljohn8694
    @noeljohn8694 11 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂 huyo mtangazaji ni muruki Comparable ni unafiki tu, mbona hatuzungumzii yanga walio chukua mvp wa Tanzania kutoka Simba Chama

  • @RaymondCharlesSaliboko-to6vx
    @RaymondCharlesSaliboko-to6vx 11 วันที่ผ่านมา +2

    Shida unafiki yanga wachambuzi wengi inawapoteza baleke au Dube wamefanyanini kimataifa kama siyo unafiki bazi ya wachambuzi

    • @bone102
      @bone102 11 วันที่ผ่านมา +1

      Wachambuzi wanaichukia Simba mzee na siku zote Dunian watu wanachukia kitu kilicho bora

  • @lukamwalongo9609
    @lukamwalongo9609 10 วันที่ผ่านมา

    Simba wamejitahidi kuboresha kukosi hongera kwa mo jamani

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA 10 วันที่ผ่านมา

    FEISAL ANA TANGAZWA NA NYINYI WACHAMBUZI SIO KIONGOZI WA SIMBA . NYINYI NI MBUMBU WA UCHAMBUZI.... LEO MNASEMA VIJANA, KESHO MTASEMA WAZEE,, SAUTI ZENU TUNAZO....

  • @righitkileo
    @righitkileo 11 วันที่ผ่านมา +2

    Acha dharau wewe njoo wewe usajili bac maana mjuaji sana wenqine wajinqa

  • @user-im8qz8ov3x
    @user-im8qz8ov3x 11 วันที่ผ่านมา +1

    Wachambuzi hacheni kununuliwa, Baleke alipokuwa simba mlisema mzee, leo kaenda Yanga mnasema usajili wa kimkakati.

    • @bone102
      @bone102 11 วันที่ผ่านมา +1

      Chama pia walisema Kaishiwa kashazeeka nw Yupo Yanga wanasema ana ujuzi na kimataifa anafaa 😂

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l 11 วันที่ผ่านมา +1

    tupeni mauwa ya ao wa leo muna amisha oja munaanza kucho meka kwa fei

  • @SeifKarata-fr7dv
    @SeifKarata-fr7dv 10 วันที่ผ่านมา

    Wachambuzi mnatumwa na yanga ili muichafue simba

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l 11 วันที่ผ่านมา +1

    KWANI TSHABALALA,KAPOMBE,NGOMA,MZAMIRU NAO NI 25 KURUDI, CHINI

  • @noeljohn8694
    @noeljohn8694 11 วันที่ผ่านมา

    Au usajili wa Chama na Bareke ndo wa kimkakati?

  • @jaydenkaleshi
    @jaydenkaleshi 10 วันที่ผ่านมา +1

    Swala sio kuchukua ubingwa nyie wachambuzi uchwara mliojawa na chuki dhidi ya Simba.

  • @gideonmathias40
    @gideonmathias40 10 วันที่ผ่านมา

    Hawa ni kama Popo tu

  • @GladnessThomas
    @GladnessThomas 10 วันที่ผ่านมา

    Mara toeni wazee,xxhivi wadogo nyie tuwaeleweje?

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l 11 วันที่ผ่านมา

    Kwani JOBE nae vipi?

    • @mirajibendera8795
      @mirajibendera8795 11 วันที่ผ่านมา

      Jobe atakiwa akacheze Mpira wa makaratasi (sodo)

  • @bensonmbuya-if1fc
    @bensonmbuya-if1fc 11 วันที่ผ่านมา

    Mrs debora waoooooh !!!