GB 64 DEBORA FERNANDES NI MASHINE KATILI VIBAYA MNO, SIMBA TUNASHUSHA VYUMA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ค. 2024
  • Debora fernandes
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 186

  • @MamboMbuli
    @MamboMbuli 5 วันที่ผ่านมา +12

    Kweli kabisa unayosema,,,uchawi upo na DUA zipo ila wazee na viongozi wa Simba wafanye umuhimu wa kuwakinga,,mana yanga ni wachawi sana,

    • @khalidmwakabuta5045
      @khalidmwakabuta5045 5 วันที่ผ่านมา

      Umefikiria mbali sana nduguangu , haiwezekani wazee wa utopolo wanajitokeza hadharani na kuongea mpaka vitisho kwa wachezaji wanaohujumu timu,mf; Mzee Mpili , sisi wa kwetu Simba Sc wamekaa kusema tuu wazee tupo , haina maana ya uwepo wao sasa kama hawatimizi na kuonesha uzee dawa

    • @MamboMbuli
      @MamboMbuli 4 วันที่ผ่านมา

      Kinachotakiwa kuwakumbusha viongozi kwa busara na mifano

    • @JoramKinyuko
      @JoramKinyuko วันที่ผ่านมา

      😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @patrickmohamed3639
    @patrickmohamed3639 5 วันที่ผ่านมา +4

    Umeongea point sana ila najua kunamabwege wata kuponda ili kukufifiza viongozi fatilieni hilo swala GB anaonekana kama anachekesha kumbe ndio ukweli kabisa

  • @josepahatmargwe6504
    @josepahatmargwe6504 5 วันที่ผ่านมา +4

    Uko sawa GB 64 ,Yanga mafanikio Yao ni Ulozi.

  • @user-qy9fj3yo2t
    @user-qy9fj3yo2t 5 วันที่ผ่านมา +1

    GB.64 leo umesema kweli bro uchawi unatumaliza wanyama 👍❤️❤️❤️🦁💪🤲🌹🌹🌹

  • @yohanalungwa7960
    @yohanalungwa7960 5 วันที่ผ่านมา +7

    Yanga kweeli wachawi Kuna shabiki wa yanga alionekana anapeleka majina ya wachezaji wa Simba morogoro kwa waganga washenzi wachawi wakubwa hawa

  • @MohamedChillo
    @MohamedChillo 4 วันที่ผ่านมา +1

    Tusisingizie uchawi , soka la kisasa halina hayo mambo ndugu yangu,wachezaji wetu ni wa kawaida ,angalia hata gharama zao ni za kawaida siyo kama wa Mamelod au Al Ahly

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig 5 วันที่ผ่านมา +2

    JB wewe unaakili sana lingne sisi tupo sumbawanga tumesha chungulia viongoz wa yang Tim ikuwa plszn wanaenda kuchimbia dawa bunju wachezaj wakija tu Wana ingia kwenye mtego

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u 5 วันที่ผ่านมา +3

    Gb 64 nakuelewa sana mwamba najua unaumia sana walindwe hao wachezaji tunawapenda Mo dewij umevuja jasho kuvunja kibubu tunaomba uwalinde mwenyewe

    • @khalidmwakabuta5045
      @khalidmwakabuta5045 4 วันที่ผ่านมา

      @@user-yh3dv2bl7u
      Na pesa ilivyongumu hivi mtu anajitolea pesa yake halafu wazee washindwe kuweka japo ulinzi wa timu yetu kweli watakuwa hawatendi haki

  • @daudinyello4033
    @daudinyello4033 5 วันที่ผ่านมา +2

    SIMBA WANAHUSUDU UCHAWI SANA

  • @samadady7795
    @samadady7795 5 วันที่ผ่านมา +4

    Mwanangu unaongea ukwely sana

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u 5 วันที่ผ่านมา +2

    Fukuza wafanyakazi wote wa simba wachawi wanapewa pesa ahsante GB64 humeona hilo na viongozi wajue

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 5 วันที่ผ่านมา +1

      KIBOKO YAO ALBADIRI TU

  • @LupatuDaiya
    @LupatuDaiya 4 วันที่ผ่านมา

    Nakukubali sana kaka wew ni Big thinker

  • @SalhaSuleiman-y8m
    @SalhaSuleiman-y8m 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Naomba kazi ya upishi hatutaki uchawi

  • @kefamahenge5187
    @kefamahenge5187 5 วันที่ผ่านมา

    Mungu aendelee Kuwabariki sana ,tunazidi kufunuliwa na kipindi hiki cha kusifu na kuabudu. by Mshana.

  • @AbbasyMdabwa
    @AbbasyMdabwa 5 วันที่ผ่านมา +1

    Gb wemsema kweli ila wachezaji wetu walindea

  • @beatussoka9517
    @beatussoka9517 5 วันที่ผ่านมา +4

    GBwambie ukweli msimuhuu kaziwanayo

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u 5 วันที่ผ่านมา +2

    Wachezaji wote tuwasimee Albadir wakiwagusa wafe hao utoporo pumbavu

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 5 วันที่ผ่านมา +1

      NDIO INAVYOTAKIWA WAFE TU

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n 5 วันที่ผ่านมา +3

    Kweli wanawapiga misumari sana

  • @HamadSuleiman-e1x
    @HamadSuleiman-e1x 5 วันที่ผ่านมา +1

    Mm najitolea kuipeleke pemba maziwa ngombe 😂vp mutakuwa tayar kupigwa dua na kuoga chumvi

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 4 วันที่ผ่านมา

    HAPA BG NAMINI UMESOMA MEAEJI ZANGU KUHUSU UTOPOLO KWALOGA WACHEZAJI WA SIMBA

  • @user-id5oc7hm4n
    @user-id5oc7hm4n 5 วันที่ผ่านมา +1

    Kula chochote nitalipa,,,umeongea true maana wanawafunga wachezaji wetu,wanaonekana ,wabaya,, tukiwaacha wanawachukua ,,utopolo kwa vibuyu nomaaaa😂

  • @Bboy-ek8vn
    @Bboy-ek8vn 5 วันที่ผ่านมา +2

    Yanga wamemchukua tena pa jobe

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 3 วันที่ผ่านมา

    Kweli kaka uchawi upo na ndio maana tunafungwa ovyo na viongozi wetu wa simba hawaamini uchawi. Lakini uchawi upo sana.❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @SalhaSuleiman-y8m
    @SalhaSuleiman-y8m 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Nasisitiza kazi ya upishi

  • @fidelismwakanyamale6787
    @fidelismwakanyamale6787 5 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu ata Mungu amjuwi kila kukicha anawaza njaa

  • @KuchbyMskude
    @KuchbyMskude 3 วันที่ผ่านมา

    Shabiki mwenye akili hold up broah

  • @user-os7yv7gg1s
    @user-os7yv7gg1s 5 วันที่ผ่านมา +4

    😂😂😂GB bana

  • @sedekiantibahoha2245
    @sedekiantibahoha2245 5 วันที่ผ่านมา +1

    We ndo huna akili sio gb

  • @DonatelaSanga
    @DonatelaSanga 5 วันที่ผ่านมา

    Gb 64 unaakiri sana kaka viongoz waliangalie hlo yon da

  • @komboarts7110
    @komboarts7110 5 วันที่ผ่านมา +1

    Tanzania ukisema ukweli watu hawapendi kabisa jamaa anasema ukweli mara comments za watu wanasema kalewa hiyo sio. Kweli jamaa Yuko real sana😂

  • @user-xc8jp2ol4m
    @user-xc8jp2ol4m 5 วันที่ผ่านมา +1

    Umetufumbua macho blo

  • @daudinyello4033
    @daudinyello4033 5 วันที่ผ่านมา +1

    HUYU JAMAA KUMBE TAAHIRA

  • @upendofreddy6431
    @upendofreddy6431 37 นาทีที่ผ่านมา

    Simba nguvu moja

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 5 วันที่ผ่านมา +3

    SIMBA NGUVU MOJA

  • @ibrahimusagondo5228
    @ibrahimusagondo5228 4 วันที่ผ่านมา

    Hili la kuwaroga wachezaji wetu ni kweli kabisa

  • @HamisiAthumani-vz1oi
    @HamisiAthumani-vz1oi 5 วันที่ผ่านมา +1

    Hakika inatakiwa wasomewe dua🙏🙏🙏

  • @YahyaMndevu
    @YahyaMndevu 2 วันที่ผ่านมา

    Uchawi upoyanga wachawi wanajuwa nyota zawachezaji wasimba ila tutapambana mpakatufanikiwe simba

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 5 วันที่ผ่านมา +1

    ALBADIRI LAZIMA ZISOMWE KWA UWINGI ANAE GUSA AFE TU

  • @abuuhassani497
    @abuuhassani497 5 วันที่ผ่านมา

    Mashine ya kivita Valentin nouma full back ya mpira anapanda na kushuka, anakaba mpka dhambi, hii ni version ya Roberto Carlos krosi dongo ukigusa waya. Wanasimba msimu unaokuja mjiandaa kushangilia magoli, maana nouma hajisikii furaha kumaliza mechi bila kutoa assist mbili.

  • @abuusadick9891
    @abuusadick9891 5 วันที่ผ่านมา +2

    Nikwli mm nisema toka manara alipo hama kuhamia yanga ndipo palipo fanyika urogi apo ya wachezaji apo

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 5 วันที่ผ่านมา +1

      MANARA MSENGE MSHIRIKINA NA FITINA SANA

  • @josepahatmargwe6504
    @josepahatmargwe6504 5 วันที่ผ่านมา +1

    Yanga ni Majini Fc, hawana lolote zaidi ya Vibuyu.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 5 วันที่ผ่านมา +1

      NDIO TENA HODARI WA KUKATAA NA WATOWA RUSHWA PIYA

  • @user-pz9nd8ys8o
    @user-pz9nd8ys8o 2 วันที่ผ่านมา

    Gb yupo sahih

  • @Mwnashabani
    @Mwnashabani 4 วันที่ผ่านมา

    Nakuelew xan kk yanga ni wachaw xan hata mm pia nalifahamu maana kuna kiongozi mmoja ni jirani yangu ni mchawi tenah mkubwa xan

  • @JohnMpemba-in1jm
    @JohnMpemba-in1jm 5 วันที่ผ่านมา +2

    Gb upo saw bro

  • @THEOBALDNGOBYA
    @THEOBALDNGOBYA 5 วันที่ผ่านมา

    Unaongeaa aisee we noma kumbe na elimu ya kilimo unajua nimeipenda hiyo ya kusafisha ghala.

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u 5 วันที่ผ่านมา +1

    Mo oyeeee nguvu moja

  • @danielpeter8085
    @danielpeter8085 5 วันที่ผ่านมา

    Ila GB ww ni shabiki lia lia nakukubali sana ..unajua mengi kaka 🖐️ uchawi upooo ata mm sipingi

  • @SilivesterHasunu
    @SilivesterHasunu 5 วันที่ผ่านมา +1

    mwaka huu jaaa Mani hatari tupu myamani

  • @dalalfundikila507
    @dalalfundikila507 5 วันที่ผ่านมา +1

    G waambie utopolo walozi sana

  • @mtulivu-ir1nq
    @mtulivu-ir1nq 5 วันที่ผ่านมา

    Yanga noma kwa uchawi Hadi mayele katupiwa vijini misri 😅😂😂 Tena alikua mchezaji wao chuki Yani yanga wanaroho mbaya sana🙌🙌🙌

  • @eliadaimon804
    @eliadaimon804 5 วันที่ผ่านมา

    Simba kombe tuna chukuwa kwer siouongo

  • @lemamolelilemamoleli7740
    @lemamolelilemamoleli7740 5 วันที่ผ่านมา +2

    Nakweli

  • @KABIBIPETER
    @KABIBIPETER 3 วันที่ผ่านมา

    lkn ulisema chama akienda yanga hushabikii simba

  • @jumanneshego3308
    @jumanneshego3308 5 วันที่ผ่านมา

    acha uwongo nyama we umemuona wapi usiwakatae2

  • @MohdRehan-v9l
    @MohdRehan-v9l 5 วันที่ผ่านมา

    Upo sawa Hawa jamaa kweli wanawaroga wachezaji wa simba

  • @upendofreddy6431
    @upendofreddy6431 25 นาทีที่ผ่านมา

    Hahaha, kwelli uchawi upooo

  • @marshangeka712
    @marshangeka712 วันที่ผ่านมา

    Kweli kabisa mwamba

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords4819 5 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu kashalewa mbona

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 5 วันที่ผ่านมา +1

      KAMA KALEWA TEREMKA GARI HILO

  • @user-wp9wf3et1n
    @user-wp9wf3et1n 4 วันที่ผ่านมา

    Bro bro bro nimekwita mara 3 uko sahihi ogopa so wafua jezi na wapishi wabaya sn

  • @amirihabibu8892
    @amirihabibu8892 วันที่ผ่านมา

    Babaaaa.kunywamaji.kwanza.umeongea

  • @justinazakayo6152
    @justinazakayo6152 5 วันที่ผ่านมา

    Kweli waombewe hata mimi waje niwaombee bure

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 3 วันที่ผ่านมา

    ❤❤

  • @godwillrichard7017
    @godwillrichard7017 5 วันที่ผ่านมา

    TFF Kuna haja ya kuangalia hawa watu wanaochafua Ligi yetu kwa fikra potofu, hili timu lenu ndio linafukizaga mimoshi kwenye away grounds mawazo ya kichawichawi tu...

  • @emmanuelthomas1078
    @emmanuelthomas1078 4 วันที่ผ่านมา

    Kwendraaaa huko! Ulisema chama akihamia Yanga nawee unahamia AZAM! Kikowapi?

  • @mosesmachumu7423
    @mosesmachumu7423 5 วันที่ผ่านมา

    right

  • @Daniel-u5q
    @Daniel-u5q 4 วันที่ผ่านมา

    Uko sahh mwamba

  • @Licky_boy_tz
    @Licky_boy_tz 5 วันที่ผ่านมา

    🎉🎉🎉🎉

  • @Amonationtv4551
    @Amonationtv4551 5 วันที่ผ่านมา

    Daah

  • @maikomatayo2794
    @maikomatayo2794 5 วันที่ผ่านมา

    GB64 wee ni kiboko nakukubali sana brother wanatuharibia wachesaji wetu kabisa iyo haipingwi wachawi kabisa ila kila kitu kina mwisho watakoma wapuusi kabisa 😂😂😂😂😂

  • @ambrosipaulo1732
    @ambrosipaulo1732 5 วันที่ผ่านมา

    Gb bhana

  • @Tupatupamuhamadi
    @Tupatupamuhamadi 4 วันที่ผ่านมา

    Xafar hi hanakixpika Tena wenyewe tujaa tu mkapa

  • @jitihadaharuna9448
    @jitihadaharuna9448 5 วันที่ผ่านมา

    Kweli kabisa 😂

  • @JohnAloyceSanane
    @JohnAloyceSanane 5 วันที่ผ่านมา +4

    Asa anamgombesha Nan huyo
    😢😢😂😂

  • @RajabuRamadhan-cy4cj
    @RajabuRamadhan-cy4cj 5 วันที่ผ่านมา

    Ongea kaka ukweli unauma mwagika popote ulipo tupo wanasimba

  • @yakoubaliy7559
    @yakoubaliy7559 5 วันที่ผ่านมา

    Kaka Gb 64 leo umeongea point kuliku siku zote nikweli lazima wachezaji wapate duwa na kama huko dar hakuna wataalam pemba wako huku tunaomba mashirikiano wenzetu ili tufanikiwe hawa ngedere weusi wasije wakatuvuruga

  • @feisalmohamed2848
    @feisalmohamed2848 5 วันที่ผ่านมา

    Tatizo lako unaanza na ukweli halafu unamalizia na uongo ,uongozi huu sio uongozi ule kwan tofauti iko wapi ya uongozi ?

  • @AwadhiHashimu
    @AwadhiHashimu 5 วันที่ผ่านมา

    Vp unawasifu tena kak

  • @4gfashion
    @4gfashion 5 วันที่ผ่านมา +1

    Kiukweli kuhusu chama haijauma ila uongo dhambi baleke ni bonge la mchezaji simba tutajuta kumuacha

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 5 วันที่ผ่านมา +1

      ANA RECODI YA KUSALITI KUTOKA KWAO CONGO WANAMJUWA

    • @MamboMbuli
      @MamboMbuli 5 วันที่ผ่านมา

      Alikuja Simba tukamtema ,dirisha dogo ,hatuwezi kujuta kabda wewe shabiki andazi utajuta

  • @user-tr8nw3nu2n
    @user-tr8nw3nu2n 5 วันที่ผ่านมา

    Sema baba sema

  • @JohnHerbet-os7uh
    @JohnHerbet-os7uh 5 วันที่ผ่านมา

    Huna hela 0 hajielewi

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 5 วันที่ผ่านมา

    Wachezaji.wenu lazima wapotee sababu hamna uongozo ulio sahihi

  • @RashidWatac
    @RashidWatac 5 วันที่ผ่านมา

    Kabisa mkongwe 64

  • @AshelyAbel-kg4kx
    @AshelyAbel-kg4kx 4 วันที่ผ่านมา

    huyu mwamba anaona mbali

  • @simionluambano3828
    @simionluambano3828 5 วันที่ผ่านมา

    Anachosema GB 64 ni kweli Kuna mtu mmoja anaitwa miraji alisema hivyo hivyo wachezaji wa Simba wanalogwa hili suala ni la kweli kabisaa

  • @luganowilliam2150
    @luganowilliam2150 4 วันที่ผ่านมา

    Boka kaja.Aandae tu shavu la kupigwa kofi

  • @Bboy-ek8vn
    @Bboy-ek8vn 5 วันที่ผ่านมา

    Pa omary jobe kaenda yanga

  • @MayleenDonaldharris
    @MayleenDonaldharris 5 วันที่ผ่านมา

    Kweli yanga wachawi sana

  • @shabanimzalla7108
    @shabanimzalla7108 5 วันที่ผ่านมา

    NAKUKUBARI SANA GB64

  • @MambukiIbrahim
    @MambukiIbrahim 5 วันที่ผ่านมา

    Kwely kabisa wasafishe maeneo yote paka mfua jezy wapishi wapo wengi wanahitaji kazi ili twende mbele wanasemaga wasiwa ndiyo akily

  • @upendofreddy6431
    @upendofreddy6431 37 นาทีที่ผ่านมา

    Hahahaha waambie

  • @abujumanne7570
    @abujumanne7570 5 วันที่ผ่านมา

    Gb 64 umeongea ukweli

  • @moseshaji1177
    @moseshaji1177 5 วันที่ผ่านมา +1

    Salute kwako mwana Movement

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 5 วันที่ผ่านมา

    Mwalimu wa physics kumbe mpumbavu

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 5 วันที่ผ่านมา

    We mpumbavu. Hao unaosema wameisha ndio hao waliokuliza nje ndani.

  • @mkudembeteni4075
    @mkudembeteni4075 5 วันที่ผ่านมา

    Kaka umesema tume kusikia wata amua!!

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 5 วันที่ผ่านมา

    Mmmmh mtatafuta sababu saaana

  • @MayleenDonaldharris
    @MayleenDonaldharris 5 วันที่ผ่านมา

    Mhh

  • @user-bx1qo9fe3q
    @user-bx1qo9fe3q 5 วันที่ผ่านมา

    Msiongeesana mtaona aibuu

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo5306 5 วันที่ผ่านมา

    Et okajeka badala ya okajepha

  • @DanieliIbrahim
    @DanieliIbrahim 5 วันที่ผ่านมา +3

    Bangi hzoooooo

    • @muhamedjaffar5653
      @muhamedjaffar5653 5 วันที่ผ่านมา +1

      Bila Dhaka utakua utoporo

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 5 วันที่ผ่านมา +1

      BANGI KUNUNUWA KWA MAMAKO FISI WEWE