🚨Alieishitaki Yanga Magoma akifunguka Vingi,Aweka Ukweli wa kesi ilivyo.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ส.ค. 2024
  • #football #alikamwe #yangafc #yangasc #yangatv #youtube #ahmedally #simba #simbaislive #simbatanzania

ความคิดเห็น • 133

  • @Listarmwandenuka-fq8jm
    @Listarmwandenuka-fq8jm หลายเดือนก่อน +8

    Kumbe waongo haooo mwacheni Raisi wetu

  • @magobocrissvance1187
    @magobocrissvance1187 หลายเดือนก่อน +10

    Aliye toa hukumu n shabiki wa simba

  • @anathshabani2952
    @anathshabani2952 หลายเดือนก่อน +2

    Basi hata bungeni tungeenda wananchi wote

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 หลายเดือนก่อน +1

      Anaishi miaka ya 1930s.. kwa sasa yanga na simba imeenea nchi nzima. Ukumbi gani utatosha kubeba wanachama moja moja nchi nzima

  • @maxmia100
    @maxmia100 หลายเดือนก่อน +5

    Huyo mzee kichaa

  • @user-kw1dl2rr1l
    @user-kw1dl2rr1l หลายเดือนก่อน +2

    Kesi rufaa yanga wanashinda alafu huyu mzee akamatwe mara moja,

  • @emmanuellupiga
    @emmanuellupiga หลายเดือนก่อน +2

    Duh sasa wanachama tuko wengi iv kweli tutakuwa tunakuja wote mkutanoni au mimi cjaelewa

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA หลายเดือนก่อน

    HILI JAMBO LINGEKUWA UPANDE WA SIMBA , KINA KITENGE, JOB NA NASRI WANGEBANA PUA.....huwezi kuishitaki taasisi HALAFU mkuu WA TAASISI awe NJE ya team....JOB USIULIZE KWA KUBANA PUA....MAHAKAMA HAIJADILIWI

  • @MohamedMoto-x2i
    @MohamedMoto-x2i หลายเดือนก่อน

    Uyo mzee ajitambui. Kama ninjaa aje shamba tulime atakula. Nasio kuchanganya mafaiili

  • @user-hx1po7qx5j
    @user-hx1po7qx5j หลายเดือนก่อน

    Daaah afya ya akili 😂

  • @user-dl1mg2qf4n
    @user-dl1mg2qf4n หลายเดือนก่อน +6

    Taasisi yoyote huwa na wawakilishi wao kwenye matukio tofauti tofauti,, na hawaendi kinyume na maagizo ya taasisi, Huyu mzee ni mkorofi sana,,

    • @frayy5595
      @frayy5595 หลายเดือนก่อน

      Sawaa mwenye taasis yako😅

  • @drallan6879
    @drallan6879 หลายเดือนก่อน +4

    We mzee huoni unaitendea club ndivyo sivyo?au mnatumiwa kuibomoa club?

  • @amosimussa3360
    @amosimussa3360 หลายเดือนก่อน +3

    Mzee tulia kama wanachama waliwaamini hao watano wakawakilishe maana yake wanauhakika nao .na ukisema wanachama wote waingie kwenye mkutano mnakaa wap na ndo maana walichagua watu watano kwenda kuwakilisha acha maneno

  • @emmanuellupiga
    @emmanuellupiga หลายเดือนก่อน +1

    Yani kwa kweli sa unataka wanachama tuje wote kweli mzee wamweke miongoni mwa hao watano baaaaaaaaasi

  • @mazengojohn2090
    @mazengojohn2090 หลายเดือนก่อน +2

    Hao wazee wafungiwe na club wasijiusishe na yanga yetu

  • @McKajiwe-kh3bd
    @McKajiwe-kh3bd หลายเดือนก่อน

    Huyu hana tofauti na Feisal,Eti Eng aondoke!!??,ni kichaa tu ndio atamwelewa.

  • @user-xt3rn8js7t
    @user-xt3rn8js7t หลายเดือนก่อน

    Magoma nenda simba hatukutaki ww tunamtaka injinia toka huko

  • @georgepewa9624
    @georgepewa9624 หลายเดือนก่อน

    Huyu ni wakufungiwa milele

  • @robertmatabalo5454
    @robertmatabalo5454 หลายเดือนก่อน

    Huyu amepoteza sifa kuwa mwanachama wa Yanga. Aondolewe

  • @ChanganyaJaphetjr
    @ChanganyaJaphetjr หลายเดือนก่อน

    hakuna kee hapo😮😮😅❤

  • @eustadiusbahanzi
    @eustadiusbahanzi หลายเดือนก่อน +2

    Huyu Mzee katumwa sasa ngoja tuoneee wew Mzee umechka maisha

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA หลายเดือนก่อน

    ENG ALISEMA NILEETENIII HUYU AWE MAKAMO.WANGU..

  • @EsterMbilo
    @EsterMbilo หลายเดือนก่อน

    Mzee unapaswa uchapwe viboko

  • @HusseinKoja-ww7gi
    @HusseinKoja-ww7gi หลายเดือนก่อน +2

    Huyo anaugomvi kwenye tawi

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v หลายเดือนก่อน +1

    MAGOMA KAMA HURIDHIKI NENDA SIMBA

  • @fadhilkhamis8971
    @fadhilkhamis8971 หลายเดือนก่อน +1

    Dah! Anyway ngoja nikae kimya tu

  • @user-rj3cd2lh8w
    @user-rj3cd2lh8w หลายเดือนก่อน +1

    Matumizi mabaya ya mahakama

  • @maryaugustino8716
    @maryaugustino8716 หลายเดือนก่อน

    Huyu mzee afutwe uanachama kabisa kama wanavyo fanya ccm mtu mgomvi kwenye taasisi kubwa ambaye ni mnafiki shubamit hatakiwi hata kwenye jumuia ya watu wstulivu.afutweeee uanachama hatumtaki kabisa zee hili,

  • @KiloMkundawantu
    @KiloMkundawantu หลายเดือนก่อน

    Mzee Acha upuuz tuachie timu yetu

  • @VumiliaSabu
    @VumiliaSabu หลายเดือนก่อน

    Akapimwe akili uyo

  • @amosleonard7359
    @amosleonard7359 หลายเดือนก่อน +1

    Bangi kabisa

  • @anathshabani2952
    @anathshabani2952 หลายเดือนก่อน

    Hao wanaowakilisha siwamebeba maoni na mawazo ya wanachama wanaowaongoza????

  • @aliissa8781
    @aliissa8781 หลายเดือนก่อน

    Moira haukosi fitina ila haya yote yanakuja kutoka a na brand ya Simba kushuka na hawajui vp itapanda. Kwa hiyo lazima kuwe na propaganda kama hizi.

  • @izackkitomo6825
    @izackkitomo6825 หลายเดือนก่อน

    Uyu mzeee anaelimu gani Kwanzaa

  • @christinaalexander1213
    @christinaalexander1213 หลายเดือนก่อน

    Kwa hiyo ulitaka wote 100 waende mkutano mkuu

  • @elizabethkalinga0822
    @elizabethkalinga0822 หลายเดือนก่อน

    ANAMAHUDHI HUYOOO

  • @hassaniibrahim300
    @hassaniibrahim300 หลายเดือนก่อน

    HUYU PUMBA KWELIKWELI

  • @user-hy2qw6gi3e
    @user-hy2qw6gi3e หลายเดือนก่อน

    Hili zee jinga kwahiyo tukitaka kuchagua rais wa nchi tuchaguliwe watanzania wote sio? Mbona jimboni tuko watu wengi lakini tunamchagua mwakilishi mmoja? Liende kijijini likalime jibwa hilo. Shenzi kabisa

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h หลายเดือนก่อน +1

    Gsm huyuko kwenye bordy na wala hajawahi kuwa kwenye bordy.

  • @ChanganyaJaphetjr
    @ChanganyaJaphetjr หลายเดือนก่อน

    hakuna kes hapo 😂

  • @clauschaula2050
    @clauschaula2050 หลายเดือนก่อน

    Magoma acha siasa kwenye soka.

  • @emmanuellupiga
    @emmanuellupiga หลายเดือนก่อน

    Sa mbona mkali iv

  • @user-zh5tp2yq6f
    @user-zh5tp2yq6f หลายเดือนก่อน

    Asa kama team inafanya vzur mnataka nin Tena nyie wazee mbona mnazeeka vibaya ivi

  • @HappyClogShoes-hp9ho
    @HappyClogShoes-hp9ho หลายเดือนก่อน

    Kudaako mzee😅😅😅😅😅

  • @rajabumsuya-hg8jd
    @rajabumsuya-hg8jd หลายเดือนก่อน +2

    Yan anataka mkutano uhudhuriwe na watu woote Tanzania anaakili kweli huyu,,,anaongelea katiba ya nwaka 78 ambayo Tz ilikua na watu million 10
    Sasahv kuna watu million 60 alafu unataka mkutano aje kila mtu si huo mkutano utafanyika Lupaso sasa

  • @luqmanomary3558
    @luqmanomary3558 หลายเดือนก่อน

    Msimtusi huyu mzee anaongea kisheria sio kiushabiki mumuelwe maswali yake na maelezo yake mnvunjia heshim bure

  • @EsterMbilo
    @EsterMbilo หลายเดือนก่อน

    Mzee unajtaka Nini mchawi mkubwa

  • @RichardRomanuss
    @RichardRomanuss หลายเดือนก่อน

    Tatizo la kuwapa nafasi wazee wa miaka ya 50 uko wawe na mamlaka kweny club

  • @JOELCHIGUNDA
    @JOELCHIGUNDA หลายเดือนก่อน

    Sasa kama katiba imeshasajiliwa yeye ninani huyo mzee
    Ndo maana Eng.a nasema wala mihogo acheni kukorofisha maji yaliyotulia

  • @user-vb6zv8ov8v
    @user-vb6zv8ov8v หลายเดือนก่อน

    Huyu mzee na aliyetoa hukumu ya kesi hiyo hewa ni miongoni mwa Watanzania wachache waliosomea sheria lkn hawajui hata kidogo kutafsiriwa sheria wanatoa maamuzi kwa kuangalia mazingira na vifungu vya sheria.

  • @ndarohitra1495
    @ndarohitra1495 หลายเดือนก่อน

    Pumbavu sana mzee machakacha huyu anataka nn kwani? Njaa hizi bhana acha kabisa na hapa keshakuwa kupe

  • @rajabumsuya-hg8jd
    @rajabumsuya-hg8jd หลายเดือนก่อน

    😊😊😊😊😊kwahiyo huyu mzee anataka uongozi sio!!!!!😅😅😅😅kwanza ana elimu gani huyu!??

  • @user-ym7rd4yn4l
    @user-ym7rd4yn4l หลายเดือนก่อน

    Naomba namba yahuyo mzee

  • @amosleonard7359
    @amosleonard7359 หลายเดือนก่อน

    Wewe ndy hatukutaki na wewe siyo bora kuliko yanga tuache na yanga yetu

  • @ShadrakNdalu
    @ShadrakNdalu หลายเดือนก่อน

    Huyo ametumwa huyo

  • @jumamakonya2665
    @jumamakonya2665 หลายเดือนก่อน

    Sisi hatutaki mgogoro ndani ya timu yetu wee mzee tulia sawa....!! Sii uache kulipa sisi tunalipia.... DAIMA MBELE NYUMA MWIKO

  • @user-xt3rn8js7t
    @user-xt3rn8js7t หลายเดือนก่อน

    We mzee umechoka maisha

  • @haidhabushiri9558
    @haidhabushiri9558 หลายเดือนก่อน

    Yaani huyu mzee kichaa so wanachama wote twende kwenye mkutano

  • @kelvinngogo1819
    @kelvinngogo1819 หลายเดือนก่อน

    Huyu mzee hana hoja kabisa😂 njaa tu aweke namba ya simu tumchangie

  • @HabibaHassan-y8y
    @HabibaHassan-y8y หลายเดือนก่อน

    Majibu yake ni pumba tupu.

  • @emanuelshirima9236
    @emanuelshirima9236 หลายเดือนก่อน

    Huyu Mzee Ni wale WA wanaitwaga bushlowyer😂

  • @HamzaMfunen
    @HamzaMfunen หลายเดือนก่อน

    Huyo magoma bwege.

  • @muhamedjaffar5653
    @muhamedjaffar5653 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee yuko sahihi kwenye sheria .ameona kuna upigaj mkubwa yanga .takukuru muone swala hili

    • @user-ce3tx7mr8v
      @user-ce3tx7mr8v หลายเดือนก่อน

      UPIGAJI WA BABA YAKO?

    • @user-hy2qw6gi3e
      @user-hy2qw6gi3e หลายเดือนก่อน

      Waambie wafuatilie upiga wa kolo mwenzenu mo anayewaibia kila siku jibwa wewe

    • @muhamedjaffar5653
      @muhamedjaffar5653 หลายเดือนก่อน

      @@user-ce3tx7mr8v wa mama yako

    • @muhamedjaffar5653
      @muhamedjaffar5653 หลายเดือนก่อน

      @@user-hy2qw6gi3e makasiriko ya nn sheria imefata mkondo wake .nategemea msaada wa viongoz kulituliza.achen dhulma

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v หลายเดือนก่อน

    KAMA HUJAWAHI KUITUMIA KATIBA KAA KIMYA

  • @user-zh5tp2yq6f
    @user-zh5tp2yq6f หลายเดือนก่อน

    Kila TAWI Lina wanachama 100 wakija wote Kila tawi mnapakuwaweka au mzee mkutano uwe unafanyikia kwa mkapa

  • @Prosperkaluta
    @Prosperkaluta หลายเดือนก่อน

    Kwa hiyo huyu mzee anahitaji wanachama wakiwa nilionu moja basi wooooote wawe wanashirikishwa kwenye vikao eti daaaaaaaaaaaaah...!

  • @user-kz6pb9ii6k
    @user-kz6pb9ii6k หลายเดือนก่อน +1

    Wew mzee nakuombea ufe

    • @frayy5595
      @frayy5595 หลายเดือนก่อน

      kufaa we kwanzaa😂

    • @haidhabushiri9558
      @haidhabushiri9558 หลายเดือนก่อน

      Ba​@@frayy5595baby
      Babu yako huyo

  • @DismasWilliam-cp3qe
    @DismasWilliam-cp3qe หลายเดือนก่อน

    Job wewe mwanasheria mtupu huyu mzee hana anachojua maana anajikanyaga tu kujibu

  • @IsaKinyonga
    @IsaKinyonga หลายเดือนก่อน

    Wee Mzee kuma nyoko nyoko zako

  • @ashrafumbawala
    @ashrafumbawala หลายเดือนก่อน

    Chama kaenda kuleta mgogolo 😂😂😂😂

  • @amosleonard7359
    @amosleonard7359 หลายเดือนก่อน

    Hatukutaki wewe na urudishe kadi yetu ya uanachama

  • @narcissusmakenge4710
    @narcissusmakenge4710 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mzee kachoka. Bunge la Jamuhuri linawakilisha wananchi kutunga sheria na kuisimamia serikali kwa niaba ya wananchi, hii haiwafanyi watanzania waliobaki kutokuwa wananchi. Vyama kama ccm vinafanya maamuzi kupitia mkutano mkuu kwa uwakilishi wa wajumbe kwa niamba ya wanachama wengine, pia hii haiwafanyi wanachama wengine kutokuwa wana CCM. Akitaka agombee uongozi wa tawi ili aende mkutano mkuu.😂😂😂

    • @Zaynab-ny6gr
      @Zaynab-ny6gr หลายเดือนก่อน

      Hata taking hana wala card hai mchawi tuu huyo wa timu yetu

  • @ezrayohana3541
    @ezrayohana3541 หลายเดือนก่อน

    Mmmmmmmmh hapa shida ni Elimu tu

  • @augustinemainde
    @augustinemainde หลายเดือนก่อน

    Wavurugaji wako wengi huyu mzee aachiwe Yanga anayotaka na hii iuzwe iitwe tuone Kama ataiendesha eti mzee asituchokoze vijana tumetulia na Tanzania yetu

  • @MaxCharles-wj5dg
    @MaxCharles-wj5dg หลายเดือนก่อน

    mzee kichaaa huyo siyo bureee

  • @EsterMbilo
    @EsterMbilo หลายเดือนก่อน

    Fuuta uanachama huyo

  • @HusseinKoja-ww7gi
    @HusseinKoja-ww7gi หลายเดือนก่อน

    Hiyo kesi itatupiliwa mbali

  • @amosingailo-xb6lf
    @amosingailo-xb6lf หลายเดือนก่อน

    Huyu mzee apewe tim tuone😂😂😂

  • @enockjoseph3818
    @enockjoseph3818 หลายเดือนก่อน

    Huyo mzee Hajui anachokiongea hapo na sijui kusudi lake nini nymbafu

  • @DouglasChuwa-ec7mv
    @DouglasChuwa-ec7mv หลายเดือนก่อน

    Ameishiwa mada njaa imemponza huyo juma

  • @selemanmussa3459
    @selemanmussa3459 หลายเดือนก่อน

    Sasa dhana ya uwakilishi maana yake nini? Wote tunaweza kwenda Bungeni? Lazima mifumo ibadilishwe ili kuendana na wakati. Hiyo kesi tunakata rufaa af utasubiri rufaa yako kwa miaka 50.

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v หลายเดือนก่อน

    MZEE MAGOMA?HAKI NINI?HAO 95 WANACHAGUA VIONGOZI,WANAPELEKA WAWAKILISHI,WANACHOKIPATA WANARUDISHA KWA WATU 95

  • @fikirininasoro5272
    @fikirininasoro5272 หลายเดือนก่อน

    Wewe mzee acha ujinga utuache na yanga yetu

  • @SelestineJoseph-ww5gl
    @SelestineJoseph-ww5gl หลายเดือนก่อน

    Afungilie club nyingine uyoo mzee lakini siyoo ya yanga injinia atakuwa raisi apo

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 หลายเดือนก่อน

    Huyu MTU hana hoja ---- kwani mwanachama anakuwa mwanachama pale tu anaposhiriki vikao ? ---- " Nonsense "

  • @wazirimagayuka9681
    @wazirimagayuka9681 หลายเดือนก่อน

    Kuna wanachama wangapi nchi nzima? Anataka wanachama wote washiriki kufanya maamuzi badala ya kuwa na wawakilishi wasiozidi watano. Ndio maana hata sisi wananchi tunawakilishwa na wabunge kila jimbo mbunge mmoja. Yeye mawazo yake angetaka wakati wa vikao vya bunge wananchi wote tuingie bungeni?

  • @tabumayuhana47
    @tabumayuhana47 หลายเดือนก่อน

    SIMBA WAPO KAZINI HAPO SASA😂😂😂

  • @H3s4d
    @H3s4d หลายเดือนก่อน

    Haya ni. Matatizo. Ya. Watu. Wanaoshikwa. Masikio. Na. Watu

  • @amosleonard7359
    @amosleonard7359 หลายเดือนก่อน

    Njaa tu inamsumbua huyu mzee

  • @user-dl1mg2qf4n
    @user-dl1mg2qf4n หลายเดือนก่อน

    😂 huyu ni mbumbumbu kabisa,, wanachama wote hawawezi kushiriki kwenye vikao ,, bali huwakilishwa na baadhii, wote waendee huo sio mkutano bali ni maandamano

  • @rajabumsuya-hg8jd
    @rajabumsuya-hg8jd หลายเดือนก่อน

    Huyu mzee mamluki
    Au ndio wale wapigaji sasahv hakuna hayo mambo yanga aende simba huko sisi hatuna 10% usajili anafanya rais

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr หลายเดือนก่อน

    Huyu mzee akili zake hazina akili na huyo akimu wake sasa huo utakua mkutano au uwanja wa fujo

  • @user-ym7rd4yn4l
    @user-ym7rd4yn4l หลายเดือนก่อน

    Huyo mzee nikichaa mbunge anwakilisha wananchi wangapi kwanini yeye alalamikie watu 95 kwahiyo tawi likiwa nawachama 5000 wote wakahudhurie mkutano huyu nikichaa kabisa

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v หลายเดือนก่อน

    KAMA HAO NI WAPENZI HAO WATANO WATACHAGULIWA NA NANI? NA UKUMBI GANI UTATUMIKA KWA WANACHAMA WOTE?

  • @SalimuRamadhani-nl7bp
    @SalimuRamadhani-nl7bp หลายเดือนก่อน

    Huyo mzee messenger tu

  • @romimwalu
    @romimwalu หลายเดือนก่อน

    Wewe Mzee,WANACHAMA wataweza kushiriki mkutano mmoja?Taasisi zote zinakuwa na uwakilishi

  • @AlawiissaIssa
    @AlawiissaIssa หลายเดือนก่อน

    mzee endelea kujichosha

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 หลายเดือนก่อน

    Kuna wazee wapumbavu kweli. Hivi vyama vya siasa vinapokutana kwenye mikutano mikuu.na kututeulia wagombea wa nchi wanachama wote wanakwenda kwenye huo mkutano? Na jee huyu magoma katika chama chake anashiriki kwenye kuteua wagombea.kama vile wa ubunge au uraisi?

  • @NdayishimiyeEvelyne-ws6ts
    @NdayishimiyeEvelyne-ws6ts หลายเดือนก่อน

    Uyi mzee akasome kwanza juu huwezi kuchukuwa watu milioni 40 wakauzuliye mkutano

  • @kateadam8204
    @kateadam8204 หลายเดือนก่อน

    Ndugu yake Mangungu 😂😂😂

  • @H3s4d
    @H3s4d หลายเดือนก่อน

    Tatizo. Nini? Njaa