🚨Mazito yaliyojitokeza kesi ya Simba na coastal Union kuhusu Lameck lawi, Ukweli.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ส.ค. 2024
  • #football #alikamwe #yangafc #yangasc #yangatv #youtube #ahmedally #simba #simbaislive #simbatanzania

ความคิดเห็น • 22

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l หลายเดือนก่อน +2

    SIMBA HATUJAWAI KUSHINDWA

  • @castorkunibert6160
    @castorkunibert6160 หลายเดือนก่อน +1

    Kila upande umekosea kwenye nafasi yake, kwann Simba SC hakuomba au kutoa taarifa ya delay ya payment...

  • @DenisMusa-g5z
    @DenisMusa-g5z หลายเดือนก่อน

    Simba nguvu mojaaaaa waoo karb lawi simbazi

  • @BakariHamisi-ke6zv
    @BakariHamisi-ke6zv หลายเดือนก่อน

    nasema mpaka Sasa lawi nichezaji wasimba naviongozi wakosti nisawa wanajitekenya wenyewe alafu wanacheka wenyewe Simba nguvu moja

  • @babycandycharles7816
    @babycandycharles7816 หลายเดือนก่อน

    Unaweza kuona ndowa imeshafungwa lakini mzazi anaweza akarenguwa iyondowa vilevile

  • @BakariHamisi-ke6zv
    @BakariHamisi-ke6zv หลายเดือนก่อน

    viongozi wakosti wameleta huuni yatamaa tuu Yani mpaka Sasa Simba himekwenda sahii

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 หลายเดือนก่อน

    SIMBA MUSIMUACHE

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 หลายเดือนก่อน +1

    Hii kesi hata Simba wakishindwa waipeleke CAF ni lazima watashinda

  • @edsonleonci5113
    @edsonleonci5113 หลายเดือนก่อน +1

    Mchezaji huyo ni wa Simba ila , coastal itashinda kutokana na viongozi wa TFF wengi wana vina saba na Coastal union …. Msisahau ata kadi nyekundu dhidi ya Yanga tena kwa huyo mchezaji ilifutwa …..!!!

  • @drallan6879
    @drallan6879 หลายเดือนก่อน

    mchezaji tarehe 6/5/24 pamoja na viongozi WA coastal na lawyer WA simba

  • @drallan6879
    @drallan6879 หลายเดือนก่อน

    coastal wamegongwa lawi ni wetu simba

  • @emanuelkamaghe2647
    @emanuelkamaghe2647 หลายเดือนก่อน

    Mm nimewasoma kostol lengo lao kufanya mitandao iwazungumzie hii kiki yao

  • @drallan6879
    @drallan6879 หลายเดือนก่อน

    huyu kiongozi WA coastal ni ignorance of law; huyu mchezaji ni WA simba

  • @DenisMusa-g5z
    @DenisMusa-g5z หลายเดือนก่อน

    Ubaya ubwela hatuna ndogo Hilo ni Jambo la mda

  • @davismuzahula907
    @davismuzahula907 หลายเดือนก่อน

    Nyie nao kasomeni, suala la Dube na Azam nitofauti na suala la Coastal na Simba kama kiongozi kwenye meza ya maamuzi ana vinasaba na mmoja wao hapo kuna ngongano wa kimaslahi ni sahihi mwenyekiti kutolewa

    • @zuhurajabiri3900
      @zuhurajabiri3900 หลายเดือนก่อน

      Kweli anacheo ktk timu ya coast

  • @drallan6879
    @drallan6879 หลายเดือนก่อน

    kurudisha pesa haina justification ya kuvunja mkataba

  • @sadih5333
    @sadih5333 หลายเดือนก่อน

    Viongozi wa coastal union msilinganishe mambo yenu ya ndoa za Tanga na masuala ya mikataba ya soka tunarudisha pesa biharusi bado anasoma

    • @muksinimbaruku1233
      @muksinimbaruku1233 หลายเดือนก่อน

      Hahaha! Wajinga sana hawa jamaa, uswahili mwingi saba mpka wanakuwaga mashamba

  • @sekrommbaga6234
    @sekrommbaga6234 หลายเดือนก่อน

    Yaani hamjui kuwa mtu mwenye maslahi ya upande mmoja. Haikibaliki kuwa sehemu ya maamuzi

  • @DM_15
    @DM_15 หลายเดือนก่อน

    hadi iPhone 15😂 kijana anajisnap tuu , cost tamaa mbaya