WAUMINI WABAKI HOI KANISANI/PADRE MWENYE KIPAJI NA KARAMA YA AJABU/SHUHUDIA ALICHOKIFANYA''SAMEHE''

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 ก.พ. 2021
  • #Kwaresma #BreezOnlineTv
    Mafundisho ya kina kutoka kwa Padre Faustine Kamugisha kuhusu Msamaha ndani ya Kipindi hiki cha Kwaresma.

ความคิดเห็น • 264

  • @restcyprian1598
    @restcyprian1598 3 ปีที่แล้ว +20

    Fr. Nakumba unisaidie. Kuna mama alianza kuninyima amani ya Roho na mwili tangu siku ya harusi yangu mbele ya altare(madhabahu) mpaka leo hii bado miezi mwezi mmoja na siku 20 nitimize miaka 33. Mimi nimejitahidi kusamehe lakini wapi. Nikawa naweka novena bado mama haniachi. Ktk kufunga na kusali Mungu alinipa nguvu kama ya simba nikawa simwogopi tena. Nikimsalimia anasema shetani ashindwe. Akiwa na watu ananidhalilisha. Wazee waliotangulia ktk boma walimshindwa. Mimi ni mdogo wake mbali.Sijui watu wanamwogopa kumwambia ukweli au vipi.Kwa familia naonekana kama inzii.Mimi ni mkatoliki. Padri hiki kidonda cha kurudiarudia nikiondoe na nini. Hata siku moja nilienda kuungama nikajiuliza naungama nini? Ikabidi nimweleze padri dhambi yangu kuu ni hasira. Mama huyu ameniwekea mipaka kwa majirani. Padri nisaidie kufanya novena.

    • @dativamushi8895
      @dativamushi8895 3 ปีที่แล้ว +2

      Jamani nimejifunza sana kwenye haya mafundisho ya fr,Kamugisha, sijui Kama nitasahau. Asante sana baba!

    • @zakayopaschal62
      @zakayopaschal62 3 ปีที่แล้ว +3

      Fr Mungu akutie nguvu kwa mafundisho mazuri kusmehe ni mtihani kwel

    • @erickjotham5412
      @erickjotham5412 3 ปีที่แล้ว +1

      Baba nimepokea mayo munoo Niko Dares salaam

    • @linahsemindu4261
      @linahsemindu4261 3 ปีที่แล้ว

      Hakika mm mwenyewe kumsamehe mtu ni mitihan Sana hasa akinikosea

    • @gabriellyadam9415
      @gabriellyadam9415 3 ปีที่แล้ว +1

      samehe tena

  • @richardkafuku963
    @richardkafuku963 3 ปีที่แล้ว +5

    Kamgisha unajua kufundisha unanikumbusha katekista mmoja alikuwa ledio malia asubuhi nimemsahau jina yaaani,tukipata mapadrii kama 20 hivi hapa Tanzania tutakuwa tumemjua mungu vyema, hongera Sana!!

  • @raushethy3425
    @raushethy3425 2 ปีที่แล้ว +2

    Padre huu nibaraka kutoka kwa mungu yupo vzr sana karibu kwetu tunduma nmelipokea neno la mungu Amina

  • @magrethmleleu2962
    @magrethmleleu2962 ปีที่แล้ว +1

    Asante mungu kwa karama hii mungu akulinde akupe afya njema uendelee kutufundisha

  • @user-or6cl8sz9j
    @user-or6cl8sz9j 11 หลายเดือนก่อน +1

    Baba umeniongezea imani marambili kwa mahubili na mafundisho ya kiimani juu yetu wanadam juu yamaisha yahapa duniani Amina sana

  • @jovinibikongoro8442
    @jovinibikongoro8442 3 ปีที่แล้ว +5

    Honger ubalikiwe padr kamugisha tunaitaji maubili yaukweli kama aya wote mapadr waige mfano kutoka kwako maubili yamazoea atutak tunaitaj maubili kama aya AMINA

    • @shijashija5223
      @shijashija5223 3 ปีที่แล้ว

      Kabisa ndugu yangu , unajua muda mwingine wanahitaji kulishwa neno washibe tofauti na hapo wataenda kutafuta sehemu nyingine

  • @josephinebiringanine7113
    @josephinebiringanine7113 3 ปีที่แล้ว +13

    Ee Mwenyezi Mungu Tusaidiye tuweze kuwasamee wanao tukosea kala mara 🙏 Hakika msamaa siyo jambo raisi ila kwaneema ya Mungu tutaweza kuwasamee wanao tukosea ili nasi tupokee neema yamsamaha kutoka mbinguni 🙏🙏 Mungu akubariki Sana Baba you're My favorite Padri in Tz❤❤

  • @nicholausmushi44
    @nicholausmushi44 3 ปีที่แล้ว +3

    Ubarikiwe sana ni mapadri wachache wanaoweza kufundisha hivi hakika una kipaji cha ualimu.

    • @josephmathayo5139
      @josephmathayo5139 3 ปีที่แล้ว +1

      Mungu akubariki na kukulinda ili uweze kutufunulia Neno la Mungu kwa kina. Amen

  • @mungholomakalanga8958
    @mungholomakalanga8958 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu mwema aendelee kukulinda baba

  • @njorogepm7075
    @njorogepm7075 3 ปีที่แล้ว +6

    Fr Faustin mungu aendelee kukubariki! Neno la Mungu liendelee!!🙏🏻🙏🏻

  • @mwanzajosephine468
    @mwanzajosephine468 3 ปีที่แล้ว +3

    Ubarikiwe fr kamugisha kwa ujumbe mzuri wenye kutufundisha

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 3 ปีที่แล้ว +4

    Mungu anisamehe kwa wale niliowahukumu licha ya kuniomba msamaha,neno hili limenitia ujasiri kuwa hata uumizwe vipi huna budi kusamehe..Asanta Father Kamugisha

  • @aftermass7830
    @aftermass7830 3 ปีที่แล้ว +7

    Ooh lord Jesus spread this fire to all catholic church be blessed FR very powerful summon.

  • @petrusgasperus749
    @petrusgasperus749 3 ปีที่แล้ว +3

    Padre huyu hakika najivunia kuwa mkristu mkatoliki. Mungu na apewe sifa.
    Mafundisho yake ktk imani yanajenga kwa imani zote. Mungu na atupatie wengi wa namna hii 🙏

    • @kastoriooko7157
      @kastoriooko7157 5 หลายเดือนก่อน

      unajivunia kuwa mkatoliki!!!!!!! jivunie kuwa mkristo. ungejua Roman Catholic ni nini. soma ufunuo sura ya 17. inazungumzia Babeli Mkuu , kahaba na mama wa makahaba ndiyo Roman catholic

    • @paschalsafari9747
      @paschalsafari9747 หลายเดือนก่อน

      Usituletee mafundisho yako ya kishetani kutoka kwa nabii wako muongo Ellen G.white....ukumbuke.kuwa hii ni safu ya wakristo wakatoliki na watu wenye mapenzi mema....wewe msabato umetoka wapi humu ?

  • @levinamathias8507
    @levinamathias8507 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu naomba unipekibali. Niweze kusamehe

  • @marynghumbu8437
    @marynghumbu8437 3 ปีที่แล้ว +4

    Asante Fr kwa mahubiri mazuri nabarikiwa sana na mahubiri yako.

  • @aimeeadeti-muga8868
    @aimeeadeti-muga8868 3 ปีที่แล้ว +7

    Padre, Mungu azidi kukuinua. Mimi umenikumbusha mengi. Nawasamehe wengi niliokuwa nimewabeba

  • @humanitytv1091
    @humanitytv1091 3 ปีที่แล้ว +10

    Nimebarikiwa mno,
    Mungu akutunze padre

  • @madukurumwanileles7909
    @madukurumwanileles7909 3 ปีที่แล้ว +9

    Huyu lazima atakuja kuwa Bishop,ni Genius father, yuko vizuri hiwezi choka kumsikiliza,kumbe Dada unachungulia hata ulikotoka tuko vizuri sana.

    • @soplisjoachim5884
      @soplisjoachim5884 3 ปีที่แล้ว +1

      Mambo sio rahisi kana unavyodhani , we sikiliza mahubiri tu , lakini usimpe hiyo nafasi kwani uaskofu huwa hautolewi kupitia kura za wananchi

    • @VictoryLupala
      @VictoryLupala 8 หลายเดือนก่อน +1

      Tumwombee Fr Mungu amwngezee jukwaa/platform.

  • @njorogesdbjames6395
    @njorogesdbjames6395 3 ปีที่แล้ว +8

    Mwl wangu was Homiletics, Tangaza. Kweli bado unatetea Doctorate yako. God bless.

  • @emmanuelbuganga7325
    @emmanuelbuganga7325 3 ปีที่แล้ว +8

    Unanifaliji sana, ila wewe fadher wewe ni mtaalam sana, na ni msomi, mzuri sana, mungu aendelee kukupa afya njema, nakupenda sana.

  • @upendoeliudi5196
    @upendoeliudi5196 3 ปีที่แล้ว +3

    Aminaa barikiwa sana father Kamgusha

  • @user-tm1lx4gx5b
    @user-tm1lx4gx5b 3 หลายเดือนก่อน +1

    Amen in the mighty name of Jesus

  • @EliminaLuwi
    @EliminaLuwi หลายเดือนก่อน

    Mungu aendelee kukutumia baba🙏🙏🙏

  • @doramassawe9677
    @doramassawe9677 3 ปีที่แล้ว +2

    Asante Sana Padre, Mungu akulinde na kukubariki ,tuendelee kulishwa neno la Mungu.

  • @thobiethalibutu1465
    @thobiethalibutu1465 3 ปีที่แล้ว +3

    Baba yang wakiroho hakika ,,nafunguliwa kwa maneno yako. God blec at all. 😍

  • @mamamikuwa4991
    @mamamikuwa4991 3 ปีที่แล้ว +3

    Mungu akubariki fr.umenijaza neno la Mungu moyoni mwangu ahsante sana

  • @jovinibikongoro8442
    @jovinibikongoro8442 3 ปีที่แล้ว +4

    Honger sana padli mapadli wote waige jinsi unavyo ubili mapadli wengi awajui kuhubili nasisi tunacho itaji kwa sasa ni maubili ubalikiwe padr kwa maubili, mapdr wajifnz kutokwa kwako wahache hibada ya mazoea ubarkiwe padr kamugisha

  • @brianmagali5486
    @brianmagali5486 3 ปีที่แล้ว +2

    Nimeguswa Sana na mafundisho Aya ,barikiwa Sana Padre dkt kamugisha

  • @elimerickvicent467
    @elimerickvicent467 3 ปีที่แล้ว +8

    Mungu akubariki father kamugisha mungu tusaidie tupate mapadre wengi Kama huyu

  • @BusingyeMerida-qb1do
    @BusingyeMerida-qb1do 3 หลายเดือนก่อน +1

    Lord give us the grace to forgive those who have caused us pain.

  • @mamamikuwa4991
    @mamamikuwa4991 3 ปีที่แล้ว +3

    Mungu akupiganie fr. Kamugisha unatutia nguvu kwa neno la msamaha barikiwe

    • @agathashayo6210
      @agathashayo6210 3 ปีที่แล้ว

      Hongera Pandri kwa mafundisho mazuri

  • @janemwansanga3927
    @janemwansanga3927 3 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akuinue zaidi baba yetu wa Kiroho,uzidi kutushibisha zaidi ya haya,barikiwa sana

  • @bibianaamede7845
    @bibianaamede7845 3 ปีที่แล้ว +3

    Padri Kamugisha mafundisho yako yameshehene wokovu Mungu akubariki sana

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 3 ปีที่แล้ว +13

    Huyo father Ana speech mzuri , anafikiria sana falsafa yake na thiologia yake anaitendea kazi

  • @irenemungumlinderaiswetuma6735
    @irenemungumlinderaiswetuma6735 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akutunze kwa karama yako kubwa na uponyaji

  • @brysonuronu5862
    @brysonuronu5862 3 ปีที่แล้ว +3

    Mungu akukumbuke katika kila kazi yako ..Kweli nimejifunza kitu

  • @engdss4085
    @engdss4085 3 ปีที่แล้ว +5

    Very powerful msg. Barikiwa.

  • @wemafredrick6511
    @wemafredrick6511 3 ปีที่แล้ว +2

    Nimekuelewa sana baba padre kwa mafundisho yako

  • @paschalmiligo3896
    @paschalmiligo3896 3 ปีที่แล้ว +3

    Baba Dr kamgisha Mungu akujaze hekima ya juu uzidi kuitenda kazi ya Mungu.

  • @reginaandrew6891
    @reginaandrew6891 3 ปีที่แล้ว +2

    Amina, nimefarijika sana kuskia neno Tamu kama hili Mungu akubariki Baba

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 3 ปีที่แล้ว +4

    Mungu,akubariki kwa mafundisho haya,uponya moyo na nafsi

  • @abedkirway8668
    @abedkirway8668 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante baba kuanzia leo ntasamee walionikosea Na Mwenyez Mungu unihurumie na kunibariki kila ninachokiomba unipatie ameniii

  • @levinamathias8507
    @levinamathias8507 3 ปีที่แล้ว

    Nakushukuru Mungu akubariki sana ndugu yangu. Nimejifunza vitu vingi sana maana Msamaha ni neema kwasababu watu wengi wanapenda kushikiriakinyongo sana.Asante sana

  • @sylvesterjose3286
    @sylvesterjose3286 3 ปีที่แล้ว +3

    Nakushukuru Sana kwa homilia nzuri ya kitume, nimepata kiini cha msingi wa msamaha na Taifa zake.

  • @beatricemnkeni2670
    @beatricemnkeni2670 4 หลายเดือนก่อน +1

    "Njoo uone waungwana tunavyokula" . Nimejifunza. Msamaha ni kijipenda.

  • @agnessmecha7496
    @agnessmecha7496 3 ปีที่แล้ว

    Nimejifunza namna ya msamaha asante baba parde nimekuwa mwepesi sana baada ya kusikia somo lako baba good bless you 🙏

  • @marymghanga4817
    @marymghanga4817 ปีที่แล้ว

    Asante Fr mafundisho yako yanifariji Mungu akubariki

  • @cristinasadique451
    @cristinasadique451 4 หลายเดือนก่อน

    Parabens padre pela sua umilia tusamehe tusamehe tusamehe
    Watu wachache wataangalia hii video ya muhimu sana
    Ongera

  • @richardkafuku963
    @richardkafuku963 3 ปีที่แล้ว +2

    Hakika mtumishi umenena"wakusikia tusikie,barikiwa Sana👍🙏🙏

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 3 ปีที่แล้ว +3

    Amina.nakuomba father ututembelee Arusha

  • @traudkamugisha8051
    @traudkamugisha8051 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu abariki kazi zako njema Fr.Dr.Kamugisha.

  • @marympemba1829
    @marympemba1829 3 ปีที่แล้ว

    Asante padri mafundisho yako wanagusa sana. Mungu akulinde

  • @ijueimanikatoliki980
    @ijueimanikatoliki980 3 ปีที่แล้ว

    Barikiwa SANA MTUMISHI wa Mungu

  • @mwitaboni3752
    @mwitaboni3752 3 ปีที่แล้ว +3

    Baba paroko kwakweli uko sawa mtumishi wa mungu na mungu akubariki ameeeeeeeeen

  • @raphaelkyalo2903
    @raphaelkyalo2903 3 ปีที่แล้ว

    Padre mungu akuzidishie baraka kisha pia na akujarie moyo Safi ..

  • @simonfredrick7789
    @simonfredrick7789 3 ปีที่แล้ว +2

    Ubarikiwe xnaa baba

  • @reiphan9894
    @reiphan9894 ปีที่แล้ว +1

    hakika padre upo vinzuri sana nimejifunza kuwa msamaha pia ni kisasi isipo kuwa nikisasi kilicho bora.

  • @briansancedo9336
    @briansancedo9336 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen mtumishi wa MUNGU Ubarikiwe sana

    • @agnesbyela1493
      @agnesbyela1493 3 ปีที่แล้ว +1

      Mungu akubarik natangaza msamaha kuanzia Leo kwa yeyoyte Alie nikosea pokeaaaaa manukatoo ulienikosea

  • @chazyshadrack2558
    @chazyshadrack2558 2 ปีที่แล้ว

    Amina baba .ubarikiwe baba

  • @susanwamutu4219
    @susanwamutu4219 3 ปีที่แล้ว +2

    Wonderful sermon bblessed askofu

  • @joycechamba4637
    @joycechamba4637 ปีที่แล้ว

    Mungu akupe maisha marefu unatufundisha sana tena baba

  • @joachimkinane2012
    @joachimkinane2012 ปีที่แล้ว

    Asante Sana padri

  • @kerrykerry602
    @kerrykerry602 3 ปีที่แล้ว +2

    Msamaha kutoka juu ni neema,, kutoka kwa mwenzako ni ukalimu,, kutoka kwangu ni hekima,, waw good teaching

  • @stellahokworo6561
    @stellahokworo6561 3 ปีที่แล้ว

    God is good all the time be blessed my priest

  • @beatricefrancis3950
    @beatricefrancis3950 3 ปีที่แล้ว +10

    Mungu wetu akulinde akujalie afya njema tuendelee kulishwa hekima hizi

  • @kerrykerry602
    @kerrykerry602 3 ปีที่แล้ว +9

    I really wanted this aki nimefeel like niko church,,

    • @breezonlinetv
      @breezonlinetv  3 ปีที่แล้ว

      New one from him ✨✨✨✨☀️
      th-cam.com/video/aNUV9SJDFkc/w-d-xo.html

  • @aftermass7830
    @aftermass7830 3 ปีที่แล้ว +3

    Wow wonderful. ...

  • @bishopsalimj.githaiga3779
    @bishopsalimj.githaiga3779 3 ปีที่แล้ว

    ,powerful sermon Padre, God bless you.

  • @jamgonzales2852
    @jamgonzales2852 3 ปีที่แล้ว +3

    Asante baba kwa neno

  • @doctaphone5395
    @doctaphone5395 3 ปีที่แล้ว +3

    Asante sana,father

  • @annembere5122
    @annembere5122 3 ปีที่แล้ว

    Fr Mungu akumbaliki sana sana,,,your really amazing

  • @damianandrew435
    @damianandrew435 3 ปีที่แล้ว

    Blessed saaana Fr.MUNGU aubariki utume wako

  • @michaelvincentmhagama337
    @michaelvincentmhagama337 3 ปีที่แล้ว +2

    Asante Baba!

  • @victoriamwailubi8474
    @victoriamwailubi8474 11 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki

  • @aludomakori4230
    @aludomakori4230 3 ปีที่แล้ว +2

    MUNGU akubariki kwa neno zuriii

  • @dorykweka2255
    @dorykweka2255 2 ปีที่แล้ว

    Be blessed Fr Kamugisha

  • @wivinaaudax6364
    @wivinaaudax6364 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akutunze fr. Umetutibu wengi

  • @penanauae316
    @penanauae316 3 ปีที่แล้ว +3

    Be blessed man off God

  • @antonynkwazi3622
    @antonynkwazi3622 3 ปีที่แล้ว

    amina mungu akutunze na siku zako zipate kuongezeke ili uenderee kulihubir neno lqke ameeni!

  • @gracewambui5529
    @gracewambui5529 2 ปีที่แล้ว

    God bless you fr Kamusinga

  • @gerionmdage535
    @gerionmdage535 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante Baba Padre

  • @johnazigadi4628
    @johnazigadi4628 3 ปีที่แล้ว +1

    Amina ubarikiwe mtumishi

  • @radiusbakashaya2801
    @radiusbakashaya2801 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante fr

  • @efraimjohn4956
    @efraimjohn4956 3 ปีที่แล้ว +1

    Hongera father

  • @vveronicamakori2297
    @vveronicamakori2297 3 ปีที่แล้ว +2

    Forgive your enemies Amen burning gospels Fr May God bless you forever watching from 🇰🇪🇰🇪

    • @breezonlinetv
      @breezonlinetv  3 ปีที่แล้ว

      th-cam.com/video/aNUV9SJDFkc/w-d-xo.html

  • @restcyprian1598
    @restcyprian1598 3 ปีที่แล้ว +1

    Dada Beatrice Mushi, nasema asante sana kwa mwongozo wako. Baada ya miaka 21 iliyopita niliugua sana,na nikaombewa na padri kutoka Uganda. Ili maombezi yale yaniponyeshe aliniambia nisamehe kwa yale yaliyokua yananipa uchungu. Nilijaribu kumwomba Mungu anisamehe hata ile ya kuiba sukari(utotoni). Hapo ikawa hakuna shida.inapofika kusamehe yule aliyekua ananisababisha kuacha laana,nikawa ninasahau kusamehe ile laana. Ilibidi padri aniulize ni nani huyu anaekusababisha uache laana kali hivyo? Sikumwambia ni nani ila nilisali palepale na kumwachia Mungu yote.Kisha nilipoteza fahamu, nilipozinduka nilikuta masista na linyama lililokua kwenye ndoo. Ndipo niliposimama nikasikia mwili wangu ni mwepesi. Sasa naona shida imeanza kwa staili nyingine. Life style. Ktk sala nilizombiwa nisali mojawapo ni zaburi 35. Dada naomba uniombee kwani naona anataka niteseke uzeeni, lakini Muumba wangu ananipenda. Ukiona mtu ameingia kwenye mtandao si mchezo

  • @nafrowalfred6460
    @nafrowalfred6460 3 ปีที่แล้ว

    Nimebalikiwa Sana Mungu akuinue

  • @lolamhanuzi410
    @lolamhanuzi410 3 ปีที่แล้ว

    I like Fr Kamugisha👍

  • @marykalist2891
    @marykalist2891 3 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana fr

  • @denisjackson9414
    @denisjackson9414 3 ปีที่แล้ว +1

    Amina mtumishi wa Mungu.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 3 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe padri

  • @thobiethalibutu1465
    @thobiethalibutu1465 3 ปีที่แล้ว +3

    😂😂😂😂 baba mahubir yako yananikumbusha mbali, kama nakuona vilee ,,,daaah nakubali sanasana, ni muda toka nikuone jimbo la ifakar,,, still unanifanya niwe na nguvu ya kusonga . lop u daddy .🤲🤲🤲

  • @restcyprian1598
    @restcyprian1598 3 ปีที่แล้ว +4

    Fr. Shida ya wanadamu ni kuishi kwa uongo. Amri hii imeshinda wanadamu,

  • @haleluyamboka8668
    @haleluyamboka8668 3 ปีที่แล้ว

    Kazi ni njema mtumishi Mungu akubariki mno

  • @margaretgilbertdantes1167
    @margaretgilbertdantes1167 3 ปีที่แล้ว +3

    Amen kusamehe kunatakasa kumbukumbu

    • @mariamallya7970
      @mariamallya7970 3 ปีที่แล้ว

      Fr.naomba uniombee niweze kusamehe kabisa kumbukumbu zangu zirudi na maumivu ya roho yanitoke kabisa.asante Sana fr.

  • @kinasatz7266
    @kinasatz7266 3 ปีที่แล้ว +1

    Sichoki kukusikiliza padre kamugisha...

  • @yesunimwema4497
    @yesunimwema4497 3 ปีที่แล้ว +3

    Kusamehe nikutakasa kumbu kumbu🙏🙏

  • @thomasmianga5671
    @thomasmianga5671 3 ปีที่แล้ว +2

    Amina Amina father!! Nimebarikiwa mno

  • @user-tm3en5td2y
    @user-tm3en5td2y 7 หลายเดือนก่อน

    Ebaba mungu nakuomba uonekane katikamapito haya ninayo yapitia ofisi hii apa fungua njia