KARAKANA OPEN MIC WALIAMSHA KANISANI HADI KUPEWA MILIONI 5 NA NABII MKUU - GeorDavie TV

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
  • SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
    Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
    TUFUATILIE
    ▶︎ Facebook: / geordavietv
    ▶︎ Instagram: / geordavietv
    ▶︎@GeorDavie Maarifa

ความคิดเห็น • 141

  • @eliakimueliakimu5451
    @eliakimueliakimu5451 ปีที่แล้ว +15

    Imeandikwa; Wana macho lakini hawaoni, wana masikio lakini hawasikii! Mungu atusaidie.

    • @BenjaminHenry
      @BenjaminHenry ปีที่แล้ว +1

      Sio kanisa hili ni loji 🤣🤣🤣

    • @adriannebatakanwa6904
      @adriannebatakanwa6904 ปีที่แล้ว

      Biblia inasema "jihadharini na dhambi iwazingayo upesi" nadhani GeorDavie kakumbuka alipokuwa DJ Mombasa. Ametamani kurudi alikokuwa. Muulizeni atawambia historia yake.

    • @user-qv5xg2ng9v
      @user-qv5xg2ng9v ปีที่แล้ว

      ​@@adriannebatakanwa6904inawezekana haujui hata nini maana ya kanisa geordev yuko sahihi

    • @faithfaith-zr6gz
      @faithfaith-zr6gz ปีที่แล้ว

      ​@@adriannebatakanwa6904mavi ya zamani ayanuki.

    • @faithfaith-zr6gz
      @faithfaith-zr6gz ปีที่แล้ว

      Akusaidie na wewe pia, Macho yako yaone vzr

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle ปีที่แล้ว +2

    Mungu wa Geo davi anapenda haya mambo ya kihuni

  • @akajendegetishow1692
    @akajendegetishow1692 11 หลายเดือนก่อน +1

    Yesu bandia ana endelea na vituko vyake duniani

  • @elizabethswai7777
    @elizabethswai7777 ปีที่แล้ว +2

    Mungu anatazama Moyo,❤ila mwanadamu anatazama mwili😅,Hongera Mh J🥱

  • @shadyaomary
    @shadyaomary ปีที่แล้ว +2

    Mungu tusaidie kizazi hiki kinateketea

  • @frankbeatus9194
    @frankbeatus9194 11 หลายเดือนก่อน +1

    Iwish one-day nije hapo kwa nabii mkuu hauna baya God bless you father

  • @henrytimothy3048
    @henrytimothy3048 ปีที่แล้ว +2

    Hizi ndo kazi za Yesu alikuja kutafuta kilicho potea sio wengine mnajidai na dini zenu wachawi wazinzi wauaji mwacheni jo dev afanye kaz za Yesu

  • @yasintakahamba1320
    @yasintakahamba1320 ปีที่แล้ว +1

    Hii Kali ya mwaka

  • @nabiimdogotv8686
    @nabiimdogotv8686 ปีที่แล้ว +6

    Kuna watu hawakuelewi ila Mzee me Hadi naingia kaburini hata kama sijawahi Sali hapo Wala kukuona live ila moyo wangu unatambua nafas yako kwa tz na dunia nzima

  • @adieljoshua640
    @adieljoshua640 ปีที่แล้ว +1

    Jaman hii kali Bongo flever inapigwa live in the church Ooooh! my God

    • @lucyfaraja1132
      @lucyfaraja1132 ปีที่แล้ว

      safi sana man of god! mungu anatafuta watu kama hawa

  • @gordonausubisye8074
    @gordonausubisye8074 ปีที่แล้ว +3

    Amina barikiwa mtumishi Mungu azidi kuimalisha huduma yako

  • @dimosoegnas2989
    @dimosoegnas2989 ปีที่แล้ว +2

    Daaah MUNGU wangu nusuru hii kizazi huu uhuni baada ukemewe mtu ndio anausifia jinga kabisa

    • @keithapeter7854
      @keithapeter7854 ปีที่แล้ว

      Hakika ndugu yangu Mungu anusuru kizazi hiki mpaka wanavaa kihuni makofia mizula kanisani!!

    • @keithapeter7854
      @keithapeter7854 ปีที่แล้ว

      Hakika ndugu yangu Mungu anusuru kizazi hiki mpaka wanavaa kihuni makofia mizula kanisani!!

    • @user-to3vb4gj5b
      @user-to3vb4gj5b 11 หลายเดือนก่อน

      yaann mungu atusaidie

  • @Solomonking257
    @Solomonking257 ปีที่แล้ว +3

    Amina baba piga kazi kabisa ❤❤❤❤❤❤❤❤ilove you my dady🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @salmampinga4995
    @salmampinga4995 ปีที่แล้ว +3

    🥳🥳Yes, Daddy hatupoi 🔥🔥 unawaka wenyewe

  • @evaristkobelo3936
    @evaristkobelo3936 10 หลายเดือนก่อน

    Mungu hadhihakiwi Okokeni nasio kusaka tonge

  • @yasintakahamba1320
    @yasintakahamba1320 ปีที่แล้ว +1

    Sasahapp roho mtakatifu atashukaje na kulapu kweli shetani Yuko kazini na anateka jinsi Gani ya kwenda na watu kuzimu

  • @RuthyTemu-ev5li
    @RuthyTemu-ev5li ปีที่แล้ว +2

    Mungu azidi kukubariki na kukutunza zaid kwajili ya taifa letu

  • @user-sw6cc8yv7s
    @user-sw6cc8yv7s 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu ndiye msemaji wa mwisho

  • @Mbingu77
    @Mbingu77 ปีที่แล้ว +1

    Ee Yesu kristo okoa vijna wetu

  • @benjaminkapelah7664
    @benjaminkapelah7664 ปีที่แล้ว +2

    Mungu wetu sote piga kazi

  • @RuthyTemu-ev5li
    @RuthyTemu-ev5li ปีที่แล้ว +2

    Nice daddy we love you alot💗💗💗💗

  • @agnessmalyeek9387
    @agnessmalyeek9387 9 หลายเดือนก่อน

    Baba uinuliee nakukuballi mis mia

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 ปีที่แล้ว +2

    Hapo wamefuata pesa sio neno la kuwaponya Roho zao

  • @dynessmbawala2107
    @dynessmbawala2107 ปีที่แล้ว +1

    🙏🏼🙏🏼dady kwa kaz nzur,,,jaman hiz ndizo kaz za Yesu kutafuta watu walopotea jmn

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 ปีที่แล้ว +1

    Asante nabii mkuu wewe ni mlezi wa watu wa aina yote hunaga ubaguzi,nafuatiliaga sana huduma yako,nilikuona ulipokuwa burundi nafikiri ,ulisaidia wana mama .ubarikiwe sana.

    • @GeofreyMtensacollection
      @GeofreyMtensacollection ปีที่แล้ว +1

      Nijibu ..kwa kutumia akili, je ww unanaamini ..uyo ni nabii mkuu...?? maana yake ata akina Musa, Yesu ,Daudi ..wapo chini yake..pumbavu uyo shetani tu ..argent wa shetani uyo ..tumia akili...

    • @mariamfritsi4943
      @mariamfritsi4943 ปีที่แล้ว

      @@GeofreyMtensacollection kwa kweli mimi simfahamu vizuri sana niliingia TH-cam siku moja nikamuona kusaidia watu burundi ndio nikamjulia hapo kumbe ni mtanzania, na leo nikaona tena akiwasaidia hao msaada,mimi nipo Switzerland. ila asante

  • @NoelLord-ue4wv
    @NoelLord-ue4wv ปีที่แล้ว +1

    Uko vizury sana Baba nice ❤

  • @Titostanzaniasafaris
    @Titostanzaniasafaris 11 หลายเดือนก่อน

    Ngoma kali sana Nisher awatunuku video Kali mkuuu Baba 🙏🏾

  • @JONAISMARTINESAM-vs4jy
    @JONAISMARTINESAM-vs4jy ปีที่แล้ว +3

    Sema tuu ni uelewa,,sasa kama mtu una shida na Mungu akajibu shda yko kupitia Geo nabii,,sasa hawaoni nini na hawasikii nini,,,maandiko yanaweza kukuelekeza njia sahihi au potovu,,,,,ni kwamba huoni makuu ya mungu na husikkii makuu ya mungu,,,,,,,,haya mawazo mengne ni sisi tunaongezea tu kazi ya kufikirisha ubongo na kujizeesha bure ,,,,,,,,nabii Geo ameona amebarikiwa na ndo maana anathubutu kutoa ushuhuda na kama kusaidia watu ni mapepo basi mungua atajua mwenyewe kwamba why awape uwezo wa kusaidia watu mtu mwenye majini ya pesa,,,,,tufikw mahali tujifunze kushukuru kwa kila jambo,,,ubaya na uzuri ni kwamba KILA KILICHO CHINI YA JUA KIMEUMBWA NA MUNGU KWA MAKUSUDI MAALUMU NA NABII HUYU AFANYE KAMA ANAVOELEKEZWA NA MUNGU,,,TUNASHINDWA KUJIULIZA HIVI HIZO SADAKA ZOTE AMBAZO HUTOLEWA HAPO KANISANI ZINGEKUA ZINAPELEKWA WAPI??????NI BORA HATA HUYO U AMLILIA SHIDA ANAKUPA HATA KIANZIO KULIKO YULE UNAMLILIA ANAKUOMBEA TU BILA HATA KUJALI HIV UNA CHAKULA AU LAA,,,,TUTASEMA SANA LAKIN HATUJUI ....HUKUMU ATATOA YY ALO LETA DUNIANI NA SII SISI HEBU TUACHE KUKASHFU WAHUBIRI KWA KWELI HAYO NI MATUSI KAMA MATUSI MENGINE,,,ADHABU INATUSUBIRI,,,(USIHUKUMU USIJE KUHUKUMIWA)

    • @user-to3cb5dq3v
      @user-to3cb5dq3v ปีที่แล้ว

      Nimeonjoy kweli

    • @HemediMachaku-vc4ij
      @HemediMachaku-vc4ij ปีที่แล้ว

      Njaa zinauwa

    • @nelsonnyamle
      @nelsonnyamle 11 หลายเดือนก่อน

      Wewe unahitaji ukombozi wa fikra.Kizimba kilichowekwa kwenye kanisa hili hakitawaacha watu salama

    • @nelsonnyamle
      @nelsonnyamle 11 หลายเดือนก่อน

      Wamekuja kusaka noti hapo hakuna walichofuata Zaidi ya hilo

  • @SelemanMuhamed-ir5zl
    @SelemanMuhamed-ir5zl ปีที่แล้ว

    Jamani kama wameenda kwa Nabii bora tu waende kuliko wavute mibangi. Hukohuko siku moja Mungu atawabadilisha

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle ปีที่แล้ว +1

    Bangi church

  • @princeyabili789
    @princeyabili789 11 หลายเดือนก่อน

    Amen 🙏 amen 🙏 baba ubarikiwe

  • @yusuphkayoka5452
    @yusuphkayoka5452 ปีที่แล้ว +1

    Kazi nzuri mnoooo

  • @EmmanuelMbise-bg3jx
    @EmmanuelMbise-bg3jx ปีที่แล้ว

    Mungu anakila sababu ya kukuleta dunian

  • @shadrackjuliuskaboya5239
    @shadrackjuliuskaboya5239 ปีที่แล้ว

    *nacho amini huyu ni mtumishi wa Mungu wa kizazi hiki ambacho kimebebwa na upepo wa duni namshukuru sana Mungu kwakumuweka hai mtumishi wake anapenyeza neno la Mungu kwa njia ambayo mtu wa kukurupuka hawezi kumuelewa,,, dini ya kweli nikumsaidia mjane na yatima tuu ila dini za Leo nikukusanya sadaka kwahali yeyote ile*

  • @adriannebatakanwa6904
    @adriannebatakanwa6904 ปีที่แล้ว +1

    @huna uwezo wa kuona katika roho. Muulize Mungu boss wa rap na hip hope ni nani? That is a demonic driven music. Kumbuka shetani alikuwa muimbaji mkuu mbinguni kabla anguko. Huyu GeorDavie anajiwakilisha mwenyewe. Mungu Anamjua.

    • @angelatarimo1969
      @angelatarimo1969 ปีที่แล้ว +1

      Uliongea na Mungu mkiwa wapi akakupa hiyo story??🙄

    • @user-qv5xg2ng9v
      @user-qv5xg2ng9v ปีที่แล้ว

      ​@@angelatarimo1969hongera sana kwakumjibu huyu pimbi Yesu alikuja kutafuta makahaba na masela wewe si mtakatifu kaa na utakatifu wako

    • @adriannebatakanwa6904
      @adriannebatakanwa6904 ปีที่แล้ว

      @angela. Namfahamu siku nyingi sana. Sijaambiwa na Mungu. Labda wewe ni mgeni hapo. Huo ni ushuhuda wake mwenyewe.

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 ปีที่แล้ว +1

    Dah namauno kanisan? Mungu uwe una2samehe🙏🙏🙏🙏

  • @pendosamwel1682
    @pendosamwel1682 11 หลายเดือนก่อน

    Ikiwà asubuhi unaweza Dhani jioni haifiki. Wakati ulioamriwa utasimama mbele zake anayehujumu Kwa haki. Mm. Akuombea rehema!

  • @user-sm5rd3wu2s
    @user-sm5rd3wu2s ปีที่แล้ว

    Nabii mkuu hapa nimetiia nanga kwenyemiguu yako kwakweri wamalawi tunahitaji uje utuwe hapa hata kukanyaga kwako aridhi hii ndio utakuwa chanzo chaibada yakweri katika inchi yangu yamalawi mimi pamoja sinakitu chakulipia malazi yako pamoja natimu yako lakini ninaimani nawewe nbiimkuu mia kwamia kuleta mabadiliko kwenye inchi yangu

    • @user-sm5rd3wu2s
      @user-sm5rd3wu2s ปีที่แล้ว

      Nimaombi yangu ile sauti iongeye mtu wako wandani utusaidie sisi watumishi wavijijini huku nako tunakuhitaji ukanyage hapa malawi

    • @user-sm5rd3wu2s
      @user-sm5rd3wu2s ปีที่แล้ว

      Samahani nimalayangu yakwanza kuandika maombi kwalugha yakiswahili

  • @user-eq2nq6os7v
    @user-eq2nq6os7v ปีที่แล้ว +1

    Amen ❤❤

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 ปีที่แล้ว

    Bwana Yesu atukuzwe SANA. BABA UMEWAPA NGUVU SANA VIJANA WA DUNIA HII, UNEWABADILISHA WENGI, WAIMBE KABISA KWA UTUKUFU WA MUNGU KUPITIA WEWE MTU WA MUNGU, DR GEORDAVIE, WANAIFANYANKAZI YA MUNGU KWA WOGA NA AIBU, AAAH SIJUI. ANAYEPOA UUUUW. TUNA KIU YA MENGI.

  • @RithaJoshua-qx5dt
    @RithaJoshua-qx5dt ปีที่แล้ว

    Amina baba

  • @jamesraphaelmdima4729
    @jamesraphaelmdima4729 ปีที่แล้ว

    Mcheni Mungu na kumtukuza kwa maana saa yake imekuja!,na maandiko yanasema tusienende namna ya ulimwengu huu!

  • @PrinceIssa-xu9ul
    @PrinceIssa-xu9ul ปีที่แล้ว

    Sometimes unahitaji ujishushe ili uwapate wengne...vzr sana

  • @user-id5mr3nu2j
    @user-id5mr3nu2j 11 หลายเดือนก่อน

    Hm atar

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 ปีที่แล้ว +2

    AMINAAAAA AMINAAAA AMINAAAAA BABA YETU MUNGU AKUTUNZE.

  • @agnessmalyeek9387
    @agnessmalyeek9387 9 หลายเดือนก่อน

    Mnaocomment angalieni msijibu kwa Ono yako jibu kwa ona ya wengi

  • @Josmedard
    @Josmedard ปีที่แล้ว +2

    AHAAAAA!! kumbe huu ni ukumbi wa kucheza discoo!!! 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Octavinaelisa-fn6js
    @Octavinaelisa-fn6js ปีที่แล้ว

    Habari ya uzima baba sisi huku tunakufatiria sana tunaomba uje na geita baba

    • @clouartmichael7296
      @clouartmichael7296 ปีที่แล้ว

      Ibilisi anamtumia huyu nabii kwa kiwango kikubwa Ila Baba wa Mbinguni akusamehe na Tumuombee Toba hizi nyakati za mwisho

  • @reynargeorge2853
    @reynargeorge2853 ปีที่แล้ว +1

    Natamani kufika mahali ulipo 😭😭😭

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 11 หลายเดือนก่อน

    Safari ya kwenda Kwa Lusifa ipo kwenye kanisa hili

  • @germamassawe6968
    @germamassawe6968 ปีที่แล้ว

    DISCO KANISANI DUH!

  • @Lulubyamung
    @Lulubyamung ปีที่แล้ว

    Mungu Aku Okupe Maisha Marefu Baba❤❤

  • @user-ev8kp3lb8e
    @user-ev8kp3lb8e ปีที่แล้ว

    Sana

  • @phtvmediaTZ7766
    @phtvmediaTZ7766 ปีที่แล้ว +1

    ❤❤🎉

  • @alexisannick
    @alexisannick ปีที่แล้ว

    Baba Nabii Imana iguhezagire caaane

  • @johnmahu5060
    @johnmahu5060 ปีที่แล้ว

    Hapa hawatafuti wokovu Bali kumfurahisha devd Ili awape Hela kwn wamejua anapenda hivyo

  • @user-fq8cf9ps9t
    @user-fq8cf9ps9t ปีที่แล้ว +1

    Kwel tunapotea

    • @user-to3vb4gj5b
      @user-to3vb4gj5b 11 หลายเดือนก่อน

      tena kwa kukosa maarifa

  • @ReganKimaro-tm8oj
    @ReganKimaro-tm8oj ปีที่แล้ว

    Kaskaziniii ni mbaya tuuuuuu kwishaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @princejshalom4762
    @princejshalom4762 ปีที่แล้ว

    Mbona biblia vile iliandikwa aijawai badilishwa lakini mwanandamu anaendelea kubadilisha amri ya milele

  • @abduljohn1226
    @abduljohn1226 ปีที่แล้ว +2

    ❤❤❤🙌🙌🙌🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🥰

  • @oman6068
    @oman6068 11 หลายเดือนก่อน

    ❤❤👍👍💯

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de 11 หลายเดือนก่อน

    Utapata maombi utapata mtaji 😅 khaa nimecheka sana yan nabii ukisifiwa kdg pesa dah"

  • @FelisterDuway
    @FelisterDuway ปีที่แล้ว +6

    😂😂😂kanisa la mashwetani😂😂 damu ya yesu iwafunike mpate kujua neno la mungu😢😢 ety shaloks wanangurumoo ... yaani nimecheka😂

    • @samwelsimon4800
      @samwelsimon4800 ปีที่แล้ว

      Wew una mapepo xna Tena inawezekn mchawi

    • @samwelsimon4800
      @samwelsimon4800 ปีที่แล้ว

      IQ yko ndogo ndo maana so hatukushangae huwez ukafanan na wat wenye IQ kibwa

  • @sunaybrajabu238
    @sunaybrajabu238 11 หลายเดือนก่อน

    Napita tuu 🤐

  • @mosesndimgwanko1079
    @mosesndimgwanko1079 11 หลายเดือนก่อน

    Hapo tena cyo kanisani ni Club

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 ปีที่แล้ว

    Baba joodevi ,namm niokoe.Nami nisaidie baba joodevi.

  • @user-fq8cf9ps9t
    @user-fq8cf9ps9t ปีที่แล้ว

    Kwel

  • @Josmedard
    @Josmedard ปีที่แล้ว +1

    Huuuu wimbo una message gani???? Hapa anatukuzwa MUNGU aliye hai? Au anatukuzwa mwanadamu Anae kufa na kuoza mchangani??? Hivi huyu nabii ni wanamna gani?

  • @desolz3809
    @desolz3809 ปีที่แล้ว

    Hako kadada kanamanua na kukata viuno kanaboa sana

  • @josephitangishaka960
    @josephitangishaka960 ปีที่แล้ว

    Chapa Kazi Baba Gitega Capital tunagupata 5/5

  • @marianajoseph1892
    @marianajoseph1892 ปีที่แล้ว

    Kwa kutowahukumu watu ni raisi hata kuwahubiria na kuwaokoa. Baba injiri yako imekwenda shule. Tunaokoka ili tuwe na ufahamu.

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de 11 หลายเดือนก่อน

    Hilo kundi nataman nilione tena kanisan isije ishia hapo

  • @revocatuskamugisha8138
    @revocatuskamugisha8138 ปีที่แล้ว +1

    😢inasikitisha

    • @winygidarossa9472
      @winygidarossa9472 ปีที่แล้ว

      Nenda Kwa paster Ezekiel , huyo ndo anakufaa ww

    • @hadijambunda7099
      @hadijambunda7099 ปีที่แล้ว

      Ameen🙏🙏🙏🇴🇲🇴🇲🇴🇲

  • @hamismabula9934
    @hamismabula9934 9 หลายเดือนก่อน

    Dini imewaharibu!?!?!?!?!?!?!?

  • @denismlwati3285
    @denismlwati3285 ปีที่แล้ว +1

    Malaya watupu na Tena wakitoka hapo wanapitia bangi na kama anaponya mbona hamjaponjwa bangi kanza????

    • @henrytimothy3048
      @henrytimothy3048 ปีที่แล้ว +1

      Acha watamkiwe watabadilika yesu alionyesha mfano wa kukaa mpk na makahaba nyie mafarisayo dini zimewaharibu unafki mtupu

    • @angelatarimo1969
      @angelatarimo1969 ปีที่แล้ว

      Dini zumewafunga ufahamu

    • @user-qv5xg2ng9v
      @user-qv5xg2ng9v ปีที่แล้ว

      ​@@henrytimothy3048watabadilika tu nabii yupo sawa

  • @sarafinasinkonde2711
    @sarafinasinkonde2711 ปีที่แล้ว

    Natamani nije nifike hukoo Ila mbali

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 ปีที่แล้ว

    Mhmm Kwani apa ni kanisani? Au

  • @germamassawe6968
    @germamassawe6968 ปีที่แล้ว

    EH YESU OKOA WATU WAKO! WHAT IS THIS? LAKINI IMEANDIKWA TUTAWAJUA KWA MATENDO YAO, NA KWELI TUMEYAONA YALIYOYABIRIWA! WATAKUJA KWA JINA LANGU LAKINI SIKUWAJUA, WANA MACHO LKN HAWAONI

  • @user-nr4tn7ud1r
    @user-nr4tn7ud1r ปีที่แล้ว

    Inabidi tuanzishe mikopo sasa😂😂

  • @happyestomih4300
    @happyestomih4300 11 หลายเดือนก่อน

    Hivi nyie ambao hamumpendi baba yetu kwanini nnaangali vidio zake siiajabu nyie ndowale hamuwezi hata kuwasaidia hata nduguzenu wa watoto wenu

  • @danielimalaki
    @danielimalaki ปีที่แล้ว

    Nabiblia mtasema imepitwa na wakati iwe kisasa

  • @jameschipande1090
    @jameschipande1090 ปีที่แล้ว

    MULUNGU ADALITSE

  • @espoirmlondani-ue2fm
    @espoirmlondani-ue2fm ปีที่แล้ว

    Usipotubu wewe utaanguka vibaya vibaya vibaya maana mda uhu unatumikiya shetani pole wanaomtumikiya shetani

  • @FelisterDuway
    @FelisterDuway ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂rip

  • @Manyohu.tv1
    @Manyohu.tv1 ปีที่แล้ว

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mm hata nashindwa niseme nn,

  • @xaviersimaomola9511
    @xaviersimaomola9511 ปีที่แล้ว

    MUNGU ATUSAIDIHE FRIMASON INAKUNJA KWA KASI

  • @experiuskamugisha6722
    @experiuskamugisha6722 ปีที่แล้ว

    Nilijifanya kuwa mtu lakini sikuwa mtumwa kwenye wajinga nilikuwa mjinga ili niwanase wengi

  • @focusernest5610
    @focusernest5610 ปีที่แล้ว

    Wokovu wa kisasa😅

    • @hebrew1214
      @hebrew1214 ปีที่แล้ว

      Hakuna wokovu wa kisiasa.
      Neno la Mungu lipo wazi sana katika Warumi 12:2,"Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu".

    • @user-to3vb4gj5b
      @user-to3vb4gj5b 11 หลายเดือนก่อน

      yes