Ww sasa utwambie wanabudu vp makaburi ww wahabi utoe uthibitisho kwamba hawa wanabudu makaburi na maneno yao ni haya ww islam Allah yuwakusubiri kuwazushia wana zuoni na waisilamu
Wataka thibitisho gani zaidi ya wao kwenda makaburini na kukaa makaburini na kupitia kw Maiti..kwani makaburi ni pahali watu kwenda kupiga matari na kunyenyekea na ...kama si kuabudu ni nn..kwani makaburi ni miskiti ?? Au wapi ulipata mtume au maswahaba au wema waliotangulia walikienda makaburini wakafanya kama wanaofanya hawa?? Na ajabu ni kua wajifanyia kampeni wazazi wao ...sjui sharif fulani ..huoni kwenda kw kaburi la mwengine ni mababu zao na baba zao ...kwani ni ?? والله الموعد .. وعند الله تجتمع الخصوم Huko ndio tutapambana mbele ya Allah ni nani alkua kw haqqi..nyinyi endeleeni kueneza shirki na khuraafat..na mupinge daawa ya mitume mutaona natija...biidhnillah
@@Muislamu wajua ukiongea na mtu mwenye akili lazima na ww uwe na akili sawa mwasema waomba maiti sawa na wanamshirikisha Allah sasa toa ushahidi wasema kadha wa kadha ndio tujuwe waomba maiti hivi alafu umesema washirikina wamshitikisha vp Allah na siku ya kiyama utaenda kulizwa usisahau hilo manake wapotofu nyinyi mawahabi mwaona watu waenda kuzuru mwasema wabudu makaburi na huna kithibitisho hata mtume s a w
@@Muislamu ba mtume s a w alizuru makaburi pia yy alikua akiyabudu wataka kusema chungeni wapotoshaji nyinyi mutakwenda kuchomwa kuwazushia watu urongo
Ujingani wa hali ya juu, dua ni ibada sasa lolokufa hufanya ibada? Tena hadith yasema afapo mwanadamu hukatika amali za ila 3, sasa ikiwa ataweza kufanya ibada ya dua hii itakuwa ya 4 kinyume na hadithi ya mtume swalallahu aleihi wa salam, sasa kati yao na mtume swalallahu aleihi wa salam nani mkweli nani mrongo?
ALLAH akulipe kher shekhe wetu duktur Islam Muhammad
Mashaallah sheikh wetu mungu akupe maisha marefu yenye manufaa inshaallah
Baaraka llahu fik sheikh Islam
Allah akuhifadhi Ali Faza uzidi kuleta zengine kama hizi
Asante ali faza kuzidi kuonesha sunnah ina nguvu alhamdulilah hi yatosha kujuwa watu wa bidaa ni washirikina
mbona munajiweka wazi hapa albeidh anasema, '' alie hai Mungu humjibisha dua na aliyokufa Mwenyezi Mungu humjibisha dua baas''
Mnaomba makaburi bhna kwanza we uliambiwa na nani kama wale waliolala pale walipendwa na Mungu😂😂😂😂😂
Kwahio waliokufa pia wanaomba dua!!!!!!!!!
Huu ndio ujinga kabisa aliyekufa Anaombaje dua😂😂😂😂
Munakasha ulikua Sakina Dk.Islam ulikua wapi mbona hukuja Wacha Maneno matupu.
Ww sasa utwambie wanabudu vp makaburi ww wahabi utoe uthibitisho kwamba hawa wanabudu makaburi na maneno yao ni haya ww islam Allah yuwakusubiri kuwazushia wana zuoni na waisilamu
Wataka thibitisho gani zaidi ya wao kwenda makaburini na kukaa makaburini na kupitia kw Maiti..kwani makaburi ni pahali watu kwenda kupiga matari na kunyenyekea na ...kama si kuabudu ni nn..kwani makaburi ni miskiti ??
Au wapi ulipata mtume au maswahaba au wema waliotangulia walikienda makaburini wakafanya kama wanaofanya hawa??
Na ajabu ni kua wajifanyia kampeni wazazi wao ...sjui sharif fulani ..huoni kwenda kw kaburi la mwengine ni mababu zao na baba zao ...kwani ni ?? والله الموعد ..
وعند الله تجتمع الخصوم
Huko ndio tutapambana mbele ya Allah ni nani alkua kw haqqi..nyinyi endeleeni kueneza shirki na khuraafat..na mupinge daawa ya mitume mutaona natija...biidhnillah
@@Muislamu mtume alinda makaburini ehh kuzuru ww nimekukiza wanabudu vp ama wanamshirikisha vp Allah umeandika porojo nyingi
huyo ni tumbiri hajielewi anachokisema huyo muhabi
@@Muislamu wajua ukiongea na mtu mwenye akili lazima na ww uwe na akili sawa mwasema waomba maiti sawa na wanamshirikisha Allah sasa toa ushahidi wasema kadha wa kadha ndio tujuwe waomba maiti hivi alafu umesema washirikina wamshitikisha vp Allah na siku ya kiyama utaenda kulizwa usisahau hilo manake wapotofu nyinyi mawahabi mwaona watu waenda kuzuru mwasema wabudu makaburi na huna kithibitisho hata mtume s a w
@@Muislamu ba mtume s a w alizuru makaburi pia yy alikua akiyabudu wataka kusema chungeni wapotoshaji nyinyi mutakwenda kuchomwa kuwazushia watu urongo
Unaambuwa ww ali Faza fattani ..
Makhurafi munakataa kua hamuabudu makaburi mkitaka msitake mwabudu..kama ambavo munaliza kutuita mawahabi mujue ndio ibada muliorithi kutoka kw mashk zenu ni kuabudu wafu...شئتم أم أبيتم
Allah akuhifadhi Ali Faza uzidi kuleta zengine kama hizi
Ujingani wa hali ya juu, dua ni ibada sasa lolokufa hufanya ibada? Tena hadith yasema afapo mwanadamu hukatika amali za ila 3, sasa ikiwa ataweza kufanya ibada ya dua hii itakuwa ya 4 kinyume na hadithi ya mtume swalallahu aleihi wa salam, sasa kati yao na mtume swalallahu aleihi wa salam nani mkweli nani mrongo?