Huyu mzee ni hatari sana katika suna za mtume swalallahu aleihi wasallam haogopi hata kusema uongo ana ghuluu eti sikumbuki kumuasi Allah huko kusema tu hivyo nikumuasi Allah kuna maaswia makubwa kushinda hayo
Akizungumzia watu wengine fahamu yao nzito na wapenda kulala, lakini jamaa zake maa shaa Allah werevu!!! Breki pia alikuwa kitwa kizito... ndio aongoze mombasa! Hhhhhhhhhhhhhhhh jamaa pangeni uongo tartibuni jamaa.... watu sio wajinga...😂😂😂😂😂
Mashaa allah tunajipatiya faida kubwa kwa shekhe ietu allah amrahaamu. Na hizi ndizo elimu safi.
Maashaallaah tunasikia raha kuwajua mabwana wakubwa wenye uchamungu
Mashaàla
Ilikuwa hasinzi kabisa maajabu hayo
Masha Allah
Mawahabi munachuki na wanazuoni tushawazoweya
Tuliosoma vyuo vya kitwarika tunajielewa sio hawa wengine
Kama halali ni malaika huyo basii😂
Huyu mzee ni hatari sana katika suna za mtume swalallahu aleihi wasallam haogopi hata kusema uongo ana ghuluu eti sikumbuki kumuasi Allah huko kusema tu hivyo nikumuasi Allah kuna maaswia makubwa kushinda hayo
Eti miaka 18 hajalala
Mrongo loo
Kuna mzee kushoto mpka kainamisha kichwaa😂,maana daah ni uongo ulopitiliza😂😂,zee lilikua ongo hilii😂
Huyu mzeee alikuwa muongo
Acha uongo Kwan yye ni Maa'sumeen
Kwani alikuwa ni maasumi hamuaswi Allah, hiyo ni ghulu hafai kumsifu mtu hivo, kwani ni mtume yeye hajawahi kumuswai Allah hata siku moja!
Muabudu makaburi uyu mzee
Eti ilikua halali na watu wametulia hapo wanakaribishwa uongo
Yeyote mwenye kumkanusha huyu Ustadh alraahil almarhum Alhabib Mohammed Al-Beedh ni hao katika kundi 'khawarij alsalafiyatul wahabbiyya'.
Hhhhhhhhhhhhhhhh hhhhhhhhhhhhh hhhhhhhhhhhhhhhh jamaa kidoogo punguzeni majaka... hhhhhhhhhhhhh 😅😂😂😂😂😂 ukitunga pima kidogo kuna wajanja wajanja wataelewa!!!
Akizungumzia watu wengine fahamu yao nzito na wapenda kulala, lakini jamaa zake maa shaa Allah werevu!!! Breki pia alikuwa kitwa kizito... ndio aongoze mombasa! Hhhhhhhhhhhhhhhh jamaa pangeni uongo tartibuni jamaa.... watu sio wajinga...😂😂😂😂😂