Kwa ujumbe huu, unapitishwa ktk kipimo cha Mungu kwa jaribu lako. Jipe moyo na ukumbuke na uuishi huu ujembe maana Kristo yuko pamoja na ww Rev. Kimaro
Yaani namwelewaga huyu pastor na mahubiri yake acha tuuu.Natamani awe anahubiri kila siku hapo.Mungu akuweke mtumishi wa Mungu E.Kimalo. Greetings from Sweden 🇸🇪🇸🇪🇸🇪🇸🇪🎤🎤🎤
For sure ni mmja wa watu ambao mungu amepand kitu kikubw kwa ajili ya watu ...biblia inasema tii wenye mamlaka .....mungu akupe mlango wa kutokea na naamini mlango upo ata kabla ya tukio kutokea anasasbr saa ifke ..... lakin pia mungu aachilie aman ndan ya kansa ......maombi ni silaha..pekee ambayo mungu alituchia
Moyo wangu umejaa uchungu wa tufani mchungaji sina chakusema tufani inapasua merikebu ya moyo wangu sioni namna tena. Ila namuomba Mungu nikiinua kichwa nimuone yeye. Ni zaidi ya kilo moja yaani nimejaa.
Mungu ni mwaminifu Dada Margaret na wakati wake sio wakati wetu. Hata mwokozi wetu alionja Siki. Atakupatia wepesi. Ngangana na pindo la Yesu usimwachie. Mungu akupatie Amani.
Amina mchungaji nakuelewa sana Mungu akupe maisha marefu
Mungu akubariki mnoo mtumish maana mahubiri yako huwa yananibariki mno
Mungu azidi kukuinua kwa viwango vya juu zaidi mtumishi Eliona Kimaro.
2023 Kimaro wa Mbao
Kwa ujumbe huu, unapitishwa ktk kipimo cha Mungu kwa jaribu lako. Jipe moyo na ukumbuke na uuishi huu ujembe maana Kristo yuko pamoja na ww Rev. Kimaro
MUNGU akubariki sana baba,,
Mungu akubariki Sana muchunganji, from canon Jane Mwangangi - kenya - Nairobi
Amen nafarijika sana na mahubiri yako Rev ni kweli kabisa mwaka 2023 ni mwaka wa mbao umekuja
Amina
Asante Baba Mchungaji Kwa NENO la uzima, Tunakuombea na tutakuombea daima Mungu akuzidishie maisha marefu na amani tele ktk Jina la Yesu Kristo
Yaani namwelewaga huyu pastor na mahubiri yake acha tuuu.Natamani awe anahubiri kila siku hapo.Mungu akuweke mtumishi wa Mungu E.Kimalo.
Greetings from Sweden 🇸🇪🇸🇪🇸🇪🇸🇪🎤🎤🎤
Mimi wambao nimewasili 2023. Wambaoooooooooooooooooooooo! Amani daima kwa njia zote.
Ambao ya msalaba wa Yesu nimevuka na ninalitaja jina la Bwana wa majeshi
Amen
For sure ni mmja wa watu ambao mungu amepand kitu kikubw kwa ajili ya watu ...biblia inasema tii wenye mamlaka .....mungu akupe mlango wa kutokea na naamini mlango upo ata kabla ya tukio kutokea anasasbr saa ifke ..... lakin pia mungu aachilie aman ndan ya kansa ......maombi ni silaha..pekee ambayo mungu alituchia
Wa mbao Mungu ww waweza yote nivushe panapostahil bwana
Nabarikiwa sana mahubiri yako ujumbe huu hakika bahari zilikutana lakini mbao zitanivusha kwa neema yake Yesu
Ubarikiwe sana Mch Kimaro kwa ujumbe wako umenigusa sana mnoo! Hakika kupitia ujumbe wa leo hakika Mwaka 2023 ninaamani mambo yangu yoote yamekuwa
Wa mbaooo alililili lililiiiii
Mungu atakuvusha Dad popote ulipo tupo
AMEEEEN 🙏🏾 MIMI NI WA MBAO
Wa mbao in the name of Jesus Christ.
Amen. Wa Mbao tunawasili
Ameeni nilibarikiwa sana na huu ujumbe MUNGU AKUBARIKI SANA PASTER
Nipo hapa wa mbao wooow
Amina kubwa
Amen
Wa mbao ninawasili ..
Haswaaaa
@@journeywithjesus Aaaamen Bwana azidi kukufunulia maisha wa kondoo wako.....oh umeniona tumishi.....
@@journeywithjesus Aaamen
Amen🙏
Ameni ameni.
Ameen and Amen
Amen 🎉
AMEN AMEN
Amen in Jesus name.
Ameen
AMEEN
Ubarikiwe Sana Much kimaro wewe ni mkweli kulingana na nyakati
Moyo wangu umejaa uchungu wa tufani mchungaji sina chakusema tufani inapasua merikebu ya moyo wangu sioni namna tena. Ila namuomba Mungu nikiinua kichwa nimuone yeye. Ni zaidi ya kilo moja yaani nimejaa.
MUNGU aonekane na roho mtakatifu akufariji na kukupa amani.
Mungu ni mwaminifu Dada Margaret na wakati wake sio wakati wetu. Hata mwokozi wetu alionja Siki. Atakupatia wepesi. Ngangana na pindo la Yesu usimwachie. Mungu akupatie Amani.
Nakuomba Sana umlilie Mungu achilia Moyo wako Kwa Mungu yataisha kama kulia Lia Sana ukimaliza jisamehee mwenyewe utakaa Sawa 🙏🤲
Pole mpenzi ni suala la muda tu shukuru kwa hayo asubuhi inakuja roho mtakatifu asikuache
Huyu ni mtu wa Mungu
Ameen