REV. DR. ELIONA KIMARO: KUJIONEA SHAKA: KABURI LA ELISHA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ม.ค. 2023
- EVENING GLORY - THE SCHOOL OF HEALING 16/01/2023
SOMO : KUJIONEA SHAKA ( SELF - DOUBT )
"KABURI LA ELISHA"
KUNA WAKATI WATU WANAFIKIRI WAMEKUZIKA KUMBE WAMEKUPANDA
2 Wafalme 13 : 20 - 22
Yohana 12 : 24
2 Wafalme 13 : 20 - 22
20 Elisha akafa, nao wakamzika. Basi vikosi vya Wamoabi wakaingia katika nchi mwanzo wa mwaka.
21 Ikawa, walipokuwa wakimzika mtu, angalia, waliona kikosi; wakamtupa yule mtu kaburini mwa Elisha; mara yule maiti alipoigusa mifupa ya Elisha, alifufuka, akasimama kwa miguu.
22 Na Hazaeli mfalme wa Shamu akawaonea Israeli siku zote za Yehoahazi.
Yohana 12 : 24
24 Amin, amin, nawaambia, Chembe ya ngano isipoanguka katika nchi, ikafa, hukaa hali iyo hiyo peke yake; bali ikifa, hutoa mazao mengi.
Mhubiri: Rev. Dr. Eliona Kimaro
Kwa Maoni na Ushauri: Rev. Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053
Mungu hamekuinua kiwango kingine hakutie guvu hakupe wisdom like Solomon
Ulipo tupo nyuma yako. Damu ya Yesu ikakufunike, imuimaroshe na ukupaishe zaidi. Urudi na Nguvu mpyaa. Amen
Watainuka wengi juu yako lakn mungu anakujua kweli kweli simama anzisha huduma yako hawa watu watakupasua moyo wako
Maono yangu sio yakufa kwa jina la YESU KRISTO
Daddy Mungu Akulinde Daddy wangu Mzuri Nakupenda sana hakika wewe ni mbegu iliyohai hata wakupige mawe wala hauto dondoshwa.
Mungu mwema Sana me mung akulide siku zote
Mungu Yuko upade wako wanakuonea wivutu kwasababu bingu zimefunguka
I discovered this charismatic, charming and prayerful man of God a few days ago while browsing through the internet, I really commiserate with him for the battles he is undergoing right now. You are an international figure, I am a kenyan and have come to love your sermons, they are powerful
Yesu ana haja nawe baba endelea mbele nakupenda bure 🇰🇪🇰🇪❤️🇸🇦🇸🇦❤️
FROM BITTER TO BETTER OOH LORD LET THE WORD OF STAND AND MANIFESTED . TUITION OF REV ELIONA KIMARO Will NEVER be forgotten. He has taught us a lot of truthfulness! Bitterness shall NEVER stand FOREVER.
Amen Mchungaji wetu, Mungu akubariki sana, 🇩🇪
SEE YOU AGAIN.OOOH FROM BITTER TO BETTER. FUMBO KUBWA UMEACHA MADHABAHUNI KKKT KIJITONYAMA. EEH MUNGU SIKIA KUOMBA KWETU. AMEN
Ameen Ameen ubarikiwe mchungaji
Mbarikiwa , God is with you Reverend
Kimaro
Kuna tofauti ya kuzikwa na kupandwa👏👏👏👏nimepandwa mie I gonna fire the world again
Eee mungu mrudishe mtumishi wako
BWANA YESU ASIFIWE. EEEH MUNGU WETU ULIYE HAI, NINAKUOMBA PAMOJA NA WENGINE WEEEENGI HUMU , UTURUDISHIE DR. ELIONA KIMARO KTK USHARIKA HUU ALIOHUDUMIA KWA HEKIMA NA UTUKUFU WAKO EEH MFALME. AMEN
Now will be attending your sessions here sir.
We miss you our Mchungaji na Mungu atakuinua zaidi na zaidi wamekupanda utamea zaidi
AMEEEEN🙏🏾 MCH. BABA MUNGU AKUBARIKI
AMEEEN AMEEEN MUNGU AKUBARIKI SANA Baba yetu AMEEEN
SIJAFA NIMEPANDWA OOOH HALELUYA, BARIKIWA SAAAANA BABA MCHJ DR.ELIONA KIMARO. AMINI TU KTK YOTE ULIYOHUBIRI JIONI HII YATATIMIA KWA NGUVU ZA JEHOVAH YAHWEH. AMEN KUBWAAAA
Amen Amen Mchungaji ulipo tupo.
Amen! Bless you always baba
kaburi la elisha
BABA TUNAKUPENDA SANA NA TUNAKUOMBEA PIA
Barikiwa sana mon Pasteur Dieu est avec toi toujours.
Amina baba
Tuendelee tu hapa baba
Online
Amina Babaaa
Ameni Ameni
Tuko pamoja baba tunakulilia
Rev eliona naona kama wa Tanzania hawataki baraka za mahumbiri yako njoo KENYA uanze kaniza lako.nimejitolea kupa mahali pa kujenga kanisa.
AMEN
This is a God mystery. Satan is a big liar. Mungu wetu na ahimidiwe pastor
Amina🙏🙏
Amina
Hapo kwa uonga Tz 😂 hapo kujiamini 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪👍ukeli kabisa mtumishi 😂
Eimeeen
Amen amen, 🇰🇪🇰🇪
Ameen
Ameeen Ameee
AMEEEN AMEEEN
Ameeeen 🇬🇧
Milele Amina
Amen
Jamani mch.ngaji kimaro ameludi usharikani au
Hii ya tarehe 16/January
Ukristo was kweli ni gharama nimejifunza kitu
Mungu mkumbuke mwanao tunaomba umfunike kwa dam ya Yesu
MUNGU wewe ni mwema mno utukufu ni wakwako,ata Sasa wewe ni Ebenezer
Amina baba
Ameen
Amen
Kama Isaka alivyochimbà visima wakawa wana mnyanganya bado alisimama imara .Mungu awe na Daima Joshua 1:5
Amen
Amen baba
Tuko pamoja.baba yetu
Cjawahi kukuona ukihubiri kivivu Wala kuomba kwenye utumishi wako Mungu akukumbuke akuvushe MUNGU sii dhalim
Ameen
Ameen
Ameen
Amen
Mungu akulinde daima