Kweli gudegude usimuache huyo mwamba rogeti anakusapoti poa kinoma,si kwamba huwezi kuimba bila yeye ila kuna karadha Fulani hivi amaizing,halafu njoo nzega hata kwa elfu 10 tutaingia mzee
Gude jitahidi kuwahimiza hao ma editors wako videos zako ziwe na quality angalia hizo filters, halaf niko tayari kuwa sponsor wako kuanzia mwakani lakini kwa vifaa vya digital
gudegude huyo jamaa lokety usije ukamuacha kabisa inafaa nyimbo zako uwe unapiga nae hakika nyimbo zinatoka za kiwango
Mwimbo mzuri SAANA..
Nipo Zambia nakusapoti na watu walioskiliza goma hili hapa Zambia wamecheza na kusifu licha ya kutokuelewa
Bonge la nyimbo aminia Sana kaka gude gude
Very nice 👍 sawa sawa getee ngoshaaa mziki wa wiza sanaaa hongeren
Hata mm ninawaelewa sana Hawa jamani watoto was nyumban segese one
Gude gude pamoja sana kaka na longet mumetikisa iyo nyimbo
Wimbo
Huu
Waniguxa
Xana
Nene
Mungu
Awazidishie
Zaidi
Mzidi
Kuelimisha
Gude
Kitambo sanaaaaaaa mzigoooo ushachotwa Niite DeejaY B From Ngudu Kwimba
Kweli gudegude usimuache huyo mwamba rogeti anakusapoti poa kinoma,si kwamba huwezi kuimba bila yeye ila kuna karadha Fulani hivi amaizing,halafu njoo nzega hata kwa elfu 10 tutaingia mzee
Yn hiyonyimbo inankumbusha machinbn araaa
Kwakweli collabo ya hawa jamaa iko very good
Bigger up sana brooo
Ngoja tucheki hii kazi ilingojewa sana afu tushudie ufundi uliomo
Mungu akujalie
Kaka Angu wa Faida Huyu
Hili goma linanihusu kabisa 🙌👌👌🔥🔥
Lembo labhuza nkoi 👍🔥🔥🔥💫
👊👋 ngoma tamu sana
Haleluya Atukuzwe MUNGU Watu Wa Nyumbani.
Uko vizuri sana kaka
Wewe ni mwamba hakuna mwingine zaidi yako Gude Gude nakukubali saaana
Mungu akujalie maisha yenye her balaka❤❤🎉
Ni unyama sana gudegude👊👊
Wa kwanza mboge la nyimbo🔥🔥🔥🔥
Mwimbo mzur sana ❤ nawapenda kaka zangu
Pambanakijana meseg nzuri sanaaaaa. Bay chenge simanjiro
Utafika mbali sana, tuthamini vya kwetu. Hongera sana
Good Song mabrother zangu nainjoi sana
Mko vzr sana high video
Kazi nzuri hongera sana mwamba
Waoo❤❤❤ faya nimekubali
Hata mm ninawaelewa sana Hawa jamani watoto was nyumban segese one 11:35 11:40 ❤❤❤❤❤
Kijana loketi anasauti nzur pia mnaimba nae vizur mashair na saut yake
Nakukubali sana gd gd rafiki angu, wewe ni mwamba kweli kweli 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
😊😊😊
😊
Roget safi sana kijana nakuamin mkuu🔥🔥
Nyimbo kubwa Sana Hii, nahitaji kufnya kolabo Nawe man
Iko pw Ila madancer wamezingua maana bit Kali ila wao wamepw sana
Hongera bro kupitia wimbo huu umetia moyo
Sana sana gude nipo katoro apa nakupata
Boss wangu💪
Big up sanaaa gudegude na roget
Hapo sawa kamanda
Nimekuwa wakwanza kuiona Ngoma ya Gude ft Rogeti
Ukopoa
umenitisha kaka sana2 mm nipo 2nduma lakini nakufatilia kinoma dogo nae anajuwa sana mshike mkono
Wasanii wetu ongeleni maana mnakosha na kuelimisha sana pia mnatupa ujasili ongeleni sama
sawa ntale
Kazi kubwa
Safii sana good reggae
Maua 🎉🎉🎉🎉 Yake Gude Na Roget
Daah hii Ngoma imenifanya Hadi namwaga mchozi
Si ikatoka na nikafika pongezi sana kwako
nyimbo nzuri gud gud
ulisawa nyanda naliko ialusha tulikudegeleka
Mungu akutangulie gudegude tunakuskiliza pande zamorogoro hapa.dumila.❤❤🎉
Mashallah mwimbo zur ❤❤
Mm dowakwaza🎉
G hongera san kaz nzur mno🔥🔥❤
Niko Arusha wimbo uko na mafundisho kwa machoji
kaka unyamaaa sana kiukweli
Ichola🔥
Director anavifaa vizur quality nzuri sema Rangi Nying Sana Anatumia Video Moja Zinaumiza Macho Kila Kipande na Rangi Yake🙄 Alifanyie Kazi
jifunze kujibu ujumbe wa mashabiki ndg yng
Kazi nzuri Sana kuanzia audio hadi video yake, respect for you 🎉🎉🎉🎉🎉
Safi sana Gude
Lundi nyaguge bado tunakuitaji
Wmbo umenigusa by marekan mpeja kutoka tabora
Tumamagi bazuna bane . Mukumbilwe sato welelo amubalade mushike kule😂😂😂
Safi mungu akutangulie kazi nzur sana❤❤
Dho
Tuko pamoja gude
Mwamba anajua
Sawa sawa kamanda
Imenigusa Jamani 🙏🙏🙏🙏
💃💃💃💃💃
Uko poa mwamba
❤❤❤❤❤❤
Kabunde
Safi sana
Lembo Iisoga shii
Unajitahid kijana
🎉🎉🎉🎉
Hii goma ni 🔥
Wimbo mzuri ila video low quality
😢😢
❤❤❤❤❤
😮
Gude jitahidi kuwahimiza hao ma editors wako videos zako ziwe na quality angalia hizo filters, halaf niko tayari kuwa sponsor wako kuanzia mwakani lakini kwa vifaa vya digital
Nimekuerewa kaka tutawasiliana
Guid
😊😢🎉🎉09
@@gudegudetz797012:46 🎉
nimekuja kuchukua mzigo tayari nipo mpanda Katavi town apa please Follow me know
Ni Motrooooooooooooooooooo
🎉🎉🎉
Gude bwana unajitaindi natamani nikutumie hata ya suti
Nashukulu sana jamaangu
Kakika wewe ni mwamba hakuna mwingine zaidi yako Gude Gude
💪💪💪💪💪💪
❤️❤️❤️
Poa kinda 1:08
😅😢😅😅😮🎉🎉🎉
Ogembaga geeeetee
Hata mm ninawaelewa sana Hawa jamani watoto was nyumban segese one
Very nice 👍 sawa sawa getee ngoshaaa mziki wa wiza sanaaa hongeren
Hata mm ninawaelewa sana Hawa jamani watoto was nyumban segese one
Mwamba umetisha hongera!
Wasukuma mnajitahidi sana yuko pamoja
Hongera sana gude gude na kupongeza