@@masalsamwelmasal2255kama unaona ni wizi waambie wasanii wakataze mtu yeyote kuwa na nyimbo zao kwenye computer....Kama hujui Walusha nyimbo ndio wanaosambazia wateja wengi kuliko mitandao....weng hawana simu janja kama wewe wengine hawafaham hata youtube ni nn😮😮 Siku Limbu awaambie mashabiki wake kwenye show mwenye smatphone anyoshee juu kama watafika hata nusu ya watu walioingia....heshimu kaz ya Mtu brother
Dah ila mziki umekuwa biashara na umechangamka wasanii wanztunga mashairi mazuri piah madirector kila siku mnaumiza vichwa kuonesha utofauti kwenye kila kazi kongole kwako Migera you did it🔥🔥🔥
Mnyama jeshi la mtu mumoja, Mimi huwa na kuita hivo nawakilisha ndani ya sumbawanga nzima ,machiya boy, ukipenda nite devid ndani ya kijj sakalilo, rukwa
Safi sana migera❤❤❤❤ wewe nimufano sahivi
Leo mi wa tatu hamna nomaaa😂😂😂
Kwau mwaka atawasumbua sana pia Kuna topha Kuna migela niatalllllllllllll?
💯- 💯 kwa ote dj Konk naacha zawad zenu mafund wangu
Woooh lembo lya wiza endeleen kutuburudisha. nikiwa 🇴🇲 chukuen maua yenu🌹🌹💃
🔥 🔥
Ramadhan 3:11
Tuko pa1
Moto ni ule ule unazidi kuwa wa moto🔥🔥🔥🔥
Kali Kanaaa🎉🎉🎉Dope🎉🎉❤
Wimbo mzuri. Nakushauri uweke subtitle za Kiswahili kwani sio kila mtu anajua kisukuma. Utapata views nyingi ukifanya hivyo🎉❤
Kazi iendelee . Brother migera mipangilio gud
Nimependa kazi zako brother migera. Mwaka huu wamoto sana
hongereni sana 😂😂😂
Tayar ipo kwa DJ JUMA.. salamiti Morogoro...Ukitaka kusambaziwa nyimbo zako morogoro nitafute
Nitafute kwa number 0762277374
@@MigeraStudio sawa brother respect kwako unaupiga mwingi sana
Nazpend nyimb
@@manambavideoproduction8394uhuiiu) 8(kkk*(O{ÓII>>(K+I8😅😅😅😅😅😅😅😅😅 3:00 ❤jhjjjji>>ī😅kiosk 😅oiiiiii>>(;iiuhûf😊😊ft t
❤❤❤❤❤ nakupenda sana mayiku
Ila mauno ya kaka zetu weeeee nouma sanaaaa🎉🎉🎉🎉🎉
Limbu komando pumbafu nene❤
Wewe ndio komando hakuna mwingine tunakupata hadi kwanza uko vizuri sana limbu
Hongela Sana msaa kwa kazi hiyo
Tayari katinga Dj Mussa Kasekese Mpanda Kuchukuwa NYIMBO MPYA I 2024
Nicheki kunakitu nataka nikuambie
Unafikiri ni sifa? Huo ni wizi wa kazi za watu
@@masalsamwelmasal2255kama unaona ni wizi waambie wasanii wakataze mtu yeyote kuwa na nyimbo zao kwenye computer....Kama hujui Walusha nyimbo ndio wanaosambazia wateja wengi kuliko mitandao....weng hawana simu janja kama wewe wengine hawafaham hata youtube ni nn😮😮 Siku Limbu awaambie mashabiki wake kwenye show mwenye smatphone anyoshee juu kama watafika hata nusu ya watu walioingia....heshimu kaz ya Mtu brother
Tayali mzigo usshachukuliwa na dj Paul, nyankende ndo home
Nimekuulewa sana Mzee madensa wako vizur
Dah ila mziki umekuwa biashara na umechangamka wasanii wanztunga mashairi mazuri piah madirector kila siku mnaumiza vichwa kuonesha utofauti kwenye kila kazi kongole kwako Migera you did it🔥🔥🔥
Ngoma kali sanaaaass
Mtu mbadii migera kazi nzuri sana unapiga safi
Pamoja kaka Migera
Arusha ndo tunazisikiliza sana nyimbo zako daah
Hii imenibamba penyewe much love from sumbawanga
Mnyama uko juu zaid
🙌 Iko vizul
Sawa migera
Sara wew ❤❤❤❤
Ongera saana kwenu mume ua saana
mimi jumanne mayoka kutoka lindi tunakukubali sana komado❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mnyama jeshi la mtu mumoja, Mimi huwa na kuita hivo nawakilisha ndani ya sumbawanga nzima ,machiya boy, ukipenda nite devid ndani ya kijj sakalilo, rukwa
Namukubar limbu
Limbu kamanda ❤❤❤
Big up 👍
Good job migera
❤❤good sana Niko pande za Mugumu Serengeti WCV VISION TANZANIA
Kali ya Mwaka
Tuleteeni huyu jamaa kitunda mgodini tabora apige show
Nakuelewa xana kaka ang
mbona mme vaa vizuri hivyo ❤❤❤❤🎉
Sana hongereni
Lya matuja noma
Indeed our culture is heritage viva sukuma land
Mayiku sai uko vizur nakupa maua yako🎉
Mimi nipo mwanza pamoja sana
Ngoma Kali sana
Limbu kama limbu mwisho wa siku nta taka corab na wewe make unaimba sana...
😂😂😂😂
@@MasanjaSamweli-b3r 🤣🤣🤣 veep kicheche Tena...
@@mageletz umenifurahisha
@@MasanjaSamweli-b3r ukweli ana imba jamaa so utqni
@@mageletz jamaaa anajua siyo siri yaani nelemi angefata vitu vingine tu kuliko kushindana na huyu mwamba
kaz nzr kaka angu endelea
❤❤❤
Kweli sana lemboo😊
Limbu SARA kisima SARA, haya bhana Sara mpaka akome
❤🎉
safi kabisa achana na yule mwehu anayeimba matusi
💯💯👍👍
Mwaka huu nishida kwa limbu naona kwahali hii
Nikiwa Mkoa wa mara Bunda Mjini nawakubali sana🎉
Nakubal san limbu tupo pamoja
Nice jobu
Sawa kivuruge
Bg up bro
respect for migera
Migera unatisha sana mwamba big up kaka
Asante
Nhatr san
Good
Chene getee nkoy
Mapenzi hayalazimishwi huyo salah msimlazimishe
Hajamkataa Salah anataka limbu aende kwa wazazi
Mwinage unaga akukuzunya
Nzuki
Komando majibu watayaleta wenyewe tu
Mnyama utwaua mwaka huu
❤❤❤❤❤
Yuko saw limbu
🎉🎉🎉🎉🎉
❤ 👌💪
BR 🇧🇷
❤
kumanyok limbu
❣️❣️❣️
Aa kumbe
Nipo na sara
Mhh
Safi
😊
🎉😢
❤❤
Nalikubari Sana hili kundi
Boresha camera utauza sana😅😅😅😅😅😅😅
Migera ,naomba uni2mie namba yako
Salute nchoji
Good
❤❤
❤❤❤❤❤
❤❤