MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE: FAHAMU NI JINSI GANI SADAKA INAVYOWEZA KUSHIKA MAISHA YAKO YA BAADAE.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 พ.ค. 2023
- USHUHUDA HUU WA MWLIMU MWAKASEGE NI SEHEMU YA SOMO LENYE KICHWA KINACHOSEMA "HASARA NA HATARI ZA KUTOUTHAMINI WOKOVU" ALILOFUNDISHA KAHAMA, MWAKA 2023 SEMINA SIKU YA PILI.
Mungu wetu anasikia Kila unalo omba kwa uaminifu , Nina muomba MUNGU atujarie sisi wasichana ambao hatujaolewa tuwe na maamuzi sahihi ameen 🙏
Napenda sana kuwa pamoja na mwalimu ananifundisha sana nampenda sana ananipeleka nitakiwapo
Umenigusa Mtumishi wa Mungu... Umenikumbusha mbali,,,, UBARIKIWE
Kwa kweli mtumishi wa MUNGU unatufundishaga neno la MUNGU kwa namna ambavyo mimi naeza nikasema huwa unaonanaga na MUNGU ANA KWA ANA asante sana MUNGU anisaidie nizidi kuwa na ufahamu!
Hii neno linanitafarisha sana . Asante Yesu mama ya mtumishi alitoa sadaka kwa Mungu aliye hai. Nawaza tu kwa sauti haya maisha na sadaka zilizotolewa sehemu mbalimbali tusizozijua na kushika maisha yetu.
Ndiyo kabisa mkuu
Mungu akupe maisha marefu huduma hii inanifugua akili namna ya kumtumikia Mungu.
Kweli Mungu yupo, Amen mtumish
MTUMISHI WA MUNGU, ni ombi langu, Mungu afanye mlango na kufungua kibali juu ya mkoa mpya wa Songwe (Mlowo) Tupate neema hii.
Tunakukaribisha sana Mtumishi wa Mungu. Na Mungu akuwezeshe na kukubariki.
Tuko pamoja Baba. Naomba sana Mwenyezi Mungu atufungue ktk vifungo mbalimbali tulivyofungwa bila sisi kujua.
Ee Mungu nisaidie na mm nahitaj kuwa miongon mwa watu wakoo nabarikiwaa saana na mwakasegeee Mungu akubarik saanaa
Mungu atusaidie.wakati mwingine tunapitia maisha magumu kupita kiasi. kumbe ni sadaka zilizotolewa upande wa pili.Mungu nakuomba unisaidie na ufungue akili yangu na ufamu wangu nikujue njinsi ulivyo na nikutafute kwa akili yangu yote na ufahamu wangu pia na nguvu zangu.fungua macho yangu ya kiloho ili nijue kinachoendelea katika maisha yangu katika ulimwengu wa kiloho.
Amen
0:22 0:54 😅 0:57 😅 0:58 1:08
0:22 0:54 😅 0:57 😅 0:58 1:08
❤❤❤
Huyu mungu tumfananishe nanani
Amen, UTUKUFU KWA YESU KRISTO❤
mungu wetu ni mwaminifu sanaa... anatuwazia yaliyomema kila siku
Ubarikiwe sana mtumishi WA MUNGU nimaombi yangu mbele za bwana juu ya mahusiano yangu na mtu nlioko nae ni miaka 2 Sasa tumepiga hatua Sasa imefika mahali s week 2 zimepita anasema hawezi kuondelea tena katolewa sadaka za kishirikina na MUNGU kaninisistiza kutoa sadaka kwa ajili yakurudisha fikra na fahamu zake tena maana upendo umeisha ghafla
Daaa mm nampenda sanaaa huyu mzee yaan mafundisho yake yanaaa maanaaa
Sanaa na
Eeeh Mungu katika ulimwengu huu wa mwili na roho naomba ukanitendee ukanionyeshe mambo makubwa na magum nisio yajua😢 tunaishi dunia ambayo watu wa karibu ndio wanao tuuwa kwakua wanatufahamu kiundani roho mtaka tifu uniongoze unioneshe yote yanayo kuja mbele yangu
Amina sana na barikiwa sana na neno la mungu mungu azidi kutupa ufahamu
Mungu ni MUNGU mwenye Nguvu
Ooh man of God ❤
Merci Sana.
Umebarikiwa na Mungu mtumishi Mungu aendelee kukuweka ili utufundishe.najiskia kubarikiwa ninaposikia mafundisho
Ubarikiwe mama mtumishi na mwalimu
Amina ..tulishe kondoo wako tunaangamia kwakukosa maarifa na hekima ya kimungu ndani yetu ituinue tusikie yale anayotaka tusikie na tuone anachotaka tuone na kunena anachotaka tunene kwa jinsi aonavyo yeye inafaa.
Barikiwa baba mungu akutunze
barikiwa baba christopher
Mungu akupe umri mlefu
Aisee!
Mungu nisaidie sana kujua kweli yako.
Haleluuuuuuuya!!! Asante YESU kwa ajili ya mama
Kumbe Mtumishi mkubwa namna hii alizaliwa na mama ambaye angeweza kuwa Sista!!Nampenda Mungu kwa sababu huwa hasahau Agano analofanya nasi.Abarikiwe yule mama kwa kitimiza Agano alilofanya na Mungu.Tazama sasa kila mtu amchaye Bwana anachota hekima hii kubwa Asante Yesu
Asante mungu kwajili ta mama
Mtumishi wetu baba wa taifa yupo vizuri
Mungu ushikae agano nisaidie na mimi
Mungu unapodhuru wengine usinipite na famiria yangu
Uso wako uende nami YESU 🙏 nawe utanipa Raha 🌹
Amina
Aaah ama hakika Mungu yupo
Ubarikiwe Mwalimu nakuelewa sanaaa🙏🙏naninakufurahia
Aminaa 🙏🙏
Hakiki Mungu aturehemu na wazazi wetu waliotuunganisha na sadaka tusizojua
Amen mtumishi
Amen Amen🎉
Amen
MUNGU mwenye nguvu libarikiwe Jina lako
Mtumishi wa Mungu naomba nieleweshe nini maana ya Fungu la kumi
nguvu ya agano nakuelewa mtu wa Mungu
Amen 🙏🙏
🙏🙏
Emungu hakuna kama wewe
Asante baba
Aleluyaaaa
Eee MUNGU utusikiye tunapo kuomba na sadaka tunazo toa kanisani hata kwawenzetu ambao ni wandugu na marafiki zikubaliwe na wewe mwenye uwezo.
Baba
Amina ubarikiwe sana mtumishi ni neno lenye ujumbe mkubwa sana katika maisha yangu Mungu anisaidie
Mtumishi wa MUNGU,, BWANA akuongezee miaka ya uzima na amani taifa bado linakuhitaji sana
Amen sana mtumishi Mungu, asante Yesu kwa sadaka ya mama aliyoitoa kwa Mungu wetu aliyehai. Umekuwa msaada sana mwalimu mwakasege Mungu akupemaisha marefu. Tunabarikiwa na uwepo wako
Kanisa LA Baba Mwakasege liko wap naomba msaada
ingia kwa page zao za instagram na facebook utapata info zaidi
Mwakasege hana kanisa ni Mwalimu WA neno la MUNGU Nchini kote
Hii ni nzuri lakini mtu akitolewa sadaka kwa miungu atateseka
Amina baba
Nawapenda sana wanaoijua neno LA mwalimu barikiweni sana sana sana amen
MATENDO YANAZUNGUMZA 80%
MANENO YANAZUNGUMZA 20%
SASA HIVI MNAFANYA BIASHARA
SIYO HUDUMA TENA, NDIO MAANA
MNATEGEMEA SAYANSI ZAIDI KULIKO MUNGU, MNAMALIZA
KAMA SAULI AU KAMA SAMSONI NA DELILA😭😭.
tengeneza mahusiano yako binafsi na Mungu linda kunywa chako kwenye habari za watumishi wa Mungu hata kama wanakosea itakusaidia sana...
Mungu nimwaminifu San nakupenda mwalimu shuuda zako Zina niinu
Yani wewe mwokope Mungu ilapole.
Kama ni rahisi fanya na wewe
Usiseme hivyo ndugu nihatari kwako kiroho Tena kwa mtumishi wa Mungu wa kweli Kama huyu tubu haraka maneno hayo uliyotamka hayatakuacha salama, heri uwe msikilizaji Sana kuliko kuwa msemaji, chunga ulimi wako
Amina
🙏
Amen
Amina