Unaongelea kuhusu nguvu ya wachungaji au dua ama mapango wa Mungu kwa kujitwalie cheo kwa jina la Kristo? Mtumishi, ongea kitu basi. Kusema Kristo alikuja kwa ajili ya kiti cha daudi soma Warumi pale 1:1-3.
Alikuja kukalia hicho kiti Cha Daudi Kwa kuwa alikua from that throne kuwaokoa waisraeli na kwamba ndie alikua messiah ila walimchukua msaliti na muongo,Kwa sasa hivi akina netanyahu,Ben gvir na wengine pale Israel wanamsubiri messiah wao ila sio Yesu
Elimu yako bado sana ulishauriwa na jopo la Mashekh ukasome, we unahangaika na kubwabwaja
Wewe auna jipya
Nabii unaongea ukweli. Ila mbona hujibu ku Whatsapp?
Acha kupotosha watu kama ulivyopotea wewe
huyu bwana ana kitu asikilizwe
Alhamdulillah 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Tuijue kweli nayo itatuweka huru
Kingine kwa nini siku hizi hakuna miujiza ya watu wa kweli?
We jamaa acha kufuru,
Masahihisho dakika ya 2:55 hiyo ayah inasema kuja kwake Yani kurudi sio kuzaliwa, ni dalili ya kiama
Ongelea kitu na uwe na ufunuo nacho. Sio kudokoa na kuacha
Hii ni injili original
Tumekuchoka😮
Unaongelea kuhusu nguvu ya wachungaji au dua ama mapango wa Mungu kwa kujitwalie cheo kwa jina la Kristo? Mtumishi, ongea kitu basi. Kusema Kristo alikuja kwa ajili ya kiti cha daudi soma Warumi pale 1:1-3.
Hii ndo injili original
Unapo kuwa na wito wa kufanya kali ya mungu ni lazima uyatoe maisha yako kwaajili ya wengine so kuzingatia maokoto
@@HekimaSalama 😄😄🤸
Alikuja kukalia hicho kiti Cha Daudi Kwa kuwa alikua from that throne kuwaokoa waisraeli na kwamba ndie alikua messiah ila walimchukua msaliti na muongo,Kwa sasa hivi akina netanyahu,Ben gvir na wengine pale Israel wanamsubiri messiah wao ila sio Yesu