@@user-ch8zc3bg9bmbona unajiganyaga mwenyewe kwenye iyo coment yako, unaizunguka sana yaani unasema hivi:_unasema majini sio malaika harafu hapo apo unasema hivi:_Ni mapepo wamezaliana na wanadamu kupitia malaika walioanguka duniani!! Sasa hauoni hao malaika walio anguka kutoka mbinguni ndio walio Muhasi mungu na kutupwa Duniani na kuitwa mapepo ndio hao wanaitwa majini sasa
Ni kweli kabisa majini ni ndugu wa waislam kama ambavyo mapepo machafu waliokwenda mbele za Yesu na kumuita mwana wa Mungu ni ndugu wa wakristo. Hapo waonaje😂
Mtumishi leo una hasira sana, umefika hatua umekengeuka Maana unaongelea vitu vitatu ila hujapata ufunuo navyo vitu hivyo. Sawa Ngoja watu wauwane ila sisi ni wale Vita vyetu si katika mwili na nyama bali katka falme na mamlaka juu ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho
@@nabiiilyaaseliya2551 Kivipi!? Mtumishi, Mbona unaongea kitu kisichokuwa kitu!! Je Mungu ni waamani au wakupigana? Amri ya Mungu ni Upendo nao upendo huzaa amani Nikweli kuna vita ya dhambi ila kumbuka dhambi nayo ni roho maana ni Shetani. Hapo vipi mtumishi!? Naomba number zako tuwasiliane
@@nabiiilyaaseliya2551YESU KRISTO alisema aaminie na kubatizwa ataokoka na asiye amini amekwisha kuhukumiwa je nyie waislam mtakimbiliaje kwa Yesu wakati hamjamwamini? Na Tena hamuamini YESU kama alisulumbiwa? Labda yupo mwingine sio YESU KRISTO WA NAZARETH
@@nabiiilyaaseliya2551YESU KRISTO alisema ombeni lolote kwa jina langu je uko tayari kuugeuza msaaf? Mbona hueleweki? Msipogeuka na kuomba kwa lake YESU KRISTO hata ufie masjid utakwenda jehanam kweupeeee
Njia wanazo tumia sio… elewa darasa linamuhusu Issa bin Mariam kumjua? swali; Alshababu wana mjua Issa au Yesu ni nani ndani ya Qur’an hii ndio mada ya msingi kuielewa?
Kazi ya injili ya Kristo sio kuuondoa/kuukomesha uovu na dhambi duniani bali ni kuwaondoa au kuwaita watu kutoka kwenye uovu na dhambi. HAKUNA ANAYEWEZA KUONDOA UOVU DUNIANI. NDIO MAANA YESU ATASHUSHA MBINGU MPYA NA NCHI MPYA.
@@willdomy1078 hiyo ni kwa mujibu WA ukristo wenu. Sisi waislam tunaenda kumtumia KRISTO kupambana katika ULIMWENGU WA ROHO kurudisha UTAWALA WA Mungu hapa DUNIANI nyie bakini rohoni
@@nabiiilyaaseliya2551 Mimi nafikiri maana ya jina "Isa" linasadifu kazi yake. Maana ya Masih Isa au Yasu ni "Mwokozi wa wanadamu na dhambi zao" Na ufalme atakaouleta ni Kwa ajili ya watu aliokwisha kuwaokoa. Na mi kwa ninavyojua Yesu hatumiwi na watu kuweka ufalme kama yatumikavyo majini, Yeye ndiye anayewatumia watu kufanya mapenzi yake.
@@nabiiilyaaseliya2551sisi tunabaki rohoni kwasababu alituachia Roho Mtakatifu anayetufundisha katika ulimwengu wa roho na pia mtakwendaje kumtumia ambaye hamumwamini kuwa ni Bwana na Mwokozi?
Stop the stupidity.Jesus was a prophet who worshipped God Eloi or Allah .Wewe vaa msalaba mkubwa wacha kuwahadaa watu na mavazi ya ki İslam.Weyw mkristo.
Kwamara yakwanza nimekuelewa shehe Mungu akubarki
Siku nyingi mwalimu huonekani, Leo nafuraï Sana kukuona mwalimu wangu.
❤Nimejikuta pumzi imebana kisha nikaachia maana somo ni zito kupita maelezo naomba watu waisikilize
mwalimu nabarikiwa Sana kuona umerudi hewani😊
Nakuelewa Nabii
Karibu Kwa yesu, wew unaelekea kuijua njia iliyo sahihi
Thanks ,ubarikiwe
Mungu akubali
Karibu sana umepotea kwa muda
Kweli kabsa.
We, ni mwongo sana,, unajiita nabii eliya! Wakati, nabii eliya ndie yohana m'batizaji zama za YESU.
Eliya ni yohana 😮😮😮😮😮, ndo hujuwi kabisaaaaaaa
Da kwel kabisa mom mad fun njfkliaga San sjawai sikia shekhe kkmta mchawi
Salm nyngi toka kahama
Kweli kabisa mtumishi
Ukweli mtupu mtumishi
❤️❤️❤️
Yani unaongeaga ukweli mtupu
Ukweli mtupu
Nasoma commenting
Wewe kumbe ni mpumbavu hivi wakati mwingine
Kwanini unaongea ukweli, uogopi
Mtumishi unaelimisha watu kweri
Stress ni mbaya sana
Kata vichwa wakristo na wayahudi
Nguruwe inadanganya watu
Chiz we
Mbona ulikua kmy nabii
Wewe sio MUISLAMU,Mzee! Acha kuwachanganya watu. Huna msimamo kwenye Dini yoyote wewe! Ukisikia UPAGANI,ndio huwa wako sasa. Ati wajiita NABII! Dah...! Hebu tuliza ball,mzee! 😡
Nikwel maana majin n malaika walioasi😅😅😅
Majini sio malaika
Majini ni malaika walioasi maana Mungu hajawahi kuumba majini @@yusuphhassan9619
Majini siyo malaika kaka hao ni mapepo wamezariana na wanadamu kupitia malaika walio anguka mbinguni
@@user-ch8zc3bg9bmbona unajiganyaga mwenyewe kwenye iyo coment yako, unaizunguka sana yaani unasema hivi:_unasema majini sio malaika harafu hapo apo unasema hivi:_Ni mapepo wamezaliana na wanadamu kupitia malaika walioanguka duniani!! Sasa hauoni hao malaika walio anguka kutoka mbinguni ndio walio Muhasi mungu na kutupwa Duniani na kuitwa mapepo ndio hao wanaitwa majini sasa
Na majini ni mandugu Zenu,72:14 Quran
Ni kweli kabisa majini ni ndugu wa waislam kama ambavyo mapepo machafu waliokwenda mbele za Yesu na kumuita mwana wa Mungu ni ndugu wa wakristo. Hapo waonaje😂
Mandugu ndiyo nini....?
Mtumishi leo una hasira sana, umefika hatua umekengeuka Maana unaongelea vitu vitatu ila hujapata ufunuo navyo vitu hivyo. Sawa Ngoja watu wauwane ila sisi ni wale Vita vyetu si katika mwili na nyama bali katka falme na mamlaka juu ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho
@patrickmsangi5864 sisi waislam tunaenda kumtumia YESU kuondoa dhambi sasa nyie wakristo kaeni rohoni mumsubiri aje kuwachukua
@@nabiiilyaaseliya2551 Kivipi!? Mtumishi, Mbona unaongea kitu kisichokuwa kitu!! Je Mungu ni waamani au wakupigana? Amri ya Mungu ni Upendo nao upendo huzaa amani Nikweli kuna vita ya dhambi ila kumbuka dhambi nayo ni roho maana ni Shetani. Hapo vipi mtumishi!? Naomba number zako tuwasiliane
@@nabiiilyaaseliya2551mtumishi waislamu hawamkubalii YESU kwamba alikufa na kufufuka inakaaje hapo
@@nabiiilyaaseliya2551YESU KRISTO alisema aaminie na kubatizwa ataokoka na asiye amini amekwisha kuhukumiwa je nyie waislam mtakimbiliaje kwa Yesu wakati hamjamwamini? Na Tena hamuamini YESU kama alisulumbiwa? Labda yupo mwingine sio YESU KRISTO WA NAZARETH
@@nabiiilyaaseliya2551YESU KRISTO alisema ombeni lolote kwa jina langu je uko tayari kuugeuza msaaf? Mbona hueleweki? Msipogeuka na kuomba kwa lake YESU KRISTO hata ufie masjid utakwenda jehanam kweupeeee
LINABI FEKI WEWE KAFIRI KWENYE UISLAM HAUPO KWENYE UKILISTO HAUPO KAZI YAKO KUBWAKA KAMA MBWA KOKO
Kafiri kafiri tu hageuki
Kama wewe nijini tena lililoshindikana mwanga mkubwa kusoma kurani hujui halafu unajiita nabii fala we
Kama waislamu wameamlishwa kupigana mbona kwenye mafundisho yako huko nyuma uliwahi sema alshabaab wanakose kama nimekosea nisahihishe
Njia wanazo tumia sio… elewa darasa linamuhusu Issa bin Mariam kumjua? swali; Alshababu wana mjua Issa au Yesu ni nani ndani ya Qur’an hii ndio mada ya msingi kuielewa?
Alshabab hawapigani kwa ajiri ya uisilamu hayo makundi ynaanzishwa kwa maslahi ya wamaghalibi
Kazi ya injili ya Kristo sio kuuondoa/kuukomesha uovu na dhambi duniani bali ni kuwaondoa au kuwaita watu kutoka kwenye uovu na dhambi.
HAKUNA ANAYEWEZA KUONDOA UOVU DUNIANI. NDIO MAANA YESU ATASHUSHA MBINGU MPYA NA NCHI MPYA.
@@willdomy1078 hiyo ni kwa mujibu WA ukristo wenu. Sisi waislam tunaenda kumtumia KRISTO kupambana katika ULIMWENGU WA ROHO kurudisha UTAWALA WA Mungu hapa DUNIANI nyie bakini rohoni
@@nabiiilyaaseliya2551 Mimi nafikiri maana ya jina "Isa" linasadifu kazi yake. Maana ya Masih Isa au Yasu ni "Mwokozi wa wanadamu na dhambi zao"
Na ufalme atakaouleta ni Kwa ajili ya watu aliokwisha kuwaokoa.
Na mi kwa ninavyojua Yesu hatumiwi na watu kuweka ufalme kama yatumikavyo majini, Yeye ndiye anayewatumia watu kufanya mapenzi yake.
Dhambi haishindwi kwa upanga acha Bali Kwa nguvu ya neno la injili
Nabiilya kuwa istiQamaa katika dini sometime unakua mkristo mara muislam tunamsubiri ISSA aturudishie khilafa @@nabiiilyaaseliya2551
@@nabiiilyaaseliya2551sisi tunabaki rohoni kwasababu alituachia Roho Mtakatifu anayetufundisha katika ulimwengu wa roho na pia mtakwendaje kumtumia ambaye hamumwamini kuwa ni Bwana na Mwokozi?
Wewe unamatatizo makubwa Rudi darasani hiyo shahada tatu imethibiti wapi kama wewe sio kafiri.
Stop the stupidity.Jesus was a prophet who worshipped God Eloi or Allah .Wewe vaa msalaba mkubwa wacha kuwahadaa watu na mavazi ya ki İslam.Weyw mkristo.
Wewe ni shaitan
Mjinga mkubwa wewe