Pamoja na yote police wa marekani huwa wanafanya kazi vizuri sana, yani lazima wamkamate mhusika hata kama itachukua muda gani!? Sema marekani imelaanika vitoto vya miaka 18 vinaua kama hivyo.
Nilichojifunza kwenye vifo vya kuvamiwa na kupigwa risasi hapa,Star yoyote atakiwi kuonesha location ya sehemu walipo maana makundi au magenge ya kijmbazi uwa yako on mda wotee,ukionesha location umekwisha
Waimbaji bongo fleva a.k.a. Kipofu kaons jogoo (hivyo hadi farasi ni mdogo kuliko jogoo)mpoo? Nyie ndo mwaiga hadi kukataa wazazi wenu! Lisa EMINEM kafanya! Na wadada kutembea “madishi” nje eti kuiga wanna Hollywood! Hadi wanaume kuvaa kishoga!
Nimejifunza..ambiwa tafuta pesa ila usipige nazo pisha.. hya ndo majibu ssa
Blame it on gun laws,poverty and ego etc...these boys never learn..so sad!
Pamoja na yote police wa marekani huwa wanafanya kazi vizuri sana, yani lazima wamkamate mhusika hata kama itachukua muda gani!? Sema marekani imelaanika vitoto vya miaka 18 vinaua kama hivyo.
Wa Kwanza kaka shedi please show some love sasa twende kazi ☺️
0
Nilichojifunza kwenye vifo vya kuvamiwa na kupigwa risasi hapa,Star yoyote atakiwi kuonesha location ya sehemu walipo maana makundi au magenge ya kijmbazi uwa yako on mda wotee,ukionesha location umekwisha
Shed We Mnyama Sana Nakubali Baba♥️ Nasubiri Takeoff
Marekani sio inchi salama kweli
Nimejifunza kitu kupitia tukio hili
nashukuru bro nime jifundisha na nimefuta post zanguzote hakinime batwana uwoga
Nakupongeza kwa kufatilia brother
Wakati ww unafanya mzaha na sifa wenzako wanachukua point za kukumaliza watu wapo kazini na ww bila kujua kosea wapatie wao
Sasha twende KAZI💪💯✔️
Together my Big brother 🤝
Sauti kaka sauti😢😍😍
😄😄 mtafutane
Asanteni sana Bongo fasta
Kazi safi
Wasanii wetu ndio mjifunze Kwa wenzenu,Kila mnachokifanya mnakiweka mtandaoni
Dar R.I.P Pop smoke
Wasanii wetu wa bongo wajifunze kitu hapo
Pop Smoke-Dior
Twende kazi
Umetisha kaka from Zanzibar
Kizazi mzee
Majigambo sio Mazuri
Uislam.umekataza.k8utangaza.neema.zinaHasadiwa.ndyi.matok8eohayo
God 🙏
inasikitisha broh tuletee iyo story ya takeoff
daaaah 😭😭
Duh jaman
Sio poa aisee
Kaka lete story kuhusu story za magenge ya kuharifu ya marekani kaka
Detective
Pop smoke
Kuna vingi vya kujifunz has kuhus mitandao
Walifungwa Moana mingapi..ndio stori
👊🏾👊🏾👊🏾👊🏾👊🏾👊🏾👊🏾👊🏾👊🏾👊🏾
Kaka unahakili sana
Wazungu wametuharibia ndugu zetu.
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️🙏
Hatar. Tupunguze ushamba namajigambo
SASA TWENDE KAZIIII
Tuley ya take off
Nimejifunza kitu
sasa kwanini tusiendelee na take off kuliko kuchukua muda mrefu kumzungumzia pop smoke
Kuna Kitu cha kujifunza hapa
Bongo Amani Sana hatuuani
kaka twende kaz tupe madini
Panya load walio soma....Bongo wakalale
Illuminati tu hakuna lolote
This is why 2pac is not coming back soon
Bado ya xxxatation
R.I.P Takeoff imeniuma sanaaa sababu yeye ndio my favorite 🎶❤️🎶
Jamaa akiungana na offset na na mwenzao QAVO wana jua sana syo kidogo
@@mnyilingatv kwel lakon pengo lake ngum kufichika
@@gallodecor2773 ndo ivo mwamba kasha tuacha
R.i.p pop smoke
Dooh kudadenya
Waimbaji bongo fleva a.k.a. Kipofu kaons jogoo (hivyo hadi farasi ni mdogo kuliko jogoo)mpoo?
Nyie ndo mwaiga hadi kukataa wazazi wenu! Lisa EMINEM kafanya! Na wadada kutembea “madishi” nje eti kuiga wanna Hollywood! Hadi wanaume kuvaa kishoga!