Wote ulinyo wataja kasoru huyu wa mwasho ndo sijawahi mjua ila niliwafaha jisi walivo na tabia km za wa Africa naniliisi kabisa hao nidugu zetu ila nahukuru wkutufamisha now siisi teea bali niwaketu❤🤗wa African tunavitabia vyetu tafauti nawengene kaza wachshi saan masiara kam yote ikikutana na pisi ataitongozoje😊 kwahiyo vitu ivi vipo African 2 kaka love 💕 African naimisi pia saaan
Kwanza wa TZ sisi tunajulikana dunia nzima ni watu wa amani, serikali yetu inatujua ni wananchi wenye adabu na wasikivu hivyo hatuna chuki tumefundishwa upendo sasa wakenya mnatuchokoza alaf mnataka tukae kimya
Mzungu ni mtu mwenye white skin, lakini kuna bright au brown skin people, yani Hawa kutoka Asia, na Mabara ya America wazungu ni Kutoka Bara Ulaya, Australia na nchini Urusi
Wazungu ni wale watu waliyoingia africa nakufanya maovu maana ya mzungu ni Mungu kwani watu weusi wenyewe wakati huo waliwaita hivyo kwasababu ya kuwawa kwa bunduki kitu icho kiliwashangaza basi hapo wakawafanisha na Mungu au Mulungu au jina linguine Nnungu yani Mungu, Basi jina la mzungu kwa sasa uitwa watu weupe na haijalishi mzungu huyo wakutoka upande gani ata hao machotara wakitwa Wazungu ni sawa ata mtu mwafrika aliyekulia na kuzaliwa katika jamii hiyo basi ni mzungu tu kama jina lakuitwa kwani kwanza kiasili jina ilo waliopewa ni wageni, mwisho nyakati hizi si kila mtu mwenye ngozi nyeusi au brown skin ni mwafrika,
Naomba video asili ya wazungu walitoka wapi maana kwenye biblia wameeleza lakini sijaona mtu mweupe nimeona mtu mweusi soma ayubu 30:30 na suleimani amesema yeye ni mweusi, wimbo ulio bora 1:5 na kama daudi wote na suleimani ukoo mmoja na Yesu amezaliwa kupitia hao watu weusi kwanini movie za wazungu wanaigiza Yesu mweupe, nahitaji majibu ulete video
Mzungu ni mtu mwenye white skin, lakini kuna bright au brown skin people, yani Hawa kutoka Asia, na Mabara ya America wazungu ni Kutoka Bara Ulaya, Australia na nchini Urusi
Mzungu ni mtu mwenye white skin, lakini kuna bright au brown skin people, yani Hawa kutoka Asia, na Mabara ya America wazungu ni Kutoka Bara Ulaya, Australia na nchini Urusi
ao wote ni wazungu na ata wangerikua ni weus kama mkaa bado ni wazungu tu kwa maana wamezaliwa nje ya africa na kukulia uko uko na wana utambulixho wa nchi za uzunguni.
xaxa uta waitaje waindi wakat wamezaliwa tanzania na wamekulia umo na wanavitambulixho vya taifa. ni watanzania wenye asili ya india. kwan waindi na waalabu ni wangap umu bongo
Kuna makundi matatu ya binadamu wa Leo,negroid(hapo wapo watu wote weusi,kuanzia wanaoishi Africa,wahindi weusi,nakwingneko),kundi la pili ni mongoloids(hapa nikundi la wachina,wamongoli,japani,na wote wa mashariki ya mbli),na kundi la tatu,ni Caucasoid(hapa ni wazungu,waarabu,wahindi weupe na wekundi,pamoja na watu kutoka Africa ya kaskazini),,naamini kidogo nimekupa mwanga☺️☺️☺️
The rock sio mtu kutoka afrika acha kudanganya , kuna mtu anaweza kuja hapa na kupinga na kuanza matusi ila nawapa challenge ebu ingia google andika TONGA hicho ni kisiwa kilichopo kwenye bara la oceania-pacific huko ndo origin yake ila sio african kabisa , ebu fuatilia mbele ya kubisha . Nimegunduwa watu wanadanganywa sana
Wote ulinyo wataja kasoru huyu wa mwasho ndo sijawahi mjua ila niliwafaha jisi walivo na tabia km za wa Africa naniliisi kabisa hao nidugu zetu ila nahukuru wkutufamisha now siisi teea bali niwaketu❤🤗wa African tunavitabia vyetu tafauti nawengene kaza wachshi saan masiara kam yote ikikutana na pisi ataitongozoje😊 kwahiyo vitu ivi vipo African 2 kaka love 💕 African naimisi pia saaan
Woote ulio wataja nilijua wazungu kumbe wenzangu tu broo Upewe mauwa yako🎉🎉
Hapana nakaataa siomwenzako cos
Big up broh
Huna Kazi mbaya... Justin
Anza story Kaka. Sisi wakenya twawa-support hata kama mnatuchukia.
😂😂😂
Ngapi huko
Hivi kati ya Wakenya na WaTZ akina nani wanawachukia wenzao
Kwanza wa TZ sisi tunajulikana dunia nzima ni watu wa amani, serikali yetu inatujua ni wananchi wenye adabu na wasikivu hivyo hatuna chuki tumefundishwa upendo sasa wakenya mnatuchokoza alaf mnataka tukae kimya
Kenyans people mnatutambia na English ya wazungu alaf Bado hamna aman Bado mna tudis Tz kinoma sana kwaio bakini uko na sisi tubaki uku
Mzungu ni mtu mwenye white skin, lakini kuna bright au brown skin people, yani Hawa kutoka Asia, na Mabara ya America wazungu ni Kutoka Bara Ulaya, Australia na nchini Urusi
Hata mm nilijijuaga kuwa ni mzungu. Kumbe ni black kutoka Dom pale
Vp kuhusu wanasoka Neymar, Van dijck, kyle walker,Varane,
Hapa Kwa Logic Ndio Nmejua Leo Mshkaj Nilikuwa Najua Mzungu 😂
Wazungu ni wale watu waliyoingia africa nakufanya maovu maana ya mzungu ni Mungu kwani watu weusi wenyewe wakati huo waliwaita hivyo kwasababu ya kuwawa kwa bunduki kitu icho kiliwashangaza basi hapo wakawafanisha na Mungu au Mulungu au jina linguine Nnungu yani Mungu,
Basi jina la mzungu kwa sasa uitwa watu weupe na haijalishi mzungu huyo wakutoka upande gani ata hao machotara wakitwa Wazungu ni sawa ata mtu mwafrika aliyekulia na kuzaliwa katika jamii hiyo basi ni mzungu tu kama jina lakuitwa kwani kwanza kiasili jina ilo waliopewa ni wageni, mwisho nyakati hizi si kila mtu mwenye ngozi nyeusi au brown skin ni mwafrika,
Acha uongo ww
kaka hii hujaelezea vizuri,uasema ni mtu mweusi,tupe asili yake kama ulivyomuelezea dada wa superman
Unataka upate wa Tanzania , awe family 😂
Mimi mwenyewe ukiniona utadhan sio muafrika😂
Hii inachekesha mtu ni mweupe lakini anajaribu kuu aminisha uma kuwa yeye ni mweusi
Sasa twende kaziyyy
✌️👊👍.
Hakika bro nakubali sana makala zako.
Naomba video asili ya wazungu walitoka wapi maana kwenye biblia wameeleza lakini sijaona mtu mweupe nimeona mtu mweusi soma ayubu 30:30 na suleimani amesema yeye ni mweusi, wimbo ulio bora 1:5 na kama daudi wote na suleimani ukoo mmoja na Yesu amezaliwa kupitia hao watu weusi kwanini movie za wazungu wanaigiza Yesu mweupe, nahitaji majibu ulete video
Wewe kiboko🎉
Kweli
Tunaomba kujua kuhusu Andrew tate habar zake na kaka ake wamefikia wapi
Watu weusi dio ni original.
Justine naomba utuzungumzie mshiriki wa filamu za zamani Clint Eastwood na Van cleen
Hata kutofautisha rangi ya asili haujui 😂😂
🎉it's just a matter of skin but ni watu Kama wengine
Mo nilijua ni muhindi Kumbe ni mnyatulu
Tuko wengine alafu ndugu zangu bonyeza kapicha pembeni tujuane zaidi
Thanks bro
Good job
Vanedizle sikujua kama ni mtu mweusi
Good job🎉
Bro hapo kwa the rock kila mtu anamuona kbs ni mweusi wa kiafrica
Vipi nitapata film hii ya The Rock?
Chrisbrown
Wazungu wanatuchukia hata Richardson yule mkimbiaji alisema wamekuwa wakimtuzi juu ye ni black woman
Bruno Mars pia
Vip kuhusu drake
Storiyabts
Kwa nilivyo sikiliza basi hukupaswa kumuongelea Vine Dissel, maana hapana ukweli dhidi ya baba yake
Tangu mda huyu jamaa Huwa haupend uzungu Tena hii fast x ndyo kaonyesha kabisa
Kwa LOgic ht km cna prov ila huyo na muongo
Sasa kaka unataka chotara wawe weusi kama wewe, maana wote uliotaja hakuna aliyezaliwa baba na mama mweusi
Yani Watanzania hamjawai juwa kuwa hawa watu ni Weusi?
Umemsahau maria carey
Kama vin diesel nilijuwa ni mzungu hata the rock
Asnte hatukuyajua yote ila umezingu ila makala yako ni fupi sana
The rock ni red indian
Kumbe sivyo ninavyo wajua
Mbona wotee wanaonekana kabisa mie maria carey ndio nilishangaaaga kama n black ja wengn unanua kabisa ukiangalia nywele
Mim mwenyewe nilijijua ni mzungu mim kumbe mim ni mwafrica aloo😂
UTAZANIAJE MZUNGU WAKATI MNAMWONA KABISA NI MWAFRIKA. LABDA WEWR NDO ULIKUWA HUJWAJUI.
Hao uliowataja si watu weusi , hayo ni maneno ya wivu katika kundi fulani la hao uwasemao wazungu
Umemsahau michael scofield
The weeknd ,drake,Tyga,chriss brown
❤❤❤❤❤
Mariah carey
nilizani wote wazungu
Nampenda Obama sana😂
Drake
And wat roman reigns
😂
Ningependa kujus mzungu ni mtu gani
Mzungu ni mtu mwenye kizunguzungu
@@MohamedIbrahim-bn1gz 😂😂😂
Mtu mweupe ni mzungu
Mzungu ni mtu mwenye white skin, lakini kuna bright au brown skin people, yani Hawa kutoka Asia, na Mabara ya America wazungu ni Kutoka Bara Ulaya, Australia na nchini Urusi
Mzungu ni mtu mwenye white skin, lakini kuna bright au brown skin people, yani Hawa kutoka Asia, na Mabara ya America wazungu ni Kutoka Bara Ulaya, Australia na nchini Urusi
❤❤❤❤
ao wote ni wazungu na ata wangerikua ni weus kama mkaa bado ni wazungu tu kwa maana wamezaliwa nje ya africa na kukulia uko uko na wana utambulixho wa nchi za uzunguni.
Kwaiyo muhind akija bongo akizaa ywatt wake ni waafrica
xaxa uta waitaje waindi wakat wamezaliwa tanzania na wamekulia umo na wanavitambulixho vya taifa. ni watanzania wenye asili ya india. kwan waindi na waalabu ni wangap umu bongo
@@danteanton8411bro ameongelea race zao hakuongelea utaifa bro☹️☹️☹️
Apo ndounanichekeshaga wakufokafoka
Beyonce je?
Ni chotara (black mixer mzungu)
SASA TWENDE KAZIIIIII
Domi
Chris brown
Vis deesel
Vp Beyonce
Beyonce pia
Criss brown
Kaka Mimi naomba utujuze je warabu NI wazungu au NI wahindi au watu gani tafadhali nifanyie video nijue
Ushasema waarabu halafu unauliza ni wazungu au wahindi???😂
Kuna makundi matatu ya binadamu wa Leo,negroid(hapo wapo watu wote weusi,kuanzia wanaoishi Africa,wahindi weusi,nakwingneko),kundi la pili ni mongoloids(hapa nikundi la wachina,wamongoli,japani,na wote wa mashariki ya mbli),na kundi la tatu,ni Caucasoid(hapa ni wazungu,waarabu,wahindi weupe na wekundi,pamoja na watu kutoka Africa ya kaskazini),,naamini kidogo nimekupa mwanga☺️☺️☺️
The rock sio mtu kutoka afrika acha kudanganya , kuna mtu anaweza kuja hapa na kupinga na kuanza matusi ila nawapa challenge ebu ingia google andika TONGA hicho ni kisiwa kilichopo kwenye bara la oceania-pacific huko ndo origin yake ila sio african kabisa , ebu fuatilia mbele ya kubisha . Nimegunduwa watu wanadanganywa sana
Drake
Baba ake black na Mama ake mzungu (chotara)
Hata mm nilijijuaga kuwa ni mzungu. Kumbe ni black kutoka Dom pale