Mimi sina mengi langu ni dua tu naomba Mungu awafariji family yake kwani kupoteza mzazi ni huzuni sana ila kwa mapenzi ya Mungu basi awape moyo wa uvumilivu katika Kristo Yesu
Mengi kafa kimwili, mambo mengi yaliyobaki pamoja na mali, vitatesa sana nafsi zetu. Hasa ss tulionufaika na maendeleo yake. Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe Amen.
Kuna mpenda umbea mmoja sijamsikia yule dada wa ddizimo on line sijamwona yeye kwenye mambo mengine ya umbea Aaaaah ila kwenye swala hili kiukweli sijamwona hata akioji mtu wala kwenye msiba sijamwona Uwo ndo tunaita unafkiiiiiiiii
Pamoja na umasikini wako pia utakufa tu tena unaweza jikuta motoni na umasikini wako so acha kujifariji. Kama kaburi ni nyumba ya kifahari nenda kaanze kukaa.
Mimi sina mengi langu ni dua tu naomba Mungu awafariji family yake kwani kupoteza mzazi ni huzuni sana ila kwa mapenzi ya Mungu basi awape moyo wa uvumilivu katika Kristo Yesu
Duh joyce kiria njoo na huku machanee uone nyumba hii huku nahisi utasema uko nje ya Tz
Mengi kafa kimwili, mambo mengi yaliyobaki pamoja na mali, vitatesa sana nafsi zetu. Hasa ss tulionufaika na maendeleo yake. Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe Amen.
Mengi n tajir wa Tz, hakua na mambo ya kujionesha..kwa tunaomfaham maisha yake wala hatushangai. Apumzike kwa amani
Hapo ndo ujue watu hawapend sifa nyumba ya kijjn alikini n Kama ulaya
Rip mengi. Here in Dubai
Wangekuta banda la mbao au la udongo, ungesikia ooh! mara hivi mara vile, ni bora kaachia wanawe sehemu nzr ya kumlilia wanapommiss!
Haitafaa mali wala tulicho kichuma duniani ila ni matendo mema ndo yatayo tusaidia mbele za haki. R.I.P Reginald mengi
Mi nilijua ulaya khaa hatar fire kama hotel
Dah na kweli la kifahar ingekuwa kina kajamba nani wapenda sifa wangeshapost sku mingi kutuonyesha
uyu ni bilioneaa
*r.i.p dr mengi hakika huku tuna zidi kusikia na kuona mengi*
Nashangaa wengi wao wamekazana kujenga mjini ukifika kijijini nyumba wanayoishi wazazi wake inavuja kila kona badilika sasa chukua hatua
Dah! Ni shida
ngai heee enyewe ni rich
Daah udongo Unameza
ivi amjawai kuona majumba, ninyumba ya kawaida tu mbona iyo istoshe kwa mtu kama mengi ingetakiwa awe na kijiji,
3
Kuna mpenda umbea mmoja sijamsikia yule dada wa ddizimo on line sijamwona yeye kwenye mambo mengine ya umbea Aaaaah ila kwenye swala hili kiukweli sijamwona hata akioji mtu wala kwenye msiba sijamwona Uwo ndo tunaita unafkiiiiiiiii
Wa1 to view
2
Ikumbukwe kuwa aliwahi kutajwa kuwa tajiri wa kwanza Tz ko anastahili
Nyumba ya kifahali ni kabuli tu ndg zangu
Kaburi ni kaburi na nyumba ni nyumba!!!!
Umasikini unakusumbua ww
sasa c bora iwe ya kifahari na ni kaburi kuliko yakimasikini ya matope na mende
Pamoja na umasikini wako pia utakufa tu tena unaweza jikuta motoni na umasikini wako so acha kujifariji.
Kama kaburi ni nyumba ya kifahari nenda kaanze kukaa.
Wewe Kaa na Umasikini wako.
3