Miriam hamed anatuzungu tu muwaji yani ukiona mtu amefanikiwa amefany mambo meng san haiza mabya au mzur usitaman chamtu huyu c ndo alimnunua mtot milioni5 afu wakamkat kisingino mmmmh
Yeah,,,kuwa mvumilivu,kujituma,hekima , nidhamu pamoja na maarifa ndo misingi halisi ya kufanikiwa , hakuna sababu ya kukata tamaa kwani hujui mungu amekupangia kitu gan chakukufanya ufanikiwe🙏🙏🙏
jaman nina shida namillad ayo ninashida anisaidie kwamwenye namba anisaidiekikubwa nihabari kutoka katika shule zamsingi nasec singida nikilenga moja yashule hizo kibaon primary nakindai secondary wanawatuma watoto pesa uchumi hauruhusu nakero yangu kubwa niwatoto kuwa shule kutoka 12 asubuh paka 12 jion nimuda gani watajisomea hawapewi break yakwenda nyumban kula changamoto kubwa nipesa familia nyingi maskin jina langu mwanaisha juma mande +968 71154190 napatikana WhatsApp naimo
nimempenda huyu kaka watt watatu kasomesha shule ya kulipia na anapiga debe unakuta mwengine mtt mmoja anashindwa kumsomesha mtt akapata elimu bora pia ongera sana kwa wazo la kujenga shule na kutokata tamaa
hata haya haoni kamnunua mtoto kwa milion 5 ili mganga amtengenezee awe tajir mwenyez mungu anakuona wew hebu katubu kwanza kwanin kila kitu mpaka muue jaman
Nimependa sana mikato yake ya maneno mfano SINA MTO!!!, SINA MTOTO, NILINUNUA GA!!!!!!, NILINUNUA GALI, WATOTO WANGU WAKO ILA!!!!, ILASI, MUDA ULIKUWA HAUJAFIKA YAAANI WAKA, WAKATI!!!.
Ilikuwa imefifi.... imefifia, mazingira sio mazu... sio mazuri. Lakini ya Mungu ni me..... ya Mungu ni Mengi. Nikaamua kuje... kujenga. Nikaona kama vile haito... haitoshi. Jamaa mmoja akaniuzi.... akaniuzia. 😂😂😂😂
Yaani we ulietengeneza video huna akili, zaidi ya dakika 6 inaonesha irrelevant things sasa ulishindwa nini kuonesha hicho kipande cha stand kwa seconds 30? Unaonesha sehemu ya kipumbavu kwa muda mrefu unaacha kuonesha vitu vya maana, hujui hata kuedit video pumbavu
Dah yaaaani nachekaaaa mpaka machozii... Kabla sijaoa mdogo waaaa... Nikapambanaaaa we nikapaaaaa... Yqmungu ni meeeee.... Nikaaminii kama naweza kujeeeee... Niliomba kwa mama mmoja akaniuziiiiii..... Zashidaaaa saaaaaaa..... Dah... Gonga like
Safi sana kumbe hata mimi ninaweza kujenga shule. Nilikuwa na mawazo hayo lakini nilikuwa nimekata tamaa kidogo sasa nimepata nguvu mpya namwomba Mungu anisaidie nijenge sio shule ya sekondari tu bali kuanzia shule ya chekechea hadi chuo kikuu.
Usiukumu usije ukahukumiwa ndugu ajuaye ukweli ni Mungu pekee funga tu mdomo chini ya jua kuna mengi usiyo yajua mpenda pia ukweli na uongo avijawahi kukaa pamoja kaa angalia serikali inachunguza na ukweli utaupata tu kwa serikali hii khaki hipo tu hakuna kitakschopinda ndugu usuda sio nzuri
Mmmmmhu nawewe mtangazaji ni boya kweli sasa unatuonyesha stendi kwa muda mrefu unafikiri sie tunasafiri ama? We tuletee taarifa .Kiukweli mimi nikimuona mtu amefanikiwa hapi na mimi inanitia hamasa ya kupambana zaidi ni kwanini mwenzangu afanikiwe mimi nishindwe? Kikubwa usikate tamaa , kikubwa ni kupambana hadi kieleweke ipo ck namimi nitakuwa tajiri maadamu nina mikono yangu na miguu yangu.Hongera kaka kwa juhudi zako .
Huyu anafanana sana na jamaa mmoja wa Rombo huku Tarakea naye ana shule mbili now anaitwa Kipochi... Historia ya maisha bhana ni ngumu jamaa zangu, kukata tamaa ni dhambi mbaya kabisa Mungu Mwenyezi mwenyewe ashasema.. Tupambane mwanzo mwisho..
Fanyeni kazi vijana acheni kudanganywa na wanasiasa eti watawapa kazi, watawapa pesa kama hufanyi kazi hujitumi hakuna mtu atakaye kuletea pesa mfukoni
Kumbe ulimuua mwanao tayari ushabambwa ndugu hata mafile unajichanganya mwenyewe upatikanaji wako wa hela huelezei vizurii nenda katumikie tu kifungo cha maisha fyuuuuuu
@millardayo huyu jamaa n insperation najua watu wanamuongelea vbaya kuhusu scandle alopa ila wengi hawajui ukweli uliopo nyuma ya issue ya jamaa ipo cku watajua alaf mtajua hii dunia kuna watu hawapo kam mnavowasikia wanaomjua wanajua naongea nn watu achen kumjugde coz hamfaham ila kwa wenye ndoto kubwa mfuatilieni jamaa hamtokata tamaa🙏
Ujambazi tu,anaficha. Ndio maana hivi karibuni amekamatwa kwa tuhuma za mauaji ya mtoto wa umri wa miaka 6 sababu za kishirikina kutaka shule yake ifanye vizuri na kupata wanafunzi wengi, inasikitisha sana.
Yaan nilijua ulifanikiwa kwa nguvu na juhudi zako ukimtegemea mungu, kumbe sivyo na mungu amekuumbua baba usie na uchungu yaan umemuuwa mtoto wako wa kumzaa kisa utajiri dunia hii tunaenda wapi jmn mungu atusaidie yaan kmwe ndo maana siamini utajir wa mtu
Ukiona mbongo anafanya kazi za ajabu halafu ana Hela zakutosha tu kama huyu jamaa ujue ni hela za msukule .maisha gani haya badala ya kumtanguliza mungu unafuata nyayo za shetani
Huyu ndo alinunua mtt akamuua ili aendeleze biashara yake kama unaamini pesa za mbeya ni uchawi tu gonga like tujuane humu
Miriam hamed anatuzungu tu muwaji yani ukiona mtu amefanikiwa amefany mambo meng san haiza mabya au mzur usitaman chamtu huyu c ndo alimnunua mtot milioni5 afu wakamkat kisingino mmmmh
Pendo Pendo ndiyo
Njia ya muongo ni fupi ,Na Mungu hajawahi kumuacha salama mtu mnafiki, Malipo ni hapa hapa duniani Hukum kwa Baba yetu Mbinguni
Mama Hance Atabakia hivyo hivyo watu wanatumia Akili sio michambo
Jackson umeelewa Mama Hence alimaanisha Nini kwa Mmiliki wa shule?
Kama wenimpambanaji gonga like
Huyu kamaa ndio anashikiliwa na polisi kwa kumnunua mtoto kwa sh.mil5 na kumtoa kafara.
Yeah,,,kuwa mvumilivu,kujituma,hekima , nidhamu pamoja na maarifa ndo misingi halisi ya kufanikiwa , hakuna sababu ya kukata tamaa kwani hujui mungu amekupangia kitu gan chakukufanya ufanikiwe🙏🙏🙏
Amen kubwa sanaa kaka yangu
Kabisa
jaman nina shida namillad ayo ninashida anisaidie kwamwenye namba anisaidiekikubwa nihabari kutoka katika shule zamsingi nasec singida nikilenga moja yashule hizo kibaon primary nakindai secondary wanawatuma watoto pesa uchumi hauruhusu nakero yangu kubwa niwatoto kuwa shule kutoka 12 asubuh paka 12 jion nimuda gani watajisomea hawapewi break yakwenda nyumban kula changamoto kubwa nipesa familia nyingi maskin jina langu mwanaisha juma mande +968 71154190 napatikana WhatsApp naimo
Amina
kwa aliemuelewa mzee wa kuungaunga km vile nimemaliiii ...nimemaliza...kuomba nafaaaa nafasi.....gonga like
😂😂
Huku na kule kule nn
Jamaaa anashindwa kuelezea anachanganya mafile aseme tyu ametumia njia mbadala kupata pesa
😀😀😀
Hakuna njia mbadala nampata vizuri
@@felixmsigwa9332 hakun njia mbadal nampat vzur haujmckia
Dah watu mnamachale ulijuaje aisee eti mungu si asuman mungu amemuumbua
@@felixmsigwa9332 mbona ulimtetea usimkanie mtu jamani
nimempenda huyu kaka watt watatu kasomesha shule ya kulipia na anapiga debe unakuta mwengine mtt mmoja anashindwa kumsomesha mtt akapata elimu bora pia ongera sana kwa wazo la kujenga shule na kutokata tamaa
Ufungaji unalipa na kingne kwenye maisha iliuweze kufanikiwa usiwe mtu wa kukata tamaa pambana bila kujali mtaxamo wa watu wanakuchukuliaje
Huhuhu kabla cja o...cjaoa,nilikuwa cjaza.. .cjazaaa lkn ya Mungu ni me ni mengiii huhuu yechuyechuu
Hahahaa😁
Mazingira sio mazu.... sio mazuri.nikaona sio shi... sio shida .watoto watatu wakoa ila... wako ilasi.ya mungu ni me... ni mengi.nikaamini kua naweza kujee... naweza kujenga.haitos.... haitoshi. Sana brooo nimekuelewa
Hii story ni taa ni tamu tunaomba mwende mwendelezo😊😊 hongera sana kaka nimejifunza kitu
hata haya haoni kamnunua mtoto kwa milion 5 ili mganga amtengenezee awe tajir mwenyez mungu anakuona wew hebu katubu kwanza kwanin kila kitu mpaka muue jaman
Mbalizi xixhangai watumia xana hela za midawa
Leo umejulikana muuwaji mkubwa mtoto Rozi hakwachi ngo shetan
Akatubu wakati ananyea debe, acha akapambane na mkono wa sheria
Nimependa sana mikato yake ya maneno mfano SINA MTO!!!, SINA MTOTO, NILINUNUA GA!!!!!!, NILINUNUA GALI, WATOTO WANGU WAKO ILA!!!!, ILASI, MUDA ULIKUWA HAUJAFIKA YAAANI WAKA, WAKATI!!!.
Ilikuwa imefifi.... imefifia, mazingira sio mazu... sio mazuri. Lakini ya Mungu ni me..... ya Mungu ni Mengi. Nikaamua kuje... kujenga. Nikaona kama vile haito... haitoshi. Jamaa mmoja akaniuzi.... akaniuzia. 😂😂😂😂
Henry Kishiwa Akanyakuwa poo!!!,pochi.ikani bidi nirudi kijiwe!! Kijiweni
Duh nzuri nmeipenda
😂😂
Henry Kishiwa haaahaaahaa ndo ukamuone lumande sasa siri zimefichuka
Mshenzi ww sifa za bure kumbe muuaji kwa kweli unastahili kunyongwa si ajabu damu za watu sasa zinakuumbua mafia ww
Huyu mzee baba anatakiwa ajumuike na Clouds kwenye darasa la fursa 2019. Ili awatie moyo watu wengine hata wasiojua kusoma na kuandika.
Moyosafi Hilo darasa la fursa wakati anashikiliwa na polisi kwa mauaji ya mtt. Anakazana kujenga shule wakati watoto wa wenzake anawafanya makafara.
Amekamatwa sasa kwa kumnunua mtoto kwa ml 5 na kumtoa kafara na ushahidi upo polisi ameua mtoto na kumtoa kiganja cha mkono na mguu.
anandagu
@@davidcurtis8556 au ndio ile habari nilisikia ya mtoto wa kike aliuliwa jamani! Hana maana kunne kama muuaji
Kama na ww unamalizia maneno kama namali..... Namaliza, nilikuwa mzito shule.... Shuleni na nikaomba nafa.... Nafasi gonga like
Mwendelezo tafadhali Millard Ayo🙏
Yaani we ulietengeneza video huna akili, zaidi ya dakika 6 inaonesha irrelevant things sasa ulishindwa nini kuonesha hicho kipande cha stand kwa seconds 30? Unaonesha sehemu ya kipumbavu kwa muda mrefu unaacha kuonesha vitu vya maana, hujui hata kuedit video pumbavu
Stand ya mbalizi hiyo mzeya
Wako wengi hao.. wanakimbilia kazi za watu..
Huyu jamaa si ndiyo anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za mauaji ya mtoto kishirikina
Christopher Msekena ndio yeye
Pesa za masharti aziwezi kukuweka smart bwaanah😁
wew fara wew unaanzaje kumfananixha mwenyez mungu na Athuman laana tullah
Hom sweet hom mbaliz mbeyaaaa....
Soon nakujaaaaa...
Pamojaaa millard
Watu wako Baba tunaangamia Kwa kukosa maarifa .tupe uelewa baba tusizidi kuangamia amen
Hongera kaka mwenyezi Mungu azidi kukupa zaidi na zaidi wewe songa mbele hakuna kuangalia nyuma.
Kamanda wa polisi kasema walionana na aliyemuuzia mtoto miaka 20 iliyopita tena walikutana kwa mganga ebu fikiria miaka yote hyo kaua wangapi?!?!
jaman😭😭
Ni wengi jamani ila kagundulika moja za mwizi40 ndoarubaini yake
Hongera kwake Mwenywz Mungu ambarik sana
Mungu sio asumani umekamatwa🤣🤣
Stori nimeiele nimeielewa. Jamaa anawe anawezaaa 😀😀😀😀
😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Hongera ssna Mungu akupe maisha marefu
Dah yaaaani nachekaaaa mpaka machozii...
Kabla sijaoa mdogo waaaa...
Nikapambanaaaa we nikapaaaaa...
Yqmungu ni meeeee....
Nikaaminii kama naweza kujeeeee...
Niliomba kwa mama mmoja akaniuziiiiii.....
Zashidaaaa saaaaaaa.....
Dah...
Gonga like
Hongera Sana mpambanaji mwenzangu
Hongera kaka shujaa mpambanaji vijana tujitume huu ni mfano kwa vijana wenye malengo
Huu ushuhuda unahamasisha watu lkn mmepoteza muda mwanzoni kwa kutuonesha mambo yasiyotujenga. Asante ayo.
Kweli huyu NI mpiga Dee! Debe na amemiliki shuu! Shule na kamuiga chauu chaula Basi saa sawa
Hongera saa Sana
Ni marufuku kukata taa tamaa
Exavery Joseph basii po poa
Ahahahahaaaaaaaa
Alaf acha mi niche nichekee maana story ni nzu ni nzuriiiiii
Watu wa utube mnacheke mnachekesha😁😂😂🤣😃😄😄
Dah aiseeeeeee...nachekaaa tu
Amemuua mwanae kwa kuamini imani za kishirikina tayari amekamatwa na jeshi la police
Charles Emmanuel kaua mtoto wa mtu mwingine. Basi hizo debe itakuwa masharti ya mganga
umenibusuti lazma nitimize doto yangu ya kumiliki hospital kubwa itakayo hudumia wa Tanzania mungu tusaidie wenye malengo yetu kutimiza
Mashalobalo acheni kufolow madem,, pigeni kazi umli unakikomo iposiku unao wategemea wata potea utapa shida sana..,,
Pesa za kichawi na majini ndomana amevaa kma mchunga ngombe utajiri wa ndagu
Thibitisha
Safi sana kumbe hata mimi ninaweza kujenga shule. Nilikuwa na mawazo hayo lakini nilikuwa nimekata tamaa kidogo sasa nimepata nguvu mpya namwomba Mungu anisaidie nijenge sio shule ya sekondari tu bali kuanzia shule ya chekechea hadi chuo kikuu.
Anakesi yama uwaji kwa ushilikina angalia Mbeya yetu utajionea kila kitu kusu uyo mtu mpiga debe awezi miliki shule
Usiukumu usije ukahukumiwa ndugu ajuaye ukweli ni Mungu pekee funga tu mdomo chini ya jua kuna mengi usiyo yajua mpenda pia ukweli na uongo avijawahi kukaa pamoja kaa angalia serikali inachunguza na ukweli utaupata tu kwa serikali hii khaki hipo tu hakuna kitakschopinda ndugu usuda sio nzuri
Huyu ndio aliyemshawishi baba wa mtoto wa miaka 6 ,wakamnyonga na kumkata viungo kwa milioni 5 nakuchukia mwehu wewe shule ilikuwa haikutoshi
Mmmmmhu nawewe mtangazaji ni boya kweli sasa unatuonyesha stendi kwa muda mrefu unafikiri sie tunasafiri ama? We tuletee taarifa .Kiukweli mimi nikimuona mtu amefanikiwa hapi na mimi inanitia hamasa ya kupambana zaidi ni kwanini mwenzangu afanikiwe mimi nishindwe? Kikubwa usikate tamaa , kikubwa ni kupambana hadi kieleweke ipo ck namimi nitakuwa tajiri maadamu nina mikono yangu na miguu yangu.Hongera kaka kwa juhudi zako .
Daaah yaani ukimtazama huwezi kuamini kabisa!!!!kumbe ni muuaji.
Huyu anafanana sana na jamaa mmoja wa Rombo huku Tarakea naye ana shule mbili now anaitwa Kipochi... Historia ya maisha bhana ni ngumu jamaa zangu, kukata tamaa ni dhambi mbaya kabisa Mungu Mwenyezi mwenyewe ashasema.. Tupambane mwanzo mwisho..
Huyu jamaa kumbe ndio amefanya mauaji ya mtoto wa miaka 6 ili apate utajiri
Unyongwe tu
Ioooooooo
Looooooooooo
Uyu. Jamaa alifungwaa kwa kesi ya mauwaji ya mtoto.
nimeanza na nguruwe kama watano Mara mtaji ukakua nikawa na nguruwe sabini niongeza na mbuz kumbe vigaja vya binadamu
Hizo ndo habari za kutuletea kwani hatujutii mb zetu😂
Radhia Salum kweli kabisa yani
Hadi ni imependa hauwezi MB zako
Radhia Salum umesikia kuwa kaua mtoto kwa ajili ya kafara
Mungu anakuona hataaaa ajifukie kwenye shimo...... Tuwe na hofu ya mungu
Ile Hiace nilinunua ya Zamaa...nikaiuza kama vyuma chakaa ..Hatariii sana brooo
Breacky Changwe 😂😀😂😂
Mchawi uyo
Una bahati sana mzee. Uliponea chupuchupu kuvalishwa tairi na kuchomwa moto.
Ntafteni namm niwape story .nmeanzia kuendesha pkpk nasasa naendesha fuso lamcha namm nimdada....0759816077 mje mnioji.....
Khataar
Wakutafte asee
😁
we jitafute mwenyewe
Shakira
Mafanikio ni hatua tusikate tamaa
Daaah mzee anapenda mikato sa, sana huyu
Mashart ya mganga. Ee Mungu ikumbuke Tanzania
Blessing
Napenda mtu anayetumia akili nanguvu zake kujiikomboa kimaisha
Nawapata sana hawa jamaa yupo na mbabe rasta
Akapige debe na.jela. Nako atajenga chuo
Safi sana mpabanaji dah!kwa hiyo mmeamua mfaidi kwanza kumfuatilia bila kujua?
Hongera zake
Mwaka Wa mwisho anamalii..
Nakuona David
Hongera Sana.
safi sana inawezekana ukitia nia tu
Daaaaah Safi sana
Pamoja ngane, big up
Mtoro wa school😂🤣ndio kajenga school kwa uchungu , ndio tunaambiwa usimzarau asokua na elimu kesho unakujakumwita boss.
😁😂😂
Mwanaisha Hemed ameua
Mumepoteza mda mwingi mwanzoni badala mngetumalizia story.
Hongera sana sana kwa kweli ni karamaa izooo
Asante kwa habari z uhakika
Well done bro
vizur sana mjombo kwa kupambana mfano mzr kwa jamii
Fanyeni kazi vijana acheni kudanganywa na wanasiasa eti watawapa kazi, watawapa pesa kama hufanyi kazi hujitumi hakuna mtu atakaye kuletea pesa mfukoni
Nimependa sana historia yake,halafu ni mtu wa kufanya vitu vingi bila kukata tamaa.
Brother unimefu umenifunza
Me mengi sanaaa
Mzeee ana swa.... Ana swagr sanaaaa
jela inamsubiri huyooo ataenda kuwaelezea wafungwa historia yake
Kumbe ulimuua mwanao tayari ushabambwa ndugu hata mafile unajichanganya mwenyewe upatikanaji wako wa hela huelezei vizurii nenda katumikie tu kifungo cha maisha fyuuuuuu
Story hii muendelezo jamanii
Hizi kazi hamjui tu zina ela kichizi kama unajitambua, sema wengu wao ni walevi na akili zao haziwazi mbele
@millardayo huyu jamaa n insperation najua watu wanamuongelea vbaya kuhusu scandle alopa ila wengi hawajui ukweli uliopo nyuma ya issue ya jamaa ipo cku watajua alaf mtajua hii dunia kuna watu hawapo kam mnavowasikia wanaomjua wanajua naongea nn watu achen kumjugde coz hamfaham ila kwa wenye ndoto kubwa mfuatilieni jamaa hamtokata tamaa🙏
Msaidie jamaa kuitikiaa,,😁😁
Hhahahahaha
😂😂😂
🤣🤣🤣
We msenge sana.unauwa wtt wa watu kwa ajil ya utajiri
Msenge huyu anafanikiwa kwa kuuwa watoto ushirikina tu mjinga wewe,mchawie kanyee ndoo huko,hata hufanani tajiri,unauwa watu pumbavu
Ayo tv hawana habari za kizushi nawamini
Kabsaaaaa
Hamna mafanikio hapo uchawi mtupu.
Mwanangu we ninooò naomba millardayo umalizie
😁😂😂😂😂😂 huyo jamaa konk konk konk maxter
Hustles hustles #blackexellence
Ujambazi tu,anaficha.
Ndio maana hivi karibuni amekamatwa kwa tuhuma za mauaji ya mtoto wa umri wa miaka 6 sababu za kishirikina kutaka shule yake ifanye vizuri na kupata wanafunzi wengi, inasikitisha sana.
LeLo 02 I
Atakua mkinga huyu . nifollow instargram fundi chembambaa
Dm,sio mkinga mnyakyusa
Mnyakyusa
Yaan nilijua ulifanikiwa kwa nguvu na juhudi zako ukimtegemea mungu, kumbe sivyo na mungu amekuumbua baba usie na uchungu yaan umemuuwa mtoto wako wa kumzaa kisa utajiri dunia hii tunaenda wapi jmn mungu atusaidie yaan kmwe ndo maana siamini utajir wa mtu
Ukiona mbongo anafanya kazi za ajabu halafu ana Hela zakutosha tu kama huyu jamaa ujue ni hela za msukule .maisha gani haya badala ya kumtanguliza mungu unafuata nyayo za shetani
Mmmmh hela za kishetani izo oooh malipo ni apaapa duniani aendelee ivoivo
Kali sana. Anna watoto wa ngapi?
Mm nachojiuliza huyu jamaa atakua ameua watoto wangapi ili nifundisho tusiige maisha yawengine
Anamaliiii....ana maliza... Nilipaaa nilipata😂😂😂😂😂😂😂😂
Ya mungu ni mee..
Mbeya city stand up...nimefurahi hapo mwazoni kusikia umalila