MPIGA DEBE ANAYEMILIKI SHULE YA SEKONDARI MBEYA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 มี.ค. 2019

ความคิดเห็น • 416

  • @miriam5735
    @miriam5735 5 ปีที่แล้ว +12

    Huyu ndo alinunua mtt akamuua ili aendeleze biashara yake kama unaamini pesa za mbeya ni uchawi tu gonga like tujuane humu

    • @pendopendo3008
      @pendopendo3008 5 ปีที่แล้ว

      Miriam hamed anatuzungu tu muwaji yani ukiona mtu amefanikiwa amefany mambo meng san haiza mabya au mzur usitaman chamtu huyu c ndo alimnunua mtot milioni5 afu wakamkat kisingino mmmmh

    • @miriam5735
      @miriam5735 5 ปีที่แล้ว

      Pendo Pendo ndiyo

  • @mamahance9049
    @mamahance9049 5 ปีที่แล้ว +25

    Njia ya muongo ni fupi ,Na Mungu hajawahi kumuacha salama mtu mnafiki, Malipo ni hapa hapa duniani Hukum kwa Baba yetu Mbinguni

    • @jacksonchimomo554
      @jacksonchimomo554 4 ปีที่แล้ว

      Mama Hance Atabakia hivyo hivyo watu wanatumia Akili sio michambo

    • @eliaminimramba6358
      @eliaminimramba6358 2 ปีที่แล้ว

      Jackson umeelewa Mama Hence alimaanisha Nini kwa Mmiliki wa shule?

  • @musasimba3689
    @musasimba3689 5 ปีที่แล้ว +126

    Kama wenimpambanaji gonga like

  • @saitotisaitoti6734
    @saitotisaitoti6734 5 ปีที่แล้ว +21

    Huyu kamaa ndio anashikiliwa na polisi kwa kumnunua mtoto kwa sh.mil5 na kumtoa kafara.

  • @abubakarijuma971
    @abubakarijuma971 5 ปีที่แล้ว +25

    Yeah,,,kuwa mvumilivu,kujituma,hekima , nidhamu pamoja na maarifa ndo misingi halisi ya kufanikiwa , hakuna sababu ya kukata tamaa kwani hujui mungu amekupangia kitu gan chakukufanya ufanikiwe🙏🙏🙏

    • @beatricekamengekamenge5543
      @beatricekamengekamenge5543 5 ปีที่แล้ว

      Amen kubwa sanaa kaka yangu

    • @fofomohammed6253
      @fofomohammed6253 5 ปีที่แล้ว

      Kabisa

    • @user-ms7wv6cd9g
      @user-ms7wv6cd9g 5 ปีที่แล้ว

      jaman nina shida namillad ayo ninashida anisaidie kwamwenye namba anisaidiekikubwa nihabari kutoka katika shule zamsingi nasec singida nikilenga moja yashule hizo kibaon primary nakindai secondary wanawatuma watoto pesa uchumi hauruhusu nakero yangu kubwa niwatoto kuwa shule kutoka 12 asubuh paka 12 jion nimuda gani watajisomea hawapewi break yakwenda nyumban kula changamoto kubwa nipesa familia nyingi maskin jina langu mwanaisha juma mande +968 71154190 napatikana WhatsApp naimo

    • @honorykwahhay4364
      @honorykwahhay4364 5 ปีที่แล้ว

      Amina

  • @ahmedhajji1210
    @ahmedhajji1210 5 ปีที่แล้ว +26

    kwa aliemuelewa mzee wa kuungaunga km vile nimemaliiii ...nimemaliza...kuomba nafaaaa nafasi.....gonga like

  • @rodgersletema1758
    @rodgersletema1758 5 ปีที่แล้ว +21

    Jamaaa anashindwa kuelezea anachanganya mafile aseme tyu ametumia njia mbadala kupata pesa

    • @julianacharles5720
      @julianacharles5720 5 ปีที่แล้ว

      😀😀😀

    • @felixmsigwa9332
      @felixmsigwa9332 5 ปีที่แล้ว

      Hakuna njia mbadala nampata vizuri

    • @baswiruabdallah965
      @baswiruabdallah965 5 ปีที่แล้ว

      @@felixmsigwa9332 hakun njia mbadal nampat vzur haujmckia

    • @aishahayata6131
      @aishahayata6131 5 ปีที่แล้ว

      Dah watu mnamachale ulijuaje aisee eti mungu si asuman mungu amemuumbua

    • @aishahayata6131
      @aishahayata6131 5 ปีที่แล้ว

      @@felixmsigwa9332 mbona ulimtetea usimkanie mtu jamani

  • @mimaakenirram1405
    @mimaakenirram1405 5 ปีที่แล้ว +6

    nimempenda huyu kaka watt watatu kasomesha shule ya kulipia na anapiga debe unakuta mwengine mtt mmoja anashindwa kumsomesha mtt akapata elimu bora pia ongera sana kwa wazo la kujenga shule na kutokata tamaa

  • @wecnotz4263
    @wecnotz4263 5 ปีที่แล้ว +22

    Ufungaji unalipa na kingne kwenye maisha iliuweze kufanikiwa usiwe mtu wa kukata tamaa pambana bila kujali mtaxamo wa watu wanakuchukuliaje

  • @irenezephania5438
    @irenezephania5438 5 ปีที่แล้ว +10

    Huhuhu kabla cja o...cjaoa,nilikuwa cjaza.. .cjazaaa lkn ya Mungu ni me ni mengiii huhuu yechuyechuu

  • @jamesmwakijale3366
    @jamesmwakijale3366 5 ปีที่แล้ว +6

    Mazingira sio mazu.... sio mazuri.nikaona sio shi... sio shida .watoto watatu wakoa ila... wako ilasi.ya mungu ni me... ni mengi.nikaamini kua naweza kujee... naweza kujenga.haitos.... haitoshi. Sana brooo nimekuelewa

  • @mcisunga3822
    @mcisunga3822 5 ปีที่แล้ว +4

    Hii story ni taa ni tamu tunaomba mwende mwendelezo😊😊 hongera sana kaka nimejifunza kitu

  • @hindumfaume4457
    @hindumfaume4457 5 ปีที่แล้ว +9

    hata haya haoni kamnunua mtoto kwa milion 5 ili mganga amtengenezee awe tajir mwenyez mungu anakuona wew hebu katubu kwanza kwanin kila kitu mpaka muue jaman

    • @zawadymwazy338
      @zawadymwazy338 5 ปีที่แล้ว

      Mbalizi xixhangai watumia xana hela za midawa

    • @catherineshirima3906
      @catherineshirima3906 5 ปีที่แล้ว

      Leo umejulikana muuwaji mkubwa mtoto Rozi hakwachi ngo shetan

    • @barakanyambele4673
      @barakanyambele4673 5 ปีที่แล้ว

      Akatubu wakati ananyea debe, acha akapambane na mkono wa sheria

  • @henrykishiwa6755
    @henrykishiwa6755 5 ปีที่แล้ว +13

    Nimependa sana mikato yake ya maneno mfano SINA MTO!!!, SINA MTOTO, NILINUNUA GA!!!!!!, NILINUNUA GALI, WATOTO WANGU WAKO ILA!!!!, ILASI, MUDA ULIKUWA HAUJAFIKA YAAANI WAKA, WAKATI!!!.

    • @maligisadotto8631
      @maligisadotto8631 5 ปีที่แล้ว

      Ilikuwa imefifi.... imefifia, mazingira sio mazu... sio mazuri. Lakini ya Mungu ni me..... ya Mungu ni Mengi. Nikaamua kuje... kujenga. Nikaona kama vile haito... haitoshi. Jamaa mmoja akaniuzi.... akaniuzia. 😂😂😂😂

    • @majaliwamsigwa1570
      @majaliwamsigwa1570 5 ปีที่แล้ว

      Henry Kishiwa Akanyakuwa poo!!!,pochi.ikani bidi nirudi kijiwe!! Kijiweni

    • @awenanassor3169
      @awenanassor3169 5 ปีที่แล้ว

      Duh nzuri nmeipenda

    • @rehemaradhid5716
      @rehemaradhid5716 5 ปีที่แล้ว

      😂😂

    • @ummyakezuwena654
      @ummyakezuwena654 5 ปีที่แล้ว

      Henry Kishiwa haaahaaahaa ndo ukamuone lumande sasa siri zimefichuka

  • @robertebambo4202
    @robertebambo4202 5 ปีที่แล้ว +6

    Mshenzi ww sifa za bure kumbe muuaji kwa kweli unastahili kunyongwa si ajabu damu za watu sasa zinakuumbua mafia ww

  • @mamahustru
    @mamahustru 5 ปีที่แล้ว +30

    Huyu mzee baba anatakiwa ajumuike na Clouds kwenye darasa la fursa 2019. Ili awatie moyo watu wengine hata wasiojua kusoma na kuandika.

    • @erodiasmallya406
      @erodiasmallya406 5 ปีที่แล้ว +1

      Moyosafi Hilo darasa la fursa wakati anashikiliwa na polisi kwa mauaji ya mtt. Anakazana kujenga shule wakati watoto wa wenzake anawafanya makafara.

    • @davidcurtis8556
      @davidcurtis8556 5 ปีที่แล้ว

      Amekamatwa sasa kwa kumnunua mtoto kwa ml 5 na kumtoa kafara na ushahidi upo polisi ameua mtoto na kumtoa kiganja cha mkono na mguu.

    • @hassanmugire1497
      @hassanmugire1497 5 ปีที่แล้ว

      anandagu

    • @joycekalago532
      @joycekalago532 2 ปีที่แล้ว

      @@davidcurtis8556 au ndio ile habari nilisikia ya mtoto wa kike aliuliwa jamani! Hana maana kunne kama muuaji

  • @lushilemmanuel768
    @lushilemmanuel768 5 ปีที่แล้ว +2

    Kama na ww unamalizia maneno kama namali..... Namaliza, nilikuwa mzito shule.... Shuleni na nikaomba nafa.... Nafasi gonga like

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 5 ปีที่แล้ว +5

    Mwendelezo tafadhali Millard Ayo🙏

  • @HASASON
    @HASASON 5 ปีที่แล้ว +35

    Yaani we ulietengeneza video huna akili, zaidi ya dakika 6 inaonesha irrelevant things sasa ulishindwa nini kuonesha hicho kipande cha stand kwa seconds 30? Unaonesha sehemu ya kipumbavu kwa muda mrefu unaacha kuonesha vitu vya maana, hujui hata kuedit video pumbavu

    • @simsotv2261
      @simsotv2261 5 ปีที่แล้ว

      Stand ya mbalizi hiyo mzeya

    • @kebo2155
      @kebo2155 4 ปีที่แล้ว

      Wako wengi hao.. wanakimbilia kazi za watu..

  • @christophermsekena616
    @christophermsekena616 5 ปีที่แล้ว +9

    Huyu jamaa si ndiyo anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za mauaji ya mtoto kishirikina

  • @christopherrobert1948
    @christopherrobert1948 5 ปีที่แล้ว +5

    Pesa za masharti aziwezi kukuweka smart bwaanah😁

  • @hamdanal-habsy745
    @hamdanal-habsy745 5 ปีที่แล้ว +2

    wew fara wew unaanzaje kumfananixha mwenyez mungu na Athuman laana tullah

  • @castoljmwalyego3778
    @castoljmwalyego3778 5 ปีที่แล้ว +1

    Hom sweet hom mbaliz mbeyaaaa....
    Soon nakujaaaaa...
    Pamojaaa millard

  • @gloriamichael3698
    @gloriamichael3698 5 ปีที่แล้ว

    Watu wako Baba tunaangamia Kwa kukosa maarifa .tupe uelewa baba tusizidi kuangamia amen

  • @margarethsaramaki1100
    @margarethsaramaki1100 5 ปีที่แล้ว

    Hongera kaka mwenyezi Mungu azidi kukupa zaidi na zaidi wewe songa mbele hakuna kuangalia nyuma.

  • @manyaramrema6531
    @manyaramrema6531 5 ปีที่แล้ว +7

    Kamanda wa polisi kasema walionana na aliyemuuzia mtoto miaka 20 iliyopita tena walikutana kwa mganga ebu fikiria miaka yote hyo kaua wangapi?!?!

  • @fatmachambotanzania9379
    @fatmachambotanzania9379 5 ปีที่แล้ว +1

    Hongera kwake Mwenywz Mungu ambarik sana

  • @joycemartine651
    @joycemartine651 5 ปีที่แล้ว +5

    Mungu sio asumani umekamatwa🤣🤣

  • @rehemajumamlinde9418
    @rehemajumamlinde9418 5 ปีที่แล้ว +7

    Stori nimeiele nimeielewa. Jamaa anawe anawezaaa 😀😀😀😀

  • @queenshomba8412
    @queenshomba8412 5 ปีที่แล้ว +1

    Hongera ssna Mungu akupe maisha marefu

  • @castoljmwalyego3778
    @castoljmwalyego3778 5 ปีที่แล้ว

    Dah yaaaani nachekaaaa mpaka machozii...
    Kabla sijaoa mdogo waaaa...
    Nikapambanaaaa we nikapaaaaa...
    Yqmungu ni meeeee....
    Nikaaminii kama naweza kujeeeee...
    Niliomba kwa mama mmoja akaniuziiiiii.....
    Zashidaaaa saaaaaaa.....
    Dah...
    Gonga like

  • @maidafrancis45
    @maidafrancis45 5 ปีที่แล้ว +2

    Hongera Sana mpambanaji mwenzangu

  • @thegirl1405
    @thegirl1405 5 ปีที่แล้ว +16

    Hongera kaka shujaa mpambanaji vijana tujitume huu ni mfano kwa vijana wenye malengo

  • @happymushi8197
    @happymushi8197 5 ปีที่แล้ว

    Huu ushuhuda unahamasisha watu lkn mmepoteza muda mwanzoni kwa kutuonesha mambo yasiyotujenga. Asante ayo.

  • @greatmangii
    @greatmangii 5 ปีที่แล้ว +8

    Kweli huyu NI mpiga Dee! Debe na amemiliki shuu! Shule na kamuiga chauu chaula Basi saa sawa
    Hongera saa Sana
    Ni marufuku kukata taa tamaa

    • @emmanueljohn6765
      @emmanueljohn6765 5 ปีที่แล้ว

      Exavery Joseph basii po poa

    • @majidfrolian4904
      @majidfrolian4904 5 ปีที่แล้ว

      Ahahahahaaaaaaaa

    • @majidfrolian4904
      @majidfrolian4904 5 ปีที่แล้ว +1

      Alaf acha mi niche nichekee maana story ni nzu ni nzuriiiiii

    • @amnemkubwa7353
      @amnemkubwa7353 5 ปีที่แล้ว

      Watu wa utube mnacheke mnachekesha😁😂😂🤣😃😄😄

    • @castoljmwalyego3778
      @castoljmwalyego3778 5 ปีที่แล้ว

      Dah aiseeeeeee...nachekaaa tu

  • @charlesemmanuel9434
    @charlesemmanuel9434 5 ปีที่แล้ว +3

    Amemuua mwanae kwa kuamini imani za kishirikina tayari amekamatwa na jeshi la police

    • @daimavlog
      @daimavlog 5 ปีที่แล้ว

      Charles Emmanuel kaua mtoto wa mtu mwingine. Basi hizo debe itakuwa masharti ya mganga

  • @myambaallan4523
    @myambaallan4523 5 ปีที่แล้ว +1

    umenibusuti lazma nitimize doto yangu ya kumiliki hospital kubwa itakayo hudumia wa Tanzania mungu tusaidie wenye malengo yetu kutimiza

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 5 ปีที่แล้ว

    Mashalobalo acheni kufolow madem,, pigeni kazi umli unakikomo iposiku unao wategemea wata potea utapa shida sana..,,

  • @aishahayata6131
    @aishahayata6131 5 ปีที่แล้ว +5

    Pesa za kichawi na majini ndomana amevaa kma mchunga ngombe utajiri wa ndagu

  • @maligisadotto8631
    @maligisadotto8631 5 ปีที่แล้ว

    Safi sana kumbe hata mimi ninaweza kujenga shule. Nilikuwa na mawazo hayo lakini nilikuwa nimekata tamaa kidogo sasa nimepata nguvu mpya namwomba Mungu anisaidie nijenge sio shule ya sekondari tu bali kuanzia shule ya chekechea hadi chuo kikuu.

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 5 ปีที่แล้ว +4

    Anakesi yama uwaji kwa ushilikina angalia Mbeya yetu utajionea kila kitu kusu uyo mtu mpiga debe awezi miliki shule

    • @sweetngailoubuyu6611
      @sweetngailoubuyu6611 5 ปีที่แล้ว

      Usiukumu usije ukahukumiwa ndugu ajuaye ukweli ni Mungu pekee funga tu mdomo chini ya jua kuna mengi usiyo yajua mpenda pia ukweli na uongo avijawahi kukaa pamoja kaa angalia serikali inachunguza na ukweli utaupata tu kwa serikali hii khaki hipo tu hakuna kitakschopinda ndugu usuda sio nzuri

  • @madamloveness7274
    @madamloveness7274 5 ปีที่แล้ว +4

    Huyu ndio aliyemshawishi baba wa mtoto wa miaka 6 ,wakamnyonga na kumkata viungo kwa milioni 5 nakuchukia mwehu wewe shule ilikuwa haikutoshi

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 5 ปีที่แล้ว +2

    Mmmmmhu nawewe mtangazaji ni boya kweli sasa unatuonyesha stendi kwa muda mrefu unafikiri sie tunasafiri ama? We tuletee taarifa .Kiukweli mimi nikimuona mtu amefanikiwa hapi na mimi inanitia hamasa ya kupambana zaidi ni kwanini mwenzangu afanikiwe mimi nishindwe? Kikubwa usikate tamaa , kikubwa ni kupambana hadi kieleweke ipo ck namimi nitakuwa tajiri maadamu nina mikono yangu na miguu yangu.Hongera kaka kwa juhudi zako .

  • @mohamediyusuph4290
    @mohamediyusuph4290 5 ปีที่แล้ว

    Daaah yaani ukimtazama huwezi kuamini kabisa!!!!kumbe ni muuaji.

  • @richardshirima2373
    @richardshirima2373 5 ปีที่แล้ว

    Huyu anafanana sana na jamaa mmoja wa Rombo huku Tarakea naye ana shule mbili now anaitwa Kipochi... Historia ya maisha bhana ni ngumu jamaa zangu, kukata tamaa ni dhambi mbaya kabisa Mungu Mwenyezi mwenyewe ashasema.. Tupambane mwanzo mwisho..

  • @vivianrichard9096
    @vivianrichard9096 5 ปีที่แล้ว +17

    Huyu jamaa kumbe ndio amefanya mauaji ya mtoto wa miaka 6 ili apate utajiri
    Unyongwe tu

  • @henrybill5509
    @henrybill5509 4 หลายเดือนก่อน

    Uyu. Jamaa alifungwaa kwa kesi ya mauwaji ya mtoto.

  • @babaanisha2104
    @babaanisha2104 5 ปีที่แล้ว +1

    nimeanza na nguruwe kama watano Mara mtaji ukakua nikawa na nguruwe sabini niongeza na mbuz kumbe vigaja vya binadamu

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 5 ปีที่แล้ว +12

    Hizo ndo habari za kutuletea kwani hatujutii mb zetu😂

    • @rarirover44
      @rarirover44 5 ปีที่แล้ว

      Radhia Salum kweli kabisa yani

    • @awenanassor3169
      @awenanassor3169 5 ปีที่แล้ว +1

      Hadi ni imependa hauwezi MB zako

    • @daimavlog
      @daimavlog 5 ปีที่แล้ว

      Radhia Salum umesikia kuwa kaua mtoto kwa ajili ya kafara

  • @mligombuma2287
    @mligombuma2287 5 ปีที่แล้ว

    Mungu anakuona hataaaa ajifukie kwenye shimo...... Tuwe na hofu ya mungu

  • @breackychangwe8781
    @breackychangwe8781 5 ปีที่แล้ว +4

    Ile Hiace nilinunua ya Zamaa...nikaiuza kama vyuma chakaa ..Hatariii sana brooo

    • @thevein2596
      @thevein2596 5 ปีที่แล้ว

      Breacky Changwe 😂😀😂😂

  • @user-uo7us8gg8t
    @user-uo7us8gg8t 5 หลายเดือนก่อน

    Mchawi uyo

  • @oleiei434
    @oleiei434 5 ปีที่แล้ว

    Una bahati sana mzee. Uliponea chupuchupu kuvalishwa tairi na kuchomwa moto.

  • @shakiraduh6355
    @shakiraduh6355 5 ปีที่แล้ว +27

    Ntafteni namm niwape story .nmeanzia kuendesha pkpk nasasa naendesha fuso lamcha namm nimdada....0759816077 mje mnioji.....

  • @manxuleemikui3809
    @manxuleemikui3809 5 ปีที่แล้ว +7

    Mafanikio ni hatua tusikate tamaa

  • @awamyabbas7266
    @awamyabbas7266 5 ปีที่แล้ว +1

    Daaah mzee anapenda mikato sa, sana huyu

  • @daimavlog
    @daimavlog 5 ปีที่แล้ว

    Mashart ya mganga. Ee Mungu ikumbuke Tanzania

  • @brayani6834
    @brayani6834 5 ปีที่แล้ว +2

    Blessing

  • @sakinaomar301
    @sakinaomar301 5 ปีที่แล้ว +17

    Napenda mtu anayetumia akili nanguvu zake kujiikomboa kimaisha

    • @aminimambea1289
      @aminimambea1289 5 ปีที่แล้ว

      Nawapata sana hawa jamaa yupo na mbabe rasta

    • @frolandunfuru2187
      @frolandunfuru2187 5 ปีที่แล้ว

      Akapige debe na.jela. Nako atajenga chuo

  • @angelntandu4648
    @angelntandu4648 5 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana mpabanaji dah!kwa hiyo mmeamua mfaidi kwanza kumfuatilia bila kujua?

  • @zainamohamedy6515
    @zainamohamedy6515 5 ปีที่แล้ว

    Hongera zake

  • @breackychangwe8781
    @breackychangwe8781 5 ปีที่แล้ว +2

    Mwaka Wa mwisho anamalii..

  • @nizahnyembe7866
    @nizahnyembe7866 5 ปีที่แล้ว +1

    Nakuona David

  • @levinabyamungu8453
    @levinabyamungu8453 5 ปีที่แล้ว

    Hongera Sana.

  • @kibundapesamadimba6352
    @kibundapesamadimba6352 5 ปีที่แล้ว

    safi sana inawezekana ukitia nia tu

  • @rutakihama7599
    @rutakihama7599 5 ปีที่แล้ว +1

    Daaaaah Safi sana

  • @saidyusuph4129
    @saidyusuph4129 5 ปีที่แล้ว

    Pamoja ngane, big up

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 5 ปีที่แล้ว +21

    Mtoro wa school😂🤣ndio kajenga school kwa uchungu , ndio tunaambiwa usimzarau asokua na elimu kesho unakujakumwita boss.

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 5 ปีที่แล้ว +13

    Mumepoteza mda mwingi mwanzoni badala mngetumalizia story.

  • @husnatawete7071
    @husnatawete7071 5 ปีที่แล้ว

    Hongera sana sana kwa kweli ni karamaa izooo

  • @MUKHUSINI
    @MUKHUSINI 5 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa habari z uhakika

  • @neyshao2492
    @neyshao2492 5 ปีที่แล้ว

    Well done bro

  • @akelymsigwa6431
    @akelymsigwa6431 5 ปีที่แล้ว

    vizur sana mjombo kwa kupambana mfano mzr kwa jamii

  • @mako331
    @mako331 5 ปีที่แล้ว +2

    Fanyeni kazi vijana acheni kudanganywa na wanasiasa eti watawapa kazi, watawapa pesa kama hufanyi kazi hujitumi hakuna mtu atakaye kuletea pesa mfukoni

  • @manumaelectricalworks1850
    @manumaelectricalworks1850 5 ปีที่แล้ว

    Nimependa sana historia yake,halafu ni mtu wa kufanya vitu vingi bila kukata tamaa.

  • @hassansamli2671
    @hassansamli2671 5 ปีที่แล้ว

    Brother unimefu umenifunza
    Me mengi sanaaa

  • @ARUSHA_NAILS
    @ARUSHA_NAILS 5 ปีที่แล้ว +1

    Mzeee ana swa.... Ana swagr sanaaaa

  • @badyadnan2487
    @badyadnan2487 5 ปีที่แล้ว +1

    jela inamsubiri huyooo ataenda kuwaelezea wafungwa historia yake

  • @fridamwantandi8921
    @fridamwantandi8921 5 ปีที่แล้ว

    Kumbe ulimuua mwanao tayari ushabambwa ndugu hata mafile unajichanganya mwenyewe upatikanaji wako wa hela huelezei vizurii nenda katumikie tu kifungo cha maisha fyuuuuuu

  • @beatricekamengekamenge5543
    @beatricekamengekamenge5543 5 ปีที่แล้ว +5

    Story hii muendelezo jamanii

  • @michaelbigvai1199
    @michaelbigvai1199 5 ปีที่แล้ว +8

    Hizi kazi hamjui tu zina ela kichizi kama unajitambua, sema wengu wao ni walevi na akili zao haziwazi mbele

  • @nasrathyusuph3964
    @nasrathyusuph3964 ปีที่แล้ว

    @millardayo huyu jamaa n insperation najua watu wanamuongelea vbaya kuhusu scandle alopa ila wengi hawajui ukweli uliopo nyuma ya issue ya jamaa ipo cku watajua alaf mtajua hii dunia kuna watu hawapo kam mnavowasikia wanaomjua wanajua naongea nn watu achen kumjugde coz hamfaham ila kwa wenye ndoto kubwa mfuatilieni jamaa hamtokata tamaa🙏

  • @hillaryaugustine7141
    @hillaryaugustine7141 5 ปีที่แล้ว +10

    Msaidie jamaa kuitikiaa,,😁😁

  • @rajabmlau1668
    @rajabmlau1668 5 ปีที่แล้ว

    We msenge sana.unauwa wtt wa watu kwa ajil ya utajiri

  • @valentinamussa4212
    @valentinamussa4212 5 ปีที่แล้ว +2

    Msenge huyu anafanikiwa kwa kuuwa watoto ushirikina tu mjinga wewe,mchawie kanyee ndoo huko,hata hufanani tajiri,unauwa watu pumbavu

  • @bahatinassorali5222
    @bahatinassorali5222 5 ปีที่แล้ว +4

    Ayo tv hawana habari za kizushi nawamini

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 5 ปีที่แล้ว +3

    Hamna mafanikio hapo uchawi mtupu.

  • @robillioncomedian9916
    @robillioncomedian9916 5 ปีที่แล้ว

    Mwanangu we ninooò naomba millardayo umalizie

  • @hamdanal-habsy745
    @hamdanal-habsy745 5 ปีที่แล้ว +1

    😁😂😂😂😂😂 huyo jamaa konk konk konk maxter

  • @confidencetv1126
    @confidencetv1126 5 ปีที่แล้ว +1

    Hustles hustles #blackexellence

  • @lelo0246
    @lelo0246 5 ปีที่แล้ว +1

    Ujambazi tu,anaficha.
    Ndio maana hivi karibuni amekamatwa kwa tuhuma za mauaji ya mtoto wa umri wa miaka 6 sababu za kishirikina kutaka shule yake ifanye vizuri na kupata wanafunzi wengi, inasikitisha sana.

  • @Dm-yd1tl
    @Dm-yd1tl 5 ปีที่แล้ว +9

    Atakua mkinga huyu . nifollow instargram fundi chembambaa

  • @anitaabdiely1609
    @anitaabdiely1609 5 ปีที่แล้ว

    Yaan nilijua ulifanikiwa kwa nguvu na juhudi zako ukimtegemea mungu, kumbe sivyo na mungu amekuumbua baba usie na uchungu yaan umemuuwa mtoto wako wa kumzaa kisa utajiri dunia hii tunaenda wapi jmn mungu atusaidie yaan kmwe ndo maana siamini utajir wa mtu

  • @AK-ho2lb
    @AK-ho2lb 5 ปีที่แล้ว

    Ukiona mbongo anafanya kazi za ajabu halafu ana Hela zakutosha tu kama huyu jamaa ujue ni hela za msukule .maisha gani haya badala ya kumtanguliza mungu unafuata nyayo za shetani

  • @helenamwaipopo967
    @helenamwaipopo967 5 ปีที่แล้ว

    Mmmmh hela za kishetani izo oooh malipo ni apaapa duniani aendelee ivoivo

  • @esthjohn545
    @esthjohn545 5 ปีที่แล้ว

    Kali sana. Anna watoto wa ngapi?

  • @moseswanjara3408
    @moseswanjara3408 5 ปีที่แล้ว

    Mm nachojiuliza huyu jamaa atakua ameua watoto wangapi ili nifundisho tusiige maisha yawengine

  • @hdband3181
    @hdband3181 5 ปีที่แล้ว

    Anamaliiii....ana maliza... Nilipaaa nilipata😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @breackychangwe8781
    @breackychangwe8781 5 ปีที่แล้ว

    Ya mungu ni mee..

  • @atroisfoundation5546
    @atroisfoundation5546 5 ปีที่แล้ว

    Mbeya city stand up...nimefurahi hapo mwazoni kusikia umalila