ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Shape Ya Bara La Africa Napenda Kwetu Mbeya
Apo jamani panatisha Sana kwa kuliangalia kwa picture sa ukifika unaweza usiludi
Daaaah 2011 tuliogelea hapa aiseeee,,maji ya chumvi na kuna bata mto,,nyani wapo mpka raha
Labda ulioga panatitia sana uliogeleaje??????
Naona Africa
Nimefika mwaka jana hapo panatisha mno aise mwiili unasisimka naturally
Mimi hata bule siendi apo
nice brother nice.
Mimi nimekwenda Ziwa Ngozi kutokana na hali ya ukungu sikuliona ziwa ikabidi nishuke chini mpaka ziwani nikaone na kuchota maji. Ilituchukua zaidi ya saa moja
tuschoke kwenda
Hapo hadi majini wapo hiyo siyo sehemu yakuchezea jamani 😢
Du zamani wakat nikiwa mdogo mbeya tulikuwa tunadanganywa kuwa il ziwa lilihama na linamaajab sana pia walituambia kuna bata anaishi ktkt ya maji
Rungwe Limebaki Shimo Mlimani Ni Kweli Lina Maajabu Hawaogi Hayoooo Maji Yake
@@lovenessibrahimu6730 du kumbe kwel niljua uongo bhana
Itakua kweli hata Mimi niliwahi kusikia hivyo
@@andulilemwakihabha2048 itakuwa kweli
like ramani ya Africa
Nimekumbuka Study Tour Geography
inapendeza mbeya yetu
aisee pazuri sana
ni wilaya ya mbeya na siyo lungwe
hiloziwa liko mbeya vijijini sio wilaya ya lungwe kutoka iwalanje kufika kwenye hilo ziwa nikilometa kama 10
Ni wilaya yalungwe sio mbeya wilaya yalungwe imeishia namba wan ko hili ziwa liko upande wa rungwe wewe, mkoa wambeya
@@saromekamwambi6689 kweli kabisa
Ni wilaya ya Rungwe brother
Mbona linatisha sana
DUBAI....!!!....MR LUPEMBE UMECHAPIA AFRIKA KUNA DUBAI?
Duuh
liko mby vijijini sio rungwe
Wilaya ya rungwe
can mby ytuuuuiiuuuui
Chanzo Chake Ni Mlima Rungwe Haki
Mpakan na mbeya vijijini
mbeya yetu
tunashukuru mbeya yetu media mjawahi tuletea habari za kubabaisha
Shape Ya Bara La Africa Napenda Kwetu Mbeya
Apo jamani panatisha Sana kwa kuliangalia kwa picture sa ukifika unaweza usiludi
Daaaah 2011 tuliogelea hapa aiseeee,,maji ya chumvi na kuna bata mto,,nyani wapo mpka raha
Labda ulioga panatitia sana uliogeleaje??????
Naona Africa
Nimefika mwaka jana hapo panatisha mno aise mwiili unasisimka naturally
Mimi hata bule siendi apo
nice brother nice.
Mimi nimekwenda Ziwa Ngozi kutokana na hali ya ukungu sikuliona ziwa ikabidi nishuke chini mpaka ziwani nikaone na kuchota maji. Ilituchukua zaidi ya saa moja
tuschoke kwenda
Hapo hadi majini wapo hiyo siyo sehemu yakuchezea jamani 😢
Du zamani wakat nikiwa mdogo mbeya tulikuwa tunadanganywa kuwa il ziwa lilihama na linamaajab sana pia walituambia kuna bata anaishi ktkt ya maji
Rungwe Limebaki Shimo Mlimani Ni Kweli Lina Maajabu Hawaogi Hayoooo Maji Yake
@@lovenessibrahimu6730 du kumbe kwel niljua uongo bhana
Itakua kweli hata Mimi niliwahi kusikia hivyo
@@andulilemwakihabha2048 itakuwa kweli
like ramani ya Africa
Nimekumbuka Study Tour Geography
inapendeza mbeya yetu
aisee pazuri sana
ni wilaya ya mbeya na siyo lungwe
hiloziwa liko mbeya vijijini sio wilaya ya lungwe kutoka iwalanje kufika kwenye hilo ziwa nikilometa kama 10
Ni wilaya yalungwe sio mbeya wilaya yalungwe imeishia namba wan ko hili ziwa liko upande wa rungwe wewe, mkoa wambeya
@@saromekamwambi6689 kweli kabisa
Ni wilaya ya Rungwe brother
Mbona linatisha sana
DUBAI....!!!....MR LUPEMBE UMECHAPIA AFRIKA KUNA DUBAI?
Duuh
liko mby vijijini sio rungwe
Wilaya ya rungwe
can mby ytuuuuiiuuuui
Chanzo Chake Ni Mlima Rungwe Haki
Mpakan na mbeya vijijini
mbeya yetu
tunashukuru mbeya yetu media mjawahi tuletea habari za kubabaisha