Jionee Maajabu ya Ziwa Ngosi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 พ.ย. 2018

ความคิดเห็น • 38

  • @lovenessibrahimu6730
    @lovenessibrahimu6730 3 ปีที่แล้ว +2

    Shape Ya Bara La Africa Napenda Kwetu Mbeya

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 3 ปีที่แล้ว +3

    Apo jamani panatisha Sana kwa kuliangalia kwa picture sa ukifika unaweza usiludi

  • @peterjairours7194
    @peterjairours7194 3 ปีที่แล้ว +1

    Daaaah 2011 tuliogelea hapa aiseeee,,maji ya chumvi na kuna bata mto,,nyani wapo mpka raha

    • @beatricekalamata9029
      @beatricekalamata9029 8 หลายเดือนก่อน

      Labda ulioga panatitia sana uliogeleaje??????

  • @tzobedytzbedy9775
    @tzobedytzbedy9775 3 ปีที่แล้ว +1

    Naona Africa

  • @DavidFaiton
    @DavidFaiton 3 ปีที่แล้ว +2

    Nimefika mwaka jana hapo panatisha mno aise mwiili unasisimka naturally

  • @NeroForte_
    @NeroForte_ ปีที่แล้ว

    nice brother nice.

  • @nyamwendamassamba4885
    @nyamwendamassamba4885 ปีที่แล้ว

    Mimi nimekwenda Ziwa Ngozi kutokana na hali ya ukungu sikuliona ziwa ikabidi nishuke chini mpaka ziwani nikaone na kuchota maji. Ilituchukua zaidi ya saa moja

  • @mudyguymnyama8500
    @mudyguymnyama8500 3 ปีที่แล้ว +1

    tuschoke kwenda

  • @edgaredward3490
    @edgaredward3490 8 หลายเดือนก่อน

    Hapo hadi majini wapo hiyo siyo sehemu yakuchezea jamani 😢

  • @barakajpilly6900
    @barakajpilly6900 5 ปีที่แล้ว +4

    Du zamani wakat nikiwa mdogo mbeya tulikuwa tunadanganywa kuwa il ziwa lilihama na linamaajab sana pia walituambia kuna bata anaishi ktkt ya maji

    • @lovenessibrahimu6730
      @lovenessibrahimu6730 3 ปีที่แล้ว +3

      Rungwe Limebaki Shimo Mlimani Ni Kweli Lina Maajabu Hawaogi Hayoooo Maji Yake

    • @barakajpilly6900
      @barakajpilly6900 3 ปีที่แล้ว +3

      @@lovenessibrahimu6730 du kumbe kwel niljua uongo bhana

    • @andulilemwakihabha2048
      @andulilemwakihabha2048 3 ปีที่แล้ว +3

      Itakua kweli hata Mimi niliwahi kusikia hivyo

    • @barakajpilly6900
      @barakajpilly6900 3 ปีที่แล้ว +3

      @@andulilemwakihabha2048 itakuwa kweli

  • @crystalseth9108
    @crystalseth9108 5 ปีที่แล้ว +1

    like ramani ya Africa

  • @lovenessibrahimu6730
    @lovenessibrahimu6730 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimekumbuka Study Tour Geography

  • @ezekiaomary9761
    @ezekiaomary9761 5 ปีที่แล้ว +1

    inapendeza mbeya yetu

  • @omarymakota2276
    @omarymakota2276 5 ปีที่แล้ว +1

    aisee pazuri sana

  • @2003silla
    @2003silla 5 ปีที่แล้ว +3

    ni wilaya ya mbeya na siyo lungwe

    • @musasamwel9578
      @musasamwel9578 5 ปีที่แล้ว +1

      hiloziwa liko mbeya vijijini sio wilaya ya lungwe kutoka iwalanje kufika kwenye hilo ziwa nikilometa kama 10

    • @saromekamwambi6689
      @saromekamwambi6689 5 ปีที่แล้ว +1

      Ni wilaya yalungwe sio mbeya wilaya yalungwe imeishia namba wan ko hili ziwa liko upande wa rungwe wewe, mkoa wambeya

    • @andulilemwakihabha2048
      @andulilemwakihabha2048 3 ปีที่แล้ว

      @@saromekamwambi6689 kweli kabisa

    • @christopheragenmwaimise7911
      @christopheragenmwaimise7911 2 ปีที่แล้ว

      Ni wilaya ya Rungwe brother

  • @kingswebe3251
    @kingswebe3251 5 ปีที่แล้ว +2

    Mbona linatisha sana

  • @daudinyello4033
    @daudinyello4033 5 ปีที่แล้ว

    DUBAI....!!!....MR LUPEMBE UMECHAPIA AFRIKA KUNA DUBAI?

  • @mariamukasyupa2782
    @mariamukasyupa2782 5 ปีที่แล้ว +2

    Duuh

  • @manfredmlelwa5108
    @manfredmlelwa5108 5 ปีที่แล้ว +2

    liko mby vijijini sio rungwe

  • @gabrielcathabet1787
    @gabrielcathabet1787 3 ปีที่แล้ว

    mbeya yetu

  • @omarymakota2276
    @omarymakota2276 5 ปีที่แล้ว +1

    tunashukuru mbeya yetu media mjawahi tuletea habari za kubabaisha