Kisicho haki hakidumu mbele za mungu. Ashukuriwe mungu aliyeumba na kukuumbua kwa udhalimu ulioufanya juu ya mtoto rose. Roho yake italipwa. Piga like na Amen kubwa...
Nawashauri mnaweza mshauri mkurugenzi, aongeze na Technolojia yaani masomo ya Computer, big up sana Mbeya, Adv. Level yangu niliipata huko mbeya, Iyunga Tech
Big up mkuu tupo pamoja, Mbeya tunaipata vyema baadhi ya maeneo yake , O-level yangu nilianzia Iyunga Tech Mbeya, kuanzia mwaka 2002 ,Mkuu wa shule wakati huo akiwa Kisusange
Story hiiiii tamu sana sitsmani iiiiishe Mungu awabarik walimu na mmiliki wa shule pia, majiran wa hapo supotin shule yenu peleken watoto wasome hapo kuna elimu ya uhakika na niwahakikishie walimu mjipange kupokea wanafunzi wengi zaid kutika mikoani Ila hamjasema kama shule yenu ni boding au Day Anhsanten mbarikiwe sana
Hawa walimu hawahitaji kutoka hapo,kwasababu wao ndio nembo ya shule hiyo. Na hawa ndio wanatekeleza kauli ya "Ualimu ni wito" Hongera sana walimu kwa uvumilivu wenu. Na pia hongera kwa mkurugenzi wa shule hiyo.
Japo na jitihada zote hizi lakini serikali pengine isione jitihada za huyu mzalendo,inabidi tuamke katika kiza watanzania tukiitegemea serikali tutakufa na ndoto zetu.Be you alwayz
Jamaa ameni-inspire sana, Millard ningekushauri tumuanzishie bakuli la mchango jamaa aiendeleze shule. Fatilieni kwa undani ana changamoto gani Watanzania tumchangie kwa hali na mali.
mm nimependa na amenihamasisha xana kwa kile alichokifany..hii ni ndoto yang nilionayo ni ving nahitaj kujifunza kutoka kwake##nisaidien namb yake jamn....jamn yng 0674514893
Mpiga debe kwapesa ipi anayopata hata ajenge shule huo niuongo Kuna kitu anafanya nyuma yapazia lakn kwakipato kipi yani ujenge shule ya m270 kwandraaaaaa
@@shubackmashinga3535 hata kama nikidogo kidogo lakn sio kwakupiga debe ase sema Kuna kazi nyingine anafanya nje yahapo m270 nipesa nyingi ase piga hesabu hata akiingiza kila cku 20k nizaidi yamiaka 20 ndo anapata hiyo pesa kwahiyo huo niuongo mtupu kupiga debe anazuga tu lakn huyo inaonekana anaharakati zake zingine piga hesabu vizur hata akiingiza kwacku elf 30 inamchukua miaka mingapi hadi kupata hiyo pesa nahapo alipo anamiaka mingapi tusidanganyane bhana
Daaah Hongera sana broo,Hongera pia Kwa kupata walimu wenye Moyo wa kujitolea,kazi Nzuri sana,nitaleta wanangu huko,Maana wanafunzi wachache Ndo wanaelewa vizuri zaidi,nimefurahi Kwa kazi yenu
Tafadhali ndg, me nmependa kumuunga hyo mtu, me ni Mwl. Tafadhali Mwana millard nsaidie no ya simu ya hyo mpiga debe, nahtaji kuunga Juhudi zake. No, zangu ni 0766948152
Imani yako tu sasa kama unapewa mashart ya kuwa mchafu huli vizuri kwanini usiwe tajiri hiyo dawa inafanya nini wakati umepewa mashart ya uchumi imani ya ujasir wa kuuwa tu ili uwe na roho mbaya tizama harina hata raha na hela zaidi kunuka kama beberu yani hii mijitu sijui ina mungu yupi wa kwao uuwe mtu upate utajiri mwisho ndo huo damu ya mtu haiwezi kukuacha salaama
Umegusa damu isiyo guswa mbwa wewe unauwa mtu huku unajishughurisha mnateswa na hizo imani zenu eti dawa inaleta hela si ukae ije hiyo hela kama kweli inafanya kazi.unakatiri mtoto kwa imani ya kubana matumizi we mwenyewe huna matumizi na hela lazima upate sasa hiyo dawa inafanyaje hujui kuvaaa kula dagaaa et dawa.mbona wazungu hawatumii yani watu weusi sijui tuna mungu yupi wa kwetu,jitu chafu tu tunalisikiliza et utapata hela lenyewe halina we ndo nani Rikupe utajiri
Hongera sana kaka kwa mafanikio uliyoyapata kutoka kupiga debe mpaka kumiliki shule yako binafsi. Kweli hakuna kukata tamaa ni kupambamba nina hakika na mimi nitakuja kufanikiwa.
dah aiseeeeee nakukubaliiiiiiiii sanaaaaaaaa. safiii sana Mungu akubariki sanaaa upate nguvu uendelee na moyo huo. naitabiria hiyo shule itakuja kuwa kubwa sana aiseeee. mvumilie walimu jamaa atakuja kuwasaidia sana itakapokuwa shule kubwa aiseeeee.
Kama umeskia lugha za mkato na kitaani za kigereji toka kwa mkurugenzi wa skonga gonga like apa...
😂😂😂😁😀
Nikaenda Halmashau Halmashauri.... ila hongera kwke
😂😂😂
Najivuniiii najivunia
Hiiiii shule ni yaaaa ni yangu
Kama umeona hiyo slogani ya kipiga deni gonga like yako hapa
Kisicho haki hakidumu mbele za mungu. Ashukuriwe mungu aliyeumba na kukuumbua kwa udhalimu ulioufanya juu ya mtoto rose. Roho yake italipwa. Piga like na Amen kubwa...
Hongera sana jaaa ya... Jamaa yangu. Najua utatobo.... Utatoboa tu
Nawashauri mnaweza mshauri mkurugenzi, aongeze na Technolojia yaani masomo ya Computer, big up sana Mbeya, Adv. Level yangu niliipata huko mbeya, Iyunga Tech
Big up mkuu tupo pamoja, Mbeya tunaipata vyema baadhi ya maeneo yake , O-level yangu nilianzia Iyunga Tech Mbeya, kuanzia mwaka 2002 ,Mkuu wa shule wakati huo akiwa Kisusange
Super....
Story hiiiii tamu sana sitsmani iiiiishe Mungu awabarik walimu na mmiliki wa shule pia, majiran wa hapo supotin shule yenu peleken watoto wasome hapo kuna elimu ya uhakika na niwahakikishie walimu mjipange kupokea wanafunzi wengi zaid kutika mikoani Ila hamjasema kama shule yenu ni boding au Day Anhsanten mbarikiwe sana
Hawa walimu hawahitaji kutoka hapo,kwasababu wao ndio nembo ya shule hiyo. Na hawa ndio wanatekeleza kauli ya "Ualimu ni wito" Hongera sana walimu kwa uvumilivu wenu. Na pia hongera kwa mkurugenzi wa shule hiyo.
Safi saana
Usidangany wat sem kwel usije wafany wat wakapig deb mpk wafe
Daniel Mfaume fact kaumbuka
Hhahahahhaha
that's GREAT guyz well done i proud of you fellow Tanzanians, never giv up
Waawoh so good of you...infact you have inspired me
Hongera sana mungu asimie huo ni mfano 🙏👍🎓📖🇹🇿
Umesapot sanaaaaa Taifa lako mkuu, hongera
Watoto wanavaa kwa heshima hadi raha
Tuige mfano wa mpiga debe honger cn
hongera brother
Eeh bhana nimeipenda hii, nchi haijengwi kwa serikali tuu bali na wananchi wenyewe.
Hongera sanaa .huu ndo uthubutu naiman shule itafika mbali .weng walianza kwa kukod majengo shv wanamilik yao
Japo na jitihada zote hizi lakini serikali pengine isione jitihada za huyu mzalendo,inabidi tuamke katika kiza watanzania tukiitegemea serikali tutakufa na ndoto zetu.Be you alwayz
Sasa kiganja cha mtoto tena matajiri wengi wanaishi kwa mawenge vyaharari vichache
Hongera sn mzee Mungu akubariki mno.
Jamani Safi sana kaka Isee SERIKALI WIZARA YA ELEIMU mtizameni huyu mzee
Jamaa ameni-inspire sana, Millard ningekushauri tumuanzishie bakuli la mchango jamaa aiendeleze shule. Fatilieni kwa undani ana changamoto gani Watanzania tumchangie kwa hali na mali.
hongera boy
Mungu amzidishe
Mashallah hongera kaka Mungu akubariki kwa juhudi zako
Me ni Mwl nahtaji kuunga Juhudi za hyo jamaa, tafatdhali mwna ayo tv, Naomba no, za hyo mwnye shule, no zangu ni 0766948152
ubarikiwe
Phinias Johanes au co
Phinias Johanes mungu akuongezee
Ulishapiga hatua Sana, lakini sijui kitu gani kilikufanya umuue mtoto mdogo asiye na hatia
Mwanzo mzuri,utafanikiwa sanaaaa
Jamani kwani huyo mpiga debe ndo kamuua Rose???
Liuaji hilo mwandishi kimbia utakatwa ulimi ushindwe kutuhoji sisi matajiri wa haki
mungu akubariki umekuwa mfano wa wengi
I see u as a distant bright star
Hongera bro
Nice sana mkuu.
RIP Rose
Huyu jamaa amejitahidi
ila jamaa bahili wa kuongea lazima akukatie ili umalizie mwenyewe
😁😁😁😁😁 yaaani umenichekesha kweli ni bahili wa kumalizia maneno duuuu yaani anakuachia umalizie mwenyewe.
Safii sanaaa
hongera kaka wewe ni shujaa unandoto kubwa
Uko vizr bro
Kweli akina Anganile tuna akili sana
Mma kikolo nungwe ukasane!!!!
One love brothee
Hao majirani walijua hapo ni uchawi mtupu ndio maana Hawajii hapo hizo ROHO ZA Watu alizotoa 😭😭😭😭😭
Dah hii story ingekua ni movie angeuza sanaaaa
Brother nimependa sana
Big up bro
Huyu si ndo aliyeuza mtoto kwa mlioni tano mtoto auawe
Juliana Ndoweka nami nahisi
Juliana Ndoweka Ndiyo yeye walai
Mungu aendelee kumbariki OK ila PITIA HAPA KUONA UBUNIFU WA MAPAMBO YA NDANI ili kuni sapoti SUBSCRIBE na bonyeza kengere bofya kapicha kushoto
nimelichangia Taifa la... Taifa langu nouma sana
Uko wapi?
Mwabuluma Rose yuko wap??
tutampataje huyo mwenye shule, kwa mawasiliano yashule
Ongera sana kaka naombeni namba ya shule nataka nimlete mdogo wangu
Rukiya Hussan atamtoa kafara
safi sana
Ongera
Da nimekosa comments
IPO maeneo gani hiyo shule
Nimeamin uxemi uxemao ucdharau kaz
Ipo sehemu gani hapo mbalizi namtoto natka kumleta
Mshirikina mkubwa wewe umemuua mtoto rose kwa kushirikiana na baba ake
Jamani hiii story ya uuwaji wengine hatuijui
mm nimependa na amenihamasisha xana kwa kile alichokifany..hii ni ndoto yang nilionayo ni ving nahitaj kujifunza kutoka kwake##nisaidien namb yake jamn....jamn yng 0674514893
Abdallah Saiya sasa atakupeleka kwa mganga
We abdallah hapo hakuna kumshukuru Mungu,MUNGU wetu sio chinjachinja
Sasa ninini kilikufanya umuue mtoto wa watu
Hngr sn broth
Ntakuja kuku saidia finishing ya shule kwa bei ya kusaidiana. MI funndi nipo dar 0655122921
Ivi unahtaji kuchinjwa
ongela san. jmn
tunaomba muionyeshe vzr, yote . mnaonyesha nusunusu. onyesheni kwa juu tuione yote. LKN nampongeza sana mmiliki wa shule
Mpiga debe kwapesa ipi anayopata hata ajenge shule huo niuongo Kuna kitu anafanya nyuma yapazia lakn kwakipato kipi yani ujenge shule ya m270 kwandraaaaaa
Shabani Hasani jifunze kusoma Title ya video, huoni kama part 2 iyo part 1 umeangalia au.
We ungesikiliza part 1 umeambiwa alianza ufungaji pia
Amejenga kidogo kidogo so inaweza fika iyo kias
@@shubackmashinga3535 hata kama nikidogo kidogo lakn sio kwakupiga debe ase sema Kuna kazi nyingine anafanya nje yahapo m270 nipesa nyingi ase piga hesabu hata akiingiza kila cku 20k nizaidi yamiaka 20 ndo anapata hiyo pesa kwahiyo huo niuongo mtupu kupiga debe anazuga tu lakn huyo inaonekana anaharakati zake zingine piga hesabu vizur hata akiingiza kwacku elf 30 inamchukua miaka mingapi hadi kupata hiyo pesa nahapo alipo anamiaka mingapi tusidanganyane bhana
Mwamini Mungu, kila jambo linawezekana. Itafute part 1 ujifunze ht ww pia unaweza timiza ndoto yako
Hahaaaa shule ya mpiga debe wangine wangepiga debe mpaka wakekauka koo hawawezi kufungua shule dah moyo wamtu kichaka
Haijulikani kauwa watoto wangapii mpaka leo siyo vizuri broo rozi
Ume.mpotezea.maisha mtotowawatu
Daaah Hongera sana broo,Hongera pia Kwa kupata walimu wenye Moyo wa kujitolea,kazi Nzuri sana,nitaleta wanangu huko,Maana wanafunzi wachache Ndo wanaelewa vizuri zaidi,nimefurahi Kwa kazi yenu
Doh! Yaani nimeguswa mpaka basi.
Goodluky
ongereni sana ata st. joseph ilianza na wanafunzi wachache
Kweli hiyo kabisa
Umemuua rose kwa ushirikina wako kibaya hakidumu
Huyu sindie ameua mtoto na kuchukua kinganja basi itakua wamezika viganja vya kutosha
Nabii hana heshima kwao
Safisa mpigadebe kasubutu mungu amvushe zaidi
Tafadhali ndg, me nmependa kumuunga hyo mtu, me ni Mwl. Tafadhali Mwana millard nsaidie no ya simu ya hyo mpiga debe, nahtaji kuunga Juhudi zake. No, zangu ni 0766948152
Muuwaji mkbwa wewe unatupaka mafta kwamgongo wachupa😭😭😭 hvi hyo shule imefngwa ama?
Khaki haidhulumiwi dada maana alichoandika mungu kaandika tu Angela hata hyo while isingekuwepo sasa ila mungu yupo na shule inakuwa dada
Hayupo mtu anapata utajiri kwa halali nimeamini ndomana.watu tunafanya bihashara mpaka mtaji unakata kumbe wengine.wachawi.kabisa
Kabisa mumy
Imani yako tu sasa kama unapewa mashart ya kuwa mchafu huli vizuri kwanini usiwe tajiri hiyo dawa inafanya nini wakati umepewa mashart ya uchumi imani ya ujasir wa kuuwa tu ili uwe na roho mbaya tizama harina hata raha na hela zaidi kunuka kama beberu yani hii mijitu sijui ina mungu yupi wa kwao uuwe mtu upate utajiri mwisho ndo huo damu ya mtu haiwezi kukuacha salaama
Ayo TV karibun sana majani ya CHAI secondary school kipawa DSM mjionee mambo mazuri yanayoendelea hapa kwetu 0715049057
daaah!!! muhuni kafanya maajabu ya dunia hongera sana muhuni wetu jpo unaongea lugha ya mkato lkn nyingi tuu.
i see you lusajo[mnefiliii]
Yaani nimeku nmekuelewa yaani
Nice brother tuijenge nchi yetu kwa kujitoa zaidi.
Safiiiii sana
Mungu aenderee kuwatianguvu mtafika pale mnapopahitaji mungu ndo mtoaji
Umegusa damu isiyo guswa mbwa wewe unauwa mtu huku unajishughurisha mnateswa na hizo imani zenu eti dawa inaleta hela si ukae ije hiyo hela kama kweli inafanya kazi.unakatiri mtoto kwa imani ya kubana matumizi we mwenyewe huna matumizi na hela lazima upate sasa hiyo dawa inafanyaje hujui kuvaaa kula dagaaa et dawa.mbona wazungu hawatumii yani watu weusi sijui tuna mungu yupi wa kwetu,jitu chafu tu tunalisikiliza et utapata hela lenyewe halina we ndo nani Rikupe utajiri
Hii ndio ukiskia watu wanapambana ndio hapa...Aisee safi sana
Sikupingii Brozaa
Energit man
Superman
Huyu lusajo anaongea kwa poza kama yy ndio mwenye shule
Hahahaaa, ye ni proffesional
😂😂😂😂😂😂
Ndiye
Hongera sana kaka kwa mafanikio uliyoyapata kutoka kupiga debe mpaka kumiliki shule yako binafsi. Kweli hakuna kukata tamaa ni kupambamba nina hakika na mimi nitakuja kufanikiwa.
Manga WA jad
Hii kama mbeya vilee??
dah aiseeeeee nakukubaliiiiiiiii sanaaaaaaaa. safiii sana Mungu akubariki sanaaa upate nguvu uendelee na moyo huo. naitabiria hiyo shule itakuja kuwa kubwa sana aiseeee. mvumilie walimu jamaa atakuja kuwasaidia sana itakapokuwa shule kubwa aiseeeee.
Hongera sana , lazima tupambane na sisi tutimize malengo yetu amiin.
Mungu akubariki katka kazi yako awabariki na walim wako pia
kweli kuna kitu kilifanyika kama mwalim alivyosema
Ndugu zangu wa mbeya kwa kafala hamjambo
Brother hongera sana hiz ni ndoto zangu ktk maisha yangu.
Good begin Hongera sana Chafu yangu mungu yu p1 nawe
Taifaa laa taifa languu
Hawa ndo watu wa kuwezeshwa
Big up mwana sana tu
kigugumiz