MASANJA AKIFUNGISHA NDOA KANISANI KWAKE UTACHEKA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 ส.ค. 2021
  • MASANJA AKIFUNGISHA NDOA KANISANI KWAKE UTACHEKA
  • เพลง

ความคิดเห็น • 185

  • @sarahpetro9122
    @sarahpetro9122 2 ปีที่แล้ว +4

    Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU kwa kusimamia agano takatifu Hilo MUNGU awasimamie sana

  • @vogellukanka1333
    @vogellukanka1333 2 ปีที่แล้ว +5

    Ila tuwen makin sana sana. Hakuna userious hapa naona maruweruwe tu

  • @jessymathias4535
    @jessymathias4535 2 ปีที่แล้ว +4

    Amina, mchungaji masanja endelea na kazi ya mungu, usisikilize maneno ya adui za mungu maadamu mungu amekuita umtumikie,songa mbele

  • @anordmbembela6940
    @anordmbembela6940 2 ปีที่แล้ว +3

    Good servant of God ,as Yesu ndye njia keel na uzma! Ubarikiwa

  • @user-pg8uk7vw3m
    @user-pg8uk7vw3m 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mambo masanja

  • @mpangaladickson6837
    @mpangaladickson6837 2 หลายเดือนก่อน +1

    Acheni kumuhukumu mtu.maandiko yanasema usihukum usije nawe ukahukumiwa......mungu ndie aliyemwita afanye kazi yake.

  • @jeanmjimmy
    @jeanmjimmy 2 ปีที่แล้ว

    Ongera sana vijana, kazi njema mbarikiwe kwa jina la Yesu Masiya. Mungu awasaidiye muishi kwa amani na mdumu kwenye ndoa mpaka kifo kitakapo watenganisha.

  • @RobsonAnthony-cx3wv
    @RobsonAnthony-cx3wv 22 วันที่ผ่านมา

    God bless you pastor

  • @sabrinaandrew4245
    @sabrinaandrew4245 2 หลายเดือนก่อน

    Nimefurahi mtumishi Kwa kuto tamka ktk shida na Raha.🎉🎉🎉🎉🎉hujawaungamanisha agano la shida na raha🎉🎉🎉❤

  • @kefaphilipo8060
    @kefaphilipo8060 2 ปีที่แล้ว +1

    Balikiwa kweli inapendeza mchungaji kwa hao wawiilii Mungu awatunze

  • @lydiamgollo9899
    @lydiamgollo9899 2 ปีที่แล้ว +2

    Big up pastor Masanja.

  • @agesag.m2476
    @agesag.m2476 2 ปีที่แล้ว +4

    Wonderful proceeding .

  • @osgentertainmentdancers8924
    @osgentertainmentdancers8924 2 ปีที่แล้ว +2

    Kazi nzuri sana hii uliyoifanya bishop

  • @amanjr5635
    @amanjr5635 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana mtumishi wa Mungu.
    Pia hongera nyingi kwa Musa ,
    Apatae mke amepata kitu chema🔥🔥

    • @nestorymsacky6838
      @nestorymsacky6838 2 ปีที่แล้ว

      Tofautisha comedy na Mungu, uwezi sema comedy ni mungu, masanja kutumia comedy akiwa madhabahuni ni sawa labda inaweza fanya watu wakaelewa neno zaidi ya akiwa serious

  • @dunstannyange7509
    @dunstannyange7509 2 ปีที่แล้ว +2

    Hapo hakuna mchungaji zaid ya ujinga ujinga tu, yan sasa hv din imeiingiliwa kwel kwel yan kila mtu ni mchungaji

  • @joelmsawile1718
    @joelmsawile1718 2 ปีที่แล้ว +1

    Safiiiiiiiii sanaaaaa pastor

  • @lilyrose7983
    @lilyrose7983 2 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu.Kazi yako ni njema sana👏👏

  • @lovegodmunisi1006
    @lovegodmunisi1006 2 ปีที่แล้ว +5

    Masanja ameitwa na Mungu mwenyewe, kwa kusud maalum

    • @lydiaemmanuel7893
      @lydiaemmanuel7893 2 ปีที่แล้ว +1

      MUNGU gani anaeruhusu mchungaji kuvaa cheni simhikum lakin Yesu alisema jifunzen kwangu

    • @peteveprosper7186
      @peteveprosper7186 2 ปีที่แล้ว

      @@lydiaemmanuel7893 uliona wapi akitaza

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 2 ปีที่แล้ว +5

    Mungu aitunze hii ndoa

  • @tawiso_online_tv.
    @tawiso_online_tv. 18 วันที่ผ่านมา

    Hamna wito hapa😂

  • @mwanaiddicosmas7946
    @mwanaiddicosmas7946 2 ปีที่แล้ว +1

    Ongera sana kaka

  • @bahatimbembela1825
    @bahatimbembela1825 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera kijana Ila jikaze ndoa mh

  • @ntibashimadicksonyingo392
    @ntibashimadicksonyingo392 2 ปีที่แล้ว +7

    Masanja cheni za nn?

  • @jonsongabriel937
    @jonsongabriel937 2 ปีที่แล้ว

    Barikiwa katika jina la Yesu kristo

  • @williamoscar6657
    @williamoscar6657 2 ปีที่แล้ว +7

    Sijaona kma kweli kuna roho mtakatifu kwa masanja... hakika sio kila kanisa ni la mungu

    • @evoteclimited2319
      @evoteclimited2319 2 ปีที่แล้ว +3

      Kwani wewe unaangalia mavazi, mwonekano na namna anavyoongea? Au unaangalia ujumbe na matendo yake? Usihukumu usije ukahukumiwa, maana anaye hukumu ni Mungu peke ake.

    • @williamoscar6657
      @williamoscar6657 2 ปีที่แล้ว +1

      @@evoteclimited2319 hata shetani ana maneno mazuri sna kuliko hata ambyo ww unayajua.... lakin kuwa mtumish wa mung ni kuwa mtauwa mbele yamacho ya bwana mtu aliyeacha yote naye akijkana na kumfuata mungu... aliyeacha utu wake wa zaman na kuuvaa utu mpya..... usijedanganya kwa maneno ya watu hata yule mwovu mkuu anamaneno mazur zaid ya unavfkir..

    • @matswelopelemphela9676
      @matswelopelemphela9676 2 ปีที่แล้ว

      Umetumia kipimo gani?

    • @Zaburi-
      @Zaburi- 2 ปีที่แล้ว

      Mungu/MUNGU nasio mungu

    • @ffrank6754
      @ffrank6754 2 ปีที่แล้ว

      mung huangalia ndani ila sis binadamu tunaangalia nje ww umeonaj km hkn roho mtakatif

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 2 ปีที่แล้ว +3

    Uko sawa

  • @adeladaudi8780
    @adeladaudi8780 2 ปีที่แล้ว +3

    Mungu tuhurumie lkn haya lazima yawepo ili maandiko yatimie

  • @evaristmrope
    @evaristmrope 2 ปีที่แล้ว +3

    Amen

  • @misheckmrk8848
    @misheckmrk8848 2 ปีที่แล้ว +3

    🔥🔥🔥🔥💕🤝

  • @kacimonpoint4598
    @kacimonpoint4598 2 ปีที่แล้ว +2

    Get it be done

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 2 ปีที่แล้ว +1

    Biarusi wa jinaaa jmn😌 Mariam

  • @edinamadebele973
    @edinamadebele973 ปีที่แล้ว

    Hivi huyo mke wa katibu akiangalia hii kwa sasa anajisikiaje jamani, Mungu amsaidie tu kwakweli

  • @cafejohn3582
    @cafejohn3582 ปีที่แล้ว

    Mwenyezi mungu utuhurumiye

  • @jaberjohn7556
    @jaberjohn7556 2 ปีที่แล้ว +6

    Masanja l love your job but kindly tell the bride and groom always to look at each other in the face, to make assurance of what they are talking.To look down is not good idea.

    • @francismangula2715
      @francismangula2715 2 ปีที่แล้ว

      Ndoa haitak mazoea icho unachosema unataka wawe wamezoeana

    • @jaberjohn7556
      @jaberjohn7556 2 ปีที่แล้ว

      @@francismangula2715 l think you have no awareness. Period

    • @francismangula2715
      @francismangula2715 2 ปีที่แล้ว

      You lack some knowledge brother.

  • @tanstudiotv
    @tanstudiotv 2 ปีที่แล้ว +4

    Mwanza mwanza! Mtumishi feel free church tunataka Mwanza

  • @user-ur5mq5em3f
    @user-ur5mq5em3f 4 หลายเดือนก่อน

    balikiwa sana wanandoa mmenikumbusha mbali

  • @sabrinaaron4212
    @sabrinaaron4212 2 ปีที่แล้ว

    eti Ni yeyeeee 🤣🤣🤣🤣Mungu akaitunze inshallah

  • @nsiaelieza9568
    @nsiaelieza9568 2 ปีที่แล้ว +20

    Masanja ukiwa madhabahu usitumie tonic ya komed. Kaa madhabahuni kwa utulivu. Chagua kuwa comedian au kuwa Mchungaji. Huwezi kutumikia mabwana 2.

  • @levinyaosi3556
    @levinyaosi3556 2 ปีที่แล้ว

    Kiburi chako ndo hasara kwako brother

  • @user-ii9qx9ii5p
    @user-ii9qx9ii5p 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe uliyekomenti kuwa aache mzaa madhabauni wewe nana mpaka huuu kumu atatengenezwa na Mungu aliye muita si binadamu

  • @rutashubanyuma4546
    @rutashubanyuma4546 2 ปีที่แล้ว +1

    Caption haijakaa mujarabu ukisema ntacheka wakati ni jambo la serious nashangaa!

  • @veronicabenezeth6602
    @veronicabenezeth6602 2 ปีที่แล้ว +1

    Mwenye wivu aokoke

  • @nyororotherock5567
    @nyororotherock5567 2 ปีที่แล้ว +3

    💜💜💜💜💜

  • @seciliakayombo4845
    @seciliakayombo4845 2 ปีที่แล้ว +1

    Ongera kwakazi njema

  • @ednamasud2613
    @ednamasud2613 2 ปีที่แล้ว

    🤣🤣🤣 ni yeyeeee!!

  • @joyelia5356
    @joyelia5356 2 ปีที่แล้ว +3

    musa and mariam
    khadija and yusufu

  • @johnngowi2103
    @johnngowi2103 2 ปีที่แล้ว +1

    Amina

  • @irenesangawe6366
    @irenesangawe6366 2 ปีที่แล้ว +2

    Amenii

  • @michaelmagige4669
    @michaelmagige4669 2 ปีที่แล้ว +3

    That's a business like another business,je wanaenda na sheria na ushuhuda wa iman ya yesu? Cku yesu akirud kuna watumish wengine atawakataa!! Watadai tulitoa mapepo,tuliponya,yesu atawakibu ondoken cwajui!!!

  • @tulimlawa8608
    @tulimlawa8608 2 ปีที่แล้ว +1

    Kwaiyo sio mpaka kifo kiwatenganishe au ckuizi co mpaka kifo

  • @happinesszabron7635
    @happinesszabron7635 2 ปีที่แล้ว

    Utawaepuka wengine wote na kubaki nayeye peke yake wote NDIO
    Imeisha hyo

  • @issaramadhan7456
    @issaramadhan7456 2 ปีที่แล้ว

    Vizuri mtumishi

  • @GraceJaphet-fr4jt
    @GraceJaphet-fr4jt 2 หลายเดือนก่อน

    Ameni.

  • @khdigahk4246
    @khdigahk4246 2 ปีที่แล้ว +2

    Mussa na mariam wafikaje kufunga ndoa kanisani😅😅😅😅

    • @fanikiwamhapa4236
      @fanikiwamhapa4236 2 ปีที่แล้ว +1

      Hatuja elewa maana yako

    • @edithafrancis7057
      @edithafrancis7057 2 ปีที่แล้ว

      Majina yapo pande zote kwa wakristo na msikitin

    • @fanikiwamhapa4236
      @fanikiwamhapa4236 2 ปีที่แล้ว

      Majina haya Yana patikana ndani ya Biblia,vitabu vingine vimeiba ndan ya Biblia,,Ila Kuna baadhi ya vitabu vimediriki kubadili mpaka majina mengne kwa kiwahofia wafuasi wao,mfano km jina la Yohana wa kwenye Biblia wanamuita (Yahaya) n .k

    • @antonthomas807
      @antonthomas807 2 ปีที่แล้ว

      Unamuulizanani au una jiuliza mwenyewe

    • @sebonikegobi6244
      @sebonikegobi6244 ปีที่แล้ว

      Wamefika kama wengine

  • @emmycondrad9706
    @emmycondrad9706 2 ปีที่แล้ว +1

    🤣😂😂👏👏

  • @peterchonya3938
    @peterchonya3938 2 ปีที่แล้ว

    Ameni

  • @gasperamoxi4330
    @gasperamoxi4330 2 ปีที่แล้ว

    Yes

  • @majaliwamahenge3658
    @majaliwamahenge3658 2 ปีที่แล้ว +1

    🙏🙏

  • @edojoseph4273
    @edojoseph4273 2 ปีที่แล้ว

    Hao maharus hiyoo sio ndoa ni uhuni nyie wazinifu tu mbele za Mungu

  • @adamsibora9991
    @adamsibora9991 ปีที่แล้ว

    Akujibu mkeo ndo alikuwa anajua

  • @mohamedalawyi8336
    @mohamedalawyi8336 2 ปีที่แล้ว +1

    Sawa ni Moses na Mary . Musa na Mariam wanaowana Msikitini sio Kanisani .

    • @francisemmanuel1551
      @francisemmanuel1551 2 ปีที่แล้ว +1

      Hayo ni majina tu ila ya na maanisha Musa na Mariam kwafano wewe katika kabila lako unamwitaje Mungu waarabu wanamuita Allah wazungu wanamuita God

  • @peterfrank4299
    @peterfrank4299 2 ปีที่แล้ว +1

    Amina
    Piga kazi masanja

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 ปีที่แล้ว

    Hawa wamama nao watoto mbele kila muda muna haribu tukio

  • @donaldtadeodontado9991
    @donaldtadeodontado9991 ปีที่แล้ว

    Na shida ndio ilianzia hapa Sasa ..........

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 ปีที่แล้ว +1

    Bass

  • @charlessitta8247
    @charlessitta8247 2 ปีที่แล้ว +3

    Mchungaji Safi Sana. Naamin one day ntatokea hapo church. Location wapi ?

    • @fatmaayoubfatmaayoub8882
      @fatmaayoubfatmaayoub8882 2 ปีที่แล้ว

      Lipo kinondoni Leaders ukifika hapo Leaders uwanjani utaona kibao chake napia kam unatokea makumbusho unashuka kituo cha kontena unashuka na njia hd ufike benk ya Kcb utaona kibao chake pia ila kam unatokea maeneo ya kariakoo unapanda gar za masaki unashuka ubalozi wa ufaransa ukishuka tu pia unaona bango lake la kanisa la masanja FEEL FREE CHARCH Utakuwa umefika kabisa kanisani kwake karibu

  • @gvmstudio5659
    @gvmstudio5659 2 ปีที่แล้ว

    ndoaa

  • @mashashamsimba4740
    @mashashamsimba4740 2 ปีที่แล้ว +1

    Hiv hapo kunajasho kweli mbona kuna fen

    • @fatimaabdulla6967
      @fatimaabdulla6967 2 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂🙄🙄🙄Wanadamu Mna kazi kweli kweli

  • @briankatani8765
    @briankatani8765 2 ปีที่แล้ว +2

    Matapeli bhana

  • @mwangosmgs6471
    @mwangosmgs6471 2 ปีที่แล้ว +1

    Mtumshi🥰

  • @issacklyandala7023
    @issacklyandala7023 ปีที่แล้ว

    HII NIFUJO TU, NO UTUMISHI HAPA

  • @matukiomedia191
    @matukiomedia191 2 ปีที่แล้ว +2

    Kama igizo hilo

  • @mandejumanne6429
    @mandejumanne6429 2 ปีที่แล้ว +3

    Ni yeye

  • @childofgod4412
    @childofgod4412 2 ปีที่แล้ว +4

    Mke wa pilipili naye ni pastor🤔🤔

    • @josephurupia4653
      @josephurupia4653 2 ปีที่แล้ว

      😆😃😃😃☹️😢

    • @rachaelkazimili4092
      @rachaelkazimili4092 2 ปีที่แล้ว +1

      Huyo dada muone hivyohivyo tu ni muombaji mzuri sana

    • @akxakalapa8950
      @akxakalapa8950 2 ปีที่แล้ว +1

      @@rachaelkazimili4092 shida ya sisi watanzania tunapenda kum judge mtu bila kumjua kiundani ila kwa mm nakaona ni ka dada kenye imani sana mbele za Mungu

    • @sebonikegobi6244
      @sebonikegobi6244 ปีที่แล้ว

      Pole yake manake hiyo kazi siyo mchezo Mungu amsaidie

  • @issacklyandala7023
    @issacklyandala7023 ปีที่แล้ว

    ATI ASKOFU!!!!!!

  • @sabastianraymond.6383
    @sabastianraymond.6383 2 ปีที่แล้ว +9

    YAANI HATA SAUTI YAKO MASANJA NI KIUSANII MUOGOPE MUNGU ONGEA KWA HESHIMA.NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE.

    • @joycenyakiha8121
      @joycenyakiha8121 2 ปีที่แล้ว +1

      Ahahahahaahha

    • @sweetluc2660
      @sweetluc2660 2 ปีที่แล้ว +1

      Wamependeza Mungu awe nawo kila siku

    • @kingsforchange1039
      @kingsforchange1039 2 ปีที่แล้ว +4

      You don't know God well.. Masanja ni Mtumishi wa Mungu na milele hata kwa kuzungumzaje he speaks God words and powerfull.

    • @farajachesco985
      @farajachesco985 2 ปีที่แล้ว +4

      Roho mbaya tu inakusumbua ww

    • @kingsforchange1039
      @kingsforchange1039 2 ปีที่แล้ว +1

      @@farajachesco985 anamatatizo huyu nae.

  • @latinusdominic7625
    @latinusdominic7625 2 ปีที่แล้ว +1

    Eti Askofu???

  • @nicianezekiel9144
    @nicianezekiel9144 2 ปีที่แล้ว +5

    Chap xana

  • @silyvesterlameck9754
    @silyvesterlameck9754 2 ปีที่แล้ว +4

    Kiukweli2 masanja unaniboa hiyo cheni wanayo vaa waganga wakienyeji

    • @childofgod4412
      @childofgod4412 2 ปีที่แล้ว

      Yaani na mimi nimeuangalia mh haya tumuachie Mungu mwenyewe

    • @godfreywilliam9673
      @godfreywilliam9673 2 ปีที่แล้ว

      Usihukumu ndugu

    • @joyelia5356
      @joyelia5356 2 ปีที่แล้ว

      @@godfreywilliam9673 hajui lakini mungu anaendelea kumtengeneza ataachaga tu

    • @user-ot2io4cy6w
      @user-ot2io4cy6w 2 ปีที่แล้ว

      Kwan Waganga wanavaaga cheni na umejua kama wanavaaga cheni au na wewe ni Mganga au unaendaga kuaguliwa huko🤷🏾‍♂️🤷🏾‍♂️🤷🏾‍♂️

    • @jaliamwasomola5518
      @jaliamwasomola5518 2 ปีที่แล้ว

      Mungu tusaidie na wew pia mmmm

  • @jacobelikana1624
    @jacobelikana1624 2 ปีที่แล้ว +1

    Hagg uliorusiwa na askofu mmeionna

  • @kephahusseni3331
    @kephahusseni3331 2 ปีที่แล้ว +1

    Zuchu nyumba ndoga

  • @waytvtz2549
    @waytvtz2549 2 ปีที่แล้ว +2

    Masanja kusema la ukweli wewe ni comedian upastor umevamia kwa nyuma

  • @sabastianraymond.6383
    @sabastianraymond.6383 2 ปีที่แล้ว +4

    HAKUKUA PETE EDENI.
    NINYI MMETOA WAPI?
    NA KWA ANDIKO LIPI?

    • @sweetluc2660
      @sweetluc2660 2 ปีที่แล้ว +4

      Pete ni ishala tu ya Upendo Hakuna kwenye Andiko ndugu yangu

    • @pendobaharia7227
      @pendobaharia7227 2 ปีที่แล้ว +2

      Pete Ni ishara ya kua mtu kaoa au kaolewa

    • @lovegodmunisi1006
      @lovegodmunisi1006 2 ปีที่แล้ว

      Msiongee neno juu ya huyu jamaa, huyu ameitwa na Mungu mwenyewe

    • @kitasyajohn8338
      @kitasyajohn8338 2 ปีที่แล้ว +4

      Hata nguo eden hazikuwepo wewe hizo umetoa wapi?

    • @frankkahimba1248
      @frankkahimba1248 2 ปีที่แล้ว

      Basi mwishowe hata kula mchicha utasema ni dawa.

  • @msongocomedy4947
    @msongocomedy4947 2 ปีที่แล้ว +3

    Amen

  • @kadunawewe7248
    @kadunawewe7248 2 ปีที่แล้ว

    Ameen

  • @kalaluwakisaka3211
    @kalaluwakisaka3211 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen