Cook with Wema Sepetu S02E02 Juma Lokole
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024
- Jinsi ya kuangalia video hii nzima, unatakiwa ku Download Wema Sepetu App ambayo inapatikana Play Store na App Store, kama wewe ni mtumiaji wa simu ya Android bonya link hii ili uweze ku download Wema App na kama wewe ni mtumiaji wa iOS Bonyeza link hii shorturl.ae/XTizL
Connect with me;
Instagram - @wemasepetu
Twitter - @wema_sepetu
Facebook - @wsepetu
Click here goo.gl/0pN4kS to Download Wema App on Playstore
Click here apple.co/2PQK3vR to Download Wema App on Appstore
#CookWithWemaSepetu #Wemasepetu #Bestizzo
Kama unapenda aje amwite chibu dangotee kwenye hichi kipindi gonga like
Juma chukoo 😂😂😂achanuksi y kuwatenganisha watu kilazima🇰🇪🇰🇪💃💃 love u ❤️❤️wema
Mpe vitu ndo utajuwa
😂😂😂😂😂😂😂😉😜Juma atar sana
Kapungua sana Wema hadi naona kama sio yule tumebadilishiwa😊
Wema kuwa na mwili huohuo usiongezeke tena mwaaaaa
Wema kipenzi chetu umependeza sana babie.... Kipindi chako kinavutia sana! Tunakupenda na tutaendekea kujivunia kazi zako... Piga kelele kwa Wema aakeeel.. Mungu azidi kukuongezea Baraka... Wenye wanasema umekonda Pia wao wakakonde ila haikusumbui.... Wewe piga kazi... CONGRATULATIONS to you my Love, Nakupenda sana!! 😘😘❣️❣️❣️❣️
Mie nampenda sn lkn alivokonda kama kitoto cha njiwa sijapenda
@@rashidhemed5738 Kakonda sana yani hadi nikimuangalia napata kama wasiwasi.Heri hata angeongezeka kidogo labda nhee
Yaan mm kutoka moyoni simpendi juma lokole
Nakupenda mpaka I can't breath Wema akee!
Kwahiyo umekufa
@@mwanahawaomarimashaka197 😂😂😂
@@zkiduku4068 🤣🤣amba anisinya ..heti hawezi pumua
Si mnisaidie kusubscribe kwa Chanel yangu ya hassan mapenzi kwa Ku bonyeza picha iliyo kushoto jameni kwa mengi mazuri
@@hassanmapenzi6188 okay
Juma kweli mswahili
Piga kazi mzee baba ndo ulivyo jipanga kuishi mjini hivyo
Waislam hao, proud to be sinners, have you asked yourselves, what would be my last day..??
love you so much wema....leo umetugusa patamu kelele moja kwa lokoleee
Love you Wema jomon 😘
Oooh my wema nashuru Sana kupitiya kipindi Chalo nawafaamu wasanii wengi wa Tanzania.nakupenda Sana Sana.ijapokuwa umbali wangu ila ninaonaga Niko tuu karibu na wewe piya na Tanzania kupitiya iki kipindi.toka DRC GOMA nakutakiya heri ya mwaka mupya my Queen.ndoto yangu kubwa kwa mwaka uhu 2021 nikuone kwa masho yangu piya nikuguse niamini kweli ni wewe.nimejifunza mengi kutoka kwako
Tupo pambe sannaaa show yetu inabamba sio poa!!! I love you wema sepetu
Asanteeee....
Kama unamkubali wema gonga like twende sawa
Tupooooo
Sepenga ur so cute jua lenda na ukali wake
Wema ki body mashaallah!!!!
Wema mm wa kwanza kuangali please nijibu sms yangu I love you so much my dear sis
Lokole kama lokole ila ni kichefu chefu🥰🥰🥰🥰🇧🇮🇧🇮
Yani mi nampenda sana madam namkubali 💓🔥
Wema kiasi gani umetumia kutengeneza jiko kama hilo... zuri sana
💯❤❤❤❤❤wema wake✅🔥
Je t'aime beaucap wema sepetu❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Wema umejipunguza mno hadi tunaogopa kukupoteza, Mungu akuepushe na maralia hizo za dar
☹️😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹mama nakufaa
Madam juma😂😂❤️❤️❤️❤️nawapenda
Now i always start cooking with « LET’S COOK WITH... *insert my name* ... » 😂😂 wema u destroy us! Btw much love from 🇧🇪
Masha'Allah Wema Ady Raha
I love you Wema keep it up
unanivunja mbavu wema unampa makavu juma lokole🤣
Et hata Mimi na wewe hatumjui... Mamae!!😂
Kelel ya kwanza kwa lokoleee ake
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Nimecheka jaman
Safi sana wema kipindi ongeza muda.
Wema your really perfect , mimi nakupenda wewe ni mtoto wa kike unae jitambua unapambana na adui zako kwa kuwaonesha hauna mda nao big up dear wema .nimimi bi kaitairima wa tarime.
Upo vizur baby wema mungu akusimamiye katika yako maisha
She lost so much weight beyond recognition
Muachw wema alikuwa hivi
Watu wangu💕
Wema akee😘😘
Juma 🔥🔥😂🤣🤣
Nimesubisicraibuuu kwa kuwa nakupenda wema Toka zamani sanaaaaa
Natamani hata ungekuwa mbunge wa Jimbo langu
Wema ukimuita Chibu mtatrend mwezi mzima
Anaogopa akija chibu lazma amnyandue aondoki vile vile yulee
Wema akeee
😂😂😂😂kwato za mmbu duuh senge kweli juma
nampenda huyu dada mpaka naumwa😘😘😘
Nakupenda wema
Yaani juma kivuruge sana
❤️💖💖💖💖
Wema nakupenda hdi raha
Umbea suna Kama vipi raiki hapa
Nawakubali sana
Tunamtaka Aristoteee!!mzee wavikak😂😂
Wema umekonda jmn daaah
Kamwili kazuriii mamy!!!😍
Penda Sana madame
Just woooww
Hi mamy 😘 uko na kpz changu Juma Lokole..Lokole kama lokole mpe hi
Wema Mzuri sana,bora nikuoe mimi
Love u wema
Wema plz pika na jacob steven (Jb)
Tunakutabua tu Kwa sauti yako nyororo Ila mwebaba kabisa
Juma asant mpnz
Kwato za mbu juma punga sana
Kanazidi kupendeza mashallah
Salàm alekum mashallaah wema napenda sàna Niko lako mm Amina kutoa Kenya salàm zangu Kwa juma
wema I realy love u iam from burundi ningependa kuuliza kwanini hamuweki full video?
Akii wangepata views mingi sana
Wajinga kweli wanaweka video fup
Full video ipo kwenye app yake, huku wanaweka tu teaser kuhamasisha tu...its a business my dear..you install the app and pay 2000 a day...
Si mnisaidie Ku subscribe kwa Chanel yangu kwa Ku bonyeza picha yangu kwa mengi mazuri
Jamny juma lokole nampenda sana bora engekuepo na dyda ingekua rahaa
😄😄😃😃juma lokole we kiboko kabisa
Leo leo leo juma hoyoooo
Tatizo lako wema hatuoni matokeo ya mwisho Wa mapishi yenu,,,,hebu rusha kipindi ambacho mapishi yamekamilikana sisi tujifunze maandalize hatua hadi kitu halis chenyewe
❤️❤️❤️❤️😘😘🔥🔥
Nakupenda bureeeeee
Jamani ni Mimi tu sijui Kama Kuna full episode! Mtu anichanue jamani
❤️❤️❤️❤️❤️
Love u wema 🇰🇪💕💕
That vibes ulioanzia😍
Mm naomba utuletee diamond
Nakupenda bure
Jumalokole kafanya kipindi kinatrend👌
Wapi wema akee😍😍😍
Wema my love mu alike oncle shamuti🇧🇮
Nakupend sanaa wema jomon unakifanyia haki kipindi rokole sasa
Wow l love it Wema kipenzi
Juma nimjuwaji saaana duuh
@Wema_sepetu 💪🚧
Wema umepungua sana mwili kulikoni ni umbea tu natafuta vitamin c
Jamani mbona Ndo kashaanza kuongezeka atarudi taratibu tu na mwili wake Utakua poa
Lovely wemaaaaaaaaaaaa
Jamani wambea tukutane ukuuu madame katuamulia wiki hiiii😂😂🙌
Piga kelele kwa wema akee, 🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Weweeeeeeee😂😂😂😂😍😍
Huhuhuuuuu
Et kwato za mbu haha
Mbna fupi hivyo??i was waiting pale kwa umbea
🔥🔥🔥🔥
Mbona chakula hakuonekani kikiwa tayari
Nasiku atakuchamba huyu juma nauwo wembambawako ndo utajua kachumbali ni mbaga au maharage🤣🤣🤣🤣
My favorites food 😋😋😋
Umetishaaa sana leoo
Umbea nimtamu na pia ndio maisha mama
My love🥰🥰
Nakupenda juma kutoka burundi
Tunapenda sana kibindi lakini mbona kafupi daaa tupe vitu
First 💃🏾 ...:
Congratulations
👌💋