Cook with Wema Sepetu S02E03 Kajala Masanja
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
- Jinsi ya kuangalia video hii nzima, unatakiwa ku Download Wema Sepetu App ambayo inapatikana Play Store na App Store, kama wewe ni mtumiaji wa simu ya Android bonya link hii ili uweze ku download Wema App na kama wewe ni mtumiaji wa iOS Bonyeza link hii shorturl.ae/XTizL
Connect with me;
Instagram - @wemasepetu
Twitter - @wema_sepetu
Facebook - @wsepetu
Click here goo.gl/0pN4kS to Download Wema App on Playstore
Click here apple.co/2PQK3vR to Download Wema App on Appstore
#CookWithWemaSepetu #Wemasepetu #Bestizzo
wow abari njema kweli nafurai kuona mumerudi kuelewana
kama wewe ni mrundi🇧🇮 gonga like🇧🇮
Home sweet home🇧🇮🇧🇮
From 254 niko hapa after kuona wana date na harmonize
Sijawahi kucomment chochote kile bt nimegundua wema ni mtu mwema sana na mwenye upendo sana yaani mungu akuongoze vyema hivyohvyo kipenz
Wema unaroho safi 😭😭unamoyo wa upendo na kusamehe kwanzia leo mimi ni shabiki yako ❤️❤️❤️
🤣🤣🤣🤣
Roho safi
Kweli kabisa wema mimi nampenda sana anaroho mzuri sana
🥰🥰🥰
Wema Hana ubaya anatenda mema wanamripa mabaya na hawsemi vibaya Hana kegeri ndo maana ata reo hachuji tnampenda sana asjari ata waseme amezeeka tunampenda❤
I love wema sepetu from the deep of my heart my lovely super star anafanya poa sana kila iitwapo leo
Nani anaangalia hii video huku akisomA comments kama mm😍😍😍
Muni akee
Kwaiyo uku amutumi
Mie hapa haha munira wazimu
Hapaaa
Me apaaa
Jamanii wema na kajalaa sooo nice,wema nakupendaaaaa❤️😇
Jamani huyu kajala ua nampendaga ❤ ako simple
I genuinely feel Wema is a good person.
Yeah for real!!
She is buh they are using her kindness kumfanya daraja
I used to like her but i think she has a facade!
@@shayonapatel1408
For the cameras yeah, it's the only thing.
She is! I always heard bad things about her but one time she came to my workplace for a certain service and I was the one who served her. She was soft spoken, down to earth, Yaani hajickii Hata kidogo; she was so humble! She greeted everyone and even had a little chat with me. I was left in awe! Never judge people you don’t know. I learned a lesson that day!
I love kajala and wema am happy they reconciled🥰
Wema wewe ni kazuri Sana halafu kapole umependeza Sana Tanzania sweetheart natamani ujibu hata asante roho yangu itulie nakukubali Sana wema Mungu akubariki na akupe hitaji la moyo wako
😂😂😂😂😂 Wema msikie huyu jmn
Wema mtoto mzuri mwenye wema wako yaani una roho ya kuachilia kama Mungu wetu atakavyo Mungu akulinde na kukuongeza na rafiki yako Kajala nawapenda sana. ❤
amina
Kajara unasura nzitoo
Jmni naona laaa adi nacheka pekeangu akuna kitu kizuli kama kusameheana ama unaonaje ww unae soma comment
Imenitow machozi 😭😭warundi mpo wapi kama mimi? 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Wow this is what we are all happy about...!!! haya mabifu ya ujinja hayapendezi ila sasa tunafurahia na kupendezwa sana kwa hawa wote wawili...wema uko sawa kabisa baby... Endelea hivyo, Hivyo tu Naye Mungu Azidi kukubariki....Piga Kelele kwa Wema akee .... weweeee!!!
Na mashabiki pia wanachangia wanapenda sana kugombananisha
Wowooo
Mungu ni mwema kuona ndugu wakimaliza tofauti zao
Nampenda Sana wema ana upendo❤
Yes madam upo just like ur name dia so good so humble ❤️❤️❤️❤️ wish you more money more life inshaallah!
Nimependa convesation apo fresh keep in touch you guys
Wooooh ❤🎉kajala na wema
Yaan jaman cjawah muona mtu mkarimu km wema mngu akuzidishie mpnz
Karma inaonyeshwa Dstv, jumamos na jumapili kuanziaa saa 3
Always 🥰🔐
Kwakweli kujishusha ndo kilakitu
Lakin ukimsikilkza vizuri kunasehem anamchomolea betri😂🌝😁
Asante sana dad wema..tuna ombe uturetey na lulu Erizabeti na jakerin ORop
Wallah madam wema iyo nguo umependeza San ten San nitumie nao my nipo bujumbura
Jmn kajala ni mpole San Yan anaonekan tyu ♥️♥️
Ila mama Paula bado anakuonea aibu jamani ....hata kukuangali usoni anaona jau ...Kama aamini vile uko pamoja mnaongea.Nafurahi kuwaona mko pamoja.😘
Kweli shoga yang
Kumbe umeona
Kumbe umemuona eeh hana raha
kwel mwisho wa ubaya aibu mtu alimtowa gerezan
Macho yako yameona kama Mimi
Wow i just love that statement...one of the most important people of her life😍😍😍...love ur friendship soo genuine
That's good friend for life❤❤❤
Mimi apa nilipo naangalia na machozi ya furaha yanitiririka,marafiki wakielewana ndo upendo unazidi,Wema umefanya jambo zuri sana!
Yan wema ana roho safi sana
Kajala ana miaka 37 lkn utafkiri ana miaka 30 ure so cute love u so much kajala masanja
Jmn nmefurai kuwaona pamoj tena,❤
Uyu mwanamke nampenda sana kwa maneno yabusara yy na uyu dada yake wastaarabu ❤
Nawapenda sana kajala na wema na nimefurahi sana kuona mmemaliza tofauti zenu 😘😘😘😘😘
Innocent soul one one love
Huwa nafurahi sana nikiona watu waliokua hawako sawa kimaelewano wakipatana inapendeza sana maana hakuna aliyekamilika na kukosea ni sifa ya mwanaadamu na mkamilifu ni Mungu pekee
Sana jomon ugomvi co mzuri
Kweri kabisa nivizuri mungu awa bariki
Kanjala masanja ni mrembo hatari aki 😍😍😍😍
Sana ni mrembo mno na ni mpole
Happy to see you guys again! 🥰🥰friendship goals 👍
Alhamdulilah jamani ❤️❤️🤣🤣kipindi Leo naona kipo kirefu au naona vibaya
😂😂😂😂kweli mpenzi
@@bertinaafonsorapaz8345 kumbe hata ww umeona
Nawapenda sana nafrai kuwaona pamoja 😍
nawapenda mungu ajalie mufike mbali😋❤💚💜💙👌
Kweli nimejua kusamehe nisehemu ya ibada .madame kweli umetia amri yamungu .mungu akubariki kwakutii agizo lakwe
Ila wema badilika kwa rafiki zako. Unajimwambafai sana. Kwenye maisha kukoseana ni jambo la kibinadamu.
Wanamkosea wenyewe hana baya wema❤
Madam wema mpaka umeniliza si kwamapenzi hayo🥰
Woow am happy for them nlikuwa nagoja mkiwa pamoja kwa hamu sana woow nice nice lov uuu my wema
nashida na wewe dada kama utojar plz naomba unijbu coz kuna kitu nataka nikusaidiee kama utojar
@@bryanakyando565 mie ama🙄🙄
Nawapenda kajala na wema napenda kuwaona mpo ivyo mnafuraha mnapendana
Am happy that BBF are back in de building 😍😍😍
@MARIAM ABBOU don’t get twisted my dear Best buddies forever dn get used to only one word😃
@MARIAM ABBOU maanake
Wema jaman ningekuwa Star ningekua karbu naww nakupenda jaman
I love it wemah that's why nkupnda always ❤💋
❤wema unaupendo kabisa
Nakupenda sanaaaa c* wema
Naitwa Farida niko Rwanda nakupenda ❤
Wema hiyo nguo yako imekupendeza hatari kipenzi 😍😍😍😍😍
Naku penda sana wema
Yani hawa nawapenda, yani kilibakia tu kidogo na mimi nilie tena nidai kua nawapenda nyie binty❤❤ Mungu awabariki awatunze awajalie nawapenda muno🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏🙏
Mashallah mependeza sana
Nampenda Weema jmn hadi naisi kero..Anaroho ya pekee huyu dada..Mungu akubariki 🙏🙏🙏🙏
That's a very beautiful kitchen
Who is watching from Germany or.......
Where are you from let mw know
Me nakupenda wema but dat style of being mwembamba me sinaipenda coz inakufanya kama mzee ivii
Hi. .....wema am ur fun from Kenya ..I would love to subscribe to ur app but the charges are in tz shillings....we need you do something ....u got some hot tea . ..much more baby gal😍😍❤️❤️
I was wanting for this Expond I love them best friends ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️😍😍😍😍👍👍👍
Ungekua unaweka English subtitles kwa ajili ya fans wako ambao hawaelewi kiswahili nimepitia comments wanacomplain
❤❤❤❤❤🇦🇪🇦🇪🇦🇪👌👌👌
5:47 that eye amempa wema makes me question her sio kwa ubaya but Wema should not trust her again forgiveness it’s okay but asiwe karibu tena sanaaa
Nakupenda wema❤
Nawapenda cn ❤❤
I love you madam Wema Sepetu & madam Kajala Masanja👏
Safi jamani wema nakupenda sana mungu mjaalie wema mtoto
Kenya 🇸🇸 Tupo ndani
Nakupnd sana Dada wema mung akuzidishie maisha maref ameen
Nawapenda❤❤❤❤
Jamaniii kunatu wachawiii etii wame dislike 😏😏😏 jamaniii rombaya 2
Nawapenda Sana'a wema na kajala mungu awasimamie msije gombana tena wallah
This is what God wants we forgive and forget love you all🥰
Jaman nakupend sana dada uko pouw
Nawapenda wote jamn
Wema nakupenda sana jmn naomba nikuon
Naupenda huu urafikii jamanii, I’m glad they back together
Kuliko wa aunty
I like dat
Msigombane tena. Mungu awape Upendo wa dhati.
Nawapenda sana 💕❤
Jamn wema wigi ilo sjalielewa my love😆
Yani lamtisha kidogo au vipi mwenzangu hata mimi silielewi
Pls keep growing
Dont give up
I love you cooking Style
Nice ❤❤❤❤❤
Wema mimi kwa ushauli wangu fanya juu chini uludishe mwili wako nakupenda sana wema
Kweli
Wema love you sana wee dada,mualike na hassan mwakinyo pa1 na twaha kiduku
I love you wema, I beg you visit doctor ssali in Uganda he's a doctor for women. I assure you, we shall have laughter. My dear whenever I watch any of your show, I feel pain of what you're going through. I love you baby.
👊 ipo poa sana
Wow wema nngekua nipo huko na mm ni ngekuja kupika vyangu napenda kupika sanaa
Kajala She's a very beautiful Woman same as wema sepetu my love ❤❤❤❤
Akiamungu nimefurahi sana sana hongera sana nawapenda sana🙌🙌🙌🙌
Mbona Kama kajala hajiamini kwenye mapishi..🏃🏃🏃
Wema nii wemaa kweliii napendaa unayo hurumaa niii mtu wa kujariii mnoooo
Good to see you
great of Wema ......
Wema nataka nipike nawewe from Europe Finland 🇫🇮
Nawapenda sana 😍😍😍😘😘😘💯💯❤❤❤❤
Alikuibia bwana wako mkigombana kwa kweli wema wewe unaroho ya kusamehe mungu akubariki
Mwema kama jina yako ubarikiwe wemasepetu ❤️❤️❤️🙏
Nawapenda Sana dada zangu
May Allah bless u uwe na moyo huohuo😍😍😍
😍😍😍😍Wema kama wema zidisha wema kama jina lako
Mungu aendelee kuwatunza wema unaroho ya kipekee sana
Waooooo vizur kusameheana sio mtu anashikilia neno hadi anakufa nalo
Jamaniiiiii watu sote tungekua na roho ya wemaaa... 😍😍😍😍😍Nimefurahi kuwaona pamoja.....
Ningekuwa na roho Kama ya Wema ningefurahi sana maana mm ninaroho ya kisasi hatari
@@marryoscar745 haha hata mimi Nina roho ngumu
Dada wema na mmnikalibishe nije kupika jaman❤️❤️